MAAJABU: KILICHOTOKEA KWENYE NDEGE ILIYOMBEBA RAIS SAMIA AKIWASILI KATAVI, TAZAMA MPAKA MWISHO

  Рет қаралды 111,293

Uhondo TV

Uhondo TV

26 күн бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 136
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg 15 күн бұрын
Maajabu gani acheni wanga mungu mlinde mkuu wetu
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 24 күн бұрын
Huyo Mzee anamusujudia binadam mwenzake ama kweli huu utafutaji wa vyeo utatufikisha kubaya
@rahmaomar9137
@rahmaomar9137 25 күн бұрын
Allah akuhifadhi
@johnLaise
@johnLaise 10 күн бұрын
Chadema
@PaskaliPatiliki
@PaskaliPatiliki 24 күн бұрын
Mungu akulinde mama yetu kipenzi
@JonathanMGAIWA-ow4py
@JonathanMGAIWA-ow4py 25 күн бұрын
Kuna nini cha ajabu
@christinejojo7234
@christinejojo7234 11 күн бұрын
Sijaona kitu muache uongo
@ndabhiloleyesamwel9945
@ndabhiloleyesamwel9945 22 күн бұрын
Kwani Tanzania hatuna ndege ya Raisi?
@lilianmbeyu
@lilianmbeyu 17 күн бұрын
hayo maajabu ni gani mbona nimengoja kuona cjaona
@hamissalum8604
@hamissalum8604 24 күн бұрын
Nilichokiona mimi Rais hajawapa Mkono wenyeji wake waliompokea hiyo sio kawaida labda ndio jambo la kustaajabisha hapo!
@user-fb5tj5zy4z
@user-fb5tj5zy4z 24 күн бұрын
Shockup za tairi za mbele kwisha kazi😮😮😅
@WilsonLuchwele
@WilsonLuchwele 24 күн бұрын
Mbona wananchi kiduchu kwenye mapokezeki ya rais au mwigulu nchemba amewahamishia Burundi??!
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 24 күн бұрын
😂
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 24 күн бұрын
huenda wako burundi, maana msomi asiyejitambua
@yakobokuzenza6837
@yakobokuzenza6837 24 күн бұрын
Mlishazoea kulipwa ili mkajaze uwanja.Hakuna hela za kuchezea hapa
@celestinermantenga2463
@celestinermantenga2463 24 күн бұрын
Watu ni wengi karema ndo haijatengwa vizuri.
@alistairelias536
@alistairelias536 24 күн бұрын
Admin uwe unapanda ndege mara moja moja upunguze ushamba
@zuhramwavyoni8400
@zuhramwavyoni8400 23 күн бұрын
❤❤❤
@punnamalaba4445
@punnamalaba4445 22 күн бұрын
Maajabu gani yako hapo sasa , unatumalizis bando kwa upuuzi
@user-ot1ff7yq2l
@user-ot1ff7yq2l 24 күн бұрын
Peleka usenge mbali kwani aliosema ndege iungue ndo imeungua unavosema awekwe ndani
@robertzamani5612
@robertzamani5612 25 күн бұрын
Rais kwann unitumie barabara ukaona wananchi ukasikiliza kero zao sasa Kwa ndge kweli ungefanya kama Jpm
@NuhuMohammed-nu6ni
@NuhuMohammed-nu6ni 24 күн бұрын
Hawezi, anakula bata tu
@mwanabucheyeki226
@mwanabucheyeki226 24 күн бұрын
Ndege imetelekezwa kufanyiwa Service!
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 24 күн бұрын
Hawana Hela🤣🤣
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 25 күн бұрын
Hakuna hata watu na hao waliokuja wote hawaptaki hapo wanashangaa ndege tu
@songoroalamin3376
@songoroalamin3376 24 күн бұрын
Sfieni hata jambo moja jema hao waliopo sisimizi? Mchovu wa fikra MAMA chapa kazi wanakung'arisha tu na husda zao
@princepaschal9963
@princepaschal9963 24 күн бұрын
​@@songoroalamin3376wasifie lipi? Kuweka pembeni ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020. Ya kipenzi cha wengi Magufuli, na kuanza kujifanyia yakwao kama kisasi kwa wananchi.
@festokitule9727
@festokitule9727 24 күн бұрын
Ahh wap
@Abdallahsaid-e3k
@Abdallahsaid-e3k 15 күн бұрын
Maajabu gani
@seifathumanseif3681
@seifathumanseif3681 15 күн бұрын
Asa kuna maajabu gani? acha ushamba
@user-um5xx5ct7q
@user-um5xx5ct7q 24 күн бұрын
Hii ni tv ya kinafiki haifai hata kuangalia
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 24 күн бұрын
Kama unaona lahis fanya ya kwako tuone
@emmanuelsulle911
@emmanuelsulle911 24 күн бұрын
FISIEMU Watu wamewachoka Mno
@celestinermantenga2463
@celestinermantenga2463 24 күн бұрын
Mama yupo vizuri sana, 2025 atapita kwa kishindo kikubwa san. Mambo alofanya makubwa within a short time.
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 24 күн бұрын
#NONSENSE
@celestinermantenga2463
@celestinermantenga2463 24 күн бұрын
Tatizo, kuna mtu anadhani kuongoza taifa ni rahisi kama kuchimba viazi. Kama kuiongoza familia ya mke /Mme na watoto watu wanachemka. Leo mama yetu kafanya mengi na anaendlea kufanya anatokea mtu anajifanya haoni yaliyofanyika anaongelea eti mama anasafiri na ndege kubwa. Kwa hiyo alitaka atembee kwa miguu???
@RashidiDaudy-ez6zt
@RashidiDaudy-ez6zt 24 күн бұрын
ovyooo
@saruni5673
@saruni5673 24 күн бұрын
😂😂😂yapi
@hassan-sarumbo
@hassan-sarumbo 24 күн бұрын
no comment napita tu
@MohdAlsharjy
@MohdAlsharjy 24 күн бұрын
Ndegee shokap ya mbelee imekufaa
@lakiabalozi5633
@lakiabalozi5633 25 күн бұрын
Jengeni viwanja vya ndege mikoa yote khaa huu uwanja au airstrip
@alistairelias536
@alistairelias536 24 күн бұрын
Kwa abiria gani??
@abdulpagali7476
@abdulpagali7476 24 күн бұрын
Tumekwishajenga Chato. Mikoa mingine tunajenga airstrips ili kuokoa hela. Kwa sasa vipaumbele vipo kwenye ujenzi wa SGR, mitambo ya kufua umeme katika bwawa la Mwl. Nyerere, uwanja wa ndege wa Msalato, na bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Chongoleani. Insh'Allah, panapo majaaliwa, tutajenga SGR ya Mtwara hadi Mbamba Bay na matawi yake kwenda Liganga na Mchuchuma, tutaboresha reli ya TAZARA, tutajenga bandari ya Mbegani Bay, tutatekeleza miradi ya uzalishaji wa LNG, bomba la gesi kwenda Mombasa na Uganda, mbolea itokanayo na gesi asilia, tutajenga viwanja vya mpira kwa ajili ya AFCON 2027, tutajenga daraja la Bagamoyo hadi Zanzibar, tutajenga kongani kubwa za viwanda za Disunyala na Kwala. Subiri ubwede, Mama hana udogo. Mwakani tumpe miaka mitano ya kuonesha uwezo wake ili tufaida matunda ya kazi zake njema za kukuza uchumi wetu. Naomba KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉.
@mohammedabdallahalazri3238
@mohammedabdallahalazri3238 22 күн бұрын
Hivi kila Raisi akitoka safari ya nje anapokewa kwq shangwe?
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 24 күн бұрын
Mmmh balozi wa Shina😂🤣🧐🤣🥹
@deogratiaskatinda9232
@deogratiaskatinda9232 24 күн бұрын
Waandishi wengi wetu wa habari wa siku hizi ni wa hovyo tena hovyo sana
@emmanuelsulle911
@emmanuelsulle911 24 күн бұрын
Mbona hakuna Jipya? Afu watu wachache Ivo
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 23 күн бұрын
😅
@user-ot1ff7yq2l
@user-ot1ff7yq2l 24 күн бұрын
Ukiona mti anasema hivyo jua hana furaha wala imani na uongoz
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg 15 күн бұрын
Sasa unataka watu wajae uwanja wa ndege una siri gani na hao watu si kuna sehemu atakutana na wanainchi ataongea nao
@SanziNzige
@SanziNzige 24 күн бұрын
Magufuli bhana
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h 25 күн бұрын
Mnapendaga shida bila sababu, unashabikia vitu vya kishetani, unaombea ndege ingeungua ili iweje? Watu kama hao ni kuwasweka ndani ili liwe fundisho.
@user-xn1ly2yx7j
@user-xn1ly2yx7j 25 күн бұрын
Ni kweli kabisa ndugu anaombea ndege ingeungua moto jamani mama yetu kakosa nini ,mpaka kusubutu kuomba ivyo.jamani hakuna binadamu mwenye 100% kila binadamu anamapungufu yake.mtamkumbuka mama siku moja tumeshayaona nchi za watu.
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 24 күн бұрын
😂sukuma ndani
@prosperjohn2047
@prosperjohn2047 23 күн бұрын
Nilifikiri Imeanguka ikawaka, kumbe ipo
@RamaJumanne-lc9ve
@RamaJumanne-lc9ve 24 күн бұрын
Wananchi wapo nje ya uwanja awalusiwi kuingia wotee
@hugholinemmasi1671
@hugholinemmasi1671 24 күн бұрын
Ama kweli Elimu UCHUMI BADO SAANA AFRIKA.
@AnnoyedBooks-kn5pm
@AnnoyedBooks-kn5pm 22 күн бұрын
Gwanghana nulukubi
@user-tz8yn9uf2k
@user-tz8yn9uf2k 24 күн бұрын
Hii ndege ikitoka dar to mwanza inakula mafuta ya million 5, nenda irudi?
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 24 күн бұрын
Usiwe mjinga ww?sasa unataka Rais apande baiskeli? Kaa na chuki zako na zitakuua, bwege wee hii karne ya 21, nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu na uwezo wako wa kuchanganua mambo ktk karne hii ya maendeleo ya Sayansi na teknolojia.
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 24 күн бұрын
Viwanja vya ndege havina hadhi kabisa! Pesa zinatafunwa tu. Ila siku Rais anakuja utasikia sifa nyingi za pesa zimetolewa za miradi! Mama Mama Mama! Huku tukisikia mashule watoto wanakaa chini wanafunzi 1000! Unajiuliza Serikali ipo au wapo kwa majina???
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 24 күн бұрын
Mikopo na mitozo tu kuoga aaanha😂😂😂
@athumaniamiri880
@athumaniamiri880 24 күн бұрын
😢😢😢
@ZainabuBakari-yb4vj
@ZainabuBakari-yb4vj 24 күн бұрын
Nini
@The1979bornagain
@The1979bornagain 24 күн бұрын
Maajabu hapa ni kitu gani? Honestly, sijaona ajabu lolote mimi unless otherwise wewe mwandishi useme ni nini cha ajabu hapo
@WilsonLuchwele
@WilsonLuchwele 24 күн бұрын
Wee mwandishi habari uchwara!
@kajaymopao1672
@kajaymopao1672 16 күн бұрын
majabu gani njinga kama una content wacha kudanganya watu
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 24 күн бұрын
Maajabu yapi aasa ? Hii TV haina tofauti na TBC
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 24 күн бұрын
Hiloooo limeingizwa choo cha kike, ni biasharaa
@fadhilimoshi5754
@fadhilimoshi5754 16 күн бұрын
Mtandao wenu umekosa habari wezi wakubwa kuku nyie.
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 24 күн бұрын
Nilichoona chaajabu ni watu 77 wanampokea nanii laisi wa katiba
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 24 күн бұрын
😅
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 24 күн бұрын
Kwani huyo uliyekuwa unamwabudu si ni katiba hiyohiyo, acha chuki@ ujinga
@ZainabuBakari-yb4vj
@ZainabuBakari-yb4vj 24 күн бұрын
Mbona wengi unataka watu gani,toa hoja
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 24 күн бұрын
Mambo mengine ni ujinga mtupu vielelezo vya ovyo mnabidi mfungiwe
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 24 күн бұрын
Aaaaa,biashara...asinge andika kichwa cha habari chenye kiki,usingefungua...wewe ndo lishamba
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb 24 күн бұрын
Sirikali ya tz ??nunueni ndege ya urusia ya kubeba ma raisi nawatumishi wasirikali iwe mawaziri au wakubwa wa sirikali ni onyo yangu
@MsAggie5
@MsAggie5 16 күн бұрын
Ile ndege ya raisi aliyonunua mkapa imeenda wapi
@user-po9wi5lh1o
@user-po9wi5lh1o 25 күн бұрын
Ukimuombea mwenzio mabaya yanaweza yakaaza kutokea kwako
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 25 күн бұрын
Sio kweli kama yeye anawatendea watu mabaya mungu hawez kukupa hicho ulichosema kuzaa Kuna uchungu wake lakin fikiria huyu Rais mwanamke na kazaa lakin suala la ushoga kalinyamazia haongei Wala Sheria haitungwi wanatunga Sheria za kunyanyaswa Raia tu
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 25 күн бұрын
Kwa hiyo wengi huyo hatumuombei mazury maaana hawez kuongoza lakin anajifanya anaweza
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 24 күн бұрын
Nini Sasa kimetokea? kumanyoko zako wewe.. Ina maana unaombea ndege iliyombeba rais ipatwe na hitilafu au? Mbwa wewe na hiyo TV yenu ya kinafiki.. shetani ibilisi laana wewe
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 24 күн бұрын
😂
@hadijamfala390
@hadijamfala390 24 күн бұрын
Ndege kubwa hivi isingefaa kwenda huko katavi.
@benikillahjoseph3505
@benikillahjoseph3505 24 күн бұрын
Ndio ndege inayokuja katavi toka inunuliwe
@ahmedhamis
@ahmedhamis 24 күн бұрын
Unataka iende wapi?au kativi sio Tanzania?
@faridahalwaily85
@faridahalwaily85 24 күн бұрын
Duwa na kuombeanaaa mazuri ni manufaaa kwa wotee…tumshukuruh Allaah kwa kuwaleeeteenii rais mwema mwenye upendoo na hurumaa…..Aangaliyeeeni nchi na watu wenu Alivyoo watengenezeyaaaa Zidii kuiyoombeyeeni Amani na manufaa idumuh kuinukaa na kutengeneyaaaa…..
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 24 күн бұрын
Shule uliyosoma itakuwa ya ....
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 22 күн бұрын
@@faridahalwaily85 wanajuwa wapi hao manaswara Dada yangu?
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 25 күн бұрын
ila managing director wa shirika la ndege alifanya Rwanda airways ikaleta faida kubwa sana Rwanda kwa Kagame. ila Magufuli alivomuomba na kurudi Tanzania, Matindi ktk uoongozi wake shirika linakula hasara kila leo, na sio sababu ya uendeshaji wake lakini ni viongozi kumpelekea vimemo kila leo na watu wao kwenda bure safari zao..shida kweli. kijana wa watu anapata shida sana
@WilsonLuchwele
@WilsonLuchwele 24 күн бұрын
What is strange there?
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 24 күн бұрын
@@WilsonLuchwele you right i see nothing strange..the title is just misleading..i was just addijng my comment as far as the corporation is concerned
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 24 күн бұрын
RAIS FEKI WAMCHONGO 😅😅wa katiba
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 24 күн бұрын
Kuwa ww, fala wee, kamrudishe basi huyo godfaza wako
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 25 күн бұрын
Nilijua ndege imeungua kidogo nifuraiiiii
@AshaMwamba
@AshaMwamba 25 күн бұрын
Haaaaa
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 25 күн бұрын
Utasubiri sana yupo na Allah huyo
@mesuitozil1527
@mesuitozil1527 25 күн бұрын
Bwege kweli, fanya Kaz, pambana kutafuta Pesa hakuna Rais wa kukuletea Pesa nyumbani
@petermogha7025
@petermogha7025 25 күн бұрын
Mchawi nn
@kuchimillionaire6683
@kuchimillionaire6683 25 күн бұрын
Ufurahie nini?
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim 24 күн бұрын
Maajabu gani kenge wewe
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 24 күн бұрын
NDEGE YOTE HII KWA RAIS TUU NA WATU WAKE KWA NINI ASITAFUTIWE NDEGE NDOGO TUKAPUNGUZA MATUMIZI
@rajabukipara3008
@rajabukipara3008 24 күн бұрын
Upungize Matumiz kwan Hiyo pesa Inakuus!?.😊
@rajabukipara3008
@rajabukipara3008 24 күн бұрын
Kwana Unafaham NENO RAIS?
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 24 күн бұрын
Acha umaskini wa kifikra, babaako kajenga uwanja wa ndege chato, ni ndege ipi zinatua sasa, kakamata meli ya uvuvi tumelipa mabilioni ya pesa sa hasara ni ipi hapo? You dont have to be bias.
@Michael74540
@Michael74540 24 күн бұрын
I am blocking you
@stevendaudi39
@stevendaudi39 24 күн бұрын
Mbona madguard ya mbele imekatika😂😂
@anaabsaid3544
@anaabsaid3544 24 күн бұрын
Maajabu yako wapi hapo? Kuna youtuber wengine washamba kweli unazania nitafungu tene nani zako sorry
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 24 күн бұрын
Pumbavu. Mbona hakuna ajabu lolote zaidi ya mingoma. Miswahili kwa kupenda ngoma na kuabudiwa. Wenzenu walishaachana na upuuzi huu nyie mmeushikilia. Shame on this channel. Sitaifungua tena. Ni wavivu wa kufikiri.
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 22 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 29 МЛН
UTAPENDA VAZI NA VIBE LA RAISI MAMA SAMIA KWENYE HII HARUSI.
3:17
The Match That Made Zinedine Zidane Retire
14:37
BR7 Football
Рет қаралды 397 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode/15/ #love
50:40
BabaJoan
Рет қаралды 963 М.