MAMAB AKABWA NA KIJANA AKIDAI ANADHARIRISHA

  Рет қаралды 50,476

BINTI KIGOMA TV

BINTI KIGOMA TV

Жыл бұрын

#mamaB #JoDevi

Пікірлер: 712
@johnmnonjela651
@johnmnonjela651 Жыл бұрын
Hilo ndo tatizo la waislam mtu yeyote anayeoneka kuijua dini na ni muislamu huwa maisha yake ni mafupi sana .....Mama B dadaangu waislam wameshakuchukia nadhani kuna kitu umekijua katika uislamu si kizuri hasa ndani ya Quran wanashaka utakisema .... waislam wangapi wanakwenda kwa akina mwamposa, suguye na .....binafsi nakupenda sana kwa upendo wa Yesu Kristo wewe ni mkweli mi nakufuatilia sana ila kuwa nao makini watakuua hao....njoo kwa Yesu Mama B dadaangu hata wakikuua uzima wa milele utapata usife kabla hujamuamini Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yako
@user-mq6lu2po3y
@user-mq6lu2po3y Жыл бұрын
Asante sheikh wangu kwa kufikisha ujumbe kwa huyu Dada
@joshuajeremiah2742
@joshuajeremiah2742 Жыл бұрын
Mwadishi wa habari mshamba sana mama b anajifunza mwacheni afu hapo unaingilia uhuru wamtu ameshakuambia anajifunza unatafuta nini kingine
@amajungle7641
@amajungle7641 Жыл бұрын
ajifunze nini mama B, baada ya huyo nabii akitafuta kiki ya kutoa pesa
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Kama kweli mama b. Allah yupo anakuona jisahau utumbukie motoni
@assandilla5891
@assandilla5891 Жыл бұрын
Napenda Sana vijana WA kislamu sana
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 Жыл бұрын
Kijana kafanya vyema
@AliMahmoud-tj2jb
@AliMahmoud-tj2jb Жыл бұрын
Mm nauliza kwani huyu mama b ni muislamu kweli?au anatumwa kuudhalilisha uislamu?
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 Жыл бұрын
@@AliMahmoud-tj2jb murtad
@tumainisanga8268
@tumainisanga8268 Жыл бұрын
Ninafurahi sana! Mungu wetu ni mkuu sana kuliko fitna, kuliko Imani hizo za watu vipofu wasio na ubongo! Huyu mama ataokolewa, na atawaacha mkiendelea na ibada za masanamu shenzi. Unampiga mwanamke kwa Imani aliyonayo?????
@safiamohamed635
@safiamohamed635 Жыл бұрын
Huyo sio muislamu yupo tu kwa ajili ya kudhalilisha dini ya kiislamu kumbe walikua lao moja na wale wenzake ndio maana akamchamba Kishki subhanallah
@jpmanotaofficial9041
@jpmanotaofficial9041 Жыл бұрын
Hapo ndo nimehamini kuwa waislamu ni magahidi namba 1,Imani hailazimishwi mtu kahamuwa kwenda kwenye ukristo shida ikowapi, Imani za kulazimishana sio matakwa ya Mungu inabidi mchunguzwe sawa
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Kumbe siyo muislamu huyo mama B
@taucjumanne1953
@taucjumanne1953 Жыл бұрын
Ukweli ni kwamba huyu mwanamke ni mpuuzi😏😏😏😏😏😏
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
mpuuzi mamako aliye mtu km wew usiye jitambua
@taucjumanne1953
@taucjumanne1953 Жыл бұрын
Sio rahisi Simba kumjbu mbwa👌👌👌,,,,yaaan mwanamke Hana hata stara ya aibu,,,af anajiona Yuko matawi ya juu yaaaan kumbeeee ni ushezi mtupu usokuwa na maana ,,,ufike hata mda umfkuze huyo sheitwan alokutawala🤷🤷🤷🤷🤷
@sabbob574
@sabbob574 Жыл бұрын
Nimempenda sana huyu Dada. Muacheni tatizo nini kwani. Dini haikazimishwi. Kwani ni ubabe. Mama B wafungulie mashtaka
@fatumaabasi777
@fatumaabasi777 Жыл бұрын
MaashaAllah kaka Allah akulinde, mpe ukweli wake asijelaum kesho kua sikuambiwa, mwambie tu ukweli huo.
@sumol9586
@sumol9586 Жыл бұрын
hana haya kwel
@Bigmo2706
@Bigmo2706 Жыл бұрын
Yani mtu anaongea nae kihekma yy anatoa manneo machafu subhanallah kweli bilisi bilisi ili tutambue kesho ataturuka huyu bilisi maana yy mwenyewe kalaaniwa Allah atuongoze inshallah
@estawilison1372
@estawilison1372 Жыл бұрын
Hiv nyie mnaohukum mna usaf gan mwachen dada was watu sis sote tunasubir kuhukumiw anaehukumu ni mmoja tu nyie vp
@asmahassan5661
@asmahassan5661 Жыл бұрын
@@estawilison1372 nyamaza km hujui nni maana ya wiislam
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 Жыл бұрын
Hata mimi alinitukana sana
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 Жыл бұрын
@@asmahassan5661 wachana na huyo kafiri my dear
@edwardntamaboko3414
@edwardntamaboko3414 Жыл бұрын
@@asmahassan5661 Maana ya Uislamu ni kupiga na kuua?
@fatkisissa531
@fatkisissa531 Жыл бұрын
Mama B laaanatuah
@fatumaabeid1603
@fatumaabeid1603 Жыл бұрын
Tamaa ishampoteza uyu mama...mungu amsaidie inshallah 🙏
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 Жыл бұрын
Anataka gari
@fatumaabeid1603
@fatumaabeid1603 Жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 😂😂kwl yuataka vya bure
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Mungu amsaidie nini huyu???
@ashulahassanashulahassan8954
@ashulahassanashulahassan8954 Жыл бұрын
Kaka Asante sana Yan huyu mama mshenzi sana
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 Жыл бұрын
Yaani huyu kaja mjini wenye mji wao hawapo tuko nje kwa miqka mingi lakini huyu angeipata kisago cha sawasawa mpaka angered kwao vijijini anamtukana Kishkishi wallah una bahati sana wewe mshenzi usituharibie Jina la Uislam NJAA ITAKUUWA MSHENZI WEEE SIJUI UNAUTAKA UMAARUFU UTAKUTOKEA MKUNDUNI
@saumkisira9328
@saumkisira9328 Жыл бұрын
Alafu anakama kejeli Mungu amuongoze mana Ni mtihani
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 Жыл бұрын
Uyo Mab Mpuuzi kweli kabisa.
@abdularuffin9308
@abdularuffin9308 Жыл бұрын
Huyo mama b ni mnafiki sana wanadanganywa na pesa huyo hayupo katika dini ila anaiharibu dini yetu tukufu
@saumunyange2447
@saumunyange2447 Жыл бұрын
Huyu sada ni malaya tunaemjua wala hatusumbui kwanza hata kuswali ajui anakunywa pombe uyo alikua anafanya kazi salon mwananyamala komakoma madereva boda boda wameburuza sana hapo alipo anatafuta umaarafu na njaa pia inamsumbua ujuaji mwingi ndomana kaachwa
@salumsicknesspeoplemusafir7902
@salumsicknesspeoplemusafir7902 Жыл бұрын
Huyo mama hajalelewa na wazazi wa 2 kalelewa na mama yake kwa tabiya zake aliyo nazo . Mwanaume atakeye muowa huyu mama atakutana na bala kubwa .
@nourannouuran3514
@nourannouuran3514 Жыл бұрын
Yani inanikera moyon huyu mama amefika pabaya dunia inahadaa pumz Dada rudi utubu dunia ni kitu kidogo sana ,acha kiburi
@paulmushi2428
@paulmushi2428 Жыл бұрын
Kwani aliingia chumbani na kufanya uzinzi au aliingia bar kunywa pombe?
@sabrysleiman5115
@sabrysleiman5115 Жыл бұрын
@@paulmushi2428 ww mpumbavu Bora afanye huo uzinzi na aingie bar kulewa lakini bado hajatoka kwenye uislam dini ya haki,kuliko kuritadi Kwa tamaa ya helaa
@SAM_163
@SAM_163 Жыл бұрын
Endeleeni kujidanganya na YESU ATARUDI KUHUKUMU WAKIO HAI NA WAFU
@mody-guyngido2792
@mody-guyngido2792 Жыл бұрын
Njaa na Kiki sio vitu vizuri kuviendekeza Allahu Yaalam.
@issazalala4907
@issazalala4907 Жыл бұрын
Wewe mama b akiri yako IPO kwenye umaarufu Tu lakini jiandae na azabu ya Mollah wako labda utubu ndugu yangu
@shemndolwasatieli5058
@shemndolwasatieli5058 Жыл бұрын
Pole acheni watu wa muabudu MUNGU
@salimramadhani5237
@salimramadhani5237 Жыл бұрын
Acha ushamba
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 Жыл бұрын
Huyu mama hana adabu hata kidogo mjinga sana,huyu mama ni mjinga sana tena sana ,huyo msimfatiliye ndiye wale Allah ametaja watakuwa kwenye kundi la masihi dajar.asiwapotezeye mdaa.
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 Жыл бұрын
Laaatulla Kwa hakika tuliyaskia mengi zama kwenye dini kinafiraun na wengine Bali Leo tunaona live Allah atunusuru
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 Жыл бұрын
Haya hayahusiani na firauni utakuwa umekalili aisee,Yesu kristo akusaidie uelewe
@saidilindukwa
@saidilindukwa Жыл бұрын
Anachukulia poa Dini ya Allah.huyu Dada mwacheni atambe tu yafirauni yaleee yanamjia anachokifanya hakikubaliki ktk uislam bora angeyafanya kimya kimya yeye na mungu wake km waleeee waislamu wa kwa mwaMposa hatuna shida nao wale ni kimya kimya shauri yao.lkn huyu twamsema sababu anajimwambafai mitandaoni ndio maana waislam wanajitokeza wengi kumkanya,huyu mama B anatetewa na wa Dini nyingine lkn aelewe hawa hawaielewi dini ya kiislamu I nasemaje na Ina sheria zipi juu ya haki za wanawake,mama B unajidanganya rudi kwa Mola wako haraka.
@paulmushi2428
@paulmushi2428 Жыл бұрын
Mama B alikuja Kanisani kujifunza kama ilivyo agiza Qur'an 10: 94 Waulizeni wasomao kitabu kabla yako!! Na hakuna kulazimishana katika dini! Karibu kanisani jamani ukitaka kujifunza!!
@aminatasongoro9592
@aminatasongoro9592 Жыл бұрын
Uyu kaka nae kwanini hajaanza na kibao jamani🤣🤣🤣🤣
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Marefa hao
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimeipenda hiyo eti Kwa nini hajaanza na kibao.safi ni kweli alikuwa aamzwe na jibao Moja la heko.
@samwa9496
@samwa9496 Жыл бұрын
Ampige kwanini, kwani yeye wakwanza kuingia kanisani hata mimi nakwenda kusikiliza maneno yao ya mafunzo ni mazuri tunatakiwa tujifunze hata kwa wenzetu jamani acheni jazba na mwisho atakwenda mojakwamoja
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
@@samwa9496 na aende
@sharmilaoman6389
@sharmilaoman6389 Жыл бұрын
Angekuwa nchi zenye msimamo dini ulo nabkipao mbele huyu kama so jela basi kifo kingemkuta kitenda cha kumsalilosha kishiki kama kiongozi wa dini ni suala amabalo limetuuma sana sana kwa mwenye imani thabity
@ramadhanideu6444
@ramadhanideu6444 Жыл бұрын
Allahu akbaar Allah awape msimamo thabit wadeen ya hak vjana wetu mpak kiyama
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 Жыл бұрын
Amiin
@fadalalharrasi9894
@fadalalharrasi9894 Жыл бұрын
Amiin
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 Жыл бұрын
Amiin
@oman7710
@oman7710 Жыл бұрын
Allahumma amiiin Yarabb
@user-rm3vd6yi8f
@user-rm3vd6yi8f 10 ай бұрын
Huyu mama anakbri shetwani amemvaa kweny akili yako mungu amtolee huyu ibilisi
@leonardpeter9827
@leonardpeter9827 Жыл бұрын
Waislamu bhna mna ubaguzi sana leo hii kiongozi wa kikristo akingia msikiti huwezi kuyaona haya mambo kwao
@rashidmabrouk1957
@rashidmabrouk1957 Жыл бұрын
Tatizo huyo mama hata uislam wake haujui. Asitafute umaarufu kupitia dini tukufu ya Allah. Atafute njia nyengine ya kutafuta umaarufu. Na hata huyo mume ni dayuthi hauwezi kumruhusu mkeo wa kiislam kuzungumza na media na mume unashuhudia. Bila shaka mume ni dayuthi.
@adamnassiri8512
@adamnassiri8512 Жыл бұрын
Baba yuko tayari umwite kwako geto baba 😂maini ❤ ayo yana lipa usipgane nae 💃🏿kk mkubwa🎉
@edgercyprian964
@edgercyprian964 Жыл бұрын
Jamani mbona hivyo mwamzonga zonga mama wawatu kwenda kanisani nikosa? Abu acheni hizo
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Жыл бұрын
Uislamu bhana ni shida, dini ya Mungu wao inapiganiwa na waumini, kwahiyo Mungu wenu hana uwezo wa kuipigania dini yake mwenyewe
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын
Hahahahaha Hatareeee Hizi komedi nazo zitapita tu
@hamischuga6320
@hamischuga6320 Жыл бұрын
Huyo Mama B ni kahaba kama makahaba wengini hakuna mwanamke wa kiisilamu aliye isoma dini akawa na mambo ya hovyo kama huyo mama
@zakariasuleiman4113
@zakariasuleiman4113 Жыл бұрын
Mwanamke aso haya ni hatari sana katika dini
@dismassamwel7130
@dismassamwel7130 Жыл бұрын
waislamu ndugu zetu shida yenu ndio hiyo mkishindwa hoja mwataka kupigana ,mkifungwa jela kama magaidi mnalaumu serikali
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Mbona wewe mwandishi unamuingilia sanaaaa huyo mama b muacheni ana familia yake imani iko moyoni mwake
@moudboss846
@moudboss846 Жыл бұрын
Sijui niandike nini, Mungu Tusamehe Mazambi yetu.Imefika hatua Watu mnaleta Drama kwenye Dini. Mnapanga ,mnaigiza haya madudu alafu kuna Waislam nao wanaamini hii ni kweli🙄 Kusoma hamjui pia kuangalia picha na tukio Zima hamuoni???
@drankskhally7019
@drankskhally7019 Жыл бұрын
Hiyo dada ni mpuuzi mkubwa
@umranim5854
@umranim5854 Жыл бұрын
Safi sana kijana pigana jihad na huyo kafiri mkubwa ana dhalilisha dini ya haki hasbiya Allah wa naama Lwakil
@asiaali1124
@asiaali1124 Жыл бұрын
Mm nahis engemtoa meno Kwan uyo mwanamke hajielewi anadhalilusha uislam tu ila uk alikofika akil itamuingia sio yupo zenji
@pamelamauki4209
@pamelamauki4209 Жыл бұрын
Ni Mungu yupi anayetuusu kumpiga mtu, kwaajili ya dini? Mlio komenti mama B apingwe, Mungu awasamee! Mungu ndiye akimu,wa yote! Amayejua mama b amekisea, au yupo sawa, ni Mungu
@drankskhally7019
@drankskhally7019 Жыл бұрын
Huyo mama ni mpuuzi sana
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 Жыл бұрын
Ani waislamu 😳😂😂😂mnamfuatilia mtu mpk kwake huyu mama Yesu atamuokoa awe kiboko wa shetani
@aishakilimba5938
@aishakilimba5938 Жыл бұрын
Mama B Mungu anamtumia ili mjifunze acheni roho ngumu mtajuta
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 Жыл бұрын
Huo ulimwengu wa milele ambao tunaelekea baada ya maisha haya ikiwa hivyo ndio tunajiandaa na hatutaki kuelekezwa tunadhani tutaishi milele nsawa mamab ishi upendavyo hata nafsi yako usijishtuke wala usijiulize jione tu uko sawa mana damu inatembea lakn mungu anakuona akhera cmbali we endelea kuwa karibu na wanao mkufuru mungu na hao usipo badilika utakwenda fufuliwa nao
@aishaabdullah837
@aishaabdullah837 Жыл бұрын
Uyu Dada naisi kashindikana kwa mume ata kwa family yake
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 Жыл бұрын
Uyo sheytwani wakibinaadamu.awezekani
@sharmilaoman6389
@sharmilaoman6389 Жыл бұрын
Kweli huyu dada Ana asili ya ushetani et mm ndo wa kwanza kwenda kanisani ovyo lile, huyu kashindikana kwa ukoa wake, kingine anafosi kuwa muisilamu ila sadaka alizopewa huko zinasababisha afikirie yuko sahi linaelekezwa bado linabweka tuu
@azimaramjali7063
@azimaramjali7063 Жыл бұрын
Mwacheni apigwe au abadili dini kabisa anatuzalilisha
@donsharks4458
@donsharks4458 Жыл бұрын
huyu mama cdhan kma ni Muislamu bali ni mnafiki aliyejiunga na chama cha ma elite na mtume wetu alishatabiri watu kma hawa watakuja na prophecy naona imetimia inna lillah wainnailahi rajiuon
@lwicheworkshoplimited305
@lwicheworkshoplimited305 Жыл бұрын
Nchi inaelekea wapi!! Hata ckueleweni!! Hawa wanatoa HUKMU! Acha mama B mbona Maraisi wa kiislamu huwa wanaingia makanisani tena hutba wanatoa!!! Tumuachie Mungu, cc tupiganie yaliyo MEMA tu., then Kwa mema atatuelewa.
@mpondamedia2416
@mpondamedia2416 Жыл бұрын
eti yani unanivamia dah inna li llahi wa inna ilayhi raajiuun huyu dada ni msiba mzito sana Allah
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 Жыл бұрын
wewe mama B usijitengenezee uwadui na dini utaigharimu familia yako unatukera sema watu wapo busy na maisha ila ukizidi kupita maelezo yatakukukuta makubwa utachinjwa kama kuku vile nakupa mfano tu mdogo mtoto wa kike iran aliacha nywele wazi akakashifu kwenye media uislam leo yupo wapi kama unataka vibe simama huko kwenye mada za wanaume na wanawake No matter what lkn huku kwenye udini inatugusa wengi wengine wanakosa stamara na isitoshe wewe unaongea kishabiki na sio kutufunza kwahyo please please please kuwa makini kwa hili 🙏💪🇹🇿🇦🇪
@edwardntamaboko3414
@edwardntamaboko3414 Жыл бұрын
Kama ni hivyo basi na nyie msikashifu dini nyingine,nyie mnapenda kukashifu dini nyingine ila mkisemwa ya kwenu mnakengeuka,ninamashaka hata huyo Mungu wenu siyo wa kweli
@issackntacho4498
@issackntacho4498 Жыл бұрын
We mwanaume ni mpuuz sana,,Mambo hayo hata hayakusu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
HUYU MAMA B NADHANI ANAONYESHA ANA UPUNGUFU WA AKILI KICHWANI AKAPIMWE AKILI AU HANA RADHI YA WAZEE WAKE WATU WAWATAFUTE WAZEE WAKE WATAJUWA UNDANI WAKE.HUYU MWENYEJI WAKUTOKA WAPI??? TANZANIA KUBWA.
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 Жыл бұрын
Ni kweli Lkn naona ni mzima Ni umapepe umemzidi
@husseinally5550
@husseinally5550 Жыл бұрын
Hapo kweli hiyo kitu wameiandaa wote watatu.maana huyo kijanamna alivyokuja hakuwa na madhara yoyote hata huyo mdada hakuonyesha kushtuka
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f Жыл бұрын
Mama B midomo 40 sumu na midomo 40 dawa ata umbuka siku moja
@neemafatu471
@neemafatu471 Жыл бұрын
We mwanamke muogope muumba WAKO Duniani tunaishi muda mfupi sana. Hata ukipewa miaka mia bado haitoshi ndugu yangu. Unayoyafanya kiukweli ni mabaya .kukera mashekhe WENYE kuamriaha mema ni laana TU utakayopata. hakuna mkamilifu ila tunatakiwa kujitahidi Kumuogopa mungu. Acha Ujasili wa hasara . Kumbuka kibri si uungwana.
@mariasmith4301
@mariasmith4301 Жыл бұрын
Mungu ndiye anayehukumu siyo binadamu,,Sasa huyo kijana kumkunja hivyo ni sahihi??????
@saudahndidi1796
@saudahndidi1796 Жыл бұрын
Kashakubali sio muislam .
@barutiboniphace4335
@barutiboniphace4335 Жыл бұрын
Mbona naona kama hivi vitu vimekua Planned ivi.
@abduliswalehe3244
@abduliswalehe3244 Жыл бұрын
Huyo mwanamke kiukweli anazalilisha dini yetu nimpjmbavu
@shaabanmakarani1232
@shaabanmakarani1232 Жыл бұрын
Huyu Dada anamatatizo anajifanya anajua kusema lkn Hana lolote Ni mbishi TU anaweza kaleta balaa hapa nchini petu
@burhanngomile6216
@burhanngomile6216 Жыл бұрын
Kujulikana kupitia mamaB kwa umaarufu gani mwenzqngu😂😂😂😂
@kassimayoubmohd6313
@kassimayoubmohd6313 Жыл бұрын
Acheni ujinga uyu mamaB kawapanga hao watu 😂😂😂😂
@khadijaahmada5692
@khadijaahmada5692 Жыл бұрын
Na mimi nna maono kama yako😄😄
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
Atanamimi nahisi ni mipango Ili watumishe vichwa vyetu itawezekana wapi mtu aje kuku vamiaa sio rahisi
@ramadhaniabdul5180
@ramadhaniabdul5180 Жыл бұрын
Kabisa,hapo ni kiki ndo inatafutwa,hata ukiangalia nyuso zao hao wote utajua kua ni tukio la kupanga,wajinga wakubwa
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
@@ramadhaniabdul5180 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 u
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 Жыл бұрын
Mama B usifanye mchezo na watu wa ZANZIBAR kuhusu dini!! Watu wapo serious
@asiaali1124
@asiaali1124 Жыл бұрын
Ataiona chungu zanzb Kwan ashazoweya kuwazalilisha mashehe wa tz ila huko alikoenda hatoondoka salama
@SAM_163
@SAM_163 Жыл бұрын
UHURU WA KUABUDU NI HAKI YAKE YA MSINGI ACHENI CHUKI NA GHADHABU WAKUU
@mdsaid1527
@mdsaid1527 Жыл бұрын
Huy dada ana laana muache iko SKU atalaruka Kwanza jeuri Sana anajifanya anajua lkn mungu hazihakiwi atampata pogo hilo
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Wewe mbona mwenye lana niyule aliyeshika mwili wa meanamke ambae siyo mkewe akitaka ampige
@bornifacecharles2
@bornifacecharles2 Жыл бұрын
Ninacho juwa mimi dini ya kiislamu ni dini ya hakhi na inafundisha upendo
@prosperitymaarifa3324
@prosperitymaarifa3324 Жыл бұрын
Wapi wewe.
@johngerald4677
@johngerald4677 Жыл бұрын
Uislam na upendo ni sawa na bangi na polisi
@ramamusa3304
@ramamusa3304 Жыл бұрын
Dada usijisahau ogopa sana mung akuchukue aliyakuw watu wanaomba dua mbay
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 Жыл бұрын
Mmemkomalia huyo dada,kwani lazima awe muislamu? Sasa hadi unamkaba. Peleka hao polisi,huo ni udhalilishaji kwa huyo dada. Haiwahusu.
@bennamush4616
@bennamush4616 Жыл бұрын
Mimi ni mkristo lakini sijafurahia anachokifanya huyu dada kuidharau din yake na viongozi wa din sisi Kama wakristo kuwadharau viongozi wa dini ni laana kubwa sana
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Sasa bila shaka mmeelewa huyu Mwanamke ni wa aina Gani....nafikiri hana Elimu ya dini Wala hana aiba ya Mwanamke anaejielewa, baibui sio vazi la Kila anaevaa kujielewa, Hana tofauti na Amba rutty...!
@yaasirimuhudi1664
@yaasirimuhudi1664 Жыл бұрын
Hiyo imeandaliwa na wote wanaitaji atantion kwa watu huyo mwanamke na hao wote wawili wanajuana pia huyo mwanamke muongo kama waongo tu wengineee tunamuomba allah amkamate kabla hajafa kwani amekosa sehem yakufanyia komedi akazileta ktk diini ewe allah tunakuomba umdhihirishe ili iwe funzo kwa mfano wake
@shukulutumaini
@shukulutumaini Жыл бұрын
Achen watu wamuabudu MUNGU wa kwel
@kilungahamis1270
@kilungahamis1270 Жыл бұрын
Nie wenyewe tu wakristu wapo ambao wanampinga Huyo Jodevi. Je kwa Muislam itakuwaje?
@shukulutumaini
@shukulutumaini Жыл бұрын
@@kilungahamis1270 sawa bible inasema msiamini kila loho bal ichunguzen kwanza. Lakin piah imeandikwa Msihukum msije mkahukimiwa ninyi Sasa wewe utamhukum vp kisa anajiita nabii mkuu naejuwa ni MUNGU mwenyewe na s mwanadam Tatzo waisilam mnajua unabii ulishaisha apana Bado unaendelea maana hata Dunia Bado inaendea kwahyo lazma manabii wawepo wa kuifanya Kaz ya MUNGU 🙏
@hilalizayeed4322
@hilalizayeed4322 Жыл бұрын
Malaya ndio dalili zake
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 Жыл бұрын
Naiyomba Serikali ya Zanzibar imzuiye huyu kuingia Zanzibar kwa usalama wake, Mana alitutukana sana sisi Wazanzibar, na anaubaguzi sasa na sisi Wazanzibar.
@nobleonlinetv9128
@nobleonlinetv9128 Жыл бұрын
Huyu na rushyna hawana tofauti wote wanapenda umaarufu
@drankskhally7019
@drankskhally7019 Жыл бұрын
Safi Sana
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 Жыл бұрын
Mama B sio adui wa mtu wala dini.Tumesahau adui yetu mkubwa ni SHETANI jamani😪😪😪
@rahmaismaily3358
@rahmaismaily3358 Жыл бұрын
😄😄😄nimecheka wallah.... Kuna wakiti Mwenyezi Mungu anajibu kupitia vitu tofautitofauti sana .. Huyu dada Mwenyezi Mungu amuongoze ....nje yapo basi Allah ndie mjuzi.... Lakin namu hurumia sana .... Waswahili wanasema ""amejizima data" Sasa ngoja zitawashwa tu zaidi ya hapo...
@Yu-jr9uf
@Yu-jr9uf Жыл бұрын
NAOMBA JAMANI MUMTAFUTE MUME WA HUYU MAMA MUMUHOJI KAMA ANARIDHIKA NA ANACHOKIFANYA MKEWE ILI KAMA HAJUI AELEKEZWE KWAMBA ANACHOKIFANYA MKEWE HAKIFAI NA AWEZE KUMLINGANIA AYAACHE ANAYOYAFANYA BIIDHINILLAH
@othumanomari1589
@othumanomari1589 Жыл бұрын
Kwani kanisani ninyumba ya ibada ama nyumba yapombe wote mungu mmoja Anaekwenda kanisani anamuabudu mungu na Anaekwenda kanisani pia humuabudu mungu
@omangalaxy1657
@omangalaxy1657 Жыл бұрын
Huya hana ability allah ampeufahamu atoke huko aliko nahatahuyomumewake anakaanaetukwakumvumiliyalakini wotenidhaifulakini duh hajulikaniyukokundi gani hayipokwenyewisilamu au ukilisto anazaliliza dini
@salummzee9739
@salummzee9739 Жыл бұрын
Dunia imeishia dalili zote hizi ni Za kiama Watu wataipenda dunia kuliko Akheira muda umefika,Wanawake kutokwa na haya ndio sasa imefika,Watazuka jeshi la masihi dajal kabla kufika kwake muda umefika,Asilimia kubwa watukuwa Wanawake muda huu tumeona wamezuka,Mtume salama,Amezuka Zumariji sasa Mama b tumuombe Allah atupe kizazi jema na atufishe hali yakuwa Waislamu
@fatumaabasi777
@fatumaabasi777 Жыл бұрын
Baada ya hapo ujifanye wew unaijua dini, na mavazi hyo, mam b huna akiri, na usha ritard tyr
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l Жыл бұрын
Anaukana Uislamu, amesema: Nani kakwambia mimi ni Muislamu? (Gusa namba hizi wakati video inaendelea 2:24) Subhanallah!
@fatumaabasi777
@fatumaabasi777 Жыл бұрын
Kasha ritard huyu sasa, ananiudhi kiukweli ila sina namna
@suleimanhaji7057
@suleimanhaji7057 Жыл бұрын
Hayuko sawa kiakili
@deefleva6029
@deefleva6029 Жыл бұрын
Muacheni jaman mbona mnamfatafata
@josephat66
@josephat66 Жыл бұрын
Kumbe mnabudu wisiram sio Mungu..
@akidahamad142
@akidahamad142 Жыл бұрын
Asante kijana
@mambonowhussein1511
@mambonowhussein1511 Жыл бұрын
Akome alizid Sana , ndivo uislam ulivo, ukiyakanyaga utapakwa , tamaa zinawaponzen mnashindwa kutulia na waume zenu Kwa manhaj za kiislam mwishon mnaishia haya
@salimabdallah5304
@salimabdallah5304 Жыл бұрын
Domo halina haya.
@mansoursaid8
@mansoursaid8 Жыл бұрын
Ungemwacha amuhoji kwa vitendo uyo mwanamke mjinga kabisa, pumbavu zake
@shemndolwasatieli5058
@shemndolwasatieli5058 Жыл бұрын
MUNGU akusaidie dada tambua kua ukiwa kwa MUNGU lazima upigwe vita
@madafajulius3257
@madafajulius3257 Жыл бұрын
Huyo kijana wahovyio katokawapi tena, simukamshtaki kamaanavinja Sheria yeyote yanchi, hoviyo sana kijanahuyo
@mamaafrika1481
@mamaafrika1481 Жыл бұрын
Mimi nashindwa kuelewa unamfatilia mtu mpaka basi unamoyo wakujibu
@latifaahmed3828
@latifaahmed3828 Жыл бұрын
Innalillah wainnailayhi rajiun 😭😭😭 Allah amuongoze katika uomgofu 🙏
@cecilhaule9837
@cecilhaule9837 Жыл бұрын
Hapo mnashindana na mungu ,sijui Kama mtafanikiwa . Hakuna binadamu anaweza kushindana na mpango wa mungu.mungu hutenda kazi yake kupitia binadamu hawahawa.rejeeni huko nyuma manabii na mitume walivyopata upinzani wa binadamu.huu ujasiri ni wa ujumbe wa mungu .vizuri tushinde kwa nguvu ya hoja sio hoja ya nguvu.kumfanyia vurugu wenye akili wanajua ukaweli umekaaje hapo. Anaekwenda kinyume na maagizo ya mungu usihangaike nae wewe binadamu.mwachie mungu atamhukumu. Tumwamudu mungu kamwe tusiabudu dini .
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 Жыл бұрын
Kwanza kaukataa uislam wake kwa kumuuliza mtangazi nani kakuambia mimi muislam?
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Ungemvuruga huyu jeuri sn
@mickidadybakari9974
@mickidadybakari9974 Жыл бұрын
@@cecilhaule9837 kumbe mamab ni mungu wenu 😁😁😁
@Bigmo2706
@Bigmo2706 Жыл бұрын
Subhanallah mtihani hv huyu mama B lkn anajua anachokifanya kama kitamkosti kesho jmn binaadam tunaelekea wp unadhalilisha dini yko Kwa mambo ya kupita astaghfirllah
@munasuleyman3159
@munasuleyman3159 Жыл бұрын
Bro hakitom costs kesho huu ndo mwanzo mwisho tuusuniri Mwenyezi Mungu anasema na kaahidi dini yake atailinda mwenyewe na atakaekadhibisha viongozi wa dini yake tukufu atamshuhulikia hapahapa dunianiani huu mwanzo umaarufu utamponza Laanatullah
@w4058
@w4058 Жыл бұрын
Huna hata haya mbwa mkubwa wewe unabweka tu pumbavu toka lini kukawa na Nabii mshenzi mmoja Hasbunallah Waniimal
@w4058
@w4058 Жыл бұрын
Allaah awahidi wenzetu
@hamidashaban1203
@hamidashaban1203 Жыл бұрын
Tunataka mashababu kama Hawa hawataki ujinga alitakiwa azibuliwe ili akili ikae sawa anadharau watu anaona watu wote ni wajinga Allah hawataki wanafiki katika dini kama aliamua kwenda kanisani angevua shungi siyo aende na vazi lakiislam kanisani. Alitakiwa avae mavazi yanayofanana na kanisani.huyu anakejeli dini!
@animamichael3968
@animamichael3968 Жыл бұрын
kasema kweli yeye sio muislam
ТАМАЕВ vs ВЕНГАЛБИ. ФИНАЛЬНАЯ ГОНКА! BMW M5 против CLS
47:36
FOOTBALL WITH PLAY BUTTONS ▶️❤️ #roadto100million
00:20
Celine Dept
Рет қаралды 35 МЛН
MSIKILIZE MAGHEMBE AKIKUONYA WEWE KAMA JUMA UNGHEFANYAJE?
1:29
MAGEMBE MCHOMVU
Рет қаралды 632
NAVUTA DAWA ZA KULEVYA NA BABA YANGU MZAZI TUOKOENI NA MATESO HAYA
25:23
MAMA B: NAJUTA KWANINI SIKUWAHI KUMJUA NABII MKUU - GeorDavie TV
8:30