No video

#live

  Рет қаралды 20,995

BENTV MEDIA

BENTV MEDIA

Күн бұрын

Пікірлер: 66
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 Ай бұрын
Vyema kabisa hongera Sana kwa uchambuzi bora kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom
@ismailhamis2331
@ismailhamis2331 Ай бұрын
Kaongea points zote.. kudos ticha Zuberi
@user-vb6zv8ov8v
@user-vb6zv8ov8v Ай бұрын
Uko vzr,wajifunze kwa Nzize wa Yanga kuna mahali tulikuwa tunategemea goli anakosa lile ni suala la umri mature utamuona mwaka huu kisha zoea
@suleimanmwenyemvua995
@suleimanmwenyemvua995 Ай бұрын
Uko guuuud sana bwana Zubeir...😊😊😊😊
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 Ай бұрын
Big up Zuberi wewe ni mchambuzi na nusu. Uko very objective haupelekwi na hisia
@omarMchoya
@omarMchoya Ай бұрын
Huyo jmaa yupo very Very point san
@EnockKombolela
@EnockKombolela Ай бұрын
Mwl zuber big up sana
@Rarmba
@Rarmba Ай бұрын
Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats
@EmmanuelBukindu
@EmmanuelBukindu Ай бұрын
Jamaa Yuko vzr
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Ай бұрын
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
@mohamedikassimu7016
@mohamedikassimu7016 Ай бұрын
Fact broo umenena
@JassonKagaruki
@JassonKagaruki Ай бұрын
Huyu jamaa apewe ulinzi makolo wakiiona hii tumeisha
@RichardAmos-eo9dh
@RichardAmos-eo9dh Ай бұрын
Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.
@bentvmedia
@bentvmedia Ай бұрын
Karibu bentv
@NTUSOTV-xx8qe
@NTUSOTV-xx8qe Ай бұрын
Uko sahihi mkuu,,, simba nguvu mbili✊✊
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini Ай бұрын
Madin mwanzo mwisho🎉🎉🎉
@anafiselemani3957
@anafiselemani3957 Ай бұрын
Big up sana bro zuberi
@kayagahamisi572
@kayagahamisi572 Ай бұрын
Huyu ndo mchambuzi sio chambuzi halafu shabiki wa timu fulani
@mikidadijumanne7441
@mikidadijumanne7441 Ай бұрын
Uko sahihi
@speciallvoice8091
@speciallvoice8091 Ай бұрын
Uyu jamaa Yuko vzr sana
@fabiandanford3572
@fabiandanford3572 Ай бұрын
Big upp umeongea kisoccer zaidi
@ezramichael7038
@ezramichael7038 Ай бұрын
Mpira anaujua vizuri
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 Ай бұрын
Uchambuzi mzuri
@veelmng7746
@veelmng7746 Ай бұрын
Jamaa ni mchambuzi kweli na anajua mpira
@suleimanmwenyemvua995
@suleimanmwenyemvua995 Ай бұрын
Mchambuzi wape hao mambumbu kicheko baada e kilio😅😅😅
@user-em2sd9tm1n
@user-em2sd9tm1n Ай бұрын
Kaka shikamoo
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn Ай бұрын
sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu
@allysinde6208
@allysinde6208 Ай бұрын
Huyu jamaa nimemkubali sanaaa... Yani anaongea points za Maana Sana na sio ushabiki.....
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 Ай бұрын
Hii kichwa imetulia si mchezo jamaa ni mtaatam anajua kuchambua ball. Tunataka wachambuzi kama si kama kina jemdar,oruma,salehe,na wengine km hao
@salumallymngumba
@salumallymngumba Ай бұрын
Umeongea point tupu.
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 Ай бұрын
Kocha wenyewe hawajiamini si mtoke nje mkaonyeshe maajabu
@EnockKombolela
@EnockKombolela Ай бұрын
Wewe ndio chura nini ulicho kuelewa ktk ichi anacho kiongea
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 Ай бұрын
Kocha awe na uwezo na uzoefu ns sio uwezo
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l Ай бұрын
Serikali mpeni ulinzi huyu jamaa ni tunu ya taifa😂
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr Ай бұрын
Huyu jamaa anajua sana
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 Ай бұрын
Ukopoa bro
@salagolusangija8727
@salagolusangija8727 Ай бұрын
Bonge la mchanbuzi
@saidmwinyi4437
@saidmwinyi4437 Ай бұрын
Eeeh mkaraboko umeuwa
@user-yu1zo9pf4o
@user-yu1zo9pf4o Ай бұрын
Huyu km kaka wa "K" mziwanda
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 Ай бұрын
Hupepes macho
@franccoz94
@franccoz94 Ай бұрын
Wachezaji wengi wa yanga wanamsimu mmoja tuu wa kucheza baada ya hapoo n angukoo
@user-mg1yl2rl8s
@user-mg1yl2rl8s Ай бұрын
Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw Ай бұрын
nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo
@reonardchatanda6371
@reonardchatanda6371 Ай бұрын
Pole sana. Inaonekana hufwatilii usajili.yanga imeongeza mikataba wachezaji wake wengi muhimu.
@athumanmapunda
@athumanmapunda Ай бұрын
Kweli
@kichefuchefu2382
@kichefuchefu2382 Ай бұрын
Unajua kaka
@anicethy6978
@anicethy6978 Ай бұрын
Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa
@errydeo8865
@errydeo8865 Ай бұрын
Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!
@andrydengaah7389
@andrydengaah7389 Ай бұрын
😅😅😅
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw Ай бұрын
umasema ukweli mtupu ingawa itawauma baaddhi humu
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc Ай бұрын
Aowachezaji wa simba wanamuonekano gani
@mwanangusana
@mwanangusana Ай бұрын
​@@AyubuIssa-np3vc😂😂😂 tulia kk
@salummbuleti6047
@salummbuleti6047 Ай бұрын
Huyo mchambuzi wako ni chizi
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc Ай бұрын
Uyo nichura kama chula wengine
@suleymanyasinmkufu1570
@suleymanyasinmkufu1570 Ай бұрын
Amejaa wivu ,uto.
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc Ай бұрын
Uyo nimweu tu mpira sio umri .simba wakisajili wakubwa unasema wazee
@mwanangusana
@mwanangusana Ай бұрын
😂😂😂 mmeleta wachezaji kwaajili ya tamasha la saba Saba
@gerowadamwandika669
@gerowadamwandika669 Ай бұрын
Mchambuzi wa mchongo wewe, umetumwa na vyura kwendaaaa hukoooo
@erasmuskwayu5643
@erasmuskwayu5643 Ай бұрын
Sawa tutaonana kwenye Ligi na Shirikisho Afrika tutajua huyu anajua au hajui
@user-ds3oi3tt8u
@user-ds3oi3tt8u Ай бұрын
Utopolo huyo hakuna Anachoongea hapo maneno meengi lengo Lake limeeleweka
@mwanangusana
@mwanangusana Ай бұрын
😂😂😂😂 Nenda kasikilize mapambio kwa akina jemedariiii, oruma na Jeff
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 Ай бұрын
Huna jipya wewe ebu tupishe
@mwanangusana
@mwanangusana Ай бұрын
Tupisheee wewe
@user-rp8ke2nb5i
@user-rp8ke2nb5i Ай бұрын
Bonge nysnya wachambuzi wa tz vinyonga
@user-cm7yl9ej7i
@user-cm7yl9ej7i Ай бұрын
Kuma ya mama zenu
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Ай бұрын
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 21 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,3 МЛН