Huyu kiongozi alikuwa wapi? Hongera Mh. Rais Samia. Recognizing and identifying such brilliant leaders is completely a gift from our heavenly father God.
@alexmurithi132710 ай бұрын
He is a presidential material
@josephvenus325910 ай бұрын
Chuma cha JPM havinaga longo longo. 🙌🙌🙌 Hii imeenda 💯 sasa kitaelewka
@radhiambwana335310 ай бұрын
Hongera Mhe Rais kwkumteuwa huyu MTU
@benedictinelusambo06910 ай бұрын
Huyu waziri namuona ipo siku ataja kuwa Rais wa Tz
@andrewmagwila160210 ай бұрын
Mh waziri biteko Mungu akutunze sana maana kazi yako ni njema sana
@mrafm728510 ай бұрын
Fukuza ewura weka wanajeshi wasimamie ewura haohao ewura ndio wanaowaambia wenye madepot kuwa next month mafuta yatapanda au yatashuka Kwa hiyo ndio tatizo
@mzugigizzlelife622910 ай бұрын
God bless u Hon Dr. Biteko
@husseinfemmy503510 ай бұрын
Chuma icho like magu
@ephraimmakaranga179510 ай бұрын
Yes my brother Mungu azidi kukupa hekima na busara ktk utendeji wako Kasi ulioanza nayo hakuna kulegeza wasiondana na wewe wakae pembeniMungu akubariki sana
@mustaphersamson617410 ай бұрын
SAFI SANA NAIBU WAZIRI MKUU, MIKAKATI MIZURI.
@godwinmwakibibi27410 ай бұрын
Kuna watu wakimsikiliza biteko wananuna kwa nyundo zake ila ukweli ukiwafatilia sip wazalendo tukumbuke mwisho wa siku tunakuw hivi☠️
@joojombi234110 ай бұрын
Bora kabisa Naibu Waziri, hao nawavunja sharia code of conduct. Wahamishe tu hapo Office
@magrethsindabaha185110 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@barakakitomary293610 ай бұрын
We nimasta my brother biteko Good job
@joelgeorgemwakajinga947910 ай бұрын
You are in charge big boss so just be aggressive on that...... Wanainchi wanaumia sana Chief .....EWURA WAMEZIDIWA NGUVU NA MATAIKUNI...... BIG BOSS tumaini letu ni kwako na si UWURA.... SO WE NEED UR AGREESIVNESS......
@henericomasanja10 ай бұрын
Naona mwelekeo Bora wa Taifa letu🇹🇿🙏🙏🙏
@AleiHadji-js3ed10 ай бұрын
Dr Biteko Juma aweso Majaliwa Majaliwa Mchengerwa hawa Watu wakiungana warafika mbali Sana
@cadiaonesmo966010 ай бұрын
Aweso hovyo kwani Mwanza ziwa limekauka mbona maji shida
@rashdiyange775810 ай бұрын
We jamaaa mungu akuweke kuazia muonekano tu naonekana sio ndumila kuili
@hezronmangulamangula971810 ай бұрын
Huyoo magufuli safii sana
@oscarkasalile396610 ай бұрын
Ee mungu mpe uelewa mkubwa huyu mheshimiwa asije akabadilika akawa kibaraka, aendelee kutupenda hivihivi.
@user-fy3cy5fe6q10 ай бұрын
Hawa ndio mawaziri tunawataka
@richardchawenda593810 ай бұрын
🙏🙏
@joojombi234110 ай бұрын
Naibu Waziri Mkuu
@yohanasiwingwa854410 ай бұрын
Mkuu toa hao Mungu akupe mafunuo,kuondoa mwendeshaji,na wakuu wote wa idara
@simonkabuka917010 ай бұрын
Dr Biteko jihadhari. Unagusa sharubu za Simba.
@ajirahongoli84010 ай бұрын
Mh. Wekeni ruzuku kwenye uwekaji wa system za cmg kwenye magari
@anthonymwandu261510 ай бұрын
Mr president
@ephraimndelwa407310 ай бұрын
Hapa naona sura ya Magufuli kabisa
@johnnyahi487510 ай бұрын
Kweli ww nikiongoz
@godfreymbwambo446010 ай бұрын
MAKAMBA MPIGAJI ALISHINDWA KIDILI NA EURA😂
@ankoanko-zz7it10 ай бұрын
Mh Rais wanao kusifia waogope sana
@tinolutonja893210 ай бұрын
hii
@user-gx9mv9oh5w10 ай бұрын
Tukiwa na viongozi kumi kama huyu tanzania itafika mbali
@user-xg9ix9ex9h10 ай бұрын
Naomba pambana kijana mchapa kazi pambana hata na wale wanaomtukana raisi wetu mtandaoni maana mwenzako tunaona amekaa kimya anawaangalia tu sijui ana maana gani aisee!
@BONGOINMOTION10 ай бұрын
Acha uchonganishi
@jeffkonki827910 ай бұрын
Muache huyo kipenzi Cha waarabu
@nesphorynyakunga120210 ай бұрын
Biteko tulia hivyo hivyo mambo ya jisot wewe Kuna kitu utafik mbal😅😅😅
@emilynathanielluvanda829810 ай бұрын
Timua hao Nchi imenasa kwaajil ya wachache
@user-oc2ul4lk4g10 ай бұрын
Unastahili,,,,,,,🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@nathanlusulo-po2lj10 ай бұрын
Atakuwa rais wa tanzania baadae
@amosemmanuel3110 ай бұрын
Umeme unakatika katika sana
@lusajomwaipopo504210 ай бұрын
Maumivu ya bei za mafuta ni makali sana msmtafute mchawi punguzeni idadi ya kodo mlizoweka ktk mafuta zaidi ya aina 15 za kodi muweka hapo
@uredmwasembo857910 ай бұрын
iv nikupongeze sana biteko ww unajua shida za wanannchi Yani ilifaa uyu ndo awe wazili mkuu
@BONGOINMOTION10 ай бұрын
Sio waziri mkuu tumpime tuone kama anafaa kuwa rais huko badae
@nbanba713810 ай бұрын
Mh. Ukaguzi pia ktk masheli Ukaguzi upite sababu hua wanaficha bidhaa.
@safarimayala10 ай бұрын
Seba welero akwighulhile makwuwa numhwe gwako gwanukwurwre nawelero tongelaga
@innocentraymond330110 ай бұрын
Hivi hii nchi haina akiba ya mafuta kama taifa! na kama ipo taasisi gani inasimamia hilo naomba kujua tu!
@andasonmdede565310 ай бұрын
Tunaishi Kama sio watanzania pambana waziri pia Bei yamafuta nikubwa mnoo matajiri wanatututesa kwakweli Hadi tunakosa imani na selikali nasio mafuta tuu na biza zingine kama nondo mabati sementi vipimo vimepungu sana na ubora pia nk
@simonsadala238610 ай бұрын
Sheria za manunuzi zikibadilika pamoja na kuondoa utitiri wa Kodi za uagizaji bei ya mafuta itapungua otherwise mtaishia kupiga domo na mwisho hakuna mabadiriko yeyote yanayotokea
@pastorysent658610 ай бұрын
Duh huyu jamaa alikuwa wapi kipindi chose hicho?
@geraldkweka207310 ай бұрын
Namuona raisi ajayo doto biteko Ana zile cheche na moto jpm
@rashdiyange775810 ай бұрын
Kiukwer navo jua mwez uh itashuka
@SalimAbdallah-tg1yo10 ай бұрын
Bei ya mafuta inapanda kila kukicha mh naibu wazir mkuu tafuteni tatizo liko wapi kama kuna uwezekano hata kodi ipungue kidogo mafuta yashuke bei twaumia wananchi
@BONGOINMOTION10 ай бұрын
Kwanini na serikali isijenge sheli zake?? Ili wakifanya mchezo tunaenda sheli za serikali!!
@mafurumatijo880310 ай бұрын
Hiki kiti alikiweza hayati Sokoine hawa wengine subili tuone kesho tu watamfunga mdogo!.
@emmanuelmlowe-ew7gx10 ай бұрын
Wazalishaji wamepunguza uzalishaji kwann hatu ongezeko mpango wa jpm na mseven kuwa na mafuta yetu? Akili zautegemezi zitauisha lini?
@pastorypetro686110 ай бұрын
Je ni kweli Kila mwezi mnaagiza mafuta???
@PeterIdan10 ай бұрын
Bora hata wewe biteko MUNGU akutie nguvu ucbadilike uwe nas
@AMBINHED10 ай бұрын
Serekali iwape ruhusa wafanya biashara waagize mafuta wenyewe wanajua wapi kuyapata kwa urahisi. Tatizo kuleta mafuta kwa pamoja kuna changa moto kubwa sana. Kama hamta fanya hivyo basi kila siku mtakuwa mnafuguza wafanya kazi Eruwa na kuajiri wapya na kutupiana lawama.
@casfeta-tayomikigomatochan980710 ай бұрын
Naibu waziri mkuu hapo kwenye gas pambana kabisa tutavuka
@mafurumatijo880310 ай бұрын
Ni kweli wanadhibiti maana wakiamua kudhibiti mafuta ya pande bei yana panda wakiamua wadhibiti yashuke yana shuka!!
@benignatairo472210 ай бұрын
Huyu Biteko ni kifaa na Magu alimwelewa saana Hana BAYA
@oscarkasalile396610 ай бұрын
Katika teuzi alizonifurahisha Rais ni kumteua Dotto Biteko
@emmanuelmakale585310 ай бұрын
Huku kwetu umeme haupishani na kibatari upepo ukipuliza tu unazima
@abubakarmaulidi974510 ай бұрын
Rais ajae
@mkiryamadebe767810 ай бұрын
Hamna lolote
@harrisonmariki111210 ай бұрын
Mhe Uko poa. Ila Kama mna nia ya dhatia kumsaidia upatikanaji na kwa bei nafuu, nashauri muwape wafanyabiashara uhuru wa kuagiza mafutapopote ilimradi Kodi zilipwe na tbs wahakiki viwango naamini lengo la serikali kuwapunguzia wananchi makali litatimia.
@bharyasarbjit118710 ай бұрын
Mhe Naibu Waziri Mkuu Chapa KAZI unayo idea na interest ya nyosha Vitu zilio Harbika. Umpe kila kazi time limit. Sisi Becco Ltd tume tengeneza Barabara kutoka kabiti mpaka Mloka wakati haipitiki kabisa Ku lekea Nyerere Dam wakati wa Marehemu Rais Mgufuli mpaka Leo hatuja lipwa na JV Arabs 11B.
@mwaaang10 ай бұрын
Mmenda mahakamani?
@nbanba713810 ай бұрын
Kiongozi ndio inavyo akiwa sababu uongozi nikulinda wana nch. Nahicho ndicho unakifanya ongera mh.
@belydonmbewa69010 ай бұрын
Dawa yake waruhusiwe kuagiza wafanyabiashara kila mmoja anako jua bei itashuka iwe huria badala yakuweka makampuni machache serikali ichukue Kodi tu nakuangalia ubora