Makonda Awasweka Ndani Waliouza Nyumba ya Mjane Kimagumashi

  Рет қаралды 83,232

Global TV  Online

Global TV Online

6 жыл бұрын

Makonda Awaweka Ndani Mkurugenzi wa Kampuni ya Udalali
Install #GlobalPublishersApp
Android: bit.ly/2AAQe1d
iOS: apple.co/2Assf4M
Subscribe / uwazi
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Пікірлер: 85
@yasinshaban4933
@yasinshaban4933 6 жыл бұрын
Big up, najiuliza sana juu ya uwezo wako mkubwa sana wa uelewa wako my RC makonda "Piga kaz mdogo wangu"
@akimmbwego797
@akimmbwego797 6 жыл бұрын
NAZANI SIKU MOJA UTAPATA UWAZIRI........ME NAKUOMBEA SANA UWE MRISI WA LUKUVI INSHAALLAH
@alicegeorge1796
@alicegeorge1796 6 жыл бұрын
Mungu akuweke miaka 100 we baba kazi yako sio bure iko siku utalipwa kwa Mungu usipozimia moyo ...kwani Mungu huwa anambariki na mumlinda MTU anaepigania haki za wengine hata Bible inasema ukishugulikia ya wenzio na Mungu anashugulikia yako...Nakuombea kwa Mungu akuinue Mara dufu na kila ulifanyalo usiwe mkia ukawe kichwa pia Mungu akawapige upofu wale wote wanaokufikiria mabaya big up Baba...we love huu😘
@raphaelnjangaje1739
@raphaelnjangaje1739 6 жыл бұрын
hao wenye vieti safi ndiyo walio tufikisha hapa. nakukubali sana kiongozi wangu
@sallykanze
@sallykanze 6 жыл бұрын
Pongezi sana mh.makonda kwa kazi yako nzuri u were born to serve the nation,God will help u
@abdulmillanzi7355
@abdulmillanzi7355 6 жыл бұрын
Upo vizuri Mkuu Wangu wa Mkoa
@mzeewamadodoso1816
@mzeewamadodoso1816 6 жыл бұрын
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...Mungu akubariki Makonda you are the super Leader
@sheshetv2549
@sheshetv2549 6 жыл бұрын
Ishaallah mungu atakulipa ..Fanya kaxi mkuu sisi wananchi tuko pamoja na wewe..Hongera sana Makonda
@marymary2090
@marymary2090 6 жыл бұрын
Well done Makonda for fighting for poor people. Yes some of them in the bank they work with gangsters that is for sure.
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 6 жыл бұрын
mungu akukinge daima makonda umri wauongozi uzidishiwe kaka wazazi wako walisema ulikua bora toka mtoto mungu aendelee kukufanya bora hadi uzeeni
@cr7ronald468
@cr7ronald468 6 жыл бұрын
Kampen kinondon
@reenycolor2085
@reenycolor2085 6 жыл бұрын
Asante Mh Makonda Mungu akubariki kwa kazi ya mikono yako🙏🏿
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 6 жыл бұрын
safi sana muheshimiwa Kwa maamuzi yako mazuri sana
@donaldsamwel683
@donaldsamwel683 6 жыл бұрын
Hongera sana uonevu ulizidi inchi hii,ubarikiwe wewe mh.Makonda ni mfano wa kuigwa kwa viongozi vijana.
@dharesfadhil2236
@dharesfadhil2236 6 жыл бұрын
Am from kenya but nimependa kazi yako.mungu akulinde
@mussamussamussa8444
@mussamussamussa8444 6 жыл бұрын
Kwa uongozi uliotukuka mungu akubariki sana kwa kuwakomboa wanyonge ukweli nchi yetu alikufa kabisa mungu azidi kuwatia nguvu uongozi wa awamu ya 5
@petermtweve1468
@petermtweve1468 6 жыл бұрын
Big up mheshimiwa makonda. Work hard
@thomasmhindi1469
@thomasmhindi1469 6 жыл бұрын
agzo nililolickia kuhusu kuingilia mahakama mheshiwa halikugusi kweli ,,,kw mfano umesema n pamoja na kutengua agzo LA mahakama,,, nnakupenda makonda heb liangalie na hlo liskupe dosari mheshimiwa theGreat RC
@dadapaul2533
@dadapaul2533 6 жыл бұрын
Hongera sana kaka makonda ama kweli unatenda haki mungu azidi kukupigania zaidi maana unatenda mema mnooo nakubali usemi was dady is camping soon nakukubali sana
@christinamonyi4275
@christinamonyi4275 6 жыл бұрын
Good rc makonda god bless you.
@roseemmanuel4492
@roseemmanuel4492 6 жыл бұрын
Mungu Akupe Maisha Marefu Mh Makonda Uzidi Kuwasaidia Watu.
@reonaldmsenga73
@reonaldmsenga73 6 жыл бұрын
Safi sana,clouds hawatumii akir sioni msingi wa msimamo wao bali ni roho mbaya tu
@summanelson5523
@summanelson5523 6 жыл бұрын
Safi sana sana. Wamezidi kuonea watu wasiojua sheria.
@thomasmhindi1469
@thomasmhindi1469 6 жыл бұрын
Hongera makonda
@abubakarimwasumilwe7293
@abubakarimwasumilwe7293 6 жыл бұрын
Nakupenda sana mkuu. pigs kazi
@elineymachambua9508
@elineymachambua9508 6 жыл бұрын
mungu akulinde
@rosemwakisu9024
@rosemwakisu9024 6 жыл бұрын
Mungu akulinde mweshimiwa tunakukubari sn tu
@jumannehassan6214
@jumannehassan6214 6 жыл бұрын
safi sana makonda
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 6 жыл бұрын
Waliokuwa wanakuulizia vyeti nahisi alishafariki.MUNGU akubariki sana kwa kusaidia wanyonge.
@christinasangu8040
@christinasangu8040 6 жыл бұрын
njoo Tuijenge inchi 😀😀walishafariki😀
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 6 жыл бұрын
Christina Sangu ndio walifariki wewe bado unawaona tena.😃😃😃maana ilikuwa sio mihemuko hiyo mwisho wa siku wamebaki kuwa km kina nabii Tito.Nework hazisomi.
@christinasangu8040
@christinasangu8040 6 жыл бұрын
njoo Tuijenge inchi 😂😂😂😂😂
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 6 жыл бұрын
walikuwa wajinga tu, Ila sasa wamekuwa werevu, hakuna haka ya vyeti kwa MTU kwwnye uelewa mkubwa na ubunifu ktk kazi Wa namna hii. this guy, is a gold standard ki utendaji
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 6 жыл бұрын
Wilson Kaseha kabisa bro ni ujinga kweli.
@janethmkoba2689
@janethmkoba2689 6 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza mh makonda
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 6 жыл бұрын
Great
@leilainnocent6532
@leilainnocent6532 6 жыл бұрын
Nakupenda sana Makonda ♥️ Tunamshukuru Mungu kwa kutupa kiongozi makini.
@tumainmatokeo586
@tumainmatokeo586 6 жыл бұрын
makonda unapaswa kuhamishiwa makao makuu dodoma.tunaibiwa mpaka hakuna mfano.Namuomba jpm asikuache dar akulete dom.
@tumainmatokeo586
@tumainmatokeo586 6 жыл бұрын
makonda unapaswa kuhamishiwa makao makuu dodoma.tunaibiwa mpaka hakuna mfano.Namuomba jpm asikuache dar akulete dom.
@kesiaomari2173
@kesiaomari2173 6 жыл бұрын
Mkuu wa mkowa Paul usizani una sahidia wa Tanzania tu la hasha bali unafundisha watu wengi uzalendo na namna ya ku chapa kazi kwa bidii. Mimi nina jifunza kila siku kutoka kwako na Viongozi wengine wazuri including mzee wa kazi Magufili na waziri Mkuu. Asante
@devothayun1586
@devothayun1586 6 жыл бұрын
Mungu akubariki,, Mungu akulinde,, akupe maisha marefu, hata kama hutolipwa dunian basi mbinguni utalipwa Insha Allah
@neemajavan4125
@neemajavan4125 6 жыл бұрын
Mungu akubariki
@zakiamaungazakia720
@zakiamaungazakia720 6 жыл бұрын
Shikamoo maguful kwa kukiona kichwa hiki makonda Allah akusimamie mkuuu
@ashminaabdullah5626
@ashminaabdullah5626 6 жыл бұрын
Ameen
@hidayamussa4273
@hidayamussa4273 6 жыл бұрын
Safi sana
@nancymohamedy6411
@nancymohamedy6411 6 жыл бұрын
Daah watu noma sana kwenye utapeli mokonda na magufuli oyeeee kwa kuwanyoosha
@davidwambura5915
@davidwambura5915 6 жыл бұрын
umependeza sana kuvaa jezi ya chadema
@shau78
@shau78 6 жыл бұрын
Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu.
@ziadaalute6836
@ziadaalute6836 6 жыл бұрын
Dar,matapeliwengi sanaa
@jumannehassan6214
@jumannehassan6214 6 жыл бұрын
big up makonda rais wa dar eslaama
@jifunzekuhusuwewe7475
@jifunzekuhusuwewe7475 6 жыл бұрын
Nakukubali mkuu
@ndikumagengeeric971
@ndikumagengeeric971 6 жыл бұрын
safi saana! aje hata Burundi kwetu atusafishie
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 6 жыл бұрын
NDIKUMAGENGE Eric kwenu kazi ipo bro duuh😎😎😎
@engibertmzaula9461
@engibertmzaula9461 5 жыл бұрын
hongera sana Mheshimiwa Makonda,,mm binafs nakukubali sana 100%100% mheshimiwa
@maulidimsingwa3263
@maulidimsingwa3263 6 жыл бұрын
Kwa anae mchukia huyu mh makonda nafikiri apimwe akili,huyu niwakumuombea mungu apewe uwazili tena wa ardhi,kuna watu wamedhurumu sana maskini,da makonda njoo tanga kuna watu wamedhurumiwa nyumba zao,mashamba,aisee mwenyezi mungu akupe umri mrefu.
@iddmsham196
@iddmsham196 6 жыл бұрын
safi mkuu
@kastorymarko3179
@kastorymarko3179 6 жыл бұрын
Makonda nakupenda sana
@fatumafashiondesigner1461
@fatumafashiondesigner1461 6 жыл бұрын
Safi sana huyu kaka makonde
@zuhuraally171
@zuhuraally171 6 жыл бұрын
Mungu akusimamie mkuu wetu wa mkoa
@uyu9454
@uyu9454 6 жыл бұрын
Chuma hicho KCB IMEINGIZWA KWENYE MATATIZO NA WATENDAJI WAKE WASIOMJUA KAMANDA MAKONDA
@uyu9454
@uyu9454 6 жыл бұрын
Shauri zao
@saidsaid9463
@saidsaid9463 6 жыл бұрын
Safi sana mungu akupe nguvu zaidi
@erickmkosha3126
@erickmkosha3126 6 жыл бұрын
sisi watanzania hatuna cha kukulipa mungu atakulipa tunakuombea makonda
@saidimwisi5303
@saidimwisi5303 6 жыл бұрын
Saidi mwis safi sana makonda gunga kabisa majizi hayo
@kenethmagwila1425
@kenethmagwila1425 6 жыл бұрын
Aise Mkuu wamkoa Makonda saloot sana tna sana ww ndie aje hatumtegemei mwingne mtetez wawanyonge
@mussachuo250
@mussachuo250 6 жыл бұрын
Natamani uwe mkuu wetu wa mkoa wa Pwani maana huku kuna madudu.
@isumaiyamohamed3808
@isumaiyamohamed3808 6 жыл бұрын
Kila la kheri katika utendaji wako wa kazi
@nurdinchelsea3297
@nurdinchelsea3297 6 жыл бұрын
Kaka umehamia chadema? Mana hyo suti yako nika kama zile
@kakafranc8913
@kakafranc8913 6 жыл бұрын
Hiv ndiyo inavyotakiwa maana walizowea kututapeli kila kukicha
@wcbwanatishakiranikirudiab2349
@wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 жыл бұрын
Yani mkuu sijuwe tutowe duwa gani mungu mkubwa awe pamoja nawe
@stephanokanyika6988
@stephanokanyika6988 6 жыл бұрын
we ni kichwa makonda wahachee wanao beza utendaji wako piga kazi makonda
@josephinedavid3072
@josephinedavid3072 6 жыл бұрын
BABA YANGU NA MUNGU WANGU, TULINDIE HUYU RC WETU
@radhiasalum833
@radhiasalum833 6 жыл бұрын
watimue kaka
@hamismabula2307
@hamismabula2307 6 жыл бұрын
siku zote wenye upeo Wa kuona mbali walishangazwa na waluokuwa wanakupiga vita eti oooh vyeti!!! vyeti ndo nn bwana watu tunataka tuone kazi inatendwa. angalieni huyu Mh, ameweza kutekeleza na kusimamia mambo meengi sana kuliko RC yeyote je nini basi tunskitaka? Mh, rais anatambua watu Wa kufanya nao kazi
@suzanafabian6659
@suzanafabian6659 6 жыл бұрын
cwezegi kujikomba mpk nakufa
@dachjunior4766
@dachjunior4766 6 жыл бұрын
MATAPELI wakubwa nyie mwapaswa kabisa kuchukuliwa hatua ... HEADING mloandika ni TOFAUTI kabisa na CONTENT ... yaani mmeona hiyo ndo namna ya kupata viewers wengi ama ...
@nazaletmwampungu1120
@nazaletmwampungu1120 6 жыл бұрын
wewe ni kiongozi was watu
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 6 жыл бұрын
huyu jamaa hana chet feck ukimsikiliza ni zaidi ya chet original
@jacquilinemahumbi5950
@jacquilinemahumbi5950 6 жыл бұрын
Othman Shahib kukosa Cheti so kukosa maarifa Mungu n zaidi na nmuwezeshaji
@jacquilinemahumbi5950
@jacquilinemahumbi5950 6 жыл бұрын
Anza n Mungu maliza name M ungu Paul bashite
@birthaaugustin8331
@birthaaugustin8331 6 жыл бұрын
Mungu akuzidishie hekima na busara Rc makonda
@salamasaidi7363
@salamasaidi7363 6 жыл бұрын
hongera sana Rc makonda unatetea wanyonge hata sisi tumedhulumiwa tutakuja kukuona tunakupenda sana asante
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 36 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
Citizen TV Live
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1,9 М.
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 36 МЛН