No video

MAAJABU | MZEE ALIYE NA UMRI MKUBWA ZAIDI DUNIA, MIAKA 160 ANAYEPATIKANA FIZI DR CONGO

  Рет қаралды 11,080

Tanganyika TV

Tanganyika TV

Күн бұрын

Пікірлер: 61
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 3 жыл бұрын
160 years he must be in Guinnessworld record book
@MaryMary-df7eb
@MaryMary-df7eb 3 жыл бұрын
nawafatilia sana kutoka Canada kiukweli..yaani napata faraja sana ninapoona babu zangu japokua sikupataga bahati ya kuishi baraka ila one day inshallah 🤲nililelewa na bibi ambaye alikua naniadithia sana maisha ya baraka na huyu babu nakumbuka bibi aliwai kuniadithia enzi zao leo nashukuru nimemuona..dah rest in peace grandmum i miss u so much 😪😪😪😪
@wilsonmsenga6447
@wilsonmsenga6447 3 жыл бұрын
Miaka 70, ukipendelewa sana miaka 80.sasa hapo unasemaje.
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 3 жыл бұрын
Wandish gan hawa hawatafiri anavosema wandish WA ajabu
@papilumona1896
@papilumona1896 3 жыл бұрын
Ni mzee kweli lakini hana miaka zaidi ya 100
@andjelanikandolo6046
@andjelanikandolo6046 3 жыл бұрын
Mungu akulinde maisha mengine zaidi
@marierichard3074
@marierichard3074 3 жыл бұрын
Amen amen amen wow,Mungu akufikishie hadi 200
@imash04tv20
@imash04tv20 2 жыл бұрын
vichwa vya habari bwana hata hapo congo brazzavile hajawahi kufika anasema mzee mwenye umri mrefu zaidi upuuzi huu
@salehengelelo1667
@salehengelelo1667 3 жыл бұрын
Hongera Babu mungu akupe zaidi y’a miaka teleeee
@kadunawewe7248
@kadunawewe7248 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa umri mrefu babu
@BMCTV83
@BMCTV83 3 жыл бұрын
Mzee wangu bado ukingali chuma cha kukutana naye...Mungu wetú abecha bongwe aohelele.
@andjelanikandolo6046
@andjelanikandolo6046 3 жыл бұрын
Mungu wetu ni mwema Mungu akulinde tena
@byaondasadiki9980
@byaondasadiki9980 3 жыл бұрын
Babu yangu mungu azidi kukulinda
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 Жыл бұрын
Week sio muandishi mzuri hujui
@celestinealimasi4866
@celestinealimasi4866 3 жыл бұрын
Unaishi baba, kweli tunaye mungu anaye tujibu,mungu akupe maisha marefu kweli
@praygodmtui1407
@praygodmtui1407 2 жыл бұрын
Wewe mwandishi mshamba sans
@paulomrisho19
@paulomrisho19 3 жыл бұрын
Wow baraka kweli
@fatimahirakoze7311
@fatimahirakoze7311 Жыл бұрын
Babu ajui tena kitu jmn
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 Жыл бұрын
Wewe sio muandishi mzuri hujatafsir na hats hajui idadi ya watoto na mwanae was kwanza amezaliwa mwaka gani na familia Kwa ujumla Ili tuweke uino
@familykabange6328
@familykabange6328 Жыл бұрын
Kuishi long time ni nehema
@bayombejean3959
@bayombejean3959 3 жыл бұрын
Iyo sehemu alipo sema kua amezaliwa ni mji wazamani sana tokea wabembe hawafika tanganyika. Wangali milimani.
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 2 жыл бұрын
Kasomee uandishi hujui unasikia ww tu Unatia aibu Tanzania Angalia wenzio wanavotangaza
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 2 жыл бұрын
Acheni uongo.leteni habari za ukweli.!.
@mvanobilali8502
@mvanobilali8502 Жыл бұрын
izo habari nina mashaka na izo taarifa mlitumia kipimo gani kwa kujuwa iyo idadi ya iyo miaka NB:iyo miaka anayo taja ata mbembe wa kwanza ambae tuna mjuwa kufika fizi aja iyeneza.
@trofferehaya4010
@trofferehaya4010 3 жыл бұрын
Huyu mzee hajafikisha miaka 120 bado.
@wilisavage8204
@wilisavage8204 3 жыл бұрын
❤❤❤❤
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 Жыл бұрын
Wewe muandish usifanye kaz hiyo hujui Jmn tz musiwape kaz watu bila kupewa interview kuhakikisha anajua
@annakakozi1748
@annakakozi1748 3 жыл бұрын
Samahani kwakuwa sikutapa jina langu mimi ni Anna. nahishi Canada
@madjaliwalupangolubunga9869
@madjaliwalupangolubunga9869 3 жыл бұрын
Abarikiwe
@muragaraphilippe9087
@muragaraphilippe9087 3 жыл бұрын
Huyo mzee hana zaidi ya miaka 90-96 Kama Nelson Mandela ✍🏽
@nsajigwaburton
@nsajigwaburton 8 ай бұрын
ivyo uyo mzee na Mwinyi hawapishani
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 жыл бұрын
Nyinyi waandishi ni watangnyika kweli?au mnajifanyatuu?hatuelewi hiyo lugha, wala hakuna tafsiri
@vero57
@vero57 3 жыл бұрын
Kama hivyo kafanyeni DNA itakua kitu muhimu sana hogera babu
@hashimidrissa7189
@hashimidrissa7189 2 жыл бұрын
Hakuna mwandishi mshamba nilopata kumuuona kama hili jamaa, sasa kama hutafsiri yanayosemwa wewe si tahira tu. Mzee angeongea kwa vituo huku unaelezea alichosema
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 жыл бұрын
Uongo, huyo hana miaka hiyo,
@gracenjuguna809
@gracenjuguna809 2 жыл бұрын
M
@omaringulangwa3085
@omaringulangwa3085 3 жыл бұрын
Acheni uwongo uyo mzee hata miaka 120 ajafika
@salehaljadidi8206
@salehaljadidi8206 3 жыл бұрын
Kama Ana birth certificate muipeleke World Guinness Book ajulikane duniani pote.
@pendezabahombwa6377
@pendezabahombwa6377 3 жыл бұрын
Huyo mzee hata miaka 115 haja fikia à
@christopherkanyalakc8941
@christopherkanyalakc8941 3 жыл бұрын
We unajuaje
@Akaoka-nd9tz
@Akaoka-nd9tz Жыл бұрын
ACHANA NA WONGO TANGANIKA TV. MZEE ANA SEMA AJUWI MWAKA ALIO ZALIWA. VOUS VOUS BASEZ SUR QUOI POUR LUI DONNER 160ANS?? MZEE N’A PAS CET ÂGE LÀ. IL N’A MÊME PAS 100ans..///
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 3 жыл бұрын
Kama umeskia litombwe
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 жыл бұрын
Labda 120
@malcomx4067
@malcomx4067 3 жыл бұрын
Mbona hakuna sauti, please.
@Charlive225.
@Charlive225. 3 жыл бұрын
Mmm yaani muojiano ajui hata kuongea anaoji eti siri yakuishi nini mmmm fikiria kabla yakuhuliza swali
@iddishemi81
@iddishemi81 3 жыл бұрын
Bado nashangaa
@OneFa2526
@OneFa2526 3 жыл бұрын
Acha amaliziye tu
@mialanomangobo9356
@mialanomangobo9356 3 жыл бұрын
Abondelwa Mibula ya m’atú mikelele ya ng’ombe
@josephlubaba15
@josephlubaba15 3 жыл бұрын
Una uhakika gani kabla kutoa taarifa hii?
@annakakozi1748
@annakakozi1748 3 жыл бұрын
Jambo wandungu zangu kuna mtu ambaye anahitaji number yenu kwa ajili ya mzee
@TanganyikaTV
@TanganyikaTV 3 жыл бұрын
Tutafute WhatsApp Kwa maelezo zaidi +353 89 426 3576
@fatmakiruwasha2378
@fatmakiruwasha2378 3 жыл бұрын
Samahani jamani hirunga gani
@bayombejean3959
@bayombejean3959 3 жыл бұрын
Kibembe
@bayombejean3959
@bayombejean3959 3 жыл бұрын
Fatima kiruwasha .incho ni kibembe . Anasema ni mungu ndie aliemlinda na anaongeaga naye tokea ujana wake na alimulinda kwa kazi maalumu ya kulinda asili .wenzake wote walikufaga zamani .
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 3 жыл бұрын
Acheni utani nyie miaka150hawezikia hivyo acheni sifa za kikongo miaka150anasahau kila kitu na hua anabebwa tu
@bayombejean3959
@bayombejean3959 3 жыл бұрын
Wewe steve mwkisimba . Unaweza sema nini maana ya neema? Zamani kunawatu walifikisha miaka miatatu na kupitisha .
@wilsonmsenga6447
@wilsonmsenga6447 3 жыл бұрын
@@bayombejean3959 siyo chips mayai ya kisasa, hapo chakula asilia.
@josephlubaba15
@josephlubaba15 3 жыл бұрын
Habari nzuri Sasa , alijuaje mwaka wake wa muzaliwa? Ana vitambulisho ( certificat de naissance) sahihi ? Kama La, wewe journalist una ugali Ka gani Kabila ya kutoa hii taarifa?
@johnsatr9034
@johnsatr9034 3 жыл бұрын
Ni babu yangu mzaa baba ivyo vitabulisho nihuyo kaka yangu mdo anamsahidiya kuvichunga
@suleimanmustapha101
@suleimanmustapha101 3 жыл бұрын
Hata Kondoa Itololo wapo wazee wenye umri mkubwa, umri wao unakadiriwa kwa kuangalia wajukuu zao ambao nao ni wazee,kwa mfano unakuta mzee alizaa watoto 6 ambao wote wametangulia mbele na ana mkujuu kutoka kwa mtoto wake wa 6 ambaye kwa wakati huo ana miaka 80! Njia nyingine ni matukio makuu kama njaa,vita, magonjwa,n k vilivyotokea zamani, kwa mfano mtu anakumbuka vita vya dunia alikuwa na miaka 50 au zaidi, ukijumlisha hapo unakadiria umri wake!
@suleimanmustapha101
@suleimanmustapha101 3 жыл бұрын
Au zamani mtu anakumbuka nyakati za kutawazwa watemi yeye alikuwa na umri gani,ikijulikana mtemi alitawazwa lini wanajumlisha na kukadiria umri wake
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 3,1 МЛН
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 16 МЛН
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 42 МЛН
HAWA NDIO WANAWAKE 16 WALIOOLEWA NA MWANAUME MMOJA "ERNESTO"
15:28
Millard Ayo
Рет қаралды 107 М.
MTU ANAYESEMEKANA KUWA MWENYE UMRI MKUBWA ZAIDI DUNIANI
5:04
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 4,2 М.