Maktaba ya Vatican: Jumba lenye Siri za kutisha, yajue yaliyomo na kwanini yamefichwa hadi leo

  Рет қаралды 117,369

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Пікірлер: 165
@silvananjunwa7905
@silvananjunwa7905 Жыл бұрын
Asante sana naubarikiwe,Katoriki Mungu azidi kuisamia Roho Mt.azidi kutusimamia tusitenguke kiimani.
@cidewashington670
@cidewashington670 Жыл бұрын
Hapa Kuna kikubwa cha kujifunza kutokana na taarifa ,Allahmdulilah A m Muslim
@febrowizkindi
@febrowizkindi Жыл бұрын
simulizi hizi ndo zinaitajikwa sauti la Sky Mashallah😍😍 5/5 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@manasekamnde5802
@manasekamnde5802 Жыл бұрын
Yaani wakati wengine wanatuandikia habar za hofu ya Ebola na Corona sky anatutuliza na story nzuri Kama hz bro Mungu azid kukuinua
@bonita329
@bonita329 Жыл бұрын
Sauti ya sky naipenda unasikiliza story hadi unasikia raha☺️ Big Love from Germany🇩🇪🙌🏼 Vatican Roma italy utalii wangu wa kwanza kabisa nilianza kutembelea kwenye jumba la Vatican kwanza nilishangaa sana viongozi walio kufa maiti zao zinaishi kwenye jeneza la vioo na wamelala vizuri tu wima😬🧐 kuhusu vitabu vinavyohusishwa na uchawi ni kweli vipo maktaba hizo tena uchawi huo unasoma tu nakufata maelekezo na uchawi unakuja live aswa huko UK na marekani kama vile tunavyoona kwa movies zao ni vitu vyakweli kabisa
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti Жыл бұрын
Asante sana Bella
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 Жыл бұрын
Kwa kweli.
@noel3290
@noel3290 Жыл бұрын
You should have a podcast talking about history and i will subscribe. By far the best story i have listened from you. I love history myself but the Roman Empire is just something else. Talk about their architecture someday. It’s believed they had heated floors way even before electricity. I wonder how the modern architecture is so basic
@josephsebe5857
@josephsebe5857 Жыл бұрын
Yes please show that primitive jealous angry man. THAT ROMA WASN'T BUILT IN HIS BRAIN 🤣 THAT'S WHY HE BRING US STUPID THINGS.
@maggiestanley5552
@maggiestanley5552 11 ай бұрын
😅
@avelinekafuru5146
@avelinekafuru5146 Жыл бұрын
Imani, Tumaini na Upendo. Mungu ni UPENDO.
@amirclassic8326
@amirclassic8326 Жыл бұрын
Safi Sana bro nakupata kutokea Canada🇨🇦🍁🍁🍁🍁👍👍👍🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
@messaabbas739
@messaabbas739 Жыл бұрын
Thank you SNS ❣️❣️❣️❣️
@crazy3462
@crazy3462 Жыл бұрын
Sns br unajua sana napenda sana kaz zako endelea nakaz nzuri
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti Жыл бұрын
Asante sana
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
Hapa sasa ndip mmenipata sns nime subscribe leo... asante sana Sky
@philiplenardsylvester6063
@philiplenardsylvester6063 Жыл бұрын
Nimeipenda hii kinoma👏👏👏🇹🇿🇹🇿
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Жыл бұрын
Wafundishen uchawi mzul awa watu weus kama mkaa Mana wenzetu Wana uchawi mzul unao leta faida nasio kutiana hasara
@emanuelgavile3503
@emanuelgavile3503 Жыл бұрын
Sauti kama ni tv bas zaidi ya HD
@guledomary2812
@guledomary2812 Жыл бұрын
Sky Walker.. we ni nomaa unajua kupanga matukio na kusimlia unafanya msikiliza sio tu kufurahia historia Bali pia kujifunza.. hakika hii SmS itafika Mbali Kwa ufanisi
@allymtapera5370
@allymtapera5370 Жыл бұрын
Boss leo nimwkuelewa sana kwa be hii noma sanaa
@sinaloa5698
@sinaloa5698 Жыл бұрын
Bibilia ya kwanza original imefichwa humo piaa
@j-ray4711
@j-ray4711 Жыл бұрын
Knowledge nyingi zipo kwenye maandishi ambapo Kuna Siri nyingi zimefichwa.
@alexmwanioti6390
@alexmwanioti6390 Жыл бұрын
Wanaoujua ulimwengu huu ndio wanaouendesha, kuna siri kubwa sana juu ya maendeleo ya dunia hii tunayoiona
@neemambotola1139
@neemambotola1139 Жыл бұрын
Kweli Dunia Ina mambo mengi sana sisi tunaojifanya wajuaji ndo hatujui chochote..
@josephjulius3327
@josephjulius3327 Жыл бұрын
Thanks for this dunia ina siri kubwa
@mosespeter2508
@mosespeter2508 Жыл бұрын
Mungu atusaidie sana
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Жыл бұрын
Ukute hii maktaba imejaaa siri za kichawi tu hakuna zaidi cc kitabu chetu kimoja tu kinatosha
@titokwareh1852
@titokwareh1852 Жыл бұрын
Unaona wivu
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын
Ukishafuga majini wew ni mchawi tayar😂
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Жыл бұрын
Majini humo humo neno la Mungu humo humo
@zxcvbnmmkh
@zxcvbnmmkh 9 күн бұрын
😂😂😂😂
@mamafaiza1720
@mamafaiza1720 Жыл бұрын
Napendaga simuliziii
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu 3 ай бұрын
Irmao você é bom talentoso ❤❤❤
@amour5535
@amour5535 Жыл бұрын
Ngoja waje mm nasikiliza tu
@maila561
@maila561 Жыл бұрын
here we go👌
@masumbukomaganga438
@masumbukomaganga438 10 ай бұрын
Humo ndiyo mna siri ya jinsi kanisa katoliki lilivyo badili sabato ya kibiblia ya siku ya Saba jumamosi na kuifanya siku ya kwanza ya juma jumapili kuwa badala ya sabato
@Tina-ff4pr
@Tina-ff4pr Жыл бұрын
Mwisho wao umekaribia
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 Жыл бұрын
Sns nmekupongeza kwasababu umefuatilia kitu kilichokweli Rome empire ulifanya vitu visivyokawaida lkn pia ulipoungana serikali na Dini ulifanya kufuru ambazo ziliua zaid ya mamilioni ya waumin kikatili mno kuna agenda kubwa mno humo lkn pia hata freemasons waanzilishi wapo humo, na makundi makubwa ya sili Na mipango mipya ya Dunia na naamini hawataweza kuweka wazi mambo yao kwasababu watu watastaajabu mambo hayo
@Expedito2512
@Expedito2512 Жыл бұрын
Maskini wewe una mawazo ya kifara kweli
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti Жыл бұрын
Shukrani sana Jackson
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 Жыл бұрын
@@Expedito2512 njoo na reason usiende tu
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Жыл бұрын
@@SimuliziNaSauti kanisa limepitia mateso zaidi ya miaka Mia mbili likiteswa na makaisali WA Roman empire makaisali wamewauwa watakatifu na wakristo WA kweli , ILA mungu alivyowaajabu neno liliwafikia na wakaaminki na kua wakristo ulisoma katika ufunuo kuna kumbe za makanisa Saba ya kinabii kama Unaakili ukisoma na ukaelewa hizo jumbe utagundua kitu
@MethodRwekaza
@MethodRwekaza 10 ай бұрын
​@@francisjoseph1074k
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Жыл бұрын
Sky kila siku huwa nakufiatilia sana ILA Leo ndo nimekuwa kwenye Top list yangu ya watu ninaowakubari Duniani coz mko pafect na mnauelewa mkubwa mno, ASA kwenye story ya maktaba ILA nakuomba umtafute Mtumish mmoja anaitwa bishop Aurelian ngonyani mwanathiologia naimani utamuuliza maswali mazuli kuhusu historia ya kanisa na dunia Kwa ujumla jamaa anajua na ana iQ ya juu
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti Жыл бұрын
Asante sana Francis kwa pongezi na pia suggestion, tutalifanyia kazi
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Жыл бұрын
Yaani kila tunapozidi kuelewa mambo ndipo tunajikuta tuko kwenye mvurugano mkubwa sana, sasa je ?? Tunaelewa au tunajikoroga???
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Жыл бұрын
Je ?? Hizi dini zote hizi , ni hadisi ya kutengeneza au ni kweli ,,,mengi tumefichwa.lakini iko siku
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 6 ай бұрын
​@@ezekieljacob5795dini ya kweli ni ukristo sababu inahushahidi WA kimaandishi kihistoria kisayanci na kithioligia
@dogojanja6235
@dogojanja6235 5 ай бұрын
Ukitaka kujua dini Ya kweli ni ipi soma Yakobo 1. :27 ​@@francisjoseph1074
@charlesdaniel6212
@charlesdaniel6212 Жыл бұрын
Kaka hizi ndo vitu tunataka kusia
@user-ic1fs9bf1v
@user-ic1fs9bf1v 9 ай бұрын
Nipe history ya Lilith mke wa Kwanza wa Adam ambae Kwenye Bible wameficha na kumuweka Hawa KISA CHA LILITH NA VITABU VILIVYOONDOLEWA KWENY BIBLE
@user-nv6wt3nx5h
@user-nv6wt3nx5h 16 күн бұрын
Nyaraka nyingi waliiba kwenye nchi mbàlimbali...misri,Israel ni
@josephignas3988
@josephignas3988 Жыл бұрын
Hata Bible ya kwanza original imefichwa humo yenye muongozo sahihi isiyochakachuliwa na yenye utabiri wa Mtume Mohammad kuwa ndiye atakayefata baada ya yesu (Issa) na ukweli tofaut na bible ya kileo upo humo ila wakristo wa leo hawajui jambo hilo na hivyo wamepotezwa tayari na utawala wa kirumi (kanisa catholic la leo)
@yusuphmwamlima2902
@yusuphmwamlima2902 11 ай бұрын
Hakuna sir inayofichwa ya kidin humo Kunafichwa mambo yanayofanyika humo na baadhi ya viumbe vinavyo waongoza katika kutimiza mambo yao
@DeoKanyatta
@DeoKanyatta 16 күн бұрын
Mmetoka ktk madam, mnaleta ukenge,nye zenu zi wapi?
@eliudimwakasenga9754
@eliudimwakasenga9754 Жыл бұрын
Nakubali kaka tunajifunza hakika
@lucasbatano333
@lucasbatano333 5 ай бұрын
Sauti nzuri
@paskalimallya5294
@paskalimallya5294 Жыл бұрын
💥☺️
@meekman1805
@meekman1805 Жыл бұрын
Mimi naamini kuwa ni kweli hizo Maktaba zina siri nyingi ambazo hawataki kuzitoa.
@simulizi2632
@simulizi2632 Жыл бұрын
Brother Sky ishu kama hizi jaribu kuelezea kiundani bila kuacha maana ya baadhi ya maneno ambayo hatuelewi. protestant ndio nini mfano🙋🏾‍♂️
@josephignas3988
@josephignas3988 Жыл бұрын
Protestant ni makanisa yote tofaut na roman Catholic. Yaan makanisa yote nje na roman Catholic au yaliyo kinyume na catholic ndio yanaitwa "protestant" . Protestant ina maana ya mpingaji
@catherinemhagama7505
@catherinemhagama7505 10 ай бұрын
Tumeipenda story hi ila itabidi. Nisome kwa kurudiarudia ndiyo nitaielewa vizuri zaidi. Nimeipenda story hi Ina mafundisho mengi mno
@jumamofu9573
@jumamofu9573 Жыл бұрын
Kilomita 85 hiyo Ni corido yenye shelf iliyo jaa vitabu Dooh!! Hakika Ni kubwa kwa kweli!
@mohdyussah825
@mohdyussah825 3 ай бұрын
Your correct
@issasalum8544
@issasalum8544 Жыл бұрын
naomba hiz simulizi zipewe JINA
@mwalimuwakiingereza241
@mwalimuwakiingereza241 Жыл бұрын
Wanakula nyama au njama? Asante sana kwa ku share nasi habari nyeti
@franklachman8883
@franklachman8883 Жыл бұрын
Njama. Ulimi hauna mfupa..naukakika alimaanisha neno Njama.
@kwilekesyakyamba3090
@kwilekesyakyamba3090 Жыл бұрын
Unaweza sana historian na uwe upande uo uko kwingine waachie vijana
@selemanihussein7873
@selemanihussein7873 Жыл бұрын
Anaandaliwa story na mtu mwengine yeye ni msomaji tu
@yusuphmwamlima2902
@yusuphmwamlima2902 11 ай бұрын
Tunaendeshwa na mifumo ya baadhi ya viumbe kwa kutimiza mambo yao. Humo kunatunzwa viumbe na taratib za hao viumbe ili kutimiza ujio wao wa kuwapumbaza viumbe binadamu
@jamesimanwel5089
@jamesimanwel5089 3 ай бұрын
Ni Siri Kwa wengine lakini sisi Waadventista wasabato tunaujua ukweli wote! Nabii Ellen White ameonyeshwa yote
@filomenabarongo693
@filomenabarongo693 Жыл бұрын
Mambo ni mazito sana
@jamesimanwel5089
@jamesimanwel5089 3 ай бұрын
Tafta kitabu cha Great Controversy( pambano kuu) kimeandikwa na Ellen. G. White kuna siri za upapa nying
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Hii ndio *SIMULIZI NA SAUTI* SASA
@ibnbaazalrufiji1468
@ibnbaazalrufiji1468 Жыл бұрын
👍🇿🇦🇿🇦
@sofiamsuya2254
@sofiamsuya2254 4 ай бұрын
Upuuzi tu, tutakuamin vip
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 Жыл бұрын
😂😂😂nam hata mchana siwezi nikiwa peke yangu maana mmh
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
Twende vatican
@salamamshana1004
@salamamshana1004 Жыл бұрын
Mengi yamefichwa kwenye hizo maktaba na kibwa zaidi ni kuficha UKWELI WA MAMBO..MAMBO MENGI YAMEPINDISHWA NA WATU WAMEFANYWA VIPOFU KWA KUTOJUA ILA MINGU NI MWEMA, KILA JAMBO LIMEWEKWA WAZI, INGAWA BADO WATU HAWAONI..
@boscomtani1006
@boscomtani1006 Жыл бұрын
Km 85.3?
@josephinematemba5100
@josephinematemba5100 Жыл бұрын
Toa na simulizi ya Martin Luther pia
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics Жыл бұрын
Walio kiona kitabu cha ngoswe PENZI kitovu cha UZEMBE gonga like yako.
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Жыл бұрын
Hhhhhhhhhhhhhh
@magrethmagonza186
@magrethmagonza186 Жыл бұрын
Thank you sky Umesema sawa asimia Mia Sky wewe ni mkatoriki ? maana umejus kuchambu. I like that. 👍
@josephbizzy1813
@josephbizzy1813 Жыл бұрын
Ngoswe Penzi kitovu cha uzembe 🤣🤣🤣🤣
@smoothienation2786
@smoothienation2786 Жыл бұрын
Nakubali blood
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 Жыл бұрын
Kama ni siri wewe uliifahamu vipi?
@francisjackson6524
@francisjackson6524 Жыл бұрын
Kilometer 85.3!!!
@azizbashir
@azizbashir Жыл бұрын
PIA KUFICHA UKWELI WA KUJA KWA MTUME MUHAMMAD KWAMBA HATAKUJA NA KITABIRIWA YA YESU
@henrysizya239
@henrysizya239 Жыл бұрын
Kwani ni aya au sura gani ndani ya kuraani inayosema Nabii Issa Bin Mariam alitabili ujio wa Muhammad?
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 8 ай бұрын
Kilometa 83 mmmhh mbona parefu
@francismwacha253
@francismwacha253 Жыл бұрын
Aisee hii makala ndo pendwa kwangu.. nimeikubali mno kanisa lina hazina bhn na nahic kuna maandishi yale ambayo hayakuwekwa kwenye biblia yamo humu..
@frankjosephmush4530
@frankjosephmush4530 Жыл бұрын
Kweli atamimi nasikiaga inavyosemekanaga mambo yote ayakuwekwa kwenye biblia
@hashimalsaadat4905
@hashimalsaadat4905 Жыл бұрын
@@frankjosephmush4530 Ikiwa Biblia Haijakamilika Basi Hata Ukristo Upo Nusu Bado Dini Haijajitosheleza
@sweetyjanne255
@sweetyjanne255 Жыл бұрын
Sasa hao wanaoficha jamani kwanini wafiche maagizo ya Mungu??
@domithilakimaro2964
@domithilakimaro2964 Жыл бұрын
@@hashimalsaadat4905 rafiki okoka acha ushabiki wa dini Yesu anakupenda mpatie maisha yako utajua ukweli usio ujua
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Жыл бұрын
@@domithilakimaro2964 kuokoka ndiyo nini rafiki soma BIBILIA vizuri
@Lizy98067
@Lizy98067 Жыл бұрын
🇨🇭🇨🇭🇨🇭🇨🇭
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 Жыл бұрын
Dunia yetu
@julianacellestine801
@julianacellestine801 Жыл бұрын
Acha uongo.
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 3 ай бұрын
Nini: makitaba inakilomita 83!!!??
@bongonews6542
@bongonews6542 Жыл бұрын
Makao makuu ya siri za freemason na devel
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Жыл бұрын
We unjiunga nao boya we
@rosemaryismaily001
@rosemaryismaily001 Жыл бұрын
Kwaiyo hiyo maktaba imehifadhi historia za wizi za kila pahal
@pauloptatmosha8115
@pauloptatmosha8115 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@sarafinafranci8481
@sarafinafranci8481 Жыл бұрын
Muongo sana.
@mastaplan
@mastaplan Жыл бұрын
Mkuu lete habari za ANNUNAK
@allymtapera5370
@allymtapera5370 Жыл бұрын
Tuletee mwendelezo
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Жыл бұрын
Hakuna siri isipokua kuna uchawi wa kiwango chajuu. Kwakua siri kwaaslimia kubwa hufanywa na wachawi ili watu wangi wasijue namna wanavyouawa. Na bibilia ni moja ya wachawi Hao Hao ambao wameiandika na kutugawagawa vikundi ambavyo havielewani hata kwa jambo moja. Ukweli huwaunganisha watu, wangekua wameficha ukweli sote wangetuachia tujue. Lakini kwakua wameficha uovu na mambo mabaya ya viumbe kutoka kwenye sayari tofauti. Wanajua kua tukijua, kesho tutakua kama wao kwenye uchawi
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 Жыл бұрын
Ndio maana inakuwa siri
@japhetrobert1728
@japhetrobert1728 Жыл бұрын
Huo nimtazamo wako na fikra zako binafsi.
@shimbazakayo1058
@shimbazakayo1058 Жыл бұрын
Maajabu umeweka profile picha ya harusi(umem-beba mke wako) baada ya kufunga ndoa kanisani
@piusnkwale
@piusnkwale Жыл бұрын
@Barry, mimi nakuelewa haya mambo yana siri kubwa sana sio rahisi mtu kuelewa unless you go deeper spiritually ,
@aloyceisdory7855
@aloyceisdory7855 Жыл бұрын
Chuki za kidin zitakuuwa tatizo upo kwenye dini amboyo historia yake inaanza kwa mchungaji alikua kibaka 😂😂😂😂
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 Жыл бұрын
Kuna Tofauti Kati ya SIRI na UZEMBE WA KUSOMA. (nyingi si siri za kufichwa bali ujinga wa kusoma ndo unafanya zionekane siri. Maana kuna baadhi yaliyosemwa kama siri na sns, ki uhalali si siri bali kuwa na knowlege kutoka kwa secondary sources kama si mbali kabisa na ukweli halisi. Kwa kutokuwa na primary sources imformation, SNS mmpetupigw chuma kizito"🙏🙏)... maana kuna ulivyoviita siri, na wakati watu wana ufahamu navyo miaka dahali ilopita. Chunguza zaidi wasaa mwingine🙏🙏
@josephsebe5857
@josephsebe5857 Жыл бұрын
Mbuzi kimpigia zeze ndio kwanza ANAFIKIRI SASA FIMBO IMEKUWA BUYU RUNGU. 🤣
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 Жыл бұрын
@@josephsebe5857 🤣🤣🤣🤣 kwamba wamepita kama hii comment haramu maana inahalalisha vilivyokwisha kuharamishwa na ulimwengu wa kupewa pongezi bila kutiwa hata hoja moja ya kuonekana kuwa kuna pahala ngumu kufikika bila kupongeza asiyekupa zawadi ya kukupigia meza za wabunge🤣🤣
@maalimseifk-gumuadui123
@maalimseifk-gumuadui123 Жыл бұрын
Ujuaji ukizidi sana unakua ni upumbavu 🙌🏼Hilo ndo neno langu la leo
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 Жыл бұрын
@@maalimseifk-gumuadui123 🤔🤔upumbavu nao ukizidi🤣🤣🤣🤣
@akidashekue163
@akidashekue163 Жыл бұрын
Maktaba ya Freemason
@ZQTANZANIA
@ZQTANZANIA Жыл бұрын
Nachokijua mimi na natamani wengine wakijue ni kuwa, endapo vatikan wataamua kufichua kila kitu kilicho kwenye hio maktaba basi naamini hakutakuwa na ukatoliki wala ukristo maana lisemwalo lipo na kama halipo laja. Nalo ni kwamba "dini ya asili na ya mwanzo tangia dunia kuumbwa ni UISILAMU" tuwe watafiti binafsi na tuwe wepesi kuukubali ukweli.
@abduljuma2214
@abduljuma2214 Жыл бұрын
@ kheri Mombasa Toa ushahidi wowote wa kihistoria nje ya quran kwamba kulikuwa na uislam kabla ya nabii muhamad
@anastaziamathias8861
@anastaziamathias8861 Жыл бұрын
Uislam ulikuja baada ya ukristu
@abdimohamed3953
@abdimohamed3953 Жыл бұрын
@@abduljuma2214 umetoa hoja nzur
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Жыл бұрын
Punda we Islamic imeanza lini acha kijidanganya Dini ya majini nyiye
@pauloptatmosha8115
@pauloptatmosha8115 Жыл бұрын
Your story needs to be supplemented with primary sources. Otherwise it is based on unproved accusations and thus it does not qualify to be called scientific. Provide primary sources please
@henry1933
@henry1933 11 ай бұрын
Doh
@laoiyadi1176
@laoiyadi1176 Жыл бұрын
Wakwanza Leo 🤪
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Жыл бұрын
Sky ww ni msimuliaji bora kwa ss aisee
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti Жыл бұрын
Asante sana
@duniamapitosotewamungu3467
@duniamapitosotewamungu3467 Жыл бұрын
vitabu vyote hvy ambavyo vimo humo basi ukisoma kitabu kimoja tu ( Qur -Ann ) basi utakuwa umesoma vyote hvy
@thomaschambala1475
@thomaschambala1475 Жыл бұрын
Ingekua hivyo hao wanaotafuta majibu kule maktaba s wangeenda kusoma hyo Quran
@innocentivictor3078
@innocentivictor3078 Жыл бұрын
Ombi kwann usiwe unaadisia wewe, story zote, unajua kwakweli
@isackhassan6551
@isackhassan6551 Жыл бұрын
Ukweli siku zote humuweka mtu huru na hawa jamaa hawataki tuwe huru kifkra kwamwe.
@hamismabula9934
@hamismabula9934 Жыл бұрын
Hiyo SIRI ya nini kwenye kutangaza neno la MUNGU? Bac kuna tatizo kwa hali hiyo!!! Kuna mambo yasiyofaa, wanaficha ili watu wasijue!
@aminaanab1071
@aminaanab1071 Жыл бұрын
Wana ficha Siri kubwa ya juu ya yesu kumzunguzia mtume wetu Muhammad salallahu alehi wasalam
@aminaanab1071
@aminaanab1071 Жыл бұрын
Ndio maana wanaficha mandishi kwa library
@aminaanab1071
@aminaanab1071 Жыл бұрын
Hiyo ndio point 👉
@josephevaristi8923
@josephevaristi8923 Жыл бұрын
Je itakuwaje kama wameficha ukweli kwamba huyo Yesu hakuwahi kuwepo Bali ni mtu wakubuniwa,?,ikiwa ni hvyo bado utakuwa na nguvu yakujitapa na uislam wako
@piusnkwale
@piusnkwale Жыл бұрын
@@josephevaristi8923 kuna nguvu katika Yesu watu tumeshaprove ilo,soma biblia achana na mambo ya Siri haya hayakupeleki popote,biblia ndio msema kweli hawa wote Siri zao ni mambo ya giza tu
@aminaanab1071
@aminaanab1071 Жыл бұрын
Mwenyewe unajichanganya uko kwa kitu wewe Mwenyewe huna Imani nacho
@williamgideme2689
@williamgideme2689 Жыл бұрын
Ndiyo mmuelewe ukristo kwa ujumla uko chini ya uongoozi wa ibilisi. Kanisa katoliki ndilloo lililobebaa uhaalifu mkuuu kkuhusu ukweli wa kinsi walivyyotendaa mambo yao kwa siri ilii wasisemmwee , majumba hayo ni makazi ya ibilisi. Hatta Mungu waao wa utatu alittengenezwa katika ad 325,, wakati wa Constattine
@pascalerick3525
@pascalerick3525 Жыл бұрын
Nao wanataka uishie kujua hvyo ili ubaki mjinga siku zote
@HildaenosMwinuka-ej7zg
@HildaenosMwinuka-ej7zg 6 ай бұрын
Pole hujui mambo mengi hata uislamu una mambo unafanana na Ukatoriki mbona kama ukristo ni uibilisi.
@josephsebe5857
@josephsebe5857 Жыл бұрын
RONGORONGO ETI JUMBA KUBWA LINATISHA NA GOROFA ZA DUBAI NA SHANGHAI MBONA HUSEMI WEWE ACHA UJINGA. .KAWACHUNGE NGEDERE WASILE MIHOGO YA BIBI HUKO UWASEME NGEDERE NI WATU 🤣🤣🤣🤣
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 11 ай бұрын
Msimulizi.unakosea sana unapotowa maelezo ya uwongo dhidi ya kanisa katoliki...wewe unajuwa zaidi kuliko wakristo wakatoliki ? Embu weka Udini pembeni wa kisabato...weka chuki pembeni / acha husuda na wivu usiyo na faida yoyote...usipotoshe ukweli kuwa uwongo..tubu hiyo dhambi..
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 14 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
Maisha ya Marekani: Kukaa ndani, Upweke, Nyumba, Magari nk
12:22
EBM SWAHILI
Рет қаралды 403 М.
Выйграли Много Денег с Сыном
0:55
Карман
Рет қаралды 6 МЛН
Роналду совсем другой! 😱
0:45
КиноСклад
Рет қаралды 4,4 МЛН
ВОДА В СОЛО
0:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 15 МЛН
DO YOU HAVE PARENTS LIKE THIS?
0:19
dednahype
Рет қаралды 37 МЛН
القطة الشجاعة 😭😭🐱 #shorts
0:35
7amoda Gaming
Рет қаралды 37 МЛН