MAAGIZO MAZITO YA NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO, ATINGA EWURA "WAPO WANAOVUJISHA TAARIFA".

  Рет қаралды 40,408

Millard Ayo

Millard Ayo

10 ай бұрын

Пікірлер: 81
@danielouma4475
@danielouma4475 10 ай бұрын
Huyu kiongozi alikuwa wapi? Hongera Mh. Rais Samia. Recognizing and identifying such brilliant leaders is completely a gift from our heavenly father God.
@alexmurithi1327
@alexmurithi1327 10 ай бұрын
He is a presidential material
@josephvenus3259
@josephvenus3259 10 ай бұрын
Chuma cha JPM havinaga longo longo. 🙌🙌🙌 Hii imeenda 💯 sasa kitaelewka
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 10 ай бұрын
Hongera Mhe Rais kwkumteuwa huyu MTU
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 10 ай бұрын
Huyu waziri namuona ipo siku ataja kuwa Rais wa Tz
@andrewmagwila1602
@andrewmagwila1602 10 ай бұрын
Mh waziri biteko Mungu akutunze sana maana kazi yako ni njema sana
@mrafm7285
@mrafm7285 10 ай бұрын
Fukuza ewura weka wanajeshi wasimamie ewura haohao ewura ndio wanaowaambia wenye madepot kuwa next month mafuta yatapanda au yatashuka Kwa hiyo ndio tatizo
@mzugigizzlelife6229
@mzugigizzlelife6229 10 ай бұрын
God bless u Hon Dr. Biteko
@husseinfemmy5035
@husseinfemmy5035 10 ай бұрын
Chuma icho like magu
@ephraimmakaranga1795
@ephraimmakaranga1795 10 ай бұрын
Yes my brother Mungu azidi kukupa hekima na busara ktk utendeji wako Kasi ulioanza nayo hakuna kulegeza wasiondana na wewe wakae pembeniMungu akubariki sana
@mustaphersamson6174
@mustaphersamson6174 10 ай бұрын
SAFI SANA NAIBU WAZIRI MKUU, MIKAKATI MIZURI.
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 10 ай бұрын
Kuna watu wakimsikiliza biteko wananuna kwa nyundo zake ila ukweli ukiwafatilia sip wazalendo tukumbuke mwisho wa siku tunakuw hivi☠️
@joojombi2341
@joojombi2341 10 ай бұрын
Bora kabisa Naibu Waziri, hao nawavunja sharia code of conduct. Wahamishe tu hapo Office
@magrethsindabaha1851
@magrethsindabaha1851 10 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@barakakitomary2936
@barakakitomary2936 10 ай бұрын
We nimasta my brother biteko Good job
@joelgeorgemwakajinga9479
@joelgeorgemwakajinga9479 10 ай бұрын
You are in charge big boss so just be aggressive on that...... Wanainchi wanaumia sana Chief .....EWURA WAMEZIDIWA NGUVU NA MATAIKUNI...... BIG BOSS tumaini letu ni kwako na si UWURA.... SO WE NEED UR AGREESIVNESS......
@henericomasanja
@henericomasanja 10 ай бұрын
Naona mwelekeo Bora wa Taifa letu🇹🇿🙏🙏🙏
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 10 ай бұрын
Dr Biteko Juma aweso Majaliwa Majaliwa Mchengerwa hawa Watu wakiungana warafika mbali Sana
@cadiaonesmo9660
@cadiaonesmo9660 10 ай бұрын
Aweso hovyo kwani Mwanza ziwa limekauka mbona maji shida
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 10 ай бұрын
We jamaaa mungu akuweke kuazia muonekano tu naonekana sio ndumila kuili
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 10 ай бұрын
Huyoo magufuli safii sana
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 10 ай бұрын
Ee mungu mpe uelewa mkubwa huyu mheshimiwa asije akabadilika akawa kibaraka, aendelee kutupenda hivihivi.
@user-fy3cy5fe6q
@user-fy3cy5fe6q 10 ай бұрын
Hawa ndio mawaziri tunawataka
@richardchawenda5938
@richardchawenda5938 10 ай бұрын
🙏🙏
@joojombi2341
@joojombi2341 10 ай бұрын
Naibu Waziri Mkuu
@yohanasiwingwa8544
@yohanasiwingwa8544 10 ай бұрын
Mkuu toa hao Mungu akupe mafunuo,kuondoa mwendeshaji,na wakuu wote wa idara
@simonkabuka9170
@simonkabuka9170 10 ай бұрын
Dr Biteko jihadhari. Unagusa sharubu za Simba.
@ajirahongoli840
@ajirahongoli840 10 ай бұрын
Mh. Wekeni ruzuku kwenye uwekaji wa system za cmg kwenye magari
@anthonymwandu2615
@anthonymwandu2615 10 ай бұрын
Mr president
@ephraimndelwa4073
@ephraimndelwa4073 10 ай бұрын
Hapa naona sura ya Magufuli kabisa
@johnnyahi4875
@johnnyahi4875 10 ай бұрын
Kweli ww nikiongoz
@godfreymbwambo4460
@godfreymbwambo4460 10 ай бұрын
MAKAMBA MPIGAJI ALISHINDWA KIDILI NA EURA😂
@ankoanko-zz7it
@ankoanko-zz7it 10 ай бұрын
Mh Rais wanao kusifia waogope sana
@tinolutonja8932
@tinolutonja8932 10 ай бұрын
hii
@user-gx9mv9oh5w
@user-gx9mv9oh5w 10 ай бұрын
Tukiwa na viongozi kumi kama huyu tanzania itafika mbali
@user-xg9ix9ex9h
@user-xg9ix9ex9h 10 ай бұрын
Naomba pambana kijana mchapa kazi pambana hata na wale wanaomtukana raisi wetu mtandaoni maana mwenzako tunaona amekaa kimya anawaangalia tu sijui ana maana gani aisee!
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 10 ай бұрын
Acha uchonganishi
@jeffkonki8279
@jeffkonki8279 10 ай бұрын
Muache huyo kipenzi Cha waarabu
@nesphorynyakunga1202
@nesphorynyakunga1202 10 ай бұрын
Biteko tulia hivyo hivyo mambo ya jisot wewe Kuna kitu utafik mbal😅😅😅
@emilynathanielluvanda8298
@emilynathanielluvanda8298 10 ай бұрын
Timua hao Nchi imenasa kwaajil ya wachache
@user-oc2ul4lk4g
@user-oc2ul4lk4g 10 ай бұрын
Unastahili,,,,,,,🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@nathanlusulo-po2lj
@nathanlusulo-po2lj 10 ай бұрын
Atakuwa rais wa tanzania baadae
@amosemmanuel31
@amosemmanuel31 10 ай бұрын
Umeme unakatika katika sana
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 10 ай бұрын
Maumivu ya bei za mafuta ni makali sana msmtafute mchawi punguzeni idadi ya kodo mlizoweka ktk mafuta zaidi ya aina 15 za kodi muweka hapo
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 10 ай бұрын
iv nikupongeze sana biteko ww unajua shida za wanannchi Yani ilifaa uyu ndo awe wazili mkuu
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 10 ай бұрын
Sio waziri mkuu tumpime tuone kama anafaa kuwa rais huko badae
@nbanba7138
@nbanba7138 10 ай бұрын
Mh. Ukaguzi pia ktk masheli Ukaguzi upite sababu hua wanaficha bidhaa.
@safarimayala
@safarimayala 10 ай бұрын
Seba welero akwighulhile makwuwa numhwe gwako gwanukwurwre nawelero tongelaga
@innocentraymond3301
@innocentraymond3301 10 ай бұрын
Hivi hii nchi haina akiba ya mafuta kama taifa! na kama ipo taasisi gani inasimamia hilo naomba kujua tu!
@andasonmdede5653
@andasonmdede5653 10 ай бұрын
Tunaishi Kama sio watanzania pambana waziri pia Bei yamafuta nikubwa mnoo matajiri wanatututesa kwakweli Hadi tunakosa imani na selikali nasio mafuta tuu na biza zingine kama nondo mabati sementi vipimo vimepungu sana na ubora pia nk
@simonsadala2386
@simonsadala2386 10 ай бұрын
Sheria za manunuzi zikibadilika pamoja na kuondoa utitiri wa Kodi za uagizaji bei ya mafuta itapungua otherwise mtaishia kupiga domo na mwisho hakuna mabadiriko yeyote yanayotokea
@pastorysent6586
@pastorysent6586 10 ай бұрын
Duh huyu jamaa alikuwa wapi kipindi chose hicho?
@geraldkweka2073
@geraldkweka2073 10 ай бұрын
Namuona raisi ajayo doto biteko Ana zile cheche na moto jpm
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 10 ай бұрын
Kiukwer navo jua mwez uh itashuka
@SalimAbdallah-tg1yo
@SalimAbdallah-tg1yo 10 ай бұрын
Bei ya mafuta inapanda kila kukicha mh naibu wazir mkuu tafuteni tatizo liko wapi kama kuna uwezekano hata kodi ipungue kidogo mafuta yashuke bei twaumia wananchi
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 10 ай бұрын
Kwanini na serikali isijenge sheli zake?? Ili wakifanya mchezo tunaenda sheli za serikali!!
@mafurumatijo8803
@mafurumatijo8803 10 ай бұрын
Hiki kiti alikiweza hayati Sokoine hawa wengine subili tuone kesho tu watamfunga mdogo!.
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 10 ай бұрын
Wazalishaji wamepunguza uzalishaji kwann hatu ongezeko mpango wa jpm na mseven kuwa na mafuta yetu? Akili zautegemezi zitauisha lini?
@pastorypetro6861
@pastorypetro6861 10 ай бұрын
Je ni kweli Kila mwezi mnaagiza mafuta???
@PeterIdan
@PeterIdan 10 ай бұрын
Bora hata wewe biteko MUNGU akutie nguvu ucbadilike uwe nas
@AMBINHED
@AMBINHED 10 ай бұрын
Serekali iwape ruhusa wafanya biashara waagize mafuta wenyewe wanajua wapi kuyapata kwa urahisi. Tatizo kuleta mafuta kwa pamoja kuna changa moto kubwa sana. Kama hamta fanya hivyo basi kila siku mtakuwa mnafuguza wafanya kazi Eruwa na kuajiri wapya na kutupiana lawama.
@casfeta-tayomikigomatochan9807
@casfeta-tayomikigomatochan9807 10 ай бұрын
Naibu waziri mkuu hapo kwenye gas pambana kabisa tutavuka
@mafurumatijo8803
@mafurumatijo8803 10 ай бұрын
Ni kweli wanadhibiti maana wakiamua kudhibiti mafuta ya pande bei yana panda wakiamua wadhibiti yashuke yana shuka!!
@benignatairo4722
@benignatairo4722 10 ай бұрын
Huyu Biteko ni kifaa na Magu alimwelewa saana Hana BAYA
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 10 ай бұрын
Katika teuzi alizonifurahisha Rais ni kumteua Dotto Biteko
@emmanuelmakale5853
@emmanuelmakale5853 10 ай бұрын
Huku kwetu umeme haupishani na kibatari upepo ukipuliza tu unazima
@abubakarmaulidi9745
@abubakarmaulidi9745 10 ай бұрын
Rais ajae
@mkiryamadebe7678
@mkiryamadebe7678 10 ай бұрын
Hamna lolote
@harrisonmariki1112
@harrisonmariki1112 10 ай бұрын
Mhe Uko poa. Ila Kama mna nia ya dhatia kumsaidia upatikanaji na kwa bei nafuu, nashauri muwape wafanyabiashara uhuru wa kuagiza mafutapopote ilimradi Kodi zilipwe na tbs wahakiki viwango naamini lengo la serikali kuwapunguzia wananchi makali litatimia.
@bharyasarbjit1187
@bharyasarbjit1187 10 ай бұрын
Mhe Naibu Waziri Mkuu Chapa KAZI unayo idea na interest ya nyosha Vitu zilio Harbika. Umpe kila kazi time limit. Sisi Becco Ltd tume tengeneza Barabara kutoka kabiti mpaka Mloka wakati haipitiki kabisa Ku lekea Nyerere Dam wakati wa Marehemu Rais Mgufuli mpaka Leo hatuja lipwa na JV Arabs 11B.
@mwaaang
@mwaaang 10 ай бұрын
Mmenda mahakamani?
@nbanba7138
@nbanba7138 10 ай бұрын
Kiongozi ndio inavyo akiwa sababu uongozi nikulinda wana nch. Nahicho ndicho unakifanya ongera mh.
@belydonmbewa690
@belydonmbewa690 10 ай бұрын
Dawa yake waruhusiwe kuagiza wafanyabiashara kila mmoja anako jua bei itashuka iwe huria badala yakuweka makampuni machache serikali ichukue Kodi tu nakuangalia ubora
@Rojamila-te3by
@Rojamila-te3by 10 ай бұрын
Wazili mkuu wa 2025 mtanikumbuka🚩
@praygodjohn5221
@praygodjohn5221 10 ай бұрын
Na mm nahisi Kama WAZIRI mkuu ajaye
@salamathiastz274
@salamathiastz274 10 ай бұрын
Rais ajae 2025
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 10 ай бұрын
Sasa itasalaimiaje ccm hoye kwani mkutano wa ccm?
@dilludillu2747
@dilludillu2747 10 ай бұрын
Ccm ndo boss wake
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 10 ай бұрын
Dolla ipo kuangshwa ko sometimes tupambane
Raila aelezea Rais Ruto alivyotaka msaada kwake
3:29
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 55 М.
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,3 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 22 МЛН
"KUPATA MADARAKA AU CHEO HAKUKUFANYI KUJUA KILA KITU" DKT. BITEKO
1:59
JPM: Biteko alikuwa anaichachafya serikali
1:47
Azam TV
Рет қаралды 6 М.
FULL SPEECH: Donald Trump speaks before the NABJ in Chicago
36:28
FOX 32 Chicago
Рет қаралды 379 М.
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,3 МЛН