Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato TRA limekamata magari 6 ya wizi na mtandao wa watu 5 wanaotekeleza matukio hayo kama anavyobainisha RPC Njombe Hamis Issa na Meneja wa TRA Mkoa Shaban Musibu.
Пікірлер: 101
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Maashallah Mungu awalinde na wabaya pambaneni na maadui kwanguvuzote Mungu yupo daa ongeleni Sana 💚💚💚💚💚
@joojombi23413 жыл бұрын
Safi sana kazeni buti blazaaa wakomeshwe hao wezi
@kakawamashariki89783 жыл бұрын
Pongezi kwa kazi nzuri ya ufichuzi wa mtandao huo wa kimyakimya.
@ernestsinje86933 жыл бұрын
hongereni polisi njombe nawakubali
@mashaainsuranceagency59253 жыл бұрын
Kwa kweli mnafanya kazi tena kazi ngumu mungu atawalipa
@simbarajabu41573 жыл бұрын
Ongereni sana jeshi letu la police
@sophialemmpalasu4133 Жыл бұрын
Safi sana jeshin la polisi Kwa kazi mnayoifanya na mungu azidi kuwalinda
@hoseamgema91073 жыл бұрын
Huyu kweli afande mwenye wito Kha! Bit kama zote .😂
@abdul-rahmanfakijuma18793 жыл бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri
@Chimgege3 жыл бұрын
Hawa mafala tunawapa rift tukiwa njiani wanatupulizia dawa wana kama perfume kadogo ndugu mnaopenda kubebe abiria njiani achenii
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Niko omani nawapata wa nyumbani napenda nimsikilize uyo police asimalize zungumza.kazi mzuri Sana ongereni kikosi kazi.
@veronicalaiser83943 жыл бұрын
Haaa! Kumbe ni mtandao kitaifa. Hawakai eneo moja kumbe?
@malsonkuniyalekandu35633 жыл бұрын
Nimeipenda sana kazi ya polisi,mimi nimeibiwa IST silver namba T 171 DTP,kesi nimefungua kilwa road naamini kuwa Mungu atafungua milango nayo itapatikana
@contuextra47602 жыл бұрын
Uliipata?
@chihongotv32553 жыл бұрын
Duuuh hatarii
@eliakitiwi3 жыл бұрын
Afande hiyo ni drill machine sio grander
@eliudijustini98783 жыл бұрын
Watu wamesomea wizi bana
@hassanhamidubarwany3 жыл бұрын
Kazi nzuri kamanda
@rithakuyala99513 жыл бұрын
Hongereni sana jeshi la police
@magejosia90263 жыл бұрын
Dill done good job
@sudymgeni7012 жыл бұрын
Kumkamata tunaona ila Sasa Mahakamani wiki Moja kaachiliwa huru kesi kwisha
@romanusmakishe673 жыл бұрын
Hongereni sana Jeshi la Polisi Njombe.
@sharinv88643 жыл бұрын
Sivizuri kutaka utajiri wa haraka jamani mwenzako anang'ang'ana usiku na mchana na ww unaenda kuiba ooh God.
@manduatechnology10553 жыл бұрын
Nakukubal San Antonio wang...kaz unaiwez ubaatish
@ishengomamlangila43413 жыл бұрын
Ahsante miladi ayo
@user-hg3yv7xh9r Жыл бұрын
Pereka mahakamani
@nickjustin20233 жыл бұрын
Eti naww ukijibu tofauti utakuwa sehemu ya tukio😆😆😆😆😆
@gracengowi71723 жыл бұрын
Nyongeza.njoo uchukue gar yako.wez wako hapahapa😀
@nickjustin20233 жыл бұрын
@@gracengowi7172 so Kwa mikwara hiyo, unaweza sameh hta gari yenyew sasa😆😆😆😆
@suzanemwangingo69323 жыл бұрын
Asante jeshi la polic
@daudpaulo28673 жыл бұрын
Uyo kimyakimya nimewai mkuta kituo kimoja walisema mwizi Wa magali kumbe aliachiwa jambo hili inabidi tumwambie kamanda IGP kwanini aliachiwa
@blandinamwarabu50253 жыл бұрын
Na Sisi tumeifata kimya kimya 🤣🤣
@simbarajabu41573 жыл бұрын
Siku hizi mbona wezi wenyewe amtuonyeshi
@ilynpayne74913 жыл бұрын
Sura zao zita pelekwa mahakamani
@jipemoyocentre99833 жыл бұрын
Mbona mnatoa siri . Uhalifu utaendelea hata kama mtu alikuwa hajui si atajifunza kutokana na malezo yenu. Msionyeshe vifaa wanavyotumia
@shabanikamsawa1813 жыл бұрын
Cna hamu na kesi nna mtuhumiwa wa wizi wa mtandao amekamatwa amepelekwa mahakamani lakini kuanzia mwaka Jana mwezi wa nane hadi Leo kesi haijawai kuckilizwa na mtuhumiwa hajulikani alipo na alie muekea zamana cjui alipo kila nikiulizia kwa mwendesha mashitaka hakuna jibu linalo eleweka kazi yao subir yani hadi MTU unakata tamaa mahakamani nishida aisee
@mwinyiadadi1604 Жыл бұрын
Niliibiwa gari aina ist dsm salasala kwa babu ist pampa new model number drd 923 mwaka jana mwezi wa tatu
Nenda tra wakakupe documents zinazohusiana na gari yako
@suzanemwangingo69323 жыл бұрын
Mungu wangu hao wafungwe
@emanuelmlowe68543 жыл бұрын
Sari Sana polisi
@mwinyiadadi1604 Жыл бұрын
Kamanda tunaomba number
@edenbaraka75333 жыл бұрын
Ehee kwa hiyo mpaka gar ya MTU hawa wanakurupuka
@ameenaameena12243 жыл бұрын
Subuhanallh
@shabansamwi98913 жыл бұрын
wapotezi pia kimya kimya
@missangela67203 жыл бұрын
Kamanda anavyokazia sasa unajua walipania kwelikweli. Hongereni sana jamani. Hii ndiyo Tanzania mpya
@furahishashaban34223 жыл бұрын
Aiseeee hiyo IST ilikua na usajili DNV nimeshangaa DLH khaaaa wezi🙌🏻hapana unaweza kupishana na gari lako barabarani na usilitambue🤭
@teacherd3 жыл бұрын
SIFA ZA KUSOMA CHUO CHA AFYA(Certificate) kzfaq.info/get/bejne/jq5do66krMu-YGQ.html
@happynelson11363 жыл бұрын
Hiyo mijizi haionyeshwi sura zao sababu wananchi wenye hasira wanaweza kuwaua halafu ikaonekana ni makosa ya polisi kwa kuonesha sura zao
@boniphacepius29873 жыл бұрын
Duuh
@deboramwalubwelo41843 жыл бұрын
Niliibiwa gari 2015 ukumbi wa mkapa. T 909 DBX. Msaada afande.
@ameenaameena12243 жыл бұрын
Hayo majina tu yanatisha subuhanallh
@henryndosi11143 жыл бұрын
Kishindo cha awamu ya tano mtandao wa lema yeye anakula baridi Canada mashambani
@edenbaraka75333 жыл бұрын
Doo ujinga huu,niibiwe gar Bado niwe nami mwiz
@ilynpayne74913 жыл бұрын
Kwa mkwara wa afande mtu kama kweli uli ibiwa gari uta ifata? 😅😄😄
@msalikemedia3 жыл бұрын
Hahaha hufati maana utaishia jela na wewe
@ilynpayne74913 жыл бұрын
@@msalikemedia unaweza ukawa jambazi ghafla daah hii nchi we acha tu unaweza ikawa haki yako na usi ipate🤣😄
@msalikemedia3 жыл бұрын
@@ilynpayne7491 Hahaha kwahio ni bora ukae kimya eti
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Umeonaaa eeee nimecheka
@smilemediatz3 жыл бұрын
maswala ya kuficha majambazi bola msiwe mnatoa taarifa nini maana ya habari
@tousihhhh67653 жыл бұрын
tz mikon juu siami miak mia
@salumally15613 жыл бұрын
Mnavyotoa taarfa muwe munatuwekea Na picha za waarifu
@edenbaraka75333 жыл бұрын
Waiz wanakuwa waz kwa picha hatuwaoni
@zqmax39343 жыл бұрын
Issaaaa
@wisperfect53203 жыл бұрын
Tuoneshen wezi sasa tuwajue
@japhrystar25973 жыл бұрын
Namm nimeibiwa baiskeli nisaidien jmn
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Nenda kwa mjumbe
@seifjuma34713 жыл бұрын
@@julihanjosephyjs6361 😅😅😅😅
@japhrystar25973 жыл бұрын
Dah
@mwajumahamisi20063 жыл бұрын
@@julihanjosephyjs6361 😂😂😂😂😂😂😂😂
@nassorsaid23313 жыл бұрын
Sasa mafundi garage wote si wana hizo tindo,misasa,spana n.k
@nyamkamawanjara293 жыл бұрын
wachomeni sindano za sumu wafe
@leahmwakalambile16483 жыл бұрын
Tuonyeshe hawa watu
@ahmednoor14123 жыл бұрын
Kamanda huyo jambazi wa moshi mbona umerudia Mara mbili kumtaja maana .
@hadija8463 жыл бұрын
Wezi wenyewe hata sura zao hazipo
@naamohamed99643 жыл бұрын
😃😃😃
@ahmedsereleman77603 жыл бұрын
f
@rajaburajabu39633 жыл бұрын
Saf
@graphixmaster61463 жыл бұрын
Nna wasiwasi hizo gari za wezi Polisi wanaweza kujimilikisha hata kama walizipata kihalali😃😃😃
@emanuelmlowe68543 жыл бұрын
Siwaonyeshe nyaraka?
@emanuelmlowe68543 жыл бұрын
Usikute Unaishi kwa kuona magari. Umekuja kwao utakuta waliua watu wakati wanaiba
@emanuelmlowe68543 жыл бұрын
Usikute Unaishi kwa kuona magari. Umekuja kwao utakuta waliua watu wakati wanaiba
@rosekaiza27163 жыл бұрын
Hata mimi ninawacwac maana kapiga mkwara wakutosha yaani hata kama gar ni lako utaogopa kwenda kugomboa kwa vitisho hivyo coz afande kasema hata kama yako uje na vielelezo vya kutosha wakati siku hizi tunanunua gari za kuvuana hatuendi yad na hao wezi wameshaibadilisha mpka kwenye injini kweli kuna kupata gar kweli hapo?na wamesema ukizingua kidogo unaunganishwa na kesi ya wizi na wewe duh!! Bado TRA mungu awasaidie wenye magar yao alali
@thelivingwordchannel90273 жыл бұрын
Ningeshangaa kama mchaga angekosekana kwa hao wezi.