No video

MAAJABU: NDEGE ILIYOPOTEA ANGANI/ABIRIA 227/KIKUNDI CHA MAUAJI /WAHUSIKA WATAJWA/INATISHA..| EP 10

  Рет қаралды 2,809

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

Ni makala yenye kuelezea kisa kilichojaa utata, na bado ni kitendawili cha ulimwengu mzima, ni baada ya tukio baya la kupotea kwa ndege ya abiria ya MALAYSIA AIRLINE MH370, ikiwa safarini kutokea katika taifa la MALAYSIA ikielekea katika taifa la CHINA ikiwa na zaidi ya abiria 200.
Bado ni mtihani wako wapi watu hawa?, na maswali muhimu kama iko wapi ndege hii? na tukio hili ukweli wake ni upi?
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#makala #malaysia #dupamdupange

Пікірлер: 25
@user-bq8rv7jm8v
@user-bq8rv7jm8v Ай бұрын
Première commentaire naomba liké zakutosha jamani kama tunamukubali uyu mwamba✌️✌️✌️ Dev ESINATI 🇨🇩🇧🇮 KAHILU
@omarkhelaifi5888
@omarkhelaifi5888 Ай бұрын
Nakubali🇧🇮🇧🇮
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 25 күн бұрын
Safii sana christian south africa 🇿🇦
@user-pi3ge3yu5t
@user-pi3ge3yu5t Ай бұрын
Kaka uko vzr san ktk uchambuz wahii stor maan weng wamesimulia hii stor ila hawakuchambua kam ww pia wale wot ambao hawaelew hii stor usikoment ujing wew kaush t maan hii stor haikuhus ww kaka piga kaz tunakufatilia san god bless you
@zainulahmed8206
@zainulahmed8206 Ай бұрын
Uko vizuri Dupa unaenda kisomi sana nakukubali
@josephmwirigi7718
@josephmwirigi7718 Ай бұрын
Kazi isonge kaka
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j Ай бұрын
Dupa usichoke unasikia kama hujachoka gonga like zinawasaidia nini 😢
@jumas3939
@jumas3939 Ай бұрын
Ndugu yangu kbsa dupa.Unapiga vizuri sana hii kazi
@markmushi8940
@markmushi8940 Ай бұрын
Niko italy nakufuatilia sana story ya hii ndege unajua sana kuadithia
@ShanceBose
@ShanceBose Ай бұрын
Powa
@marrypius576
@marrypius576 Ай бұрын
Ongera san naielewa sana hii story
@mtupeacetz2589
@mtupeacetz2589 Ай бұрын
😅😅😅KAMA UMEWAELEWA MASHUHUDA PIGA LIKE HAPAA😅😅😅😅😅
@mtupeacetz2589
@mtupeacetz2589 Ай бұрын
KAMA UJACHOKA KUFATILIA HII SIMULIZI GONGA LIKE HAPA.😊😊😊😊😊😊
@JosephGeorge-s1w
@JosephGeorge-s1w Ай бұрын
Hiyo ndo mbaya iyooo..🎉🎉🎉🎉
@MairaAlly
@MairaAlly Ай бұрын
Hadi mwisho
@FILBERTYONAMAILA
@FILBERTYONAMAILA Ай бұрын
sasa dupa umeshindwa kutafsiri sehem ya ushuhuda na story yako haiiishi tu
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Ай бұрын
Hiyo ndege hayo mabaki ndio yake sema manyang'au wanakataa kwa sababu kutafuta c pesa nyingi wanapata hivyo serikali ya Malaysia akili zao zimelala wataliwa sana pesa
@ErickMkasas
@ErickMkasas Ай бұрын
Bro Dupa naomb kuuliza kama ndo mabki ya ndege kwann mait za wale abiria azikuwai kuonekana...? Ili wapime DNA.
@user-uo6dy9qx2p
@user-uo6dy9qx2p Ай бұрын
Malizia 😢kilasiku tunaruka tume😂
@LugyPlan
@LugyPlan 25 күн бұрын
Sema ume sio tume
@paramaa5839
@paramaa5839 Ай бұрын
Mm sahv siangalii mpaka umalize hii story sku nikirud xx nikubadilisha tu kama ep zakikorea😫😫☹️☹️😡😡😤😤Why Why whyyyyyyyyyyyy iiiii Between my sm u re passing through I hate uu uu uuuuuuuuuuuu!! 😋😏nyau kabsa, bora kula dagaa kwenye aman kuliko__________
@elmiaxmed6870
@elmiaxmed6870 Ай бұрын
Huna lolote kuvuta stry ili upate views 2 unashindwa kumaliza stry bure kbsa
@mwanetu
@mwanetu Ай бұрын
🦾
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 48 МЛН
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 2,9 МЛН
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 42 МЛН
KWAHERI PROF MAJI MAREFU, AACHA WAKE WAWILI NA WATOTO 12
6:05
Mwananchi Digital
Рет қаралды 91 М.
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 48 МЛН