Sheikh suleiman mazinge masha Allah...very composed islamic preacher infact....i started following his preachings back 2012 when he use to preach about devil whorshipers and football clubs that is owned by devil whorshipers...We pray to Allah as fellow muslims to give u more strength to spread kallimatul Laaa ilaaha ilaa Allah because we all understand its not easy to accomplish Daawah like the way our sheikhs are struggling...
@mohammedkimanga89603 жыл бұрын
Mashaallah tuko pamja sheikh mazinge
@malicboy79733 жыл бұрын
Allah awahifadhi ma sheikh wetu.
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@qhatramohamed70063 жыл бұрын
Mashaa-Allah wahadhiri wetu sheikh yahya na ustadh mazinge ALLAH awajalie muzidi kuinez haki.Na azidi kuwapa nguvu na afya,Awajalie janatul firdaus na familia zenu
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@iddizuber3333 жыл бұрын
Masha Allah, tunawapenda Sana mashekh wetu , natamani nami niwe na elimu kama yako ili nisomeshe waislam wenzangu japo wanawake wenzangu
Sisi waislamu tuna mapepo na Yale mnayoyatoa kanisani ni Ninii? Hamjielewi endeleeni kufunga Mpk mfe😂🤸
@omarymikombe27624 ай бұрын
Mbona Jaziba?😂😂😂😂
@jamilayusufu21193 жыл бұрын
jama waslamu kuwasaidia masheik wetu na kiuchumi gari inataka mafuta wanataka mahali ya kulala na chakula tusimame na mashekh wetu
@IngabireAisha38133 жыл бұрын
Nikweli kabisa Alhamdulillah Jazak Allah khayran
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Amin
@salmasalim60553 жыл бұрын
Mashallah
@muliamadi8593 жыл бұрын
mashaAllah
@mohammedkimanga89603 жыл бұрын
Allah akufnyie wepesi kwa juhudi zko sheikh
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@abubakariramadhani1372 Жыл бұрын
Hongera sana shekh mazinge
@islamicnewschannel25513 жыл бұрын
Assalam Aleikum Akhui, Masha Allah Suleiman Mazinge mawaidha yake ni mazuri sana nimeipenda na inawaelisha watu wasiojua duniani unaendelea nini,mm ningependa Suleiman Mazinge, Uthman Mazinge na mashekhe wakubwa wenye elimu east Africa wamualike Dr Zakir Naik katika muhadhara iwe mkubwa na iwe uwanja mkubwa iwe Kenya au Tanzania, please ndugu yangu.
@mohammedrajabu74493 жыл бұрын
Sheikh allah akubaariki kwakila lakheri Allahumma Amiin
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Amin
@bellbell92943 жыл бұрын
Shukraan Sana masheikh wetu Allah awahifadhi jazaka Allahu kher
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@shaffitsuma12503 жыл бұрын
MashaAllah
@athumansaumu16803 жыл бұрын
Maashallah jazaka ALLAH kheri
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Amin
@theoriginaldhol30323 жыл бұрын
Mansha Allah I love you for the sake of Allah May Allah give you janatul fardows amiin
@yusufgagamuhammad26749 ай бұрын
Shekh tembelea ndugu yetu ndacha ukampe ilimu😢😢 ana udhi sana akimtukana mtume s a w
@CharoHarrison4 ай бұрын
Ukweli mchungu
@ismailhussein8414 Жыл бұрын
Mashallah,our masjid congo
@kijanahodari20803 жыл бұрын
Hahahahaaa 🤣🤣😂 Masheikh wangu nimecheka adi chai imenichoma duh..Maa Shaa Allah leteni live pictures kuongea na hao walimu wa vipofu na viwete adi kieleweke
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Tutawaleta InshaAllah
@edge6016 Жыл бұрын
Asalam Aleykum Mazinge na kupenda sana kwajili ya Allah daawah unayoifanya Allah Akupe afya na umri mrefu na Akupe Janah na Akuzidishie elmu Amin
@shaffitsuma12503 жыл бұрын
Allah awazidishie ilmu, afya, na awahifadhi masheik wetu. Kazi nzuri kutuelimisha
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@alllyrics48353 жыл бұрын
Ameen
@muslihmohd94203 жыл бұрын
Ah hawa wakristo wanajichanganya tu,tafaruki walizonazo kwa makanisa yao ni kubwa maana mkatholik haingii kwa wasabato ila ukiwauliza yesu alianzisha kanisa gani watakuchekea tu hawan jibu lolote. Mashallah sheikh wangu wafundishe ili waongike inshallah.
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Kufikisha ndio wajibu wetu
@mwanamwinyibmwakinalo40943 жыл бұрын
Mashallah, Allah awape umri masheikh wetu nawapenda sana 😀😀😀😀 hapo mumenichekesha kweli
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@noahwamalwa43853 жыл бұрын
also watch this kzfaq.info/get/bejne/qbldn6-Fy6mtZ5c.html
@mwajumamwajuma37563 жыл бұрын
Mashaallah wisilam ustadh mungu awape kheri 🙏
@jasminmohamed61453 жыл бұрын
MashaAllah Shukran Jazakallahu kheir Bruder
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Amin
@user-vq3zu8ne9b3 ай бұрын
Waislam NI mbwa Koko yenu yanawashinda mmekazana na ya wenzenu 😂😂😂
@mohamedissack80533 жыл бұрын
Masha Allah mungu awatunze
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma amin
@hkmfurazuberiismael795210 ай бұрын
Uripo popote Allah amufanyie wepesi akukinge nashali zakidunia na akupe mwisho mwema
@nasibndaro62813 жыл бұрын
ماشاءاللہ جزاك اللهُ
@felixjemogong91242 жыл бұрын
Africa Israel nineve Jebrock my home area
@halimasaid49773 жыл бұрын
Mashaallah shekhe Allah amekujalia elim Allah akuhufadhi na akuongoze wewe na kizazi chako
@mudydady98993 жыл бұрын
Mashallah Mungu akulipe kheri ostdh nafarijik sanaa unavotupa elimu
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@yusufsadic29303 жыл бұрын
I lik this Ustaz Allah amongeze Dunia na Akher
@martinchansamwinyi2508 Жыл бұрын
Alhamdulillahi for being a Muslim ♥️
@user-mh1es7ur1o Жыл бұрын
Safii sana
@ibrahimmchucha30342 жыл бұрын
Allah awalinde Masheikh wetu 🤲
@alllyrics48353 жыл бұрын
JazzakaAllah kheir ma Shekh wetu
@user-kt6py2og4y4 ай бұрын
Tembelea mazinge ww msema ukweli
@ibinhussein85612 жыл бұрын
Jazakallah khair
@ShedrackMathius-mw4wx Жыл бұрын
Mashalllah
@iddyally72283 жыл бұрын
Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@tegamatwiАй бұрын
Barakallah Feekum ❤❤❤
@othmanmulendelwa96222 жыл бұрын
Na uchambuwe na ya waislamu nawa islam wapo katika frimason
@halimamohamed27652 жыл бұрын
Mansha ALLAH nafurah kukuona tena shekhe..
@abdiaziznoor1423 жыл бұрын
Sheikh Suleiman mashaallah
@yvesmontana90432 жыл бұрын
U Islam ni dini ya haki mimi nazaliwa kwenye familia yaki christo ila uislam ni dini ya haki
@aggreykangethe9337 Жыл бұрын
Faith without action is dead
@rashidwalwanda19913 жыл бұрын
Shukurani Kwa Elimu
@shabanialialmeidaassumani88823 жыл бұрын
Alhamduli Allah sheikh mazingi
@husha63723 жыл бұрын
Quran 9:82
@karoreroramadhan33533 жыл бұрын
Manshallah from Burundi tunakusikia
@abdihakim_iddle54463 жыл бұрын
MashaAllah sheikhe....Maranatha church pia iko sehemu za waitethie past juja na pia nimeiona ukiingia pale thika town
@saidikituwile39243 жыл бұрын
Waongo Sana ao wachungaji
@saumuseif91893 жыл бұрын
Kweli kabisa
@mwanashazingas66842 жыл бұрын
Congo diani
@MOHATVKENYA3 жыл бұрын
#mohatvkenya Mashaallah napenda daawa yenu
@naheelamohamed99702 жыл бұрын
Mashallah bro
@ruu65922 жыл бұрын
Haha nimecheka
@jamilayusufu21193 жыл бұрын
mimi ninaamini MUNGU tu ndio anaponesha....hawo ni binadamu tu tena ni matapeli tu
@mohammadsaid61002 жыл бұрын
Mashaa allah
@user-em7gw6bh5x6 ай бұрын
Makanisa ya freemasan
@idrisamey30303 жыл бұрын
Assalamu aleykum. May Allah SWT reward all the ulamaa. What happened to shk Shaban , Salim Deda, ex pastor I have missed them do they have another youtube channel
@allanothuman29413 жыл бұрын
Uko good
@husseinbenson79652 жыл бұрын
UKIRISTO UNAWAUMIZA SANA VICHWA UNAFANYA MSHINDWE KULALA NA MBAYA ZAIDI UNAZIDI KUKUA ZAIDI KILA KONA .
@sokakilumbi92932 жыл бұрын
labda ukristo unakuwa kwenye familia yenu😜‼‼
@mwaitaali68163 жыл бұрын
Assalam alaikum
@Sisterjemi12 жыл бұрын
Ustadh suleiman mazinge mbona simuoni siku hizi yupo wapi
@manpeter31933 жыл бұрын
Allahu akbar
@peterokula8404 Жыл бұрын
Which church was begun by God or JESUS or David now?
@mamuskamery453 жыл бұрын
Asalam Aleikum warahmatullah wabarakatu
@user-ky2ec2nr1l Жыл бұрын
❤
@jangombeboys45363 жыл бұрын
MAZINGE
@danielmgeni17033 жыл бұрын
Asante kutuelimishen aukiangalia nikweli
@RebeccaKalonda3 ай бұрын
Shukran
@jamilayusufu21193 жыл бұрын
Asc bror mimi ni likuwa ninawagaliyanga Wewe na Ismail na mada ya freemason. Amepoteleya wapi Ismail ?????
@saidjames1902 жыл бұрын
🙏
@saynabmohammed62633 жыл бұрын
Tutumien tujifunze
@kisesawapiliTv3 жыл бұрын
Mpka hapo ulipo unatumia calenda ya papa,misikiti yote inaxajiliwa na serikali na pia serikali iko chin ya papa masaa unayofata ni ya papa,paspot unayotumia ni mfumo wa kipapa so sijui wakwepa wapi
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
🤣🤣🤣 muwacane kabisa hajaambiwa MUTUME yoyote tarehe ya dunia awo majambazi njo wapatie subutu kazi nzuri la sheikh zetu Allah atupe furaha ya duniani na akheira atukinge na azabu za uko ...
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Amin
@patrickgudaga346111 ай бұрын
😂😂
@artisthusnatalal30993 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@HARUN_MOHA3 жыл бұрын
Mulienda wapi
@josephabwao42253 жыл бұрын
We respect and appreciate your work but stop being abusive and diminishing other religions......
@saidjames1902 жыл бұрын
M
@husseinbakromar58653 жыл бұрын
Sheikh swali langu ni kuhusu uislam mbona pia una madhebu kadha islailia sunni Shea na kadhalika ni vp?
@fundibombazanzbar57173 жыл бұрын
Ila wanamuabudu mungu mmoja na mtume wamungu awatofautian kwa kwakufata mtumemwengne wala mungu mwengine ila awa wakristo ndo ibadazao azina mashiko
@nalingarowl70482 жыл бұрын
Hujui unachokiongea. Kanisa ni moja tu.Roman Catholic.Ni kanisa ambalo lilianzishwa Yesu mwenyewe kupitia Mtume Petro. Soma Biblia.Mt.16.18. Roman Catholic ulianzishwa mwaka 30 baada ya Yesu kuondoka.Nje ya Kanisa katoliki ni Madhehebu.ni matawi yaliejimega kutoka kanisa. Ndani ya miaka 1000 baada ya Yesu hakukiwa na dhehebu lolote.kulikiwa na Kanisa moja tu,yaani Ukatoliki.Kwa maelezo ya Yesu Ukatoliki hauwezi kushindwa na chochote.Mt 16:18.ukatoliki umefanya mengi sana katika Dunia ikiwemo Tanzania. * Ni ukosefu wa kuelewa,sio Kila penye jengo na Msalaba kuwa ni kanisa.Hayo ni madhehebu na Kanisa ni moja.ni madhehebu ya Wakristo. Katika yote ukrisu hauwezi kushindwa Kwa maana una umri mrefu na mengi yanayoendelea kufuatwa au kutumika yameasisiwa na Ukrisotu
@nelsonzebedayo82813 жыл бұрын
Pole Sana mazinge kwa kuwadanganya watu.lakini nataka nikwambie kwamba Kwa Mohammed huwezi kupata uzima wa milele bali kwa yesu kristo2 ndo unaweza kupata uzima wa milele. Lakini kuna kitu nataka nikusaidie kwasababu hujui maana ya kanisa. Kanisa sio jengo, kanisa nikikundi cha watu waliomwamini Kristo yesu wanao kaa kukumbushana au kufndishana maneno ya mungu. lakini pia ww mazinge kwasababu hujui mambo ya unabii huwezi kuzungumzia mambo yanayo jitokeza sasahvi katika makanisa .Hizi nisiku za mwisho,kwa watu hawa wanao jiinua nakufanya uganga wao mbele ya watu wengine wanaanzisha huduma ambazo ziko kinyume na alivo agiza yesu kristo, Hakika hao nimawakala wa shetani wakuja kulivuruga kanisa. Lakini mambo hyo hayana budi kutukia kwasababu yaritabiriwa na yesu kristo Mathayo7:15 na Mathayo24:3....5.lakini pia mazinge nataka nikusaidie dini wala zehebu haliwezi kukufikisha mbinguni wala mtume wako Mohammed ila mmoja tu yesu kristo mwenye kuja kuhukum ulimwengu Yahana14:4....6.Imani ya yesu Kristo ndo inaweza kukufanya uende mbinguni. Namba yang ni0767182765 tujadriane.
@idrisaabdillahibpxkijykbs41623 жыл бұрын
kwaiyo mie nkimuamini tu Yesu kristo hata nikitenda dhambi nitaenda minguni?
@ahmednoor95463 жыл бұрын
Wachahzo porojo ww nkpofu na hujui pakueleke.eti ndaniya yesu kunauzima wamilele umeingia ndaniya yesu ukaoana hiyauzima?
@sokakilumbi92933 жыл бұрын
Ukristo ni shiddah eti kafiri nae anatafuta uzima wa milele ndani ya ukristo!!!... يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ ۖ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ [ AL - ANFAAL - 24 ] Enyi mlio amini! Muitikieni Mwenyezi Mungu na Mtume anapo kuitieni jambo la kukupeni uzima wa milele. umeona wewe mgalatia uo ndio uzima wa milele kumuitikia mwenyezi Mungu na Mtume wake!!! na kumuitikia kwenyewe ni huku قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ تَعَالَوْا إِلَىٰ كَلِمَةٍ سَوَاءٍ بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمْ أَلَّا نَعْبُدَ إِلَّا اللَّهَ وَلَا نُشْرِكَ بِهِ شَيْئًا وَلَا يَتَّخِذَ بَعْضُنَا بَعْضًا أَرْبَابًا مِّن دُونِ اللَّهِ ۚ فَإِن تَوَلَّوْا فَقُولُوا اشْهَدُوا بِأَنَّا مُسْلِمُونَ [ AL I'MRAN - 64 ] Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa mola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu. sasa wewe ukiwa una muabudu kiumbe badala ya Mwenyez Mungu wewe unakuwa kafir wala hutoupata uzima wa milele ,,,kwasababu Yeremia 17:5 BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA. kwa iyo wewe na wagalatia wenzako mmelaaniwa kwa kumtegemea.... 1 Timotheo 2:5 ..., Mwanadamu Kristo Yesu; sasa kaa peke yako changamsha bichwa lako kwa kujiuuliza kuwa "ivi mtu mwenye laana atapata uzima wa milele!!!???"
@mariamabdallah1153 жыл бұрын
Wajidanganya sana wewe niheri uje kwa uisilamu usalimike ndugu kabla hujaishia motoni