🔴

  Рет қаралды 65,237

Global TV  Online

Global TV Online

2 жыл бұрын

🔴#LIVE: WAZEE WA SIMBA WATEMA CHECHE MATOKEO MABAYA YA TIMU; "TUNARUDISHA CHUMBA NA 4 KUUA MABAYA"
Wazee wa Simba SC wanazungumza muda huu kuhusu mwenendo wa timu yao baada ya kupoteza michezo kadhaa ya Ligi Kuu Bara.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 122
@jumaseph6884
@jumaseph6884 2 жыл бұрын
Simba nguvu moja asanten Sana wazee wetu kwa umoja wenu na kwa kuliona hili kwa kuweka hamasa
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 3 ай бұрын
Asante wazee wetu tuko pamoja simbaaa nguvu moja
@zahoronassoro4758
@zahoronassoro4758 3 ай бұрын
Safi sana wazee wa Simba ,Simba nguvu moja
@Khaleed5767
@Khaleed5767 2 жыл бұрын
BIG UP ( WEKUNDU WA TANZANIA )
@mariamhaule1708
@mariamhaule1708 2 жыл бұрын
Asante Sana wazee wetu Leo mmetoa baraka lazima tushinde
@elishawillison338
@elishawillison338 2 жыл бұрын
Simba 💪💪
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 2 жыл бұрын
msiba mkubwa ukitazama bila maudhui utafikiri Mashekh na waumini wamekutani katika ibada kumbe.....................!!!!! kweli msiba mzito
@edwinedward5352
@edwinedward5352 2 жыл бұрын
Boko anatumika na manala manala anamtetea Kama nani mnafiki mkubwa nakumbuka walikua Wana pozana wakati manala anaondoka🦁💪🙏🙏🙏
@mateustomefobrafobra2315
@mateustomefobrafobra2315 2 жыл бұрын
Yaani mazeee yapo tayari yafanye shirki kwaajili ya mpira majinga kweli kweli
@jikelasimba4178
@jikelasimba4178 2 жыл бұрын
Yamenza ya yangahayo
@jumaally2469
@jumaally2469 2 жыл бұрын
Wazee ni hazina kwa vijana tunawaelewa vzr wezee wetu
@josephbonday8510
@josephbonday8510 2 жыл бұрын
Hii ndiyo SIMBA SC NGUVU MOJA NINAYOIJUA💪💪💪💪
@user-dt9uv3hj6n
@user-dt9uv3hj6n 8 ай бұрын
hongereni sana wazee wetu kwaumoja tukopamoja.simba nguvu moja.
@emanuelmrema8115
@emanuelmrema8115 2 жыл бұрын
Wazee mko vizr nguvu moja
@hajihija1903
@hajihija1903 2 жыл бұрын
Wewe mzeee mbaya huna uisilamu kazi yako Imani potofu
@emmanuelmathiasmpesa9396
@emmanuelmathiasmpesa9396 2 жыл бұрын
Tatizo hapa Sio Nini ni dharau Kwa wale walioifikisha Simba hapo ilipo jamani huwezi kumuondoa manala Kirahisi namna iyo manala yeye alikuwa jikoni Leo Yuko upande wa pili Kwa iyo Siri zote za Klub lazima zivuje TATHMINI
@DullhFeyy
@DullhFeyy 3 ай бұрын
Yeah tatizo lipo kweli tena linalo idhuru simba hicho kiumbe kunà kitu ndani yake kinacho uzur simɓa ni hilò uliloliongea mchezaji hata akija awe mzur ataonekana mbovu walitatue kwaharakaka sana hilo nalo neno wapo waþo kubar nawatao kataa
@eliasnyondo5528
@eliasnyondo5528 2 жыл бұрын
Wekundu wa Tanzania smb sc nguvumoja Kama Kuna watu wanaichezeza timu ya smb kinawarudia
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 2 жыл бұрын
walipitia kwa haji, bahati nzuri barbra akamgundua mapema
@rajabuhamisihasanisanda3317
@rajabuhamisihasanisanda3317 2 жыл бұрын
Mungu atatusaidia simba nguvumoja
@saidally9896
@saidally9896 2 жыл бұрын
Sasa muhindi akae vizur hao ndio wenye timu yao...magori si kawekwa na mo? Au...?
@hamisally9255
@hamisally9255 8 ай бұрын
Mzee upo sawa Kuna husuda wazee wa Simba angalieni hayo kwa upana
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 2 жыл бұрын
Wazee mnataka kuleta fujo, mpira umebadilika na nyinyi mbadilike hayo mambo ya chumba namba 4 yamepitwa na wakati, timu haifanyi vizuri tatizo ni wachezaji hasa wafungaji na hili tatizo ni tangu mwaka wa jana likianza kujitokeza, makosa yaliyofanyika ni kusajili viungo wengi wakasahau kununua mshambuliaji wa uhakika chumba namba kitasaidia nini wakati hakuna mshambuliaji acheni fuji tutarudi nyuma.
@eliasnyondo5528
@eliasnyondo5528 2 жыл бұрын
Naungana na wazee kushiriki mkutano. Smb sc nguvumoja
@yunusimchala9306
@yunusimchala9306 2 жыл бұрын
BARAZA LA WAZEEE LIRUDI KWENYE KATIBA MMMMH HAKUNA UWEKEZAJI TENA
@stevenmwanile
@stevenmwanile 8 ай бұрын
Safi
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 3 ай бұрын
Shikamoo ndio sawa
@saumsaum1916
@saumsaum1916 2 жыл бұрын
Nyie waandishi maongezi ya undani haiwahusu
@fundimagari5825
@fundimagari5825 2 жыл бұрын
Magori umewaengua wazee wetu,leo wazee wamekaa pembeni chama letu la simba linavunjiawa heshima..
@danielsanga8459
@danielsanga8459 2 жыл бұрын
Kuna mzeee mmoja katibya Hawa wazeee hapepesi macho
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 жыл бұрын
Bongo bwana sasa wazee ndo wachezaji???
@edwinedward5352
@edwinedward5352 2 жыл бұрын
Wekundu wa TANZANIA 🙄👍👏👏🦁💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@hamisally9255
@hamisally9255 8 ай бұрын
Napenda mzee hasani dalali ikowa mwenyekit wa Simba Simba Simba ilikuwa haifungwi na yanga
@jacksonletema6071
@jacksonletema6071 2 жыл бұрын
Kwani simba imechukua ubingwa mara 4 mfululizo na kimataifa imefanya vizuri na hao wazee hawakuwepo nikionacho hapo watavurugana na Mdhamini wao ambae anaamini ktk usajili mzuri
@vumiliachacha2743
@vumiliachacha2743 2 жыл бұрын
Ee ndio sinyie utopolo ndo mlianza kwa Moto na sisi tunamaliza kwa moto
@iskitogo
@iskitogo 2 жыл бұрын
Ofisi ya Barbara ni chumba namba ngapi hapo Klabuni Msimbazi?
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 2 жыл бұрын
Aaaa kumbe wazee wanataka kwenda Ikulu kwa mama Samia Suluh Hassan ili ishinde mda wote kwa sababu Simba ni timu ya Mzee Kawawa duuuuu
@josephbonday8510
@josephbonday8510 2 жыл бұрын
Na kweli tushaanza kwa kishindo mara tu baada ya kikao hiki kukamilika
@mateustomefobrafobra2315
@mateustomefobrafobra2315 2 жыл бұрын
Hahahahahaha hakuna kitu mpira hauna mambo hayo kama wachezaji wamechoka wamechoka tu
@saumsaum1916
@saumsaum1916 2 жыл бұрын
Kwn yanga haina wazee?
@edwardaugustino7177
@edwardaugustino7177 8 ай бұрын
Naomba namba ya Dalali.
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 2 жыл бұрын
Simbaa nguvu moja 💪
@ahmadifataha6677
@ahmadifataha6677 2 жыл бұрын
Mmekutana tena mechi.ya ligi inayokuja mnachezea tena
@hamisally9255
@hamisally9255 8 ай бұрын
Mo kaa na Hawa wazee
@AminaLibisa
@AminaLibisa 8 ай бұрын
Ivyo nyie watangazaji hamjielewi manina zenu eti heshima yetu ndo nini acheni ujinga wazazi wenu mnawasalimia ivyo au fyuuuuuu
@fadhilisheckimweri2512
@fadhilisheckimweri2512 2 жыл бұрын
Wakati makolo mnarudi chumba na 4 yanga wanasajili electronically ili ku advance kiuchumi
@shabanigeluka8646
@shabanigeluka8646 2 жыл бұрын
Jamani naomba niulize eti timu za ulaya nazo zinabaraza la wazee??
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani 8 ай бұрын
Ndio
@hanifaomar7438
@hanifaomar7438 2 жыл бұрын
Mm nashangaa wazee kama wote lakini bado tunafugwa kweli jamani😭mnashidwa kuangalia upande wapili jamani fanyeni kitu
@ibraimoissiaca6058
@ibraimoissiaca6058 2 жыл бұрын
Si tunawasikiliza wazee wetu buana
@jumakhalid5554
@jumakhalid5554 2 жыл бұрын
Mmekwisha wazee
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 2 жыл бұрын
Chumba namba 4
@jacksonnchimbi1966
@jacksonnchimbi1966 2 жыл бұрын
Wanawaza wamerogwa na yanga kumbe upepo tu umewabadilikia ndio maana ya Mungu wa kwetu wote hiyo
@NOVATISIYAME
@NOVATISIYAME 3 ай бұрын
Wazee wasikuizii wa ovyoo sana mnakosa ata uchawi wakuu wakifanya simba iwe inashinda kila mechi
@NassoroSipemba
@NassoroSipemba 4 ай бұрын
Timu bado inategemea nguvu ya wazee ili wawavushe hatua ya nusu fainal, hii inamaanisha viongozi wao wa sasa hawana maono hapo ndio walipo achwa mbali na yanga.
@mwanahawabakari718
@mwanahawabakari718 2 жыл бұрын
Chumba namba nne Cha uchawi,😃😄😅,kwani Simba isifungwe wao nkina Nani,waache ushamba,je wanaocheza nao ni wanyama wale siwatu Kama wait wasitake kutuletea upuuzi Simba imepotea muache ushamba ,inafungwa Manchester sembuse nyie 😎,acheni ujinga
@AllyGolota
@AllyGolota 3 ай бұрын
Kikao kikubwa lakini mashujaa kakuonyesheni mpira
@paulmasanja7055
@paulmasanja7055 2 жыл бұрын
Wazee wetu mmevurugwa kweli aisee
@khatibuhabibu2465
@khatibuhabibu2465 2 жыл бұрын
Chumba namba 4 ICU
@paullwangili2235
@paullwangili2235 2 жыл бұрын
Kinachoniudhi kwenye hii klabu wametanguliza mbele uchawi kuliko kitu chochote,nachukia Sana.
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 2 жыл бұрын
Unakaa ili ubadiri matokeo au timu wachezaji wamechoka wamechezeshwa mda mrefu usajilri unahitajika
@edwinaugustine6836
@edwinaugustine6836 2 жыл бұрын
wazeee achanane na mpiraaaa
@donaldthobias8440
@donaldthobias8440 2 жыл бұрын
Pumbavu kabisa mpira sio uchawi haya mambo ya kizamani sana 😂😂😂
@adamchambo12
@adamchambo12 2 жыл бұрын
Hatuhitaji wazee Mpira wakubwa na wazee wanaotegemea chumba namba 4 Kwa be Zama hizi hawana nafasi,tunahitaji matokeo yanayoonekana na wala sikutuabisha eti utamaduni
@mustafakara1361
@mustafakara1361 2 жыл бұрын
Utumboooo tu huo
@kelvinchuwa2212
@kelvinchuwa2212 2 жыл бұрын
Kwani na ulaya wazee wapo au wazee njaa hawa
@kassimomar7589
@kassimomar7589 2 жыл бұрын
Etii wazee warudishwe kwenye katibaaa
@trio9911
@trio9911 2 жыл бұрын
😂😂😂😂 akuna uchawi ni uwezo tu! Izo ata ulaya sinatokea sana watu wanagonga tu miamba ata mitano alafu wanafungwa goli moja 😂
@geofreysenka7091
@geofreysenka7091 2 жыл бұрын
Wazee hakuna shida walitaka wajue je Kati ya viongozi walio pewa dhamana ya kusimamia team au walio karibu na team wana migogoro sio shida hiyo ni heshima tu kwa wazee
@NOVATISIYAME
@NOVATISIYAME 3 ай бұрын
Dalali aludi kwenye nafasi yakee
@nasibueleman-dw9dd
@nasibueleman-dw9dd 3 ай бұрын
Mpila siyo wazee wafungaji allikuwa baleke
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 8 ай бұрын
Wazee wetu wa msimbazi fanyeni yenu kuinusuru simba yetu tangu tufungwe 5 na utoporo hatuna amani mitaani matusi na kejeli ndoo salamu zetu jamaa walituzidi sayansi na teknorojia ya giza hatakama simba yetu ingekua mbovu kiasi gani sio yakufungwa wingi wa goli 5 tumezalilishwa sana wezee wetu kaeni nakuchunguza kwa makini sana kuhusu jambo hili
@johnmushi8777
@johnmushi8777 Жыл бұрын
Pengine mganga anawadai
@johnmushi8777
@johnmushi8777 Жыл бұрын
Mlipen yule mganga anaedai magol yatsonekana insha ala
@fadhilisheckimweri2512
@fadhilisheckimweri2512 2 жыл бұрын
Room no 4?
@costantinestephen2594
@costantinestephen2594 2 жыл бұрын
Wazee Wa simba ni magumashi. Timu mbovu majungu kibaoo.
@hamisally9255
@hamisally9255 8 ай бұрын
Boko Ni kaputeni Ana kosa gan
@protasmalala7559
@protasmalala7559 2 жыл бұрын
Tutayajua mengi sana mwaka huu mbona..Chumba namba NNE!
@hamisally9255
@hamisally9255 8 ай бұрын
Uzee dawa
@abusultanzimbawy501
@abusultanzimbawy501 2 жыл бұрын
Ligi imebadilika
@mateustomefobrafobra2315
@mateustomefobrafobra2315 2 жыл бұрын
Hatakama wazee mkutane vipi mloge vp hakuna kitu
@esterkomba4072
@esterkomba4072 2 жыл бұрын
Mzee usijimalize hao waandishi ninafiki
@benjjlifetechnologie435
@benjjlifetechnologie435 2 жыл бұрын
Namuona hapo mzee wawa mzee onyango na mzee boko. Mbona wengine siwaoni
@abusultanzimbawy501
@abusultanzimbawy501 2 жыл бұрын
Timu ina wazee kina onyango
@Khaleed5767
@Khaleed5767 2 жыл бұрын
UKIINGIZWA CHUMBA NO. 4 UMEKWISHA KUDADADEKIIIII
@aminielnjiro6084
@aminielnjiro6084 2 жыл бұрын
Naona vibarakashe kama vyote
@elizabethcharles6228
@elizabethcharles6228 2 жыл бұрын
Hawa wandishi wananikera
@richardsesa7494
@richardsesa7494 2 жыл бұрын
Tulianza na wekundu wa msimbazi tunkuja wekundu wa watanzania hadi wekundu wa African
@abusultanzimbawy501
@abusultanzimbawy501 2 жыл бұрын
Wazee boko
@linuskyando4155
@linuskyando4155 2 жыл бұрын
DALALI ALIFUNGWA SANA NA YANGA
@thomasmanja1089
@thomasmanja1089 2 жыл бұрын
Ulikuwa Bado mdogo hukumbuki kaulize tena wakubwa
@abusultanzimbawy501
@abusultanzimbawy501 2 жыл бұрын
Pesa ya Azam imesaidia timu kusajili nyie mmebaki na kina kagereeeeeee
@ericklipendele1446
@ericklipendele1446 2 жыл бұрын
wazee wana nongwaa sanaa mechi 3 tu kufnya hvyo washaanza vikao shwain
@kelvinchuwa2212
@kelvinchuwa2212 2 жыл бұрын
Mtaloga sana mwaka huu wehu njie na dawa yenu nikuchomwa moto tu
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 2 жыл бұрын
Mchawi arudishwe, amechukia hajalipwa.
@josephmwise3177
@josephmwise3177 2 жыл бұрын
Mbona simuoni Onyango, Boko, Nyoni, Kapombe na akina Shabalala?
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 2 жыл бұрын
Mshindwe kwa jina la Yesu kama ni paka hamtaweza tunavunja nguvu zote za giza hazitafanikiwa sisi tunamtegemea Mungu wazee wanaamini ushirikina mshindwe yaani mmesema wazi kabisa wazee mna chumba no 4 poleni sana mhhhh mzeee kaweka wazi mambo hadharani lakini hamwexi nguvu za Mungu zitatenda kaxi
@mkalywagoka9913
@mkalywagoka9913 2 жыл бұрын
Someni albadruuiii
@busta_malik5971
@busta_malik5971 2 жыл бұрын
🤣
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@zubedamselem7217
@zubedamselem7217 2 жыл бұрын
Nyinyi utopolo mnaumwa nanini wazee wa simba nyie mnawashwa wapi.tuacheni na simba yetu.utopolo haiwahusu.shobo tu
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 8 ай бұрын
SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖
@rashidmohammed4887
@rashidmohammed4887 2 жыл бұрын
Mpira wa kisasa hautegemei nguvu ya ziada. Kubalini tu wachezaji wamechoka. Ongezeni damu mpya tu
@kelvinchuwa2212
@kelvinchuwa2212 2 жыл бұрын
Hamna kazi za kufanya tu na ujinga wenu wenzenu kipindi wanasajili nyie mlikalia tetesi na wandishi wenu mandazi na mwaka huu mtaomba po na mtatamani mpande mbinguni kwa Mungu mkatubu
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 2 жыл бұрын
Mbona simuoni onyango na kagere kwenye icho kikao cha wazee wa simba
@costantinestephen2594
@costantinestephen2594 2 жыл бұрын
Dalali, rudi kwenye mziki. Yanga kiboko yenu.
@linuskyando4155
@linuskyando4155 2 жыл бұрын
UZURI KWA YANGA MWAKA HUU SIMBA WANAWEKA MAMBO YAO HADHARANI
@abelisimoni1748
@abelisimoni1748 2 жыл бұрын
Magori ni msaliti tu
@caprice2558
@caprice2558 2 жыл бұрын
Uchawi fc
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 жыл бұрын
Mpira unachezwa uwanjani tubadilike mechi tatu tu shida!!! It's a shame
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 18 МЛН
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 3 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
ZIARA YA MAKAMU WA RAIS MHE. DKT. PHILIP MPANGO MKOANI KIGOMA
3:09
𝗢𝗙𝗜𝗦𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗠𝗨 𝗪𝗔 𝗥𝗔𝗜𝗦
Рет қаралды 2,5 М.
Ni kuri na njira njeru cia kweheria Rigathi Gachagua wabici-ini.
27:06
KAMEME OFFICIAL PAGE
Рет қаралды 2,1 М.
EXCLUSIVE:MZEE SUNDAY MANARA AICHAMBUA DERBY YA KARIAKOO NA MAAJABU YAKE.
1:01:36
JEHOVA JIRE TV TANZANIA
Рет қаралды 17 М.
Messi and Neymar Bond 😍
0:36
Flush
Рет қаралды 3,9 МЛН
When The Players Don't Give up 😱
0:32
D'Football Genius
Рет қаралды 6 МЛН
Вот так улетает Ута Абе от Келдиеровой! Лучшие моменты ДЗЮДО, из сети.
0:19
Андрей Шидловский Оздоровительная Борьба.
Рет қаралды 1,8 МЛН