@@maximumtvonline Allah ampe kheir na nguvu ziyada kufanya kheir kwa ndugu Wa Tanzania 🤲
@khdigahk42463 жыл бұрын
Hata bibi angu aliugua huu ugonjwa alijaa maji tukampeleke muhimbili pia
@aminasuleiman64023 жыл бұрын
Yaan Zahir kila kukicha nazidi kukuombea dua kwakweli Allah akujaze her nyingi akujaalie rizki ya halali kakaaetu 🙏🙏🙏mgonjwa wetu utapona kwa uwezo wa Allah Inshallah 🙏🙏🙏
@mwakahassan87423 жыл бұрын
AMIN
@hadija8463 жыл бұрын
Amiin🙏🏼
@mapenzisorotanizimbazimba87423 жыл бұрын
Shetani ashindwe Kwa Huo ugonjwa, MUNGU akufanyie wepesi mamangu
@hebronsdaughter16612 жыл бұрын
Amen
@zakiamsafiri123zakiamsafir73 жыл бұрын
ALHAMDULLILAH ALLAH ajarie mwangaza zaid upate dawa upone dada etu mungu akubariki kaka zahir pia na timu yako kazi nzur
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Asante..
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Amiin
@mename60203 жыл бұрын
Alhamdulilah... Allah akufanyie wepes Zaid...
@happysalva94803 жыл бұрын
Kaka Zahiri unafanya Kazi nzuri sana nasisi Atuwezi kuku angusha Mwenyezi Mungu akuweke uhai ili uzidi kusaidia na wengine 🙏
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Asante sana
@adijarashidi14263 жыл бұрын
In sha Allah
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Amiin
@1zuwena553 жыл бұрын
Kaka zahir mwenyezi mungu akufungulie milango ya peponi usifunjike moyo zidi kusaidia watu tupo na wewe
@naamohamed99643 жыл бұрын
Amiiin
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Amen..
@zabiyafahmikhamis48733 жыл бұрын
Amiin
@adijarashidi14263 жыл бұрын
AAmin yaarab
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Amiin
@hadija8463 жыл бұрын
Yaani furaha ilioje jamani maximum tv shukrani kwenu kwa kazi mzuri ongera sana mama yetu kwa kuendelea vizuri bado nazidi kukuombea kwa M/mungu ili upate kupona kabisa. Amiin🙏🏼😍
@tumakassim62863 жыл бұрын
Mungu azidi kukuongoza Zahir kwa kazi zako wewe pamoja na crue yako,tuseme Aamiin
@munirachangawa27763 жыл бұрын
Kaka zahir mungu akupe umri zaidi Na zaidi.GOD is great.
@edithngereza18683 жыл бұрын
Maashallah
@meedaafarai96773 жыл бұрын
Subhannallah. Alhamdulillah Allah atakuponya inshaallah.jazzak Allah kher broo.. zaher.
@mwanakhamiskhamis31153 жыл бұрын
Amin Amin Amin
@ruwaidaal-ismaily90993 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi
@theceefamily77643 жыл бұрын
Mwanzo ugonjwa umeonekana sasa utapona kabisa,barikiweni sana waliojitolea kwa michango yenu,mama kua na imani utapona kabisa. Mungu mbele kwa kila jambo🙏🌞🇰🇪@Kenya.
@Amina-bq2xe3 жыл бұрын
Kazi nzuri Kaka Zahir 💪💪💪
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Asante sana
@rahmaabdulla49493 жыл бұрын
Mashallah azidi kukupa shifaa pamoja na wagonjwa wote. Pamoja na mtangazaji wetu Zahir ALLAH amzidishie moyo huuhuu wakusaidia watu wenyewe matatizo mbalimbal na amfanyie wepesi katika kazi yake InshaAllah
@winfridakaaya27583 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu kaka zahiri akupe maisha marefu jamani mungu ndo atakulipiaa kwa kazi yako nzurii na dada yetu mungu akuponyeeee kabisa ilo tatizo
@zuwenaalesrizuwenaalesri74612 жыл бұрын
Mashallah mama nimefurahi sana kukuwona unahali nzuri tunamuwombea duwa mwenyezi mungu Akupe Afya pesa siyo kitu bora upone
@agapejosceline76833 жыл бұрын
Mungu asifiwe sana. Pia a bariki maximum kwa kazi kubwa munayo itunda na wote walio changia pesa, maombi na kadhalika.mubarikiwe nyote 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@wahiduitsverycommentmane54213 жыл бұрын
Hakikaa akuna wakufananixhwa na munguu mungu ni mkubwaa sanaaa jmn tumrudie muumba wetuu yeye ndiee kilaa kituu kimbilioo la kwelii na lamilele
@mwaminikanyinyi60963 жыл бұрын
Allah akupe shifaa ya haraka mama
@zuwenaofficially35513 жыл бұрын
Zahiri nakuona mbali sana uko mbinguni allah akujalie pepo 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻💕💕💕💕💕💕
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Allhamdulillah ya Allah Allhamdulillah ya Jaball Allhamdulillah ya Mutakabir I Alllhamdulillah ya Manani Allhamdulillah ya Karim. Ya Allah jaaliwa Naxksim TV isongembele na Tm mzima uwaobgezee Iman uwaobgezee kipato uwaifadhi kama wanavyoifadhi wenye shida hiyo sikuya malipo uwape nwesho mwema lnshallah 🤲
@memoryngambi37583 жыл бұрын
Yesu akuimarishe zaidi,yaani mtangazaji mungu anakusudi kukueka ue daraja kwa watu wengi.familia yako isije ikapungukiwa na chochote,maana umejitoa kwa wengi,bila kuangalia kabila,rangi, mazingira yaani ubarikiwe.
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Amen...
@sizadarat41763 жыл бұрын
Mwache mungu aitwe mungu kwa kwel yy ndio tegemeo letu .Allah amjalie apone kabisa
@mwakahassan87423 жыл бұрын
Amin
@saidabdul55863 жыл бұрын
Zahir kaka mm nakuombea dua tuu Allah akulinde na kila shari maana hakuna mfano kwa kazi unayoifanya
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Amen..
@rukiakhamsin92203 жыл бұрын
Allah akufunguliye kila la kheiri kaka zahir,Akujaaliye neema na BARKA katika maisha yako🤲🤲🤲🤲
@umibana67593 жыл бұрын
Subhannallah nilisema Mimi🥱 mungu amjaalie apate dawa yake
@shameemrashid52193 жыл бұрын
Jamn nimetoka na machoz huyu mama anavyofurahi e mungu warudishie afya wagonjwa wote ,, na zahir 😭🤲
@zaiiomary89703 жыл бұрын
Allah akufanyie shufaa dadaangu utapona kwauwezo wa labanna
@elizabethmwandu69373 жыл бұрын
Duuu jamani Mungu ni mwema kila wakati hakika Mungu hashindwi na jambo lolote ashukuriwe Mungu wa mbinguni kwa hatua hiyo uliyoifikia nina uhakika Mungu atakufanyia wepesi utapona.Ubarikiwe sana kaka Zahir kwa kazi nzuri hii unayoendelea kuifanya ya kuwaibua watanzania wenye magonjwa mbalimbali kama ya huyu mama hakika bila wewe hats watanzania na watu wote wasingeweza kumjua kama ni mgonjwa anahitaji msaada . Mungu akubariki sana kaka Zahir wewe pamoja na kazi hiyo njema unayoifanya Mungu atakulipa mema zaidi.
@monadinadi52953 жыл бұрын
M.mungu atakupa wepesi inshaallah Zahir ungekuwa ujaowa wallah ungeniowa jmn kk una moyo wko. Mungu at akuzidishie zaidi na zaid inshaallah
@msimualikhamis59063 жыл бұрын
Aslm alkm m/mungu amfanyie wepesi pamoja nasi ampe moyo wa subira
@eliminagorowa32463 жыл бұрын
Zahir mungu akupe maisha marefu pole sana dada
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Amen...
@hafsaali79763 жыл бұрын
""Mashaallah mashaallah.
@moanasaboud43993 жыл бұрын
Mashallah Allah Akbar nilipoona for first nililia sana na sahii furaha na kumshukuru Mola Kaka Zahir tunazidi kukuombea Mungu akupe kila la kheri wewe na familia pia kwa mpiga picha (camera man)
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Asante
@rehemasila19373 жыл бұрын
Hongera kaka kwa kazi nzuri nakupa big up sanaaaa
@felistersmejumaa51883 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi mamangu twataka kuona ukisema umepoa kbsa
@jesusjesus74773 жыл бұрын
Mungu amjalie apone kabisa Inshaallah Na mume wake Mungu azid kumtia imani 🙏
@judithmwambe47673 жыл бұрын
Pole mama....Hongera kwa kuwajibika vyema kaka Zahir, Mungu baba akutunze pia Shukrani kwa Timu nzima ya Maximum Tv Mungu awe pamoja nanyi.
MashaAllah hadi raha, usingizi pia ni dawa, Allah atazidi kuku Usha na hapo pia lnshaAllah
@heyumi23402 жыл бұрын
maashaallah maashaallah una mume mwema mwenye huruma mungu ambarriki sana
@katibatanzania30893 жыл бұрын
Alihamdulilaahi raabiilaa alaamina mungu mkubwa atazidi kukupa faraja na utakaa vizuri na kaka zahir mwenyezi mungu atazidi kukuongoza na amali yako itakuwa ninjiya kubwa kwa aallwaa
@oparetionmaalum90303 жыл бұрын
Kaka zahir unafanya bidii kubwa katika utendaji wako Allah akudumushe katika kazi zako na uongezekewe na rizki Amin 🤲
@zainabthimis40253 жыл бұрын
Wwe mtanhazaji daa mungu akuweke wwe ni issa na biii mungu hatakuacha ubatikiwe
@munirachangawa27763 жыл бұрын
Wow mashallah. Yani hadi raha.
@sabihahamadi22873 жыл бұрын
Kaka zahiri mungu akulipe heri unavyo pambaniya wezetu mungu atusaidiye
@katibatanzania30893 жыл бұрын
Amiina yrbl almn ata ww mwenyezi mungu atakupa afua njema utakaa vizuri inshaallwaa na maximum watazidi kukusimamiya Inshaallwaa
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Jmn haya magonjwa daaah...pole dada Mungu akufanyie wepesi upone.
@aminasaleh61343 жыл бұрын
Yaan zahir saiv utafany kaz zako kwa aman usiache kuvaa ivo na mung atakusaidia katk kaz zako
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Yeah sitoacha
@asiaminja35563 жыл бұрын
Mungu mkubwa...hongera Maximum Tv ila mume wake Mungu amtunze
@ruthjohn43173 жыл бұрын
Jamn eeh MUNGU tunakushukuru kwa ajiri ya mama huyu.Mungu akutete mama zaidi upone kabisa
@user-ij2bf8of8h3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akujalie shifaa yake in shaa Allah Allah Kareem
@faridaessa78443 жыл бұрын
Mashallah,mashallah mama kaka zahir mungu azidi kukupa fusaha uendelee kutusaidia inshallah.
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Amen..
@sittikibonge80663 жыл бұрын
Pole sana dada,mshukru Allah kwa kila jambo
@mariamselemani52083 жыл бұрын
Pole sana dada mpendwa mwenyezi mungu akuzidishie afya njema
@reshmakhalil93923 жыл бұрын
Allah akuzidishie uzima 🤲
@rosemaryrogath31813 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupigania kaka Zahir ili ulete furaha kwa wenye huzuni, tumain kwa waliokata tamaa.
@sizadarat41763 жыл бұрын
Kaka zahir Allah akupe umri mrefu na afya njema uzid kuwasaidia watu wengi zaid
@rukiajumaa5743 жыл бұрын
Mungu tupunguzie magonjwa haya babaa
@saudarasul96603 жыл бұрын
Waooh allah qareem Pol mmaangu utapon tuu inshaalah
@sheikhanasser47143 жыл бұрын
Alhamdulillah Allah ni mkubwa atakupa afya Shifaa atamvuwa na mengine Aameen 🤲
@mtotonimamainawumsanamct34483 жыл бұрын
Nami ni mtu wa burundi lazima nikusapoti kwakazi nzuri
@faridaessa78443 жыл бұрын
Asante sana kwa moyo wako mzuri
@fodomullahmajid2043 жыл бұрын
Mashallah naskia raha Sasa 🤗🇰🇪Zahir hoyeeee utapona mum lov you 🤗😍😘
@OmanOman-iu7jf3 жыл бұрын
Alhamdulilahi rabina alaminii mama swali muombe munguu kwa kurudiaha tena uzima wako
@rithakuyala99513 жыл бұрын
Asante Mungu kwa atua uliyomfikisha kiumbe chako endelea kumponya kila penye tatizo
@moureenmartin41253 жыл бұрын
Mungu akuponye mama... ni maombi yangu uvuke hili salama🙏🏼
@iradukundadiattiradukundad60933 жыл бұрын
Yan watanzania wako namoyo wakusaidian sio Kam kwet 🇧🇮 hawasaidian ♥️🇹🇿🇹🇿
@shanifesto90373 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ni mwema ,mia Yangu mwenyezi mungu aniiongeze ili tusaidiane. Amen
@zabiyafahmikhamis48733 жыл бұрын
Amiin
@ummusamira35183 жыл бұрын
Pole Sana Allah mungu azidi kukupa afya njema zaidi Ila mumewe pia akapimwe madhali alikuwa yupo na yeye karibu hwenda akawa kamuambikiza maambukizi ya ini ata jasho na hewa inaambikiza
@simonhaule65673 жыл бұрын
Co Kila tatizo la ini linaambukiza ila Ni vyema kupima!!
@angelngomaitara44813 жыл бұрын
Kumbe ndio mana bro leo kavaa mask na glvs
@rehemamasoud36873 жыл бұрын
Zahir mdogo wangu m.mungu atakulipa.inshaalla
@dalianakerefu4903 жыл бұрын
Da mungu mkubwa mpaka nimesahau pole Sana mama zidisha maombi mungu atafanya wepesi hakuna linaloshindikana Kwake
@ilhamahmed79073 жыл бұрын
Allah yu pamoja na wewe in sha Allah... Mum utapona in sha Allah.
@munirashughuli72243 жыл бұрын
Ahamdhulillah mola atakulipa kaka Zahir
@aminajuma29813 жыл бұрын
Ashuku riwe mungu kwa atua aliyo hifikia mpaka kufikia apo japokua bado ila kidogo angalau kaonyesha tumaini
@yassirhalimamohammedmohamm59133 жыл бұрын
Masha Allah 🌹😍 mungu nimwema
@daimamagehema89193 жыл бұрын
Pole sana dada mwenyezi mungu atakuponya
@asya68613 жыл бұрын
Allah waponye wagonjwa wote jamani
@chauligemeka78403 жыл бұрын
Amiin
@bimkubwaali16053 жыл бұрын
Mie mdogo wangu alipata kesi hiyo hapa kwetu zenj mnazimmojja hospital aliambiwa asubirie kufa.nikamepeleka muhimbili kwakweli muhimbili nawapa bigup wanajuwa sannnnna.huyo mdogo wangu ningetamani atowe ushuhuda kwa huyu mama ili na yeye apate hope.yeye ni wakiume aliambiwa kafanya usaha wa ini.na walimwambia usiwaze hapa wewe mbona utasimama maradhi ni madogo sanna haya kwetu.na kweli kwa sasa ni mwanamme mhuni kama yeye hakuna mjini mzima kama chuma cha reli.ini mungu kalijaalia kuwa linajitibu wenyewe kwakupitia dawa.hii ni kama kesi ya hawa wa diamond platinum.
@taturajabu59773 жыл бұрын
We mdogowangu,Mungu akufungulie milango ya kheri, ukioa upate mke mwenyeroho kama wewe
@zainabmkomwa20643 жыл бұрын
Pole mama Mwenyezimungu akufanyie wepesi kwakudura zake👐👐
@zabiyafahmikhamis48733 жыл бұрын
Amiin
@salamapembe4563 жыл бұрын
Pole mum Kwa uwezo wake Mungu utapona
@shoarimahege27553 жыл бұрын
Tuko live jmni
@saadasimba2673 жыл бұрын
Da mashallah, jamani ndio huyu daa mungu mkubwaa, atazidi kumpigania
@mouwanahamisi82163 жыл бұрын
Pole mom Allah atazdi kukuzdishia afya
@halimaleila23233 жыл бұрын
Napenda. Jis. Wtz. Wanajitoreya. Mungu. Awabarik
@ZainabZainab-tv9ir3 жыл бұрын
Mashaallah alhamdulillah mungu mukubwa
@mename60203 жыл бұрын
Allah awalipe ujira mwema woote mtangazaji na timu yake na watu woote mnaochangia...
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Asante sana
@aishahassan98123 жыл бұрын
Aminn
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
Zahir ww ni mfano wa kuigwa kabisa una moyo sn wa kipeke ukweli sijapat kuon nakuombea kila siku mungu azid kukuwek daima bad naitaji nikuone nakupenda sn ukweli yn
@aminamlangida95193 жыл бұрын
Mungu mkubwa ee baba sifa nakupa wew mwenyez mungu🙏
@mwaminindayishimiye44343 жыл бұрын
Zahir ivi powa uwe unavaa ivyo juu yakuji linda kaka 👌👌
@maximumtvonline3 жыл бұрын
Haya nitakuwa navaa kila siku hasa kwa mgonjwa yeyote
@mwaminindayishimiye44343 жыл бұрын
Thanks
@africandarling69253 жыл бұрын
Alhamndulillah mungu ni mwema Hapo ulipo fikia jambo la Kushukuru mungu
@salummzee97393 жыл бұрын
Daaah unajua mm moyo wng hauwez kuangaliya mtu akiwa maradhi makubwa km haya pressure ya Imani ina jaaa
@zainabmohammed13053 жыл бұрын
Nina furaha sana kuona ukohivo allah atakusaidia
@alhamdulillah57963 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@wahiduitsverycommentmane54213 жыл бұрын
Wewee kaka weeweee hakika mungu hatowah kukuacha ata sekundee mojaa
@zitoniebrahem31743 жыл бұрын
Allhamdulilh mungu ni mwema hakika hakuna kinachoshindikana kwa allh
@sakinaabdallah77133 жыл бұрын
Mungu ampe nafuu ishaallah ( amin)
@user-nv8yj3kk5f3 жыл бұрын
Mungu akufanyie wepes yaarab
@robinakamwine84053 жыл бұрын
Mwenyezi mungu amfanyie wepesi
@khdigahk42463 жыл бұрын
Ila zahera Samahan unafanya kz mzur mno ila ushaur tu maiki ziwe mbili iwe yko na wagonjwa kk samahani lkn kwa kkuingilia kz yko