MAANDAZI YA KISHUA YANAPIKWA HIVI

  Рет қаралды 206,664

keki plus

keki plus

3 жыл бұрын

maandazi kishua yanapikwa hivi

Пікірлер: 99
@abellachristian3440
@abellachristian3440 3 жыл бұрын
Auweki chapa mandashi, na Simba au sio lazima, na aukandii mafuta.asante
@maruunyange1091
@maruunyange1091 3 жыл бұрын
Wewe ni malkia wangu wa nguvu!! Wewe ndosababu ya Mimi kuanza kuuza maandazi, yani ninavyokupenda na kukuombea heri Mungu ndoanajua my dear.
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏oooh jamani...asante sana sana dear,Mungu atubariki sote...nafurahi sana video zangu kuwa za manufaa kwako...Mungu aendee kukufungulia milango ya rizki dear wangu...
@kpetres2872
@kpetres2872 3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly Nataka nijifunze mapishi kwa ajili ya biashara nipo dar, nakupataje
@kpetres2872
@kpetres2872 3 жыл бұрын
Dada me pia natamani kujifunza 0625566775.nisaidie
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
@@kpetres2872 ni DM instagram kekiplus.youtubechannel
@sarahabdalah1553
@sarahabdalah1553 3 жыл бұрын
Maziwa ya moto au baridi samahani
@annamacky5848
@annamacky5848 3 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa hii recipe maandazi yalikuwa laini na matamu Sana, asanta nitakufollow kwa karibu Sana lots of love kutoka Nairobi❤️💖❤️💖💕!
@redempthatheobard4143
@redempthatheobard4143 Жыл бұрын
Chapa mandashi au simba huwek
@sophiekimathi
@sophiekimathi 2 жыл бұрын
Nimepika Leo na yako very soft. Asantee
@nicerkenny4239
@nicerkenny4239 2 жыл бұрын
Nimepika leo asubh ndo nakula jamniiii matamuuu hatar malaini saana ubarikiwe🥰🥰🥰🥰🥰
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 жыл бұрын
Karibu sana dear,nafurahi sana kuskia ivo ,ubarikiwe
@merrynimependaninzurisanaa9775
@merrynimependaninzurisanaa9775 3 жыл бұрын
Ahsante dada yangu ubarikiwe sana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Amen,tubarikiwe sote dear
@vipvip-zv7xv
@vipvip-zv7xv 2 жыл бұрын
Wwow Mashallah tabarakallah.. asnte dad nampend n ntajarb
@janethalbart4993
@janethalbart4993 3 жыл бұрын
Barikiwa sana,cyo mchoyo wa ujuzi.
@sesiliavitalis1817
@sesiliavitalis1817 3 жыл бұрын
Nimetumia njia yko mandazi yametoka mazuri sanaa nilitakujutumia njia ingine nikajaribu yko 🥰🥰 barikiwa🙏🙏
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Ooooh kweli?nimefurahi sana ulichagua recipe yangu. Asante sana,nafurahi umenjoy pishi lako
@sesiliavitalis1817
@sesiliavitalis1817 3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly 🙏🙏
@maryamsalum5389
@maryamsalum5389 3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly maziwa ya Moto au ya baridi
@maidamatinya348
@maidamatinya348 3 жыл бұрын
Safi sana dear Dada!
@marynyabenda4414
@marynyabenda4414 2 жыл бұрын
Niliangalia mara moja nikapika hakika ni mazuri sanaaa ,thnx mamy
@FillFeelthetable
@FillFeelthetable 3 жыл бұрын
Wow, this deseert dish looks so delicious! It's the best video I've ever! The shape is so pretty. I will make it this weekend. Thank you for sharing the good recipe! Have a good weekend. Friend!
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Thank you friend.. Enjoy your weekend too
@beatricelomwatu8425
@beatricelomwatu8425 3 жыл бұрын
Very delicious
@lucycharles1043
@lucycharles1043 3 жыл бұрын
Mashallah lazima nitajaribu hii recipe mungu azid kukubariki kwa kutuletea mambo mazuri
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
InshaAllah dear,inshaAllah🙏🙏🙏
@aminamohamed3916
@aminamohamed3916 3 жыл бұрын
Salàm alekum mashallaah
@ireneparesso9705
@ireneparesso9705 3 жыл бұрын
Nimeona hii recipe jana leo nimepika andazi limetoka vizuri sana kama sponge yaan mpk nimeenjoy,,thanks dia
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Alhamdullillah dear,nafurahi kama umeenjoy. Asante kwa sapoti yako
@redempthatheobard4143
@redempthatheobard4143 Жыл бұрын
Hujaweka chapa mNdashi
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 жыл бұрын
Ahsantee dada kwa video yako, Aiseee leo nimepika mandazi mazuri laini sana, Kila siku huwa napika mandanzi yanakuwa makavu kama hafu keki ❤😘🙏🏽
@pinoyjuicybites5955
@pinoyjuicybites5955 3 жыл бұрын
Yummy perfect snacks.
@zaymatyahya8929
@zaymatyahya8929 3 жыл бұрын
Asante kwa recipe dear nimeipenda nataka kupika ila huwa sipendi mayai naweza itumia bila yai?
@nanahtalib8843
@nanahtalib8843 3 жыл бұрын
Nice Mashallah
@Thatkaguruguy
@Thatkaguruguy 2 жыл бұрын
Asante going to try this today
@mariamissaahmed7675
@mariamissaahmed7675 3 жыл бұрын
Super recipe Thank you
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@AuntDotcom-sk5lo
@AuntDotcom-sk5lo 5 ай бұрын
Looks yummy
@marynyabenda4414
@marynyabenda4414 2 жыл бұрын
Asante sana mamy kwa mafunzo yko naenjoy saaana maandazi ayo
@mariammaina2141
@mariammaina2141 3 жыл бұрын
Hiyo napika jioni, Asante sana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Aaaw inshaAllah dear,enjoy
@ChitranjalisvlogsRecipes
@ChitranjalisvlogsRecipes 3 жыл бұрын
Wow Looking amazing 👌. Big like dear 💕💕
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Thanks dear
@neemaelsante3410
@neemaelsante3410 3 жыл бұрын
Siku hizi uko wapi
@sophiamwakila3300
@sophiamwakila3300 3 жыл бұрын
Please can you write the subtle in english for those they don't know your language
@alfredinakatto1605
@alfredinakatto1605 2 жыл бұрын
Sio lazima kuweka chapa mandazi?mandazi mazuri sana
@halimahalum3008
@halimahalum3008 3 жыл бұрын
Masha Allha shukran nimeyapenda sana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@deborafisoo9367
@deborafisoo9367 3 жыл бұрын
Nimeyapenda hayo 😋 nitatapika
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
InshaAllah dear,ukila utayapenda zaidi
@joyceslameck1368
@joyceslameck1368 3 жыл бұрын
Mazur Sana mpaka nmetaman kupika nw👏
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Pliz pika😋
@nahyahnana8024
@nahyahnana8024 2 жыл бұрын
Maziwa yawe ya moto
@tripple5
@tripple5 3 жыл бұрын
Nip apa mdg wako nimefika ❤
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Oooh jamani naah wangu ,shukran sana mdogo wangu,upo na mimi kila hatua..Allah aendelee kukuweka ,na dua za heri nakuombea.
@tripple5
@tripple5 3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly Amiin ❤
@happybryce9715
@happybryce9715 3 жыл бұрын
Hapo umeelezea
@agneschundu1063
@agneschundu1063 Жыл бұрын
Duh!kweli yakishua
@mapishinarose2415
@mapishinarose2415 2 жыл бұрын
Maziwa umetumia ya moto ama baridi
@husnahashim5866
@husnahashim5866 3 жыл бұрын
Maa Shaa Allah dear😘, lkn hujawek chapa maandashi & amira?
@ney2308
@ney2308 2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏❤❤❤❤😍
@ireneshapa4074
@ireneshapa4074 2 жыл бұрын
Baking powder sio lazima please nijibu nimesikiliza mala nne sion baking powder
@yasintamtui8609
@yasintamtui8609 3 жыл бұрын
Asante nimeyapenda
@rossamengo7211
@rossamengo7211 3 жыл бұрын
Aaahhhaaa am back my dear,yaonekana nimekosa mengi mazuri hapa,maana naingia tu pap nakutana na maandazi kichapo duuu, yani wee acha tu dada mimi ninavyo penda mandazi ni Mungu tu anisaidie, si nyute mdomoni jamani wala silali bila kuyapika haya ndio kuwania hivi
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
😂😂😂😂jamani @rossa Mengo nilikumiss,karibu sana..hujakosa,mengi kiivo..
@rossamengo7211
@rossamengo7211 3 жыл бұрын
Miss you more my darling, stay safe and take care of your self
@asiyamuscat-oman2283
@asiyamuscat-oman2283 3 жыл бұрын
❤❤
@efraimrichard4954
@efraimrichard4954 2 жыл бұрын
Nashukuru Sana Ni matamu nimejaribu kuyapika
@foodbae124
@foodbae124 3 жыл бұрын
Mpz mm nikikanda unga mlaini sana maandaz yanajaa mafuta ndan sjui nakwama wapii eti 😣
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Mmmmh,ulaini wa kawaida tu,sio mteke,mteke lazima unywe mafuta
@foodbae124
@foodbae124 3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly thank you
@sylviemugeni1887
@sylviemugeni1887 3 жыл бұрын
kweli
@odiliamrema2792
@odiliamrema2792 3 жыл бұрын
Baomba nsaidie dada jins ya kuyaweka mandaz yawe lain na yasiwe na ukungu kwa nje mana yakikaka hata siku 2 yanaweka hiyo hal
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Labda unayafunika kwenye chombo kisichopitisha hewa kabila hayajapoa,yakiwa ya moyo funika na kitambaa tu,yakipoa sasa weka kwa chombo kisichopitisha hewa,na ugumu wa nje labda donge linakuwa umelikata bila kuhakikisha ni laini kwa juu,..kama sio ivo nisaidie kujua unapikaje na kutunza ili nijue tushauriane..asante
@mrchepoo1166
@mrchepoo1166 2 жыл бұрын
Mamy ko chapa mandashi sio lzm
@shamsaamos3130
@shamsaamos3130 3 жыл бұрын
Kwakweli ni ya kishua
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
😂🙏🙏🙏🙏
@naelldickson4093
@naelldickson4093 3 жыл бұрын
Asanteee
@muugolo7080
@muugolo7080 2 жыл бұрын
Chapat ya maj
@edithafaustine4809
@edithafaustine4809 3 жыл бұрын
Shukran
@rolithagodfrey3226
@rolithagodfrey3226 3 жыл бұрын
Sorry,maziwa yabaridi au yamoto?hayatakuwa magumu ukikandia vyote baridi?
@renatusgasper209
@renatusgasper209 2 жыл бұрын
Unadarasaa la kufundishaa watu
@farhatmethot4423
@farhatmethot4423 2 жыл бұрын
Kama huna vanilla my unatumia nini kukata harufu
@nimsmsa6635
@nimsmsa6635 3 жыл бұрын
Unaweza kukanda bila kutia mayai? Au mayai huchangia mahambri kua malaini? Please nijibu
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Unaweza toa mayai,ni sawa
@husnaally1306
@husnaally1306 2 жыл бұрын
jaman kama sina siag niwekee nn
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 жыл бұрын
blueband/au chochote cha kufanana na blueband/mafuta
@evengelyneirakoze1515
@evengelyneirakoze1515 3 жыл бұрын
Naam.
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@happinessayo378
@happinessayo378 Жыл бұрын
Kama auna Amira amavanila una
@user-nf3iv3gf6u
@user-nf3iv3gf6u 3 жыл бұрын
Hv siagi ndo blueband?
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Tumia tu
@babyplus5093
@babyplus5093 2 жыл бұрын
No yk plz nahitaji kuongea n ww
@dinasamweliikopoaunatumiak3681
@dinasamweliikopoaunatumiak3681 3 жыл бұрын
Mandaxi matamu
@ummymajaliwa2216
@ummymajaliwa2216 Жыл бұрын
I tried today hope yatatoka vizuri nikiwa nayachoma its my first time 🥱😋🤣
Maandazi Chap Chap
4:23
Malkia Foods
Рет қаралды 21 М.
Как быстро замутить ЭлектроСамокат
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 10 МЛН
КАХА и Джин 2
00:36
К-Media
Рет қаралды 4,1 МЛН
it takes two to tango 💃🏻🕺🏻
00:18
Zach King
Рет қаралды 30 МЛН
Когда на улице Маябрь 😈 #марьяна #шортс
00:17
Soft, sweet and easy to make/mandazi recipe/how to make mandazi
4:55
Thekitchenmiss
Рет қаралды 1,2 М.
Jinsi ya kupika skonzi laini na nzuri sana / Scones recipe
4:20
Mapishi rahisi
Рет қаралды 131 М.
MAANDAZI RAHISI SANA YA MAJI
2:32
keki plus
Рет қаралды 194 М.
Jinsi Ya Kupika Majani ya Maboga. Ni matamu Sanaa😋
4:16
Vitamu Jikoni
Рет қаралды 14 М.
MAANDAZI YA NAZI
11:18
Mziwanda Bakers
Рет қаралды 88 М.
JINSI YA KUPIKA MAANDAZI YA MAJI... vlogmas day 17//THE WERENTA
7:27
CHAPATI ZA MAJI ZENYE NYAMA NDANI 😋
9:41
Ika Malle
Рет қаралды 482 М.
Как быстро замутить ЭлектроСамокат
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 10 МЛН