hellow!!!wellcome to my official youtube channel HEMEDY CHANNEL....HERE YOU WILL SEE ALL MY MOVIES,BONGO MOVIE TANZANIAN MOVIES....THANK YOU
Пікірлер: 788
@user-ko2jj4et1e5 ай бұрын
Watu waburundi naomba tujuwane basi haki chande unapendwa sana kwetu
@Newfacekaboss4 ай бұрын
Sana turamwemera cane
@princessphena88635 ай бұрын
Hemedy kwa kweli napenda movies zako pamoja na wewe mwenyewe ❤much love from kenya🇰🇪
@tima56795 ай бұрын
Nimeipenda adi nimeshare kwa ddngu❤😂😂😂
@UmukunziRamura-ur9zc5 ай бұрын
Hemed napenda sana movies zako sana tena nae nakupenda Sana kipenzi Mungu akurinde 🙏
@user-bu1rd4nc5z4 ай бұрын
Hata mimi nakupenda
@user-bu1rd4nc5z4 ай бұрын
Vp
@to00ofh4 ай бұрын
Vipi pat two tupeni pat two tumeipenda sana
@AnordFrugenci4 ай бұрын
❤❤jaman nipe xili yamafanikio
@johnwaweru94593 ай бұрын
Mmwah
@AshuraAmisi-ey4mj5 ай бұрын
Hemedy nakupendaga bure Kaka yangu mwenyezi mungu awe pamoja na ww kwenye kazi zako ❤
@JuxOmari5 ай бұрын
Bro wewe ni zaidi ya wajuzi kk kwa kweli unajuwa maanisha brother Congo 🇨🇩 tuko pamoja nawe sana my brother 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏
@user-qf1yr5mv3h5 ай бұрын
Mwamba unajua sana so poa ujawai kufel labisa❤❤❤
@onesmongulo37705 ай бұрын
Hii story inafanana na ya @chesco aka mr . Bigi inaitwa ex wangu but umeifany international sana daaad keep it up my g.❤❤❤❤❤
@user-wz6gs3jk5o5 ай бұрын
Jaman wewe mwamba unajua aisee daaa mungu akutie nguvu
@faizaahamd20525 ай бұрын
Congratulations my brother chande nzuri mno💓💓💓💓💓💟💞💞💖💖💖
@JaphetMwavuoАй бұрын
Anaweza
@mariamkassimu50405 ай бұрын
More love form kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Chebet2545 ай бұрын
Naipenda sana movie zako Mr nakufatilia kutoka Kenya 🇰🇪🇸🇦❤
@user-uy1bw6yx3j5 ай бұрын
Waooo! Mm huwa sio shabiki wa movies za kibongo ila nimeipenda sana🎉
@user-tz6tv1lz4b5 ай бұрын
Kaka angu movies zako zinamafuzo mazuri sana Allah akuzidishie alimu uendelee kutoa movies nzuri zaidi inshallah
@user-up9ol9rc7o4 ай бұрын
❤❤
@user-vp1hh9eg1n4 ай бұрын
Hemedy we kiboko ,umenifunza mengi kakq
@user-un5lb1qg3u4 ай бұрын
♥️♥️
@ElijahWere-zb8ix4 ай бұрын
Videos zako zinanifundisha sana hongera sana sijui kama tunaweza toast ingine pamoja
@ReginaMagaigwa2 ай бұрын
Movie zk bro zinamafunzo Mazur
@Elizakilisipinilikolika19965 ай бұрын
Hemedy nakupenda sana naomba mungu akufikishe mbali zaidi ❤❤❤❤❤❤
@honekisebwa2264 ай бұрын
Sio hemed uyo
@ibrahimally-xn3br5 ай бұрын
Dah stor ninzuli sana imetulia af pia mmevaa usika sana ata gres pia Kai wa huwa namfatilia toka uhulu dah nizuli sana imeniliza mie ilaa chandee mwanang unajua allah azidi kukujalie
@ayshanani5 ай бұрын
Chande nenda ukalewe mpaka ulewe Tena mwache hemed achukue jiko mapenzi hayajaribiwi Chande uliyataka mwenyewe
@mejumaabaraza39895 ай бұрын
Hemed huwa napenda movies zake zikona mafunzo Sana ❤
@IslamPeto-fd6wr5 ай бұрын
Bro chande uwaga utuangushi, mob love from Kenya,, ur ma best actor nakupendaga sanaa
@nassorbabu55525 ай бұрын
Dhaaaaah kaka unabalaaa hujawahi niboa since day one nakubalia unachokifanya natamn some day niwe kama weye
@user-hq7pp3te3w5 ай бұрын
kaka honger mim napenda kuigiza ila sijapata watu wakunishika mkono nafatilia xan kaz zako kaka
@user-jt8yy8yv6q5 ай бұрын
Ooooh ni kweli unajuwa so mm nikuombe kitu unisaidiye unitumiye jina za Cinema zako nzuri
@swordswordword13 ай бұрын
🎉
@MeryMichael-wv8bb2 ай бұрын
i love hemed upo vizuri
@user-gr4sd4bu6v2 ай бұрын
😢😢😢
@user-hd2xo4om2y5 ай бұрын
I love the movie😘❤️🥰 but it's too short no wedding parts like seriously! At least you could have shown us that you two got married like daah!🙄😔😞☹️
@user-ey2wb1vo8w5 ай бұрын
Movie nzur Masha'Allah Tabbaraqa Allah 🥰😍 ongera bro
@user-uy1bw6yx3j5 ай бұрын
Napenda sana movie za hemed😊
@hajrabablysh88925 ай бұрын
I need more romantic movie from you, thanks alot for this
@RebeccaMuhimba-be1pj5 ай бұрын
Ila uyu kaka nampenda mpaka basi tu da hemed your so handsome boy
@nahlahassan-fd6le4 ай бұрын
Ana mwanamke wake uyo na wanapendana❤
@RebeccaMuhimba-be1pj2 ай бұрын
@@nahlahassan-fd6le my dear umenielewa vibaya kuwa na mwanamke mi yanihusu nini ko kumsifia ndo kwamba nataka awe mme wangu dada nakupa pole nampenda kama navoweza kumpenda mtu yeyote yule so uwe unasema comment unaelewa mtu ana manisha nini oky
@user-bt9rb1id9m5 ай бұрын
Yani steve nakukubali kwa kazi yko nakupenda🎉🎉🎉🎉
@user-bc1fx7yr4b2 ай бұрын
Sana❤❤❤🎉
@user-ty7wi2dn2t5 ай бұрын
guys jmn mapenz hayajaribiwi ❤❤❤ but it so sad😢😢
@justinendayisenga71805 ай бұрын
Unaceza vizuliiii sana filamu zako Zina mafunzo mengiii kabisaaa❤❤ from Bdi
@user-hv3ib4dw5h5 ай бұрын
Mimi nakupenda hemedy n movie zako nazipenda sana yani
@SyliviahMosomi-er2oh5 ай бұрын
Pongezi sana kwa wahusika wote wa filamu hii kali sana yenye mafunzo katika jamii nzima
@user-gv2le2sh6x5 ай бұрын
Mchezo mwengine lini kaka ❤
@clausmangula80775 ай бұрын
Nimejifunza kitu hapo😂🎉
@shamsaaaaa39635 ай бұрын
Nakupendaga kka upo vzri🎉🎉🎉
@user-pk4so6gr6q5 ай бұрын
This movie is master piece god bless you hemedy🎉🎉🎉🎉🎉🎉💐💐💐
@kibibiabdalla14515 ай бұрын
Mapenzi hayajaribiwi jaman mwisho unapenda kweli❤❤
@user-ts9dx9eb7t5 ай бұрын
❤❤from Zambia inatoa machoz mapenzi ayajaribiw😢😢
@alexnswila79005 ай бұрын
Umekandamiza Sanaa mwanangu unanifanya niludi kufatilia bongo muvis
@happybosha5 ай бұрын
Hemedy muendelezo movie nzur sana tunaomb part 2❤
@user-or8it3ob9h5 ай бұрын
Finally nilikua naona unachelewa tu😂😂
@aishanyoha75915 ай бұрын
Pole san chande ulikuwa unaweka maji kwenye tenga ona sasa
@VianneyMundekepeter4 ай бұрын
asente sana
@BeatriceWillison5 ай бұрын
Jaman jaman wee mtoto wa mama chande au Steve unanimalizaga Hataz hasta kipengele Cha kutoa hisia zako kwa umpendae unajuaga sana ❤🎉
@dastopadady24025 ай бұрын
Kaka nime Anza kufatilia muv zako hakika upo kwe lialint og mungu azidishe ufanixi ndani ya utunzi wako amin🎉
@humphreywanjala66992 ай бұрын
Kaka Chande hongera kwa kazi nzuri..unaiguza jamii kwa kiasi kikubwa sana
@mosesgodfreysembe85705 ай бұрын
Mwanangu unajua sana sema nini jina la stivu ndo sijaelewa kabisa
@user-qs2mx4ez6z4 ай бұрын
Kwani mm so pia
@yoonaaccygreegory5 ай бұрын
bro h.chande respect sana unajua bro 🙏
@faridaali28205 ай бұрын
Mapenzi niupufu ama kwelu ❤❤🎉🎉 Mashallah umeweza❤
@AngelDonald-ok5yh2 ай бұрын
Hemed nmeikubli San hii movie nmwomba Mungu akupe maish maref n ufanisi mkubwa katik Kaz yakooo🎉❤❤
@JonhLenadi-zl8ct5 ай бұрын
Nakubali sana hemedy chande haujawai kosea❤❤❤❤
@nadhifagabriel4 ай бұрын
Hemedi chande nakupenda sna kwanz movie zangu zinanifunza mambo mengii igwa badoo sjaingia kwa ndoa goodies ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊
@user-op8dv7lw8l5 ай бұрын
Team strong tuko.mbele tena
@fbbhg90955 ай бұрын
Tuko mbele kama mfuko washati
@SerenakaremboDzombo5 ай бұрын
Far we go🇸🇦🇰🇪❤️
@Rabeccaedward-gr7wf5 ай бұрын
Tuko mbele kama yenyewe 😂😂😂
@carolynekinanu33154 ай бұрын
Kapixa
@daina84643 ай бұрын
Tuko mbele kam kawaida mtupee likes zetu
@FrahaSaidi3 ай бұрын
hongera xana tena xana mm niko mtwara ila najifuza kuingiza kwasababu ya kuzitizama muvi zako co napitia wakat mgumu ili niwe kama ww navp kuhuxu dada xapina maana ata mm natumia jina ilo nawatu wananiuliza nimetolea wap jina zur ka hilo mungu awaajaalie ameena❤❤❤❤
@SyliviahMosomi-er2oh5 ай бұрын
Movie nzuri sana.kwa wale wanaume wanaowafanya wake zao kama wachakazi ni virahisi sana kuwapoteza na kuishi maisha ya aibu
@allymwashambwa59205 ай бұрын
You are one of the best actor Mr chande Hemed
@danichacomedians58055 ай бұрын
Napenda kazi zako chande unaongezea ujuz kwan pia mm nimuigizaji kutoka kenya baran pwani
@yusterarody-ck5zy5 ай бұрын
Nimependa sana❤hii move but keep it
@Jali-et8py5 ай бұрын
Wow ,nice Movie ❤❤much love from Uganda 🇺🇬
@zamaliabdulkarim55985 ай бұрын
Sija wai kulizwa na movie yeyote lakini hii ime nitoa machozi kweli Asant kijana
@user-pf2cf4hp6w5 ай бұрын
Uyu jamaa hajawai kufeli kabisaaa kwene movi
@user-xu2nn8rt3r5 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 movie nzuri sana nimeipenda Sana
@user-bq6tg1bj9s5 ай бұрын
Safi napenda sn movie zko hemed hongera sn❤❤❤❤
@allymwashambwa59205 ай бұрын
Nimesema mfunge ndoa haraka sana steve
@cellcelll21515 ай бұрын
Nakupenda chande from Kenya
@AdmiringCaptainHat-gh3tf5 ай бұрын
Chande hujawah kukosea broo what a movie🔥🔥🔥
@user-og2ug5di5u5 ай бұрын
Hongera napendanga movie zako nikupe 🎉🎉🎉🎉🎉
@ridhiwankalissa2 ай бұрын
WOOOW WHAT A AMAZING TALENT YOU HAVE BRO YOU ARE THE MOST TALENTED BONGO ARTIST IN TOP 5 IN MY LIST
@omaromarmwandege-kv5uk5 ай бұрын
Kiukwel napenda sana move zako ❤
@faridaomary53613 ай бұрын
Nipo vzr bro so amazing japo kidg tunaomba ubadilishe maana move la maamuzi yangu na first love unasehem Moja na mzik wa move change kidg 💪🤝
@user-bl7ex4ld6x5 ай бұрын
Hujawah kosea chande keep it up
@user-dr7if5qx6v5 ай бұрын
Daah mmetisha sana napendaa san muvi zako
@saimmoymohd73135 ай бұрын
Kali sana chande anajuwa 😊
@hajrabablysh88925 ай бұрын
Background sound on fire ,,,,,,,
@majomasliman78565 ай бұрын
Nzuri kbs nimependa pia mafunzo mazuri
@user-ul5vc8xk1w5 ай бұрын
Kazi nzur mnoooo❤
@saudianew204521 күн бұрын
Wow napenda movie zenu mungu abariki na kuinua kipaji chenu❤❤❤❤❤more lv from 🇰🇪
@anjelinamukabane346Ай бұрын
My first time watching TZ movie it was worth watching it ❤❤❤❤ much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@user-xu3mu4yk8j5 ай бұрын
Kaz mzur mashallah hemed chand upo romantick😂😂😂❤❤❤ mnanisisimuwa
@flavin0014 ай бұрын
Great one watched it twice❤❤..love it from kenya🇰🇪🇰🇪
@FelicianNyaulingo-lx5sm16 күн бұрын
wanawake wavumilivu sana emagine huyu Mary anavyo mtreat mmewe wakati anayofanyiwa duuuuh salute sana
@DorcasMuomba-gd3swКүн бұрын
Tunakupenda zaidi 🌹 🌹 you are so cute and adorable movie zako zinamafunzo mazuri
@surusuru19945 ай бұрын
Hemed nilikuonea huruma ila hongera❤❤
@aminakatana87215 ай бұрын
❤ movie tamu sana love you all
@user-tm7gi3sb1h2 ай бұрын
uko vzur ndo nine ziona mbli I bilv utatiza ndoto zako na za wengi wanao kusapot nev given up