Makutano Show: Muungano UmeKufa - Tundu Lissu

  Рет қаралды 49,985

MakutanoShow

MakutanoShow

11 жыл бұрын

Mbunge wa Singida Mashariki akiongea kwa nini anaamini Muungano wa Tanzania umekufa alipokuwa katika kipindi cha Makutano Magic FM kinachoendeshwa na Fina Mango.

Пікірлер: 25
@utaani1
@utaani1 9 жыл бұрын
Wazanzibar hatutaki muungano na tanganyika
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 2 жыл бұрын
SAWA SAWA RAISI HERO TUNDULISU UPUMBAVU WA CCM AU MCC HAWAJUWI WAKIFANYACHO WIZI TUVWA PESA ZA ZNZ NA KUTUUWA KWA KULERA WABURUNDO WATUUWE 🇹🇿🇮🇱😇🌎👹🇹🇿🇮🇱🌎😇👹🇹🇿🇮🇱🌎😇👹🇹🇿👿🌎😇👹
@YohanaNkhambi
@YohanaNkhambi 2 ай бұрын
Factly memorial
@hundamaniamania872
@hundamaniamania872 5 жыл бұрын
Kweli huyu amesima dah😑🤙🤙Jah bless
@williamkirway5074
@williamkirway5074 3 жыл бұрын
Hisia za LISSU,tutafakari.5-12-2020
@kamesk73
@kamesk73 11 жыл бұрын
jamaa anaongea points sio hao wazembe wengine.
@adorakisamo8071
@adorakisamo8071 3 жыл бұрын
Yaani lisu Yuko vizuri sana
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 ай бұрын
👍✌️👊.
@andrewsadiki9914
@andrewsadiki9914 11 жыл бұрын
Baraka hujui kitu ndiyo maana unaongea tu kama mtoto.katiba ya zenji wenye mamlaka ya nchi ni raia wa zenji sio ccm au watanganyika na hatushangai ndio maana mnajazana mji mmoja dar cos huko kwengine balaa tupu.kita eleweka tu kama maneno baba yenu nyerere laana ya mungu iwe juu yake kaongea sana lakini yeye kaondoka na zenji iko pale pale na hao wengine wasiotaka mabadiliko wakati utawabadilisha.
@petersilas4234
@petersilas4234 3 жыл бұрын
Jaribu kufikiri zaidi kidogo, muungano haulazimishwi, ila kutokuwa na muungano ndio unalazimishwa. Population ni factor kubwa sana ambayo watu wa mawazo mafupi hawayaoni. Watu wenye mawazo mapana wasiofungwa na madhaifu ya kibinadamu hupenda umoja.
@rukiamuwango5409
@rukiamuwango5409 10 жыл бұрын
Mhhhi mombasa sio kisiwa. Nenda kwenye ramani sio kila kitu ni politic tu.
@oopsm3574
@oopsm3574 3 жыл бұрын
NI asili yake ni kisiwa
@othumanbakari1404
@othumanbakari1404 11 жыл бұрын
Tunasema kwamba hivi muungano niwanchi mbili kwanini inufaike moja moja iwe inabanwa hivi tuangalie z.bar haiwezi kutoa akawa wa muungano wapi na lini rais ametoka z,bar twataka nchiyetu z,bar kwanza
@harithmohd6318
@harithmohd6318 2 ай бұрын
Mjmb uko sahihi serekali tatu ndio muhimu au kila mtu kwako watanganyika mubaki kweli na sisi wanzanzibar tubaki kweli hatuon samah ya muungano nauchukia huu munganooo wa kiharamu Inshaallah ipo siku zanzibar yetu itakuwa huru
@anwaritesal4695
@anwaritesal4695 3 жыл бұрын
Tuvuruge kisha urudi kwako ubeligiji na unatuvuruga kweri wewe.
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 3 жыл бұрын
Atakuvuluga baba ako na mama ako
@kassim1262
@kassim1262 3 ай бұрын
Utavurugwa tu manaake hujatumwa ue mjinga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ClemoohPeter
@ClemoohPeter 2 ай бұрын
Sisi watanganyika hatutaki muungano tumechoka kero za wazanzibari hatutaki
@mgallason...5686
@mgallason...5686 3 жыл бұрын
Hakika we ni kipele kabisa
Zitto Kabwe Akiongea Kuhusu Kusimamishwa Uongozi CHADEMA
27:00
MakutanoShow
Рет қаралды 16 М.
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 40 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 33 МЛН
Kamati ya Maridhiano Six:Mhe Tundu Lissu April 16 2014
10:45
Kamati Ya Maridhiano
Рет қаралды 244 М.
BAADHI YA WAANDISHI WA NYUMBANI | NUNUA VITABU VYAO
28:05
Success Path Network
Рет қаралды 1,3 М.
#AFYAPODCAST Fahamu juu ya Matibabu mapya ya kiharusi Muhimbili
35:33
Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka
6:46
ODM Leadership in Kenya Kwanza Government.
43:38
SpiceFM
Рет қаралды 48 М.
Sikiliza VIMBWANGA Vifupi vya Kamanda Lissu Tanganyika na Zanzibar
4:28
Swahili Villa Online TV | Washington, D.C
Рет қаралды 51 М.
Tundu Lissu alivyo fyatuka Bunge la Katiba
6:02
Chadema Diaspora
Рет қаралды 341 М.