Jamani tunapoa majanga kwa wezetu tusimame kwenye maombi mimi na wewe maa hatujui kesho yetu mungu tusamehe na ulisamehe taifa letu akili zetu zimefungamana ni wewe wajua tuendako amina
@kisinza60773 ай бұрын
Nachukia sana mimi mnapoendekeza magwanda kwenye maisha ya watu, unasikia kuna ajali/maafa, unaenda kuvaa gwanda la kijani kwanza ndiyo uende maafani ukaseme mama anasema hivi,;
@user-vt8ow3ty7h3 ай бұрын
Mambo MENGINE ni ya kisenge, KAMA watu wazima mnatoka na kwenda kushuudia wa2 wanakufa Kuna nyie🖕
@Elizakilisipinilikolika19963 ай бұрын
Yani we Acha tu
@fatumahapesamohamedfatumah46333 ай бұрын
Yaani baada muharakishe muone mtawaokoa vipi mnapiga domo.Akk mmenichukiza.
@user-tf2wp9ix6e2 ай бұрын
Jaman mm maji nimuoga Sana hata kama yawe kwenye magoti sivuki
@arafatimsongo53283 ай бұрын
Natoa ushauri kwa serikali yetu sikivu ipeleke helkopta maeneo yale ili pakitokea shida kama hiyo itakuwa rahisi kuokoa.
@JacoboMtokoma3 ай бұрын
Je hakuna msaada wa kijeshi. Na Helikopter za uokoaji??
@uplovermellody98373 ай бұрын
Mungu awafanyie wepesi ndungu zetu
@Allybinamour3 ай бұрын
subhanallah,jamani tumrejee mola wetu kwa madhambi yetu jamani
@issapanduka73133 ай бұрын
Hawa viongozi wa ccm hawana hata aibu ya kujieleza katika hilo tukio walilolishudia hapo yote hayo ni utawala usiojali utu wa watu wake inasikitisha sana. Ila hakuna marefu yasio na ncha. Wacha wafurahie maisha kula kunywa na kusaza kwa kodi za wavuja jasho ipo siku mungu atahukumu
@prosperidinya58643 ай бұрын
Inaumiza sana.
@halimahalima14883 ай бұрын
Subhana Allah 😢😢
@user-gv8yn9lg1i3 ай бұрын
Tuwe na juhudi na maarifa katika kuokoa, nyie mnaenda kushuhudia watu wakifa,badala mwende na mbinu za kuokoa.
Inch yangu ngumu yani wao ndio waliosababixha madhala kwann wasipeleke faiba xx
@gwakisamwakatage46563 ай бұрын
Poleni Sanaa ndugu zetu
@valenakomba76863 ай бұрын
SASA ISJUI NDO KUMAANISHA NINI?. YAANI KAMA WANAKWENDA KWENYE KAMPENI.😮😮😮
@InjiliyaUfalmetv3 ай бұрын
Jamani iteni waokoxi Basi Eee Mungu wangu
@HanifaOman-oo4pl3 ай бұрын
Subuhanallah inalillahi wainailahi rajuun
@Mwanaidi-ih7lh2 ай бұрын
Mh jamani poleni sana
@petercostakisoka3 ай бұрын
Daah poleni sana
@barutiboniphace43353 ай бұрын
Majanga mengine unajua ni ya kujitakia. Anaona mvua zimenyesha maji yanakasi kuliko kawaida bado unapita tena hapo hapo kwani nilazima kuisogelea hatari siangetulia tu kwanza hatari ipungue ndiyo apita inamaana yeye hakujiuliza ikitokea mtumbwi umepinduka tunajiokoa vipi. Rsk Management
@AgnessEustace3 ай бұрын
Ee Mungu tusaidie
@pauldatche84103 ай бұрын
Mbona hawakutumia daraja kuvuka mto, jamani!
@StonesSemwenda3 ай бұрын
Pole kwa mafuriko🙏
@abusuheyba3 ай бұрын
Sasa waswahili kusimama kando na kulia mutaacha please
@osodowilberforce23213 ай бұрын
Kwani Tanzania haina jeshi?Haina Jeshi la wanamaji wa kusaidia jamii?Kwani jeshi la Tanzania lina wajibu gani kama haliwezi kusaidia walipa kodi?Uzembe wa CCM.
@feisalomar-hr3hq3 ай бұрын
Tanzania jeshi lipo lakukupga mwananchi na kuwauwa hasa katika uchaguz hawana kazi nyengine
@ivomhagama97963 ай бұрын
@@feisalomar-hr3hq😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@rejinajoseph29943 ай бұрын
Poleni jamani
@ShijaKilasa3 ай бұрын
Poleni sana
@AllyYassen3 ай бұрын
Allahu akbar
@dulaomar55373 ай бұрын
Hata boti hiwezo hayo maji yanakasi so jamn hiyo hatred kwa kutumia mitumbi Allah ajaalie alete Rehma zake
@ramadhanhassan52853 ай бұрын
Ndomana tumefushwa na mtume wetu ukiwa na mtoto umri kuanzia miaka 7 miongoni mwa yale mambo ya ulazima ni kumfundisha kuogelea ili iwe miongoni mwa msaada wa baadae kwake mwenyewe
@yusuphlazaro3 ай бұрын
Serkali inatakiwaa wamke wasilale jaman heee
@ShijaJotham3 ай бұрын
Waokoeni maelezo ya nn angekua kiongozi mngekaa kimya ivo
@user-qk4lx4hg7g3 ай бұрын
Kwa hiyo wanawaangalia tuu bila msaada huo
@khadijaomar67303 ай бұрын
Innalillahi wainnailayhi rajiun
@hajially45273 ай бұрын
Wabongo wapuuzi watu wanazama wao wanawarecodi na kupiga picha baada yakuwasaia wanawaacha wafe
@onescaniaonescania82273 ай бұрын
nyie wotee sijui niwaite aje,na masere yenu ya CCM, 🤦🤦🤦🤦😭😭😭😭
@bentanabwire56923 ай бұрын
Kutangaza mafaa munajua na kukumbowa watu kuwatoa kwenye maji munashindwa labda mungewaokoa.
@user-cg6iy2et7q3 ай бұрын
Mnafanyann kalibunamaj?
@valenakomba76863 ай бұрын
MNAI KAA KARIBU NA MAJI JIFUNZENI KUOGELEA .
@dullayomwinyi33593 ай бұрын
Serekali wako wp jaman
@rahimumuco86623 ай бұрын
Life jackets ?!
@sophiakimaro51743 ай бұрын
Yaani watu wote hao wameshindwa kwenda kuwaokoa?shenzi kabisa
@lugelosanga57983 ай бұрын
Nchi iko chini ya shetaniiii iko chini ya shetaaani shetaniii anatawala nchiiiiiiii
@salmahalfani63073 ай бұрын
Shetani ni wewe na ukoo wako laana kum wee. Adui wa Allah adui wa Rasulli.
@mjunicharles11983 ай бұрын
Mwisho na daraja litavunjika😢
@fortyyellu99713 ай бұрын
Sasa unaripot na jezi za ccm ndo nini sasa
@feisalomar-hr3hq3 ай бұрын
Mbwa kweli muna rikodi video baada kuwaokoa mh kweli balaa
@user-qw4pm6xm4i3 ай бұрын
Mungu atanuru kwa mvua hii
@aminakhamis22763 ай бұрын
Polesana
@SalamaAkilimali-ly3bu3 ай бұрын
😭😭😭😭
@barakajoseph22343 ай бұрын
Ccm mnazingua mnatoa wapi muda wa kuvaa magwanda hadi kwenye matukio ya emergency
@seifseifmohamed71183 ай бұрын
Hata hizo sura zao tu ukiwaona hutajua tu kuwa hawana akili
@malkiarosemuhando33103 ай бұрын
Hi I jeshi la zimamoto kazi yake nini?? Na hata jkt jwt hizi ni Nyenzo za kusaidia mambo kama haya Sasa mbona ni kama hakuna kujali Hali za Hawa wenzetu aathirika?
@AhmedSeif-il1xx3 ай бұрын
Jeshi la nchi hii lipo kwa ajili yakuiba kura tu pumbavu
@user-qw4pm6xm4i3 ай бұрын
Masikin
@boniventurehussein72763 ай бұрын
Serikali simpeleke helkopta ikae mda wote kwaajil ya tahadhali maana ya jeshi la uokoz nini???
@user-wd7bc7js6x3 ай бұрын
😢😢😢
@user-fu2xl6wp1e3 ай бұрын
Harafu mkobize na sikukuu ya muungano
@hillaryngeno3103 ай бұрын
Hawa wanaongea badala kuona mbinu WA kusaidia watu
@ZainabuTembo3 ай бұрын
Maafa,rufiji
@athmaniathmanisimba49763 ай бұрын
Mnabaki kuongea baada yakuwaokoa mnabaki mmesbika maik
@user-ii3bn4en8e3 ай бұрын
Alla anasema sehem yeyote watu wake wasipo simamisha swala na ramadhani wakaiona sawa na mwez wakula mchana wasubir maradi na mamweso na mafufuriko
@EmmanuelMsangi-kb3vv3 ай бұрын
Acha ujinga wewe
@freduallughano23013 ай бұрын
@@EmmanuelMsangi-kb3vvhuyu jamaa mpumbavu sana kwa hiyo huko arabuni ambako ndiko kibra maafa hamna?
@shimoneycashtalk91763 ай бұрын
Yani mna shuhudiya watu wanavo kwenda na maji africa shida sana
@Elizakilisipinilikolika19963 ай бұрын
Kweli kabisa
@MACHOYATAI-jk6fu3 ай бұрын
Lasaana ya huyu shetani samia itawamaliza watanganyika
@salmahalfani63073 ай бұрын
Nawe pia una laana ya M/Mungu itakumaliza.
@delsonandrea52233 ай бұрын
Yan nyinyi baada kutoa msaada kurecod tu
@hamadikhalfan67513 ай бұрын
Eemungu
@AleXNixt-xg2cw3 ай бұрын
Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour
@swabiaa14893 ай бұрын
Jamn si mkawaokoe dah😢
@seifseifmohamed71183 ай бұрын
Nani anajiweza wote hao ni bure tu kama hapana watu. Hawa watu ni mavi ya kuku
@edwinmahonga40633 ай бұрын
Shindwe wajinga nyinyi,helicopter ipo wapi,,,serikali ,,hiyo ni muda mrefu sana wakizama ilihali mnaripoti
@salehekisebengo85543 ай бұрын
Ninyi wajinga sana ,mnashindwa kuokoa watu mnabaki kupga picha tu,et unatuambia umepita kkuangalia tukio,huu ni upumbavu ,unaangalia tukio la kuona watu wanakufa bila kuwaokoa?
@Sobo7403 ай бұрын
Pelekeni boti acheni siasa
@ednakawau98423 ай бұрын
😢😢😢
@AleXNixt-xg2cw3 ай бұрын
Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour