#live

  Рет қаралды 19,806

BENTV MEDIA

BENTV MEDIA

12 күн бұрын

Пікірлер: 66
@ismailhamis2331
@ismailhamis2331 10 күн бұрын
Kaongea points zote.. kudos ticha Zuberi
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 10 күн бұрын
Vyema kabisa hongera Sana kwa uchambuzi bora kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom
@user-vb6zv8ov8v
@user-vb6zv8ov8v 10 күн бұрын
Uko vzr,wajifunze kwa Nzize wa Yanga kuna mahali tulikuwa tunategemea goli anakosa lile ni suala la umri mature utamuona mwaka huu kisha zoea
@suleimanmwenyemvua995
@suleimanmwenyemvua995 10 күн бұрын
Uko guuuud sana bwana Zubeir...😊😊😊😊
@EmmanuelBukindu
@EmmanuelBukindu 10 күн бұрын
Jamaa Yuko vzr
@omarMchoya
@omarMchoya 10 күн бұрын
Huyo jmaa yupo very Very point san
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 10 күн бұрын
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 5 күн бұрын
Big up Zuberi wewe ni mchambuzi na nusu. Uko very objective haupelekwi na hisia
@EnockKombolela
@EnockKombolela 10 күн бұрын
Mwl zuber big up sana
@JassonKagaruki
@JassonKagaruki 10 күн бұрын
Huyu jamaa apewe ulinzi makolo wakiiona hii tumeisha
@Rarmba
@Rarmba 10 күн бұрын
Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats
@RichardAmos-eo9dh
@RichardAmos-eo9dh 10 күн бұрын
Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.
@bentvmedia
@bentvmedia 10 күн бұрын
Karibu bentv
@kayagahamisi572
@kayagahamisi572 10 күн бұрын
Huyu ndo mchambuzi sio chambuzi halafu shabiki wa timu fulani
@mikidadijumanne7441
@mikidadijumanne7441 10 күн бұрын
Uko sahihi
@NTUSOTV-xx8qe
@NTUSOTV-xx8qe 10 күн бұрын
Uko sahihi mkuu,,, simba nguvu mbili✊✊
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini 10 күн бұрын
Madin mwanzo mwisho🎉🎉🎉
@mohamedikassimu7016
@mohamedikassimu7016 9 күн бұрын
Fact broo umenena
@anafiselemani3957
@anafiselemani3957 10 күн бұрын
Big up sana bro zuberi
@speciallvoice8091
@speciallvoice8091 10 күн бұрын
Uyu jamaa Yuko vzr sana
@user-em2sd9tm1n
@user-em2sd9tm1n 10 күн бұрын
Kaka shikamoo
@veelmng7746
@veelmng7746 10 күн бұрын
Jamaa ni mchambuzi kweli na anajua mpira
@suleimanmwenyemvua995
@suleimanmwenyemvua995 10 күн бұрын
Mchambuzi wape hao mambumbu kicheko baada e kilio😅😅😅
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 9 күн бұрын
Ukopoa bro
@ezramichael7038
@ezramichael7038 10 күн бұрын
Mpira anaujua vizuri
@fabiandanford3572
@fabiandanford3572 9 күн бұрын
Big upp umeongea kisoccer zaidi
@salumallymngumba
@salumallymngumba 10 күн бұрын
Umeongea point tupu.
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 7 күн бұрын
Uchambuzi mzuri
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 9 күн бұрын
Hupepes macho
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 10 күн бұрын
Hii kichwa imetulia si mchezo jamaa ni mtaatam anajua kuchambua ball. Tunataka wachambuzi kama si kama kina jemdar,oruma,salehe,na wengine km hao
@EnockKombolela
@EnockKombolela 10 күн бұрын
Wewe ndio chura nini ulicho kuelewa ktk ichi anacho kiongea
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 9 күн бұрын
sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu
@allysinde6208
@allysinde6208 8 күн бұрын
Huyu jamaa nimemkubali sanaaa... Yani anaongea points za Maana Sana na sio ushabiki.....
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 5 күн бұрын
Kocha wenyewe hawajiamini si mtoke nje mkaonyeshe maajabu
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 5 күн бұрын
Kocha awe na uwezo na uzoefu ns sio uwezo
@salagolusangija8727
@salagolusangija8727 10 күн бұрын
Bonge la mchanbuzi
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 9 күн бұрын
Huyu jamaa anajua sana
@user-yu1zo9pf4o
@user-yu1zo9pf4o 2 күн бұрын
Huyu km kaka wa "K" mziwanda
@andrydengaah7389
@andrydengaah7389 10 күн бұрын
😅😅😅
@athumanmapunda
@athumanmapunda 10 күн бұрын
Kweli
@saidmwinyi4437
@saidmwinyi4437 2 күн бұрын
Eeeh mkaraboko umeuwa
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l 9 күн бұрын
Serikali mpeni ulinzi huyu jamaa ni tunu ya taifa😂
@kichefuchefu2382
@kichefuchefu2382 10 күн бұрын
Unajua kaka
@salummbuleti6047
@salummbuleti6047 10 күн бұрын
Huyo mchambuzi wako ni chizi
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc 10 күн бұрын
Uyo nichura kama chula wengine
@suleymanyasinmkufu1570
@suleymanyasinmkufu1570 10 күн бұрын
Amejaa wivu ,uto.
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 10 күн бұрын
umasema ukweli mtupu ingawa itawauma baaddhi humu
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc 10 күн бұрын
Aowachezaji wa simba wanamuonekano gani
@mwanangusana
@mwanangusana 10 күн бұрын
​@@AyubuIssa-np3vc😂😂😂 tulia kk
@franccoz94
@franccoz94 10 күн бұрын
Wachezaji wengi wa yanga wanamsimu mmoja tuu wa kucheza baada ya hapoo n angukoo
@user-mg1yl2rl8s
@user-mg1yl2rl8s 10 күн бұрын
Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 10 күн бұрын
nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo
@reonardchatanda6371
@reonardchatanda6371 9 күн бұрын
Pole sana. Inaonekana hufwatilii usajili.yanga imeongeza mikataba wachezaji wake wengi muhimu.
@anicethy6978
@anicethy6978 10 күн бұрын
Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa
@errydeo8865
@errydeo8865 10 күн бұрын
Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc 10 күн бұрын
Uyo nimweu tu mpira sio umri .simba wakisajili wakubwa unasema wazee
@mwanangusana
@mwanangusana 10 күн бұрын
😂😂😂 mmeleta wachezaji kwaajili ya tamasha la saba Saba
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 10 күн бұрын
Huna jipya wewe ebu tupishe
@mwanangusana
@mwanangusana 10 күн бұрын
Tupisheee wewe
@user-ds3oi3tt8u
@user-ds3oi3tt8u 10 күн бұрын
Utopolo huyo hakuna Anachoongea hapo maneno meengi lengo Lake limeeleweka
@mwanangusana
@mwanangusana 10 күн бұрын
😂😂😂😂 Nenda kasikilize mapambio kwa akina jemedariiii, oruma na Jeff
@gerowadamwandika669
@gerowadamwandika669 10 күн бұрын
Mchambuzi wa mchongo wewe, umetumwa na vyura kwendaaaa hukoooo
@erasmuskwayu5643
@erasmuskwayu5643 10 күн бұрын
Sawa tutaonana kwenye Ligi na Shirikisho Afrika tutajua huyu anajua au hajui
@user-rp8ke2nb5i
@user-rp8ke2nb5i 10 күн бұрын
Bonge nysnya wachambuzi wa tz vinyonga
@user-cm7yl9ej7i
@user-cm7yl9ej7i 10 күн бұрын
Kuma ya mama zenu
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 10 күн бұрын
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 51 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 7 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 58 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 105 МЛН
MZEE SAID: WACHEZAJI WALINDWE | MSIMU UJAO VIKOMBE | AZIZ KI KABAKI?
24:46
Ronaldo, Mbappe, IshowSpeed, Son 😈🔥 #footballshorts #shorts
0:27
Cristiano Ronaldo 💀#ytshort #shorts #cr7
0:10
RZ 20
Рет қаралды 2,4 МЛН
Испания - лучшая команда Европы!
1:00
Губиньо
Рет қаралды 258 М.
Respect Football Club Logo
0:34
Vutball
Рет қаралды 13 МЛН