No video

Mama Alikiba : Wakwe zake kulalamika / Alikiba kupotea kwenye Mdundiko / Kucheza akiwa na siku 7

  Рет қаралды 129,884

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

Күн бұрын

#LIVE Mahojiano maalum ya Msemaji Mkuu wa Wanawake Maryam Kitosi na Mama mzazi wa msanii na staa Alikiba na Abdukiba

Пікірлер: 396
@saidabdallah6756
@saidabdallah6756 4 жыл бұрын
Mama mwenye staa anajiheshimu anavaa nguo za heshima mashaallah, yan mm ni shabiki wa Ali kiba mpaka familia yake, hongera yako mama mzaa chema
@redwave7497
@redwave7497 4 жыл бұрын
Swadata
@kayjuma2629
@kayjuma2629 4 жыл бұрын
Mama mwenye hofu ya Allah, Mungu kampa vijana wenye vipaji Mashallah. In Shaa Allah M/Mungu amjalie maisha marefu Amin
@saumsalim9966
@saumsalim9966 4 жыл бұрын
Amin
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 жыл бұрын
Ameen yarrab 👏
@ismailally2549
@ismailally2549 4 жыл бұрын
aliye ona tuzo ya youtoub ya alikiba a like hapa
@furenkwilliam9078
@furenkwilliam9078 4 жыл бұрын
Nimeiyona broo nakubal tuzo anazo nyingi xema hajixifu
@sihabaaugustino9933
@sihabaaugustino9933 4 жыл бұрын
Iko nimeiona broo
@lovenessjeremia5483
@lovenessjeremia5483 4 жыл бұрын
Wewe huja yiona bro??
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 жыл бұрын
@@furenkwilliam9078 ndiyo vizuri kutojisifu aache watu wa msifie
@ramathedon4001
@ramathedon4001 4 жыл бұрын
iyo alipewa baada ya kutoa ngoma ya aje
@stacharchad6487
@stacharchad6487 3 жыл бұрын
Aliye ona uhalisia wa busara za #king kiba zinapotoka aweke like yake tafadhali
@hidayaking3383
@hidayaking3383 4 жыл бұрын
Mama mza chema yeebaba mama mwenye eshima zake love you mama
@phyllisplays3811
@phyllisplays3811 4 жыл бұрын
It makes sense where alikiba got the humble character... I respect alikiba sana, love from Kenya..
@jimiewamanchester8731
@jimiewamanchester8731 4 жыл бұрын
King kama King atabaki kuwa King
@akshaydavid159
@akshaydavid159 4 жыл бұрын
Huyu mama ni mtu peace sana, ishi miaka mingi mama yangu halafu upo simple Wala hujikwezi
@beatricemlaki3543
@beatricemlaki3543 4 жыл бұрын
Nimefhrah Sana mamaanasema anarudisha fadhila kwa watu kwa kumkubali Mariam kumfanyia mahojiano....cy kilasiku upo Medea hii Mara hii kuongea had unakosavyakuongea nakuanzakuongea ujinga ujinga....Ila huyu Mama jaman MUNGU amtunze....anastara Sana naanajiheshimu.... love Mama King 😘😘😘😘
@lilianemmanuel9158
@lilianemmanuel9158 4 жыл бұрын
Napenda sana maisha wanayoishi hii familia kiba ana hela lkn yuko simple
@nasrajuma5389
@nasrajuma5389 4 жыл бұрын
Kiba anaishi simple hapendi kujinadi
@Directorhernrypro
@Directorhernrypro 4 жыл бұрын
Kabsaaa
@kareemkiwamba139
@kareemkiwamba139 4 жыл бұрын
Mama yetu huyoo, mama anaejitambua mwenye hofu ya MWENYEZI MUNGU PIA.. MAMA MWENYEZI MUNGU AKUWEKE
@elishamatae9705
@elishamatae9705 4 жыл бұрын
Mum wewe ni kioo cha jamii yaan uko humble sana mungu akubarik +254
@shamilasadiki5611
@shamilasadiki5611 4 жыл бұрын
Mama hongera SNA nakupenda sana mam ang
@omarawadh9659
@omarawadh9659 4 жыл бұрын
Mama ana heshma zake👍 mama kiba👑mashaallah
@raysamiya3760
@raysamiya3760 4 жыл бұрын
👍
@rukiaabdul7191
@rukiaabdul7191 4 жыл бұрын
Hongera mama mwenye heshima.Allaah akulinde weye na kizazi chako.
@minaaomar3935
@minaaomar3935 4 жыл бұрын
Ameen
@tanzanianews2558
@tanzanianews2558 4 жыл бұрын
So Humble and Genius Hajiproud
@tiktokseriescompilation5030
@tiktokseriescompilation5030 4 жыл бұрын
Hello people of GOD please watch this too and see beauty it won't disappoint you kzfaq.info/get/bejne/qbh3gZyGubDTcmQ.html
@rizikisaid6812
@rizikisaid6812 4 жыл бұрын
Kiba kafuata nyayo za mzazi wake
@asinatjuma8088
@asinatjuma8088 4 жыл бұрын
Wapo wasanii wakubwa lakini wanapo ishi wa zazi wa ni shida,lakini ona jumba analo ishi bi mkubwa mama wa king kiba ni balaa nimeipenda mnoo 🤗🤗🤗🤗 mama mwenye heshima zaKe
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 4 жыл бұрын
Mtoto ashakuwa star kabla hajazaliwa
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 4 жыл бұрын
Anakaa Kwa Muda yeye anaishi kariakoo
@asinatjuma8088
@asinatjuma8088 4 жыл бұрын
@@shangwekamando2599 alikuwa anaishi kalia koo kwa sasa amehamia hapo
@devothamedia5177
@devothamedia5177 4 жыл бұрын
Anakaa kibaa hapo
@asinatjuma8088
@asinatjuma8088 4 жыл бұрын
@@devothamedia5177 alikuwa lakini kwa ss amemuachia bi mkubwa
@misconsolaiha5881
@misconsolaiha5881 4 жыл бұрын
Vzr sn nampenda sn huyu mama yng kpnz jmn mwenyezi Mungu hakulinde na kila baya inshaAllah
@manchesterunited6076
@manchesterunited6076 4 жыл бұрын
Love u mom kiba ur the best mom. in shaa Allah mungu akupe furaha na family yko
@nusphatnuru6667
@nusphatnuru6667 4 жыл бұрын
Mashallah nimependa anaongea kistarabu mama💓✨✨
@ameknews2315
@ameknews2315 4 жыл бұрын
Dah kweli alikiba anakipaji na sio uwongo kuwa diamond anamafanikio ila tukubaliane tu kuwa alikiba is talented one nime prove kutoka kwa mama yake
@taslimanyange2850
@taslimanyange2850 4 жыл бұрын
Ata Mimi nilivokuwaa mdogo nilikuwaa naimba na kucheza ata mtaani kwetu nilikuwa nacheza napewa shilingi ishirini na shilingi kumi lkn sikujua kama. Ni kipaji
@ameknews2315
@ameknews2315 4 жыл бұрын
@@taslimanyange2850 ndio maana mama yake alisema kuwa wazazi wavithamin vipaji vya watoto
@zakariajoseph7890
@zakariajoseph7890 4 жыл бұрын
Mama nampenda Sana huyu anajiheshim mcha mungu mpenda watu kiujumla hii family naipendaga mnoo
@anitamerry7134
@anitamerry7134 4 жыл бұрын
Mansha'Allah nakupenda mama mweny hofu ya Mungu yule mama wafulani ameika kama kahaba na make up zawavijana hataki kukua
@saumsalim9966
@saumsalim9966 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 4 жыл бұрын
😅😅😅😂😂😂🤣🤣🤣Ni kweli
@hashtagdarling4738
@hashtagdarling4738 4 жыл бұрын
Swadakta mama Allah azidi kukuongoza zaidi na zaidi.
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 4 жыл бұрын
Mashallha mama kapendeza sana arafu apendi mambo mengi maisha yao yeye nawae yapo kawaida uwezi sema mama wa mwana mzuki maarufu
@zakariamachibula488
@zakariamachibula488 4 жыл бұрын
King yuko vizuri Sana jamani hadi raha
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 4 жыл бұрын
Hongera mama yaani umejibu maswali kisomi zaidi umejiamini full confidence kwenye malezi sasa hapo hadi polisi mdundiko bhana tumelipotiwa wengi kupotea na zamani kulikuwa kuna mtu anaitwa majambo bhana daaah yule jamaa akipita mtaani ilikuwa sooo 🤣🤣🤣
@jeremianjulumi3169
@jeremianjulumi3169 4 жыл бұрын
XE gfdre
@sarahtony3937
@sarahtony3937 4 жыл бұрын
Nakuzaa kila mtt na mamayake vipi hayo ni malezi ya vipi
@uncleasimba8574
@uncleasimba8574 4 жыл бұрын
Mama bora Sana uyo
@faridaessa7844
@faridaessa7844 4 жыл бұрын
Mama Alikiba hongera Sana mama unajiheshimu sana
@mwinyiadno9495
@mwinyiadno9495 4 жыл бұрын
Mama mwenye hekma zake 🙏
@esthermnyasenga1808
@esthermnyasenga1808 4 жыл бұрын
Na wew mtangazaji hats kunaws
@erickmweta8215
@erickmweta8215 4 жыл бұрын
Ali alipenda sana music na ukamuingia damuni kulingana na mama anavyosema Maana mpaka kupotea ngomani ni noma hii 🤣🤣🤣🤣🤣
@mwakisogocpiliano1793
@mwakisogocpiliano1793 4 жыл бұрын
Mama wa taifaaa
@mwanahamisisalumu8688
@mwanahamisisalumu8688 4 жыл бұрын
Allah awanaalie wanao maisha marefu na mama yao kwa ujumla amina
@meryemanuel5292
@meryemanuel5292 Жыл бұрын
Najua huyu mama hapendi kuhojiwa ila muwe mnambembeleza jaman tuna mpenda sanaa😍😍
@djamilathiam4663
@djamilathiam4663 4 жыл бұрын
Mashallah mama kiba mupole anatanguliza mungu kwa kila jambo ndomana watoto wake wana hekima sana👌😙😙😙
@phyllisplays3811
@phyllisplays3811 4 жыл бұрын
The best mother who respect herself and her space...
@phyllisplays3811
@phyllisplays3811 4 жыл бұрын
Mama, you really have solid trust in God, that why your family is strong..
@rizikisaid6812
@rizikisaid6812 4 жыл бұрын
Malezi na desturi yako mama alhamdhullillah kiba hajayumba kafata nyayo zako,God bless you mamaa and your family Yee babaa
@navanjkiba2439
@navanjkiba2439 4 жыл бұрын
Mama mzaa chema#Mama Alikibaaaaaa
@saidabdallah6756
@saidabdallah6756 4 жыл бұрын
Atakaekua anaweka interview za huyu mama mtanimalizia sana MB zangu lazma nimuangalie
@hamisamobetto6229
@hamisamobetto6229 3 жыл бұрын
Teeeeeena
@gazaomar5290
@gazaomar5290 4 жыл бұрын
very nice mama anajitambuwa sana mzazi hikma
@samiahuseninikweli8539
@samiahuseninikweli8539 4 жыл бұрын
Hongeraaaaaa mama
@deeruta9894
@deeruta9894 4 жыл бұрын
MashaAllah mama waheshima na mahadili yakiislima.
@daviessikasula703
@daviessikasula703 4 жыл бұрын
Safi sana mama kiba
@mosesbusanya3528
@mosesbusanya3528 4 жыл бұрын
Mtangazi una mapepe sana..unafanya tushindwe kuyajua mengi kutoka kwa hyo mama..Pls rudi darasani
@susanejd7775
@susanejd7775 4 жыл бұрын
Pengine yy anaona hayo mapepe ndio mwembwembwe za utangazaji
@yasminmustafa2282
@yasminmustafa2282 4 жыл бұрын
Ana kiherehere sana
@ashminaabdulla8946
@ashminaabdulla8946 2 жыл бұрын
Kweli
@hawaaomar7141
@hawaaomar7141 4 жыл бұрын
MashaAllah mama mwenye hadhi zake mama mwenye kujiheshimu ilove you mama Allah akupe umri mrefu InshaAllah 🤲 🤲♥️♥️♥️
@joemaabdarha9795
@joemaabdarha9795 4 жыл бұрын
Angekua mama Diamond apo mashauzi mengi kama yeye ndio msanii
@mbwanakhamis9634
@mbwanakhamis9634 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@sureweji212
@sureweji212 4 жыл бұрын
Safi
@ummtuma8137
@ummtuma8137 4 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah kwa majibu mazuri mama kiba
@user-mm5tf7yn6p
@user-mm5tf7yn6p 4 жыл бұрын
Siku mama dagonte atajeshimu ivo asiwe mama wamitandawo ntafurayi saaana uyu mama arkiba anajeshimu saaana❤❤👍👍🇧🇮🇧🇮
@jumajay8496
@jumajay8496 4 жыл бұрын
Mama ni mkali ndio sababu vijana wake wakawa na heshima, mama mwenye kujiheshimu hawezi kubali kuletewa wanawake viruka njia na akakubali mama anajiheshimu sana na ameshika dini tofauti na mama wa mastar wengine.
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 4 жыл бұрын
Angekuwa Hataki wanawake viruka Njia wanae wasingezaa nje ya ndoa jiulize kiba ana Watoto wangapi kila.mtoto na mama ake mpaka.wanawake Wanashea heheheheee usilolijua
@rajimumsoffe9223
@rajimumsoffe9223 4 жыл бұрын
Huyo mama mzaa chema
@davidnombo8239
@davidnombo8239 4 жыл бұрын
Dah yan uyu mama yupo vzur sana mam wa jirani yule
@nuratamir6705
@nuratamir6705 4 жыл бұрын
Mtangazaji mbea sana, halafu sio mstaarabu anashika chakula bila kunawa. Haijapendeza
@salhamrishoaish9292
@salhamrishoaish9292 4 жыл бұрын
Mama mashallah😘😙😙😗😗😗 mama wakitaifa😘😙
@sihabaaugustino9933
@sihabaaugustino9933 4 жыл бұрын
Mama king kibaa
@bojacktvonline6983
@bojacktvonline6983 4 жыл бұрын
King kiba
@ruddoboynjbtz6249
@ruddoboynjbtz6249 4 жыл бұрын
Mama mzaa chema @king KIBA, bu Ruddoy boy Njb Tz
@amosmabena3190
@amosmabena3190 4 жыл бұрын
Up mzee mwenzang
@frankchibago3206
@frankchibago3206 4 жыл бұрын
Mama wa hekima mama wa taifa
@allyseba172
@allyseba172 4 жыл бұрын
Daaah bi mkubwa mmemshawish vp maana
@user-rh6jw9np7y
@user-rh6jw9np7y 4 жыл бұрын
Hii ndo redio ambayo anaitumia sana ally kwenye kuongea na wahandishi wa habari uwa anatumia kwenye live kwenye show
@khadejarajab8007
@khadejarajab8007 4 жыл бұрын
Mashaallah mama wa taifa💕💕💕💕💕💕
@humbleladylady3338
@humbleladylady3338 4 жыл бұрын
Mama👑👑👑👑👑
@barackhuncho2432
@barackhuncho2432 4 жыл бұрын
Oooh it's OK king ni king tyu........
@beatricembaga4319
@beatricembaga4319 4 жыл бұрын
Nampenda Sana mama alikiba Mungu akutunze mamaetu na wanao vipenz Mimi teem kiba og sibanduki
@yasminomar6235
@yasminomar6235 4 жыл бұрын
MashaaAllah tabarak Allah
@francisnatal9091
@francisnatal9091 4 жыл бұрын
Mama king
@imaculatadominic7005
@imaculatadominic7005 4 жыл бұрын
sasa leo ndo nimepata jibu sahihi kuwa alikiba anahekima kwakuwa kalelewa na mama mwenye hekima
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 4 жыл бұрын
True
@minaaomar3935
@minaaomar3935 4 жыл бұрын
Kabisa
@hajiojuma
@hajiojuma 4 жыл бұрын
Daaa cash money daa
@aminahamisi2837
@aminahamisi2837 4 жыл бұрын
Mama Ali shikamoo, mtangazaji acha ulafi wa kuonja chabati bila kunawa umeshikashika mike yako unakula hivyo hivyo mama mpatie chapati aliyoikata amalizie
@hamisamobetto6229
@hamisamobetto6229 3 жыл бұрын
Umeonaeee Amina hatakunawa apewe amalizie
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 4 жыл бұрын
Mama na heshima yake mashallah 👌👌👌
@marylymo7709
@marylymo7709 4 жыл бұрын
Huyu mama nampenda sana japokuwa simjui hanijui ila ni bonge moja la mama mwenye busara zake na ndo maana hata wanae wana nidhamu huwasikii kwenye Mambo ya ajabu kabisa Mungu akuweke mama Kiba ili ulee wajukuu na wao wawe na maadili mema kama wewe bibi yao
@sakinasofiya4999
@sakinasofiya4999 4 жыл бұрын
Mama muzuri mwenye hekima y'a ki pekee,unafananishwa na mama wa vitabu vi takatifu💪💪
@aminatagueyemachallahakass4051
@aminatagueyemachallahakass4051 4 жыл бұрын
Beautiful mum ali
@charleslulandalah9785
@charleslulandalah9785 4 жыл бұрын
Daaaaaaaaaah saf kaka kiba
@gmantermgahe1141
@gmantermgahe1141 4 жыл бұрын
Ambaye anaona mtangazaji kazingua kwenye maik kaing'ang'ania yeye tu gonga, mama asikiki kabisa gonga like kwenye comment yangu
@abdullamadeena7364
@abdullamadeena7364 4 жыл бұрын
Yebabaa mama alikiba nimwanamuke imara
@hasanally6893
@hasanally6893 4 жыл бұрын
Yaan ingekua ni yule mama wa mwingine pasingetosha kimini suruali mmh! Sijui nivae Nguo gani!
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 4 жыл бұрын
Wajina unauwa 🤣🙈🤦‍♂️
@malcomadam8399
@malcomadam8399 4 жыл бұрын
Mmmh yani acha tu
@nbwchannel4997
@nbwchannel4997 4 жыл бұрын
Watu awanani ndugu yangu.
@saumsalim9966
@saumsalim9966 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hildabatromayo7518
@hildabatromayo7518 4 жыл бұрын
Ujajua kuna mama wa familiy na mam wa mitandao, ushawah kumwona mama dangote anaenda kuswali?
@kadijajggf9367
@kadijajggf9367 4 жыл бұрын
Mama wa taifa MashaAllah🥰 ❤️❤️😍💕
@paulkasembe4046
@paulkasembe4046 4 жыл бұрын
Yaaaap mungu ampe maisha malefu
@paulkasembe4046
@paulkasembe4046 4 жыл бұрын
Mama yetu tunakupenda
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 4 жыл бұрын
Hongera sana mama wewe nimwenye heshima sana nakujisitirii allah akubariki sana
@hamispeter9043
@hamispeter9043 4 жыл бұрын
Minyooshoo mama ninaaaah......Kajenga mzeee
@aminhsaid2670
@aminhsaid2670 4 жыл бұрын
Mashaallah mama
@mohamadmohamad9522
@mohamadmohamad9522 4 жыл бұрын
Angekuwa mama diamond apa kichwa kingekuwa wazi kavaa kisuruali...yaani duuu mama kiba mungu akuongoze inshallah
@alirahma8967
@alirahma8967 4 жыл бұрын
Huyo ninama yetu anae jiheshibu,anahofu ya Allah,manshallah mama yetu kipenzi🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
@mwanakendra
@mwanakendra 3 жыл бұрын
Mama wa Busara na Hekima sana shukrani sana East African Radio kwa Bonge la interview-Vinara wawili washakutana Kutengeneza Mnara.Nawapata sana Toka Minnesota Marekani 🇺🇸
@ndayushimiyeskitu1032
@ndayushimiyeskitu1032 4 жыл бұрын
Mama umewongeya vizuri❤️❤️❤️
@khadijazinga8173
@khadijazinga8173 4 жыл бұрын
MashaAllah mama na heshima zake
@samanthaali873
@samanthaali873 4 жыл бұрын
Masha Allah Mama mzaa chema mola akuwekee wanao in sha Allah
@priscahzebedayo731
@priscahzebedayo731 4 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤💜💜💜💜💜💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💝💝💝💝💝💖💖💖💖💖💕💕💕💕💕💕💕💕💓💓💓💓💓💘💘💘💘💋💋💋💋 mama nmekupenda buuureeeee.....king kiba👑 utabaki kuwa juu kileleni nawapenda familia yooote 💋💋💋
@neemastephen4245
@neemastephen4245 4 жыл бұрын
Mama nimekupenda 😘mzaa chema
@hawasabra1191
@hawasabra1191 4 жыл бұрын
Mashaalla naipenda san familia hii mmnimshabiki wa kingi nmpenda san
@zizamshindo4672
@zizamshindo4672 4 жыл бұрын
Mama mwenye eshim yak kwakwel mungu ape maisha maref tofaut na yule mm mwingine kul
@nas2800
@nas2800 4 жыл бұрын
Mama na heshima zake mashaallah
@samiahuseninikweli8539
@samiahuseninikweli8539 4 жыл бұрын
Nimekupenda Sana mama kwa majibu yko yaheshima naunahofu namungu wengine nikuvaa nguo ambazo hazifai kabisa wanapenda warudi utotoni
@swalhashuaibu8149
@swalhashuaibu8149 4 жыл бұрын
Ico kipaji unco shukuru Wakifa leo au wewe utangulia bado hawaja tubu watakuninginia siku yaqiama hao dini yetu haruhusu waslam kupiga kubadilika kimaisha iyo nimipango ya mungu atakama hange imba angefanikiwa tu kwasababu Allah alishampangia kufanikiwa tu Allah awajalia mtubie na Sisi pia tutubie kabla ya umauti
@sadaally3317
@sadaally3317 4 жыл бұрын
Yaan sijui nipoje 🤣🤣🤣 nmekimbilia comment kusoma kwanza
@omarykarangula8958
@omarykarangula8958 4 жыл бұрын
Kama mim pia daah😂😂
@salhamrishoaish9292
@salhamrishoaish9292 4 жыл бұрын
Wewe mimi kabisaa
@irenekatumwa5963
@irenekatumwa5963 4 жыл бұрын
Ata mimi
@johnnyenglish1135
@johnnyenglish1135 4 жыл бұрын
Yan mi ndo ugonjwa wangu dah!!
@asiakinia9344
@asiakinia9344 4 жыл бұрын
Tupo wengi 🤣🤣🤣🤣🤣
@aminajuma2981
@aminajuma2981 4 жыл бұрын
Mama wa Alikina anajielewa sana 💥💥💥🙏🙏
@salhamrishoaish9292
@salhamrishoaish9292 4 жыл бұрын
Nimecheka ali kupotea kwenye mdundiko 😍😍😍😙
@davidpaschal5363
@davidpaschal5363 4 жыл бұрын
Unabahaat xn wewe mtangazi kumuhoji mama yetu
@786schopetamiston9
@786schopetamiston9 4 жыл бұрын
Nampenda Sana huyu mama m/mungu akuweke
@samiahuseninikweli8539
@samiahuseninikweli8539 4 жыл бұрын
Yaan m,mungu akulinde mama wengine wanajua ,kua pesa ndio kilakitu ,wanajipa jeur wameshakua watu wazima lkin mara suruali mavimin mama nmekupenda
@franklyfaustine3880
@franklyfaustine3880 4 жыл бұрын
King upo vzur kwako ndo vzur thaman ionekane ya ustar wako
@jeremiahbenson9287
@jeremiahbenson9287 4 жыл бұрын
Nimejifunzo kwamba maixha sio lazima ujitangaze
@franklyfaustine3880
@franklyfaustine3880 4 жыл бұрын
@@jeremiahbenson9287 umeonae jamaa ajawah hata siku moja sijui wamemshawish vip
@saumsalim9966
@saumsalim9966 4 жыл бұрын
@@jeremiahbenson9287 kwel kabxa
@oookkk3965
@oookkk3965 4 жыл бұрын
Daa Mama Alikiba nampendak jmn
@gaspardimani4361
@gaspardimani4361 4 жыл бұрын
La simplicité d'une femme je validé
@nellymasengo1419
@nellymasengo1419 4 жыл бұрын
Tu as totalement raison
@sakinasofiya4999
@sakinasofiya4999 4 жыл бұрын
Elle mérite d'être appelé maman,une femme simple est soumise💪💪💪 à toi grande dame,❤❤❤
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 38 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 35 МЛН
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 60 МЛН
Mambo ya Kuzingatia Unapojiandaa na Usaili wa Kazi/Job Interview
13:01
ALICHOKIONGEA ALI KIBA Baada YA Kujenga MSIKITI
10:13
Global TV Online
Рет қаралды 194 М.
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 38 МЛН