Kati ya wote walio postiwa madevu kauwaaa ❤️🇹🇿❤️🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@samirahmakeupstudio71152 жыл бұрын
Sana kaua kwa kwer namsubir eliud sasa
@pascalinajames91172 жыл бұрын
I love mc madevu ana kingereza kizuri sanaa🥰
@ulimwengu55992 жыл бұрын
seriously,Madevu ni next level zaidi ya platform yenyewe 😂😂😂😂
@mathewben68332 жыл бұрын
My no 1 stand up comedian in TZ,Madevu
@keptenpojos8212 жыл бұрын
Madevu ndio Teacher wa Comedy wallah.. kamaliza 🔥🔥🎺
@elizabethsamwel66972 жыл бұрын
🥰
@keptenpojos8212 жыл бұрын
@@elizabethsamwel6697 Bravo
@onesmoanthony90452 жыл бұрын
Mandevu we ni matako sana yani umenifanya nicheke kwa nguvu niko kwenye daladala mpaka watu wameniona chizi
@youngrappertz17352 жыл бұрын
naombeni battle na madevu basi😁🤣 maana ameshashindikana
@heromanmwamba50002 жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣 kwahiyo wewe utamyweza?
@kelvinjonathan6482 жыл бұрын
Broo nakukubal sana unajua yan hulazimishi jokes zinatoka tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@franksylivestar73442 жыл бұрын
This is comedy we need, he's the king
@zainabmalya15522 жыл бұрын
Katisha sana huyu jamaa💕😄😄
@mcjmcheshi2 жыл бұрын
Madefu kocha wangu 😁😁😁😁
@devothahaule92512 жыл бұрын
madevu ni 🔥🔥🔥 anabalaa na nusu harafu yy mwenyew haring
@pascalvictorboneventurecha17312 жыл бұрын
I do ever comment in public issue post,but u made it bro,and i real appreciate CHEKA TU ,Big up KOI to MADEVU ntaanza kuja kwa show
@ngingatransportation67932 жыл бұрын
The king is back👑
@raymondmsinde68672 жыл бұрын
Huyu jamaa Ni fundi Sana🔥🔥
@swalehawadh86122 жыл бұрын
So far so good.....Madevu is unbeatable
@ommyjay46222 жыл бұрын
Uyu mwamba Ni noma tumechelewa kazini kwajili yake nimeamka nika play clip yake na apo ndo tatizo lilipo anzia kuja kushituka sa 4 linajua Sana limidevu
@ibrahimpatrick58712 жыл бұрын
Kazin unaend saa nane
@user-wr6lc3jz6g2 жыл бұрын
@@ibrahimpatrick5871 😂😂😂
@budgeter48072 жыл бұрын
Wazazi wangu ni wazee tu hapa!
@skuh14282 жыл бұрын
The king is back 😂😂😂👋🏼
@cocotz18922 жыл бұрын
The King is back 🙌💪
@breikali8462 жыл бұрын
Shoutouts all the way from Dubai... Kaka uko vizuri.
@ommyj96532 жыл бұрын
0
@ommyj96532 жыл бұрын
0
@agustinombaga28512 жыл бұрын
habari
@lusakejackson15152 жыл бұрын
We jamaa n nomaaaaa
@karimchindema98232 жыл бұрын
Haahaaaaa noma sana
@josephatmassae73162 жыл бұрын
KWANINI UMEMWAGA!? Kwanini umemwaga ile ya mwanzo!! Kumbaaavuuuu
@eliabeliud4902 жыл бұрын
Kwa saiz Madevu Eliud Joel master Leonard Aza boy mh subilia tuone Moto wake n baraaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@nassboffical9112 жыл бұрын
My bro big up
@isaiahthomas30592 жыл бұрын
Huyu jmaaaa nihatareeee
@joycezaleart29952 жыл бұрын
Come to chuchil show in kenya
@jerrycharz252 жыл бұрын
Huyu mwamba hana mtu wa kubatle nae ebu tuwe serious
@martindaniel4292 жыл бұрын
Case closed
@vailethymbwambo5842 жыл бұрын
Nakupenda San jaman.. unanivunja mbavu Sana. 🙌
@chuwajunior2249 Жыл бұрын
The real king is back 🙌 😂😂😂
@chilubafedrick57402 жыл бұрын
huyu jamaa ni real stand up comedian, appreciate 😅
@mohamedulamaa92872 жыл бұрын
Ninoma sana sema loud ipo chini sn
@lutetz34002 жыл бұрын
Kama Churchill show
@Officialmaftah2 жыл бұрын
The king is back
@nicholausmbilinyi35872 жыл бұрын
Aisee hakuna kama madevu jamani..achana nae kabisa huyu mtu...hahahah
@_blessedann2 жыл бұрын
The best of them all😂😂
@esterstaphord51842 жыл бұрын
King unajuaaa 😂😂😂😂😂
@isayayohana63412 жыл бұрын
Aise uyu jamaa ni nomaa
@karimchindema98232 жыл бұрын
Uliiteka show kiukweli bro
@salvatoryleonce89702 жыл бұрын
Very talented brother
@mashaloyuzo12962 жыл бұрын
The king is back ..niachen na mbichwa wangu..madev upo poa
@DrNick-hg6il2 жыл бұрын
Superb
@sportsarena56202 жыл бұрын
mc madevu ni king 👐✋
@geofreycr78662 жыл бұрын
Real king comedian is back
@afandebrighttz28872 жыл бұрын
Madevu ,,,,,naomba mpambano wew uchekeshe me nicheke
@halcyonmrosso7002 Жыл бұрын
The King is back🔥🔥
@dewjiambwene74912 жыл бұрын
Madevu the great!!!
@swiden3692 жыл бұрын
😂😂😂this guy is mad
@amanigalawa74222 жыл бұрын
Kwakwwli huyu ndo master wa Comedy
@sophiaseif31472 жыл бұрын
Yan ndonamchik leo nmempenda bureeee madevu
@robertayubu33942 жыл бұрын
👏👏👏 ur the best bro
@eliakanyunyi74732 жыл бұрын
Koi muzungu uko fresh ma man na kipindi chako ila ndugu yangu hichi kipindi nicha comedy ila sasa kuna wachekeshaji wanaongea matusi tunaona aibu kwakweli mara mama mkwe yupo uchi,wapa sawa ila wengi nivijana hawajaowa wanaona kawaida tu nakuomba sana ndugu najua
@mahmoudaziz47172 жыл бұрын
Madevu anajua sana😂😂😂😂😂🇹🇿.
@hamoudcreator63432 жыл бұрын
WaBongo tuna stresses sana, Yani hivi ndo munacheka😳😳😳😳😳
@rilaandmel38422 жыл бұрын
Nlikua natafuta comment ya mtu ambae hajacheka, nafikiri mimi tu ndio sijacheka nkajua nnatatizo.
@hamoudcreator63432 жыл бұрын
@@rilaandmel3842 Umeona Ehh😳😳
@rilaandmel38422 жыл бұрын
@@hamoudcreator6343 acha tu
@mosessabena172 жыл бұрын
Kucheka sio kwamba he is the best...... bas tu anapendwa ....the way anamiliki stage anaonekana and the way anatumia saut yake he seems to be the best Bravo mc madevu
@zaynabyusuf43242 жыл бұрын
Kacheki bandama it seems like haliko sawa😃
@neymardekutele84522 жыл бұрын
Huyu jamaa na Leonardo ni balaa
@rithamsechu72202 жыл бұрын
Hata Leonard Bado sana
@neymardekutele84522 жыл бұрын
Mtazamo wenu, kwangu mm dogo anajua
@hunchoonetz87472 жыл бұрын
Aah Leonardo kitu gani hajui yule dogo
@neymardekutele84522 жыл бұрын
@@hunchoonetz8747 Pole yako unafikiri kama humkubali ww itakua hvyo kwa kila mtu
@edwarddavid80762 жыл бұрын
Leonardo mkali
@ambroambrocen18212 жыл бұрын
nmezaliwa kw operation...
@TigerNtore2 ай бұрын
Good job
@tracemsolla76042 жыл бұрын
Waoooh this guy z genius
@mtaalamwamambo20992 жыл бұрын
Madevu ata Kama unafundish mathematics lazima wafauluu aseee 😂😂😂😂😂
@dullywa99732 жыл бұрын
😀😀big man
@pelagiaegogo67972 жыл бұрын
Mr madevu ni noumaaaaa😘
@selemanjuma15952 жыл бұрын
Huyu mtu ni mbaya Sana kwenye comedy ni teacher wenu hata coyo hutoboi kwa madevu 🔥🔥🔥
@user-rg1ym7zf3r10 ай бұрын
Noma
@robertdominikomichael24162 жыл бұрын
Leo hukuimba haijawa nzuri
@yoabuonesmondanzi3460 Жыл бұрын
Very professional
@swalehesaad114311 ай бұрын
Ety maulidi we ni snichiii😂😂😂
@isaiahthomas30592 жыл бұрын
The king is back for sureeeeee
@apolinaryprimus55422 жыл бұрын
U r the best
@chalesi20102 жыл бұрын
Worth paying for....great,
@mahmoudaziz47172 жыл бұрын
Madevu hatari 😅😄🇹🇿
@pelusiemanueli69262 жыл бұрын
Madevu yupo vzuli na sauti yake iyo mashallah
@elikanaiamosi52292 жыл бұрын
Nakukubali Sana kakaangu
@dannymoshi41442 жыл бұрын
Noma sana. You are the best mzee. Tunaweza kukutumia ikibidi nchi zishindane kwenye comedy