Majambazi wavamia kituo cha kampuni ya KETRACO ilioko Kisii

  Рет қаралды 62,478

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Ай бұрын

Maafisa Wa Polisi Huko Kisii Wameanzisha Msako Wa Majambazi Waliovamia Kampuni Ya Usambazaji Umeme Ya Ketraco.. Uvamizi Huo Uliofanyika Kuanzia Saa Sita Unusu Usiku Wa Kuamkia Leo Ulisababisha Giza Totoro Katika Kaunti Nzima Ya Kisii.

Пікірлер: 69
@shabankolia8204
@shabankolia8204 Ай бұрын
Hao ni watu wa Kenya power kabisaa
@simonomolo1016
@simonomolo1016 Ай бұрын
True mwenye hajui hapo awezi enda hapo
@user-wd1ft1zb6n
@user-wd1ft1zb6n Ай бұрын
Cctv ziko wapi abig company like this one AAiii????
@wemakalama6458
@wemakalama6458 Ай бұрын
hiyo company haina security mmh , wonder shall never end in kenya.
@mathekarichard1382
@mathekarichard1382 Ай бұрын
I jus wonder too
@henryembuga6440
@henryembuga6440 Ай бұрын
Whatever you mean please rethink because such places are never easy to enter. These are people conversant with what they want and this is a rare theft.
@juliamongina6084
@juliamongina6084 Ай бұрын
It was 5am and 20mins is when power went off ujajnja😂😂😂
@henryembuga6440
@henryembuga6440 Ай бұрын
@@juliamongina6084 if it's ujanja as you put it,then the thieves must be very mean and selfish because how do you stop all important operations of a region by stealing what help generate wealth of it? That's is stupidity at it's highest level!!!
@eugenekeragori6533
@eugenekeragori6533 Ай бұрын
Hiyo ni inside job..lazima utapata mpaka police wako kwa mix
@jacklinezombo5806
@jacklinezombo5806 Ай бұрын
nanyi mnafikiria niwajinga sana wauze apa apa kenya
@johngeorge4834
@johngeorge4834 Ай бұрын
Lazima wakenya wajilee hata nyinyi mnaiba sana na hamtuambii
@georgesagwe6703
@georgesagwe6703 Ай бұрын
How can such station has no cctv in place
@ProducerLesQ
@ProducerLesQ Ай бұрын
Because they never want anyone to know the truth. Most government facilities lack CCTV because a lot goes in there that should leave no trace.
@mathekarichard1382
@mathekarichard1382 Ай бұрын
How does such a company lack security ?? A tight security kwanza ? Kenya buana 😂😂😂😂. Sometimes sometimes nosawa
@our10picks18
@our10picks18 Ай бұрын
The transfer of all KPLC assets to ketraco is obviously not sitting well with some people 😏
@patiatjoseph3144
@patiatjoseph3144 Ай бұрын
😅,Those are alot of money...zinaendaga wapi wakipata????
@abelkerandi4290
@abelkerandi4290 Ай бұрын
Wanapoteza mamilioni kila baada ya saa,yet they can put enough security measures in place😂. Wonders will never seize to happen in Kenya😢
@Travelwithfred
@Travelwithfred Ай бұрын
Imagine, they can't hire police to take care such a big power station imagine
@davidmaya5342
@davidmaya5342 Ай бұрын
uko sure kplc has nothing to do with this
@davidmaya5342
@davidmaya5342 Ай бұрын
@TikeAlpha that might also be true
@Ken_W254
@Ken_W254 Ай бұрын
Did i hear they lost ksh. 1 million per hour? So getting all that amount without considering safety/security in place? No CCTV, No Security personnel😳
@sistomwangi1592
@sistomwangi1592 Ай бұрын
Tafuteni mafala hao ni wafanyi kazi wa Kenya power shenzi sana
@Nomad-fh2hs
@Nomad-fh2hs Ай бұрын
wish ningekuwa huyo jamaa anafanya ketraco ,ningerudisha moto just 1 second wote wangekuwa nyam chom hapo hapo.
@kuschprince3216
@kuschprince3216 Ай бұрын
" Na cctv inaonyesha nini au hazifanyi kazi?!!
@raelonchuru4678
@raelonchuru4678 Ай бұрын
One problem to another...pole sana
@user-vu7bl9oh8o
@user-vu7bl9oh8o Ай бұрын
Sirikal every time wameanza uchunguzi and their uchunguzi hakuna wakati the desperate Kenyans have ever got a positive answer. Sirikal yawah. Ee
@mufunyiibrahim3655
@mufunyiibrahim3655 Ай бұрын
What do they use those wires for
@ZEDY5iVEZ
@ZEDY5iVEZ Ай бұрын
Wah tena Eliud Kimtai tena hata mimi sasa nitaotwa kipsang ndio nipate kazi
@michaelkioko3861
@michaelkioko3861 Ай бұрын
No proper security in such a sensitive installation ? Security arrangements should be reviewed ASAP
@georgendiga
@georgendiga Ай бұрын
Nguo ya yellow ya Ojinjo imeraruka sana hana pesa na kentraco Earning 1.2million per hour Management fanya kitu na huyu ndiye anaamilimiea ma billions. (0.38minutes) & (2.23minutes)
@SleepyAgilityPuppy-wx3wf
@SleepyAgilityPuppy-wx3wf Ай бұрын
Mnapata hizo pesa per hr na bado kenya power iko na hasara😂😂😂😂😂😂😂
@reubenmusundi35
@reubenmusundi35 Ай бұрын
Such as investment doesn't have security by the Government.This is a very big lapse.
@dickensojiambo275
@dickensojiambo275 Ай бұрын
Uyu jamaa ako kwa deal iyo dawa alijulia wapi
@georgegg1079
@georgegg1079 Ай бұрын
How is critical infrastructure protected?. Those could be former employees. Who can think off entering such place?
@devidjav3583
@devidjav3583 Ай бұрын
Kenya power wezi nyinyi
@samyomondi
@samyomondi Ай бұрын
yani hamwezi weka CCTV cameras on that kind of facility 😮 it doesn't bring sense
@morangaqatar8963
@morangaqatar8963 Ай бұрын
DCI anawinda Arati kama swara badala ya kuwa na such intelligence
@rozinachao5256
@rozinachao5256 Ай бұрын
Surely mtu aibe kwa stima alikua haogopi kupigwa radi ama ni wenyeji wa hii kampuni hehe
@Travelwithfred
@Travelwithfred Ай бұрын
Kwani they can't hire the police to take care such a big power station??
@micaangote2138
@micaangote2138 Ай бұрын
CCTV?
@thoyathoya5904
@thoyathoya5904 Ай бұрын
Wapi cctv za kampuni
@mikemuchene2045
@mikemuchene2045 Ай бұрын
How 🤔????????
@arap2542
@arap2542 Ай бұрын
Hawa wajamaa wako na roho ngumu Watakuja kusumbua raia isiposishikwa Wire jamaa😂
@japhetkahindi4791
@japhetkahindi4791 Ай бұрын
We are a nation who don't know who we were, such a place No police,No police wh????
@bryomuch
@bryomuch Ай бұрын
press statement from wezi wa kenya say they have nothing to do with this, it lacks enough milk and they dont like high voltage😂😂
@newupdates6063
@newupdates6063 Ай бұрын
Kenya power is fighting private company 😅😅, same thing with Kenya breweries fighting Keroche 😅😅 Banana republic 😅😅 they don't want competition 🙏
@jamessila3219
@jamessila3219 Ай бұрын
Poleli jamani
@brojohnofficial14
@brojohnofficial14 Ай бұрын
😢
@sylvestarbenjamin4718
@sylvestarbenjamin4718 Ай бұрын
Ndio nimeshangaa mbona stima haijakuwa
@josephmuchemi5533
@josephmuchemi5533 Ай бұрын
Ni wakisii,Sio majambazi
@rogersombongi6766
@rogersombongi6766 Ай бұрын
Huyo ojicho atuelezee vile kuko
@fabianjoy12875
@fabianjoy12875 Ай бұрын
Things are bad
@robertnyabibanyamongo8266
@robertnyabibanyamongo8266 Ай бұрын
It is unfortunate that the culprits linked directly/indirectly to an illegal/unlawful cartel on matters incidental to Kenya power and lightning in the republic of Kenya works in its illegal and unlawful vandalism and stealing of the said property while colluding and conspiring with individual officers in relevant authorities including Kenya power, police, chiefs,etc.All culprits are known but due to their complex ring of network,the DCI officers need to deepen their investigations to find the master minders who are all known but covered/protected country wide by known forces under illegal/unlawful conflict of interest contrary to law.
@shamirhassanhassan4530
@shamirhassanhassan4530 Ай бұрын
Hi serekali ina cheza na akili ya wakenya
@gideongikeno6721
@gideongikeno6721 Ай бұрын
Ninani huiba kwa power station 😂
@simonomolo1016
@simonomolo1016 Ай бұрын
Si waweke askari mwenye akona bunduki. Kenya power ni company kubwa but wajinga ndio tukonayo kenya hi
@daveparko3519
@daveparko3519 Ай бұрын
This is an inside job. How did thieves know there is cooper wires in the station and where it was located, why did they come with an axe? Inside job, huyu jamaa anajua!
@AnthonyObuya
@AnthonyObuya Ай бұрын
Take this guy to behind the scenes news, He old and looks like he can't see the words he reading out
@esternyange8007
@esternyange8007 Ай бұрын
Hapo ndo kenya imefikia. better are the Uhuru days
@user-gj4mj4vk5k
@user-gj4mj4vk5k Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂wacha nicheke nikisoma comments
@vincentmugendi7183
@vincentmugendi7183 Ай бұрын
No cctv..... Ujinga tupu
@OnenThomas-cw7py
@OnenThomas-cw7py Ай бұрын
Regina thomas president uganda omoro kpitlcity Citi Bank 🏦🏧 moment's PDM momma off 📴❤😂🎉😢😮😅 yellow
@sistomwangi1592
@sistomwangi1592 Ай бұрын
Tafuteni mafala hao ni wafanyi kazi wa Kenya power shenzi sana
CS Moses Kuria says DP Gachagua's impeachment motion is on the way
3:00
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 23 М.
How to bring sweets anywhere 😋🍰🍫
00:32
TooTool
Рет қаралды 43 МЛН
Как быстро замутить ЭлектроСамокат
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 13 МЛН
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 1,3 МЛН
This is Gachagua’s BIG WIN
18:58
Herman Manyora
Рет қаралды 18 М.
Sababu ni Mapenzi : Mzungu akabiliwa na umaskini Malava
4:08
KTN News Kenya
Рет қаралды 252 М.
I got pregnant for another man while waiting for my husband from Dubai | Tuko TV
1:28:12
Kĩrĩra kĩa marĩtwa; #Kĩmũrĩ
1:20:18
Inooro TV
Рет қаралды 18 М.
TOP KENYAN PASTORS & THIER FAKE MIRACLES EXPOSED
57:12
Presenter Ali
Рет қаралды 108 М.
How to bring sweets anywhere 😋🍰🍫
00:32
TooTool
Рет қаралды 43 МЛН