Auweki chapa mandashi, na Simba au sio lazima, na aukandii mafuta.asante
@maruunyange10913 жыл бұрын
Wewe ni malkia wangu wa nguvu!! Wewe ndosababu ya Mimi kuanza kuuza maandazi, yani ninavyokupenda na kukuombea heri Mungu ndoanajua my dear.
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏oooh jamani...asante sana sana dear,Mungu atubariki sote...nafurahi sana video zangu kuwa za manufaa kwako...Mungu aendee kukufungulia milango ya rizki dear wangu...
@kpetres28723 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly Nataka nijifunze mapishi kwa ajili ya biashara nipo dar, nakupataje
@kpetres28723 жыл бұрын
Dada me pia natamani kujifunza 0625566775.nisaidie
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
@@kpetres2872 ni DM instagram kekiplus.youtubechannel
@sarahabdalah15533 жыл бұрын
Maziwa ya moto au baridi samahani
@annamacky58483 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa hii recipe maandazi yalikuwa laini na matamu Sana, asanta nitakufollow kwa karibu Sana lots of love kutoka Nairobi❤️💖❤️💖💕!
Karibu sana dear,nafurahi sana kuskia ivo ,ubarikiwe
@merrynimependaninzurisanaa97753 жыл бұрын
Ahsante dada yangu ubarikiwe sana
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Amen,tubarikiwe sote dear
@vipvip-zv7xv2 жыл бұрын
Wwow Mashallah tabarakallah.. asnte dad nampend n ntajarb
@janethalbart49933 жыл бұрын
Barikiwa sana,cyo mchoyo wa ujuzi.
@sesiliavitalis18173 жыл бұрын
Nimetumia njia yko mandazi yametoka mazuri sanaa nilitakujutumia njia ingine nikajaribu yko 🥰🥰 barikiwa🙏🙏
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Ooooh kweli?nimefurahi sana ulichagua recipe yangu. Asante sana,nafurahi umenjoy pishi lako
@sesiliavitalis18173 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly 🙏🙏
@maryamsalum53893 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly maziwa ya Moto au ya baridi
@maidamatinya3483 жыл бұрын
Safi sana dear Dada!
@marynyabenda44142 жыл бұрын
Niliangalia mara moja nikapika hakika ni mazuri sanaaa ,thnx mamy
@FillFeelthetable3 жыл бұрын
Wow, this deseert dish looks so delicious! It's the best video I've ever! The shape is so pretty. I will make it this weekend. Thank you for sharing the good recipe! Have a good weekend. Friend!
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Thank you friend.. Enjoy your weekend too
@beatricelomwatu84253 жыл бұрын
Very delicious
@lucycharles10433 жыл бұрын
Mashallah lazima nitajaribu hii recipe mungu azid kukubariki kwa kutuletea mambo mazuri
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
InshaAllah dear,inshaAllah🙏🙏🙏
@aminamohamed39163 жыл бұрын
Salàm alekum mashallaah
@ireneparesso97053 жыл бұрын
Nimeona hii recipe jana leo nimepika andazi limetoka vizuri sana kama sponge yaan mpk nimeenjoy,,thanks dia
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Alhamdullillah dear,nafurahi kama umeenjoy. Asante kwa sapoti yako
@redempthatheobard4143 Жыл бұрын
Hujaweka chapa mNdashi
@dorcaskidoti2492 жыл бұрын
Ahsantee dada kwa video yako, Aiseee leo nimepika mandazi mazuri laini sana, Kila siku huwa napika mandanzi yanakuwa makavu kama hafu keki ❤😘🙏🏽
@pinoyjuicybites59553 жыл бұрын
Yummy perfect snacks.
@zaymatyahya89293 жыл бұрын
Asante kwa recipe dear nimeipenda nataka kupika ila huwa sipendi mayai naweza itumia bila yai?
@nanahtalib88433 жыл бұрын
Nice Mashallah
@Thatkaguruguy2 жыл бұрын
Asante going to try this today
@mariamissaahmed76753 жыл бұрын
Super recipe Thank you
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@AuntDotcom-sk5lo5 ай бұрын
Looks yummy
@marynyabenda44142 жыл бұрын
Asante sana mamy kwa mafunzo yko naenjoy saaana maandazi ayo
@mariammaina21413 жыл бұрын
Hiyo napika jioni, Asante sana
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Aaaw inshaAllah dear,enjoy
@ChitranjalisvlogsRecipes3 жыл бұрын
Wow Looking amazing 👌. Big like dear 💕💕
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Thanks dear
@neemaelsante34103 жыл бұрын
Siku hizi uko wapi
@sophiamwakila33003 жыл бұрын
Please can you write the subtle in english for those they don't know your language
@alfredinakatto16052 жыл бұрын
Sio lazima kuweka chapa mandazi?mandazi mazuri sana
@halimahalum30083 жыл бұрын
Masha Allha shukran nimeyapenda sana
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@deborafisoo93673 жыл бұрын
Nimeyapenda hayo 😋 nitatapika
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
InshaAllah dear,ukila utayapenda zaidi
@joyceslameck13683 жыл бұрын
Mazur Sana mpaka nmetaman kupika nw👏
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Pliz pika😋
@nahyahnana80242 жыл бұрын
Maziwa yawe ya moto
@tripple53 жыл бұрын
Nip apa mdg wako nimefika ❤
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Oooh jamani naah wangu ,shukran sana mdogo wangu,upo na mimi kila hatua..Allah aendelee kukuweka ,na dua za heri nakuombea.
@tripple53 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly Amiin ❤
@happybryce97153 жыл бұрын
Hapo umeelezea
@agneschundu1063 Жыл бұрын
Duh!kweli yakishua
@mapishinarose24152 жыл бұрын
Maziwa umetumia ya moto ama baridi
@husnahashim58663 жыл бұрын
Maa Shaa Allah dear😘, lkn hujawek chapa maandashi & amira?
@ney23082 жыл бұрын
👏👏👏👏👏❤❤❤❤😍
@ireneshapa40742 жыл бұрын
Baking powder sio lazima please nijibu nimesikiliza mala nne sion baking powder
@yasintamtui86093 жыл бұрын
Asante nimeyapenda
@rossamengo72113 жыл бұрын
Aaahhhaaa am back my dear,yaonekana nimekosa mengi mazuri hapa,maana naingia tu pap nakutana na maandazi kichapo duuu, yani wee acha tu dada mimi ninavyo penda mandazi ni Mungu tu anisaidie, si nyute mdomoni jamani wala silali bila kuyapika haya ndio kuwania hivi
Miss you more my darling, stay safe and take care of your self
@asiyamuscat-oman22833 жыл бұрын
❤❤
@efraimrichard49542 жыл бұрын
Nashukuru Sana Ni matamu nimejaribu kuyapika
@foodbae1243 жыл бұрын
Mpz mm nikikanda unga mlaini sana maandaz yanajaa mafuta ndan sjui nakwama wapii eti 😣
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Mmmmh,ulaini wa kawaida tu,sio mteke,mteke lazima unywe mafuta
@foodbae1243 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly thank you
@sylviemugeni18873 жыл бұрын
kweli
@odiliamrema27923 жыл бұрын
Baomba nsaidie dada jins ya kuyaweka mandaz yawe lain na yasiwe na ukungu kwa nje mana yakikaka hata siku 2 yanaweka hiyo hal
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Labda unayafunika kwenye chombo kisichopitisha hewa kabila hayajapoa,yakiwa ya moyo funika na kitambaa tu,yakipoa sasa weka kwa chombo kisichopitisha hewa,na ugumu wa nje labda donge linakuwa umelikata bila kuhakikisha ni laini kwa juu,..kama sio ivo nisaidie kujua unapikaje na kutunza ili nijue tushauriane..asante
@mrchepoo11662 жыл бұрын
Mamy ko chapa mandashi sio lzm
@shamsaamos31303 жыл бұрын
Kwakweli ni ya kishua
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
😂🙏🙏🙏🙏
@naelldickson40933 жыл бұрын
Asanteee
@muugolo70802 жыл бұрын
Chapat ya maj
@edithafaustine48093 жыл бұрын
Shukran
@rolithagodfrey32263 жыл бұрын
Sorry,maziwa yabaridi au yamoto?hayatakuwa magumu ukikandia vyote baridi?
@renatusgasper2092 жыл бұрын
Unadarasaa la kufundishaa watu
@farhatmethot44232 жыл бұрын
Kama huna vanilla my unatumia nini kukata harufu
@nimsmsa66353 жыл бұрын
Unaweza kukanda bila kutia mayai? Au mayai huchangia mahambri kua malaini? Please nijibu
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Unaweza toa mayai,ni sawa
@husnaally13062 жыл бұрын
jaman kama sina siag niwekee nn
@kekiplus1andonly2 жыл бұрын
blueband/au chochote cha kufanana na blueband/mafuta
@evengelyneirakoze15153 жыл бұрын
Naam.
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@happinessayo378 Жыл бұрын
Kama auna Amira amavanila una
@user-nf3iv3gf6u3 жыл бұрын
Hv siagi ndo blueband?
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Tumia tu
@babyplus50932 жыл бұрын
No yk plz nahitaji kuongea n ww
@dinasamweliikopoaunatumiak36813 жыл бұрын
Mandaxi matamu
@ummymajaliwa2216 Жыл бұрын
I tried today hope yatatoka vizuri nikiwa nayachoma its my first time 🥱😋🤣