MAAJABU YALIOMO NDANI YA AL QAABA | SIRI 8 USIZOZIJUA

  Рет қаралды 66,133

AQ ONLINE TV

AQ ONLINE TV

Жыл бұрын

Follow Us On:
FACEBOOK:
/ aqonlinetv
INSTAGRAM:
aqonlinetv?utm_...
TWITTER:
/ aqonlinetv
WHATSAPP:
chat.whatsapp.com/LTkso2pn287...
TIKTOK:
vm.tiktok.com/ZSJKAVXxK/
TELEGRAM:
t.me/aqonlinetv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Aq Online Tv. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.

Пікірлер: 138
@mrabdultv8356
@mrabdultv8356 8 күн бұрын
Eee Mola wangu mlezi nakuomba nami unijaalie na vizazi vyangu siku moja kabla kufa tuweze kufika katika nyumba yako tukufu tufanye ibada tutekeleze nguzo uislamu amin amin amin ya Rabbi
@aminaanyoso7648
@aminaanyoso7648 7 күн бұрын
Ameen
@fazer01tv6
@fazer01tv6 4 күн бұрын
Amiin thumma amiin
@YasinihamisiOmari
@YasinihamisiOmari 3 күн бұрын
Ameen
@Mwanaisha-re3qe
@Mwanaisha-re3qe 2 күн бұрын
Allah akbhar alhadhullilah, Allah akbhar alhadhullilah,Allah akbhar alhadhullilah rabbil al ameen
@omarramadhan-qk4zj
@omarramadhan-qk4zj 2 күн бұрын
Amiinn
@jokhasaid429
@jokhasaid429 3 күн бұрын
Allah anijalie mimi na kizazi changu pilate fursa ya kuingia ndani ya mji mtakatifu kwa ibada na atusamehe tulioyakosea Amin
@kinanaomar
@kinanaomar 8 күн бұрын
Masha’Allah namuomba Allah (SWT) anifikishe mimi na vizazi vyangu na waumini wa kisilamu ambao hawaja jaaliwa kufika hapo Amin Allahuma Amin Ya Rabil Alaamin 🤲🤲🤲
@omarramadhan-qk4zj
@omarramadhan-qk4zj 2 күн бұрын
Aminn
@user-ot4mn2sl5w
@user-ot4mn2sl5w 12 күн бұрын
Mashaallahu mumngu ametujaalia vitu vizuri ukiomba kwa alkaaba unafayikiwa lakini wengine hawaridhiki mpaka aende kwa mganga,ndio aridhikee.,hii niukosefu waimani uchamungu Allah anaweza kilakitu mtegemeani yeye.,
@OmanOman-l7p
@OmanOman-l7p 2 сағат бұрын
Ya Allah nijaalie Mimi na wazazi wangu na ndugu zangu siku Moja tuende hijja biidhni llah
@SamSubg-ec9qp
@SamSubg-ec9qp 2 күн бұрын
InshaALLAH mungu atujaalie wepesi tuwe miongoni mwa kwenda kuzuru alkaaba
@halimamremi5375
@halimamremi5375 4 күн бұрын
MASHAALLAH!! MASHAALLAH!! MASHAALLAH!! EWE MOLA WEYU UTUFIKISHE NASIS INSHAALLAH!!❤❤❤
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 5 ай бұрын
Allah na sisi Yaraby utufikishe huko tukaone kwa macho yetu Yaraby
@rozinangeti4996
@rozinangeti4996 9 күн бұрын
InshaAllah utafika
@shabanizayumba5432
@shabanizayumba5432 7 ай бұрын
Insha allah,mungu atupe kheri na afya njema waislamu wote wapate bahati ya kufika makka kuhiji
@muniraramadhan9097
@muniraramadhan9097 10 күн бұрын
AMIN THUMMA AMIN SOTE
@user-ot4mn2sl5w
@user-ot4mn2sl5w 12 күн бұрын
Allahu Akbar mashaallahu mambo mazuri kama haya mnatakanini waja wamungu munamwendea kwaganga Allah ashawapa utukufu huo munamkasirisha nguvu,nautukufu nauweza wa toka kwa Allah.,
@CelinaKimu
@CelinaKimu 12 күн бұрын
Mashaallah Allah atujalie kheri hapa Duniani na kesho akhera
@habiybothman3286
@habiybothman3286 2 күн бұрын
Yaa Allah nakuomba kabla ya mauti kwa huruma na rahma zako nisujudu ktk ardhi yako tukufu
@Official83640
@Official83640 8 күн бұрын
Kuna watu hd leo wanajua hilo ni kaburi la mtume Subhannallah Mungu atufanyie wepesi tufike ktk nguzo ya 5 ya uislam
@awadhally1052
@awadhally1052 Күн бұрын
Amiin
@user-jo7gv5ui6h
@user-jo7gv5ui6h 9 күн бұрын
MashaaAllah Allah atujaalie tufike huko tuliokua hatujafika inshaa,Allah
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c 10 күн бұрын
Mashaa Allah n jamno lakujivunia kwa Waislaam, Alhamdulillah
@user-kn7fz5ed6z
@user-kn7fz5ed6z Күн бұрын
Machallhah , alhah naomba nafasi yakufika huko
@user-te7sq5hl4d
@user-te7sq5hl4d 6 күн бұрын
Mungu atujalie heri waislamu sote nshallwa tukaone pepo ya mtume mohamadi
@FahmiyTafro-fx3dj
@FahmiyTafro-fx3dj 7 ай бұрын
Allah akubarik na kutubarik sote kwa uwez wa Allah (s.w)
@user-jo7gv5ui6h
@user-jo7gv5ui6h 9 күн бұрын
Na awatagabalie towba zao walio fika huko Aamiin
@HadijaRamadhani-s8m
@HadijaRamadhani-s8m 2 күн бұрын
Shukran
@byrongamble6737
@byrongamble6737 8 күн бұрын
MASHAALLAH❤❤❤❤
@sharifally7958
@sharifally7958 9 күн бұрын
Mashaallah mwenyezi mungu atujaalie nasi tufike il8 tutubie zambi zetu
@hamadkaihamad4169
@hamadkaihamad4169 9 күн бұрын
Ya Allah nijaalie niwe miongoni mwa watakaokwenda kuhiji katika katika nyumba yako tukufu iliyoko Makka kwa ikhlas
@hamadkaihamad4169
@hamadkaihamad4169 9 күн бұрын
Aamina
@skjjsj1889
@skjjsj1889 4 ай бұрын
Ma sha allah Shukran kwa kutujuza Tusiyoyajua
@nifasiha7918
@nifasiha7918 9 күн бұрын
Mashaallah mungu atujalie tufike alkba
@user-lq4gz1yd7g
@user-lq4gz1yd7g Күн бұрын
Hii ya zaman ya sasa inagaa kweli kweli marumaru balaa kisha ndani kuna kama kaba ndogo wanafunguwa kisha kama kunamatofali na udongo ila kimejengewa kama kisanduku ndio nini kile kisha kama inamadirisha mazuri au so kaaba ya maka ile
@user-ve6pj5uc2g
@user-ve6pj5uc2g 10 ай бұрын
Mashallah shukran kwa kutujulisha 🥰🥰🥰
@BeatriceLongelesh
@BeatriceLongelesh 29 күн бұрын
Inshallah tupate ujira kutoka Kwa Allah
@MurshidMMussa-bz2yo
@MurshidMMussa-bz2yo 11 ай бұрын
Mashaallah mungu atupe kheir njema sote waislam na atupe Pepo yake kwa ridhaa yake
@halish
@halish 11 ай бұрын
Amiin ndungu yngu 🤲🤲🤲 ya Allah tuelkeze kw njuwa a sahihi
@Fildaus6306
@Fildaus6306 10 ай бұрын
Amiin🙏
@jamilamkunga234
@jamilamkunga234 10 ай бұрын
Allahumma aaamin
@AminaAbdul-ke6wi
@AminaAbdul-ke6wi 3 ай бұрын
Mashaallah mungu atupe kheri njema sote waislam na atupe pepo yake Kwa ridhaa yake amiin
@yakubkhan5183
@yakubkhan5183 11 күн бұрын
Allahumah aaaamn 🙏
@MeraiOmar-ok8bo
@MeraiOmar-ok8bo 9 күн бұрын
Mashaallah Allahu Akbar ❤❤❤🎉
@jauzatyabdallah6748
@jauzatyabdallah6748 Жыл бұрын
Shukran sana kwa kutujuza
@user-nd7sy9kk6h
@user-nd7sy9kk6h Жыл бұрын
Shkran
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 2 ай бұрын
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI QABRI
@abdurazacknyambwa2997
@abdurazacknyambwa2997 Жыл бұрын
mashaalla shukran kwa kutujuza
@FaridaAlita-jx6lt
@FaridaAlita-jx6lt 10 күн бұрын
Mashallah tabarakallah❤❤❤❤
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 6 күн бұрын
ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH YA Allah
@aligermano3615
@aligermano3615 11 күн бұрын
Masha Allah
@isaaabdala7016
@isaaabdala7016 3 ай бұрын
Ndege..haipiti juuyake Wana.anga wote.hutegemea Alkaba.sababu ya.mawasiliano sababu yenyewe imevuka wanapo ishia wao pia inalindwa.na Mataifa Yote makubwa.kama.marekani.uingereza ufaransa.ujerumani kama.mungu ailivyosema
@selemanichambo2944
@selemanichambo2944 9 күн бұрын
Si jambo la kujivunia kulindwa na nchi hizo, kwa Mwenye uelewa nadhani Allah anatosha kuilinda
@user-mo6tr3yt3m
@user-mo6tr3yt3m 5 ай бұрын
Allahu Akbar
@jamilahali-jg8er
@jamilahali-jg8er 8 күн бұрын
Ma sha Allah
@SUZANASUZANA-ku3jk
@SUZANASUZANA-ku3jk 2 ай бұрын
Shukran mubarikiwe
@mustaphamatelefone-lc9pr
@mustaphamatelefone-lc9pr 11 ай бұрын
Allahu akbar 🥰😘
@IbrahimAbuhendi
@IbrahimAbuhendi 2 ай бұрын
Amin
@MariamOmari-vy7ko
@MariamOmari-vy7ko 11 күн бұрын
Mashallah 🥰🥰
@twalibnurdin4494
@twalibnurdin4494 10 ай бұрын
Mashaallah
@noffalsalim
@noffalsalim Жыл бұрын
Mashallah
@radhiaaboubakari4619
@radhiaaboubakari4619 10 күн бұрын
Mashaalah
@AbdallahOmary-pm5et
@AbdallahOmary-pm5et 9 ай бұрын
mimi nasema asanteni kwa kutufahamisha tusiyoyajuwa
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 7 ай бұрын
Allah akbar 🙏🙏
@amanialjunaibi674
@amanialjunaibi674 Ай бұрын
Mashallaah
@muhammadiabassi656
@muhammadiabassi656 9 күн бұрын
اللهم آمين آمين آمين يارب العالمين
@user-fi3gv3jq6f
@user-fi3gv3jq6f Жыл бұрын
Allah akbar
@hemedsaidi9388
@hemedsaidi9388 Күн бұрын
Sisi mashia tunasema al Qaaba tukufu imeghalifiwa sana ìmeharibiwa na utawala wa kiwahabi
@user-tl2ks4fl4h
@user-tl2ks4fl4h 4 ай бұрын
Alhamdu lillah
@user-cw6jq7cv2k
@user-cw6jq7cv2k 9 күн бұрын
Maash Allah mungu atupe uwezo wakwenda hajj pia kuona Kwa macho yote yaliomo huko. Hakika bahati
@rizikimikidadi6879
@rizikimikidadi6879 9 күн бұрын
❤❤❤
@KassimJabu
@KassimJabu 6 күн бұрын
Nijaalie nami niweze kufika huko
@AbdallaMwaguzo
@AbdallaMwaguzo 12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@ashahamad-mq3iz
@ashahamad-mq3iz Ай бұрын
Yaraby na sisi utupe uwezo wa kufika huko tukajione kwa macho yetu
@ashamkesa979
@ashamkesa979 10 күн бұрын
Inshaallah
@user-mo6tr3yt3m
@user-mo6tr3yt3m 5 ай бұрын
Akbar
@issakakolwa
@issakakolwa 8 ай бұрын
Subhannallah😂.
@HassanAli-do9iz
@HassanAli-do9iz Жыл бұрын
Subhannallah
@isaaabdala7016
@isaaabdala7016 3 ай бұрын
Majitu.majinga ni mengi sim.wanazo.lakini kufatilia mambo.ya dunia mnashindwa.uliza.watu wanaokwenda.mwezini.nnini.kinawasaidia kushuka duniani.kama.sio .kaaba.mtabisha kila.kitu kwa.upumbavuwenu
@fatumamsellem7622
@fatumamsellem7622 Жыл бұрын
Shukran sana kwa kutoonesha Lakini hujatuonesha hilo jiwe lenyewe hilo jiusi
@NasraSaid-qc5hf
@NasraSaid-qc5hf 8 ай бұрын
Ndiohapo namimi nauliza
@Elizanjeri133
@Elizanjeri133 6 ай бұрын
Jiwe liko upande wa nje na alizingitia yaliomo ndani
@hamisahtuman5595
@hamisahtuman5595 6 ай бұрын
Jiwe kamela imeshindwa kuliona au uongo?
@godwinmsuya6080
@godwinmsuya6080 2 ай бұрын
Alfu lela ulela
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 15 күн бұрын
Kwa vipi vitu hivi viwe siri, kwani vimevichwa ?
@bonifaceomallya9201
@bonifaceomallya9201 27 күн бұрын
0:02
@SangaleSugume
@SangaleSugume 3 ай бұрын
We Sema hadith tu subir had ufe utaamin siku yake
@NasraSaid-qc5hf
@NasraSaid-qc5hf 8 ай бұрын
Jiwe jeusi likowapi?
@osamamokili6871
@osamamokili6871 7 күн бұрын
Jiwe aliko ndani liko nje
@halish
@halish 11 ай бұрын
Naomb kuona kaburi LA mtu saw saw saw
@omaar5693
@omaar5693 10 ай бұрын
mtu swa swa swa ndio nani?😢😢😢
@Saidy-eu1hc
@Saidy-eu1hc 25 күн бұрын
Mtume kazikwa maka situmeonyeshwa alikaba
@user-ix4fv2nj2v
@user-ix4fv2nj2v 4 ай бұрын
Lkn hizi zote ni hadisi 😂
@abubakarshamuhuni3894
@abubakarshamuhuni3894 Ай бұрын
Kitu unakiona
@PeterChengo
@PeterChengo 9 күн бұрын
Kumbe jiwe lili jegwa Wala halikushuswa kama wanavyo dai nduguzetu
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 9 күн бұрын
Wewe mpuuzi huo utumbo wako unaoongea umezungumzwa wapi hapo? Tambua hiyo nyumba aliyeijenga ni Abraham na mwanawe Ishmael, Abraham ni baba wa imani ktk Bibilia na ktk Qur'an. Wakati wanajenga hiyo nyumba waliyosema hiyo nyumba yake Mungu, hilo jiwe lilikuwepo na yeye ndiye aliyejua kuwa limetoka kwa Mungu Muumba. Sasa yeye Abraham amesema hivyo na hiyo nyumba kajenga yeye nwenyewe, je wewe ni kama nani unayepinga?
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 9 күн бұрын
Ndugu zako kina nani waliosema? Jiwe lililitumiwa na nabii Ibrahim kujua kua ndipo mahali alipooteshwa na MUNGU linaonekana kwa nje kwenye kipembe cha hiyo alkaaba, yani pale pale alipoliacha nabii Ibrahim, nabii Muhammad alifanya uboreshaji pamoja na maswahaba wake waliliondoa na walipo maliza walilirudisha, kwa sasa limejengewa kwenye kipembe kwa nje ,yani sehemu inaitwa MAKAN IBRAHIM
@daudimichael7338
@daudimichael7338 3 ай бұрын
Hizo nakshi aliweka Ibrahim na mwanaye Ismaili? Nauliza tu.
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 9 күн бұрын
Uneambiwa ziliwekwa na mfalme wakati wa utawala wake au hukuskia? Kwani ata henzi za mtume huo smikiti ulikua hivyo?
@ngurukitv4584
@ngurukitv4584 22 күн бұрын
Good job bro follow back God I love you ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@bonifaceomallya9201
@bonifaceomallya9201 27 күн бұрын
Watu waongo sana
@saumbliz8983
@saumbliz8983 18 күн бұрын
Wewe mkweli tuambie
@salumahmadasalum1556
@salumahmadasalum1556 10 ай бұрын
NITUMIE NAULI NIENDE NIKASHUHUDIE NIKAONE KAMA NI KWELI UNAYOYASEMA IKIWA NI KWELI NTAKURUDISHIA PESA ZAKO
@bonifaceomallya9201
@bonifaceomallya9201 9 ай бұрын
Wapumbavu ni wengi wanaamini kabisa wakifa wanaenda peponi tena Pepo ya kiarabu 😂😂😂😅😅🤣😂😂😂 mamaeee Africa siku tukija shtukia michongo ya wazungu na waarabu hata hizo hela za waafrica kwenda kuhiji uko watazikosa
@user-gs2wv1cc1b
@user-gs2wv1cc1b 5 ай бұрын
allah akufanyie wepesi utoke kwenye ilo giza
@mhandomhina5503
@mhandomhina5503 16 күн бұрын
Uarabu si Uislam na Uzungu si Ukristo . Hata yule alisoma historia shule ya msingi atagundua dini ipi iliyokuja Afrika kwa mlengo tofauti wa kidini isipokuwa uwakala kwa ajili ya dhuluma ya wakoloni ambao athari zake mbaya kila mtu anazijua juzi jana na leo hii inavyotukandamiza . Tusijifiche Kwenye kichaka cha Uzungu na Uarabu tujadili Kwenye dini ipi ? Leo hii Kuna mali zetu kibao zinachukuliwa bure lakini watu fulani wenye chuki na upande fulani ambao kwao kufundisha kuchukia dini fulani ni kawaida lakini utashangaa papo hapo wanawaubiria watu wao upendo eti! Pia watakuelezanchi zao za Afrika zinauzwa na viongozi lakini nyoyo za haziumii pindi taasisi zao za Imani zinavyopata manufaa ya kiuchumi bila huruma dhidi ya nchi zao na kwao ni sawa tu hakuna kelele hakuna matata. Haya ni MATOKEO ya mlengo uliowaleta na kupata makuruta walioenea Kwenye serikali zetu ambao hakuna kuhoja baba mkuu kila anachochukua .....
@Maymuna-wc8lz
@Maymuna-wc8lz 11 күн бұрын
Mapovu yatawatoka Wengi,,, naww si utaenda Mbinguni kwani shida iko wap??
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 9 күн бұрын
Pilipili iko shamba inakuwashia nini? Hizo zako pesa nendea mbinguni kwa wazungu, hujajua kua mpumbavu utakua wewe siku hiyo?
@Maymuna-wc8lz
@Maymuna-wc8lz 9 күн бұрын
Kweli wewe ni Kenge,,, Hizo pesa zako Kanunuwe Madanguro
@abdallahbrek1698
@abdallahbrek1698 11 ай бұрын
Hayo si maajabu ukiwa na pesa unaweza kujenga nyumba kwa mawe ya dhahabu. Hiyo Kaaba si chochote bali ni mabaki ya upagani wa waarabu wa kabla ya uislamu ambao unafuatiliwa hadi leo
@NasraSaid-qc5hf
@NasraSaid-qc5hf 10 ай бұрын
Weweusrseme Usiyoyajuwa Wewekafirituuuu
@jumamkoka2267
@jumamkoka2267 10 күн бұрын
Ndugu fanya utubie...
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 9 күн бұрын
Ilijegwa na nabii Ibrahim ,huyo kwako ni mpagani? Sio lazima uchangie usiyoyajua, hau unaona ufahari kwakua wewe ni mpagani basi unadhani utaambatanisha ibada muhimu na huo upagani wako?
@isaaabdala7016
@isaaabdala7016 10 ай бұрын
Unaijua?au.unakufru munngu nikuongezee ndege haipiti juuyake mawasiliano yamevuka mbingu ya7 Kaulize.uwambiwe usidharau tu ni ujinga
@EmileMukolo-fd3gy
@EmileMukolo-fd3gy Ай бұрын
Waarabu Bana wanajuwa kutafuta pesa eti nyumba tukufu eti ilijegwa n'a adamu vichekesho kabisa
@bintikhamisi7806
@bintikhamisi7806 12 күн бұрын
Ni wazi hujaskiza yaliyosemwa Kwa video hii Wala hujasoma. Ignorance is the main reason why people fail in life. Religion came to us from middle east and those are the people God chose whether you agree or not
@user-qx2ei7bc9e
@user-qx2ei7bc9e 11 күн бұрын
Ww acha kuchomeka maneno yako kama hujui kaa kimya🤫🤫
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 11 күн бұрын
Mtangazaji ni professional Lugha ya Kiswahili uko sawa.
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 11 күн бұрын
Wewe hata hujuwi nini maana ya nyumba tukufu unadhani Mapinduzi na Mikutano yenu tu ni mitukufu hapo mnakosea. Na kama unasema WaArabu wanajuwa kutafuta pesa basi na nyinyi fanyeni juhudi wa Africa/Tanzania muitafute hiyo pesa kama rahisi. Usi comments mambo usiyo yajuwa mengine yanakuwa hayakuhusu wewe. Vichekesko kama wewe unavyo chekesha…..
@user-es9mf7yh7w
@user-es9mf7yh7w 9 күн бұрын
Weni mwehu kabsa soma uislam syo utukan
@ASHAFAIDA
@ASHAFAIDA 6 күн бұрын
Inshallah Allah atufanyie wepesi Kwa uwezo wake.
@CelinaKimu
@CelinaKimu 12 күн бұрын
Mashaallah Allah atujalie kheri hapa Duniani na kesho akhera
@JajiNaziri-ph8gq
@JajiNaziri-ph8gq 11 ай бұрын
Shukran
@yusufsadic2930
@yusufsadic2930 7 күн бұрын
Masha Allah
@UMMYYFATMA
@UMMYYFATMA 6 күн бұрын
MASHAALLAH ♥️ ♥️
@Husseinyahaya-co6ci
@Husseinyahaya-co6ci 3 ай бұрын
Mashallah
@user-jg4vq8fk6j
@user-jg4vq8fk6j 12 күн бұрын
Mashaallah
@AliJuma-qo7bu
@AliJuma-qo7bu 13 күн бұрын
Mashaalah
@Fildaus6306
@Fildaus6306 10 ай бұрын
Allah akbar
@majaliwadjuma7113
@majaliwadjuma7113 9 ай бұрын
Allah akbar
KISA CHA ALKAABA NA HISTORIA YAKE //SHEIKH OTHMAN MAALIM
20:52
arkas online tv
Рет қаралды 16 М.
KIMETOKEA NINI BAADA YA KUFA HAMZA- SIMBA WAMUNGU - DR SULE
30:12
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 42 М.
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 170 #shorts
00:27
MEU IRMÃO FICOU FAMOSO
00:52
Matheus Kriwat
Рет қаралды 38 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 40 МЛН
MAKALA YA JINSI YA KUFANYA HIJJA    Na Sheikh Nurdin Kishk , 2024
21:44
Tarbiyatul - Islam
Рет қаралды 5 М.
GEN Z WAKUTANA USIKU WA MANANE WATOA TAMKO KALI NA MASHARTI MAGUMU KWA RUTO
10:30
MAAJABU USIYOYAJUA KUHUSU MAJI YA ZAM ZAM
2:32
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 18 М.
KISA CHA ALKAABA NA HISTORIA  YAKE N0 2 ///SHEIKH OTHMAN MAALIM
46:38
arkas online tv
Рет қаралды 12 М.
Haya ndio maajabu ya Mlima wa Arafa
3:55
IBN BATUTA TV
Рет қаралды 25 М.
когда повзрослела // EVA mash
0:40
EVA mash
Рет қаралды 3,2 МЛН
The end for King Kong's bully #funny
1:00
Sơn Hero
Рет қаралды 9 МЛН
Щенок Нашёл Маму 🥹❤️
0:31
ДоброShorts
Рет қаралды 6 МЛН