Рет қаралды 3,767
Wananchi wa Kata ya Karema Wilayani Tanganyika mkoani Katavi wameomba msaada kutokana na nyumba zao kuzingirwa na maji yanayotoka katika ziwa Tanganyika huku sababu hasa ikiwa ni Mabadiliko ya tabianchi.
Wameyasema hayo walipotembelewa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi katika kata hiyo huku akiwa ameambatana na kamati ya ulinzi na usalama na viongozi wengine wa Mkoa, ambapo Wananchi hao wameishukuru serikali kwa misaada waliopatiwa