MAMBO 10 YA KUZINGATIA KABLA YA KUACHA KAZI. KUPATA DVD YENYE SOMO KAMILI, FIKA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS ZILIZOPO MWENGE - BAMAGA JIJINI DAR.
Пікірлер: 28
@prisilamatembo93196 жыл бұрын
Thanks kwa kunitia moyo na mimi Siku moja nitakuwa Kama wewe kusimama mbele za watu kufundisha jamii kuwa kujiajiri Ndio fulsa na wasomi tujifunze kujiajiri, Mimi pia nimejiajiri pamoja na elimu yangu na Nina ndoto kubwa kuja kunfanyia Tanzania yangu mabadiliko.
@salmambogo24944 жыл бұрын
Mimi ningepata nafasi ningeomba nikutane na wewe ,ili nizidi kujifunza mengi zaidi tunatamani kupata marafiki Wa namna hii lakini inakuwa ni vigumu kukutana nao,tunaamini tunaweza ,tunatamani kuwa hivyo
@elizachota63616 жыл бұрын
thanks kwa kipind maneno mazuri sama😍😍
@salummohdnyiga97607 жыл бұрын
asanteni sana ni kweli maisha ni kuchagua. unaweza ukajinyima siku kadhaa ili ufanikishe mipango yako.
@jacksonemily65529 жыл бұрын
Maneno ya kinywa chako, ni kama booster katika magari ya fast and furious,, i wish to get a chance to tourch even a piece of cloth. Your so different my uncle.
@samwelpanga24046 жыл бұрын
hakika tunakushukuru mtumushi Wa Bwana James kuwa pamoja nasi kwenye mkesha Wa vijana Wa Mlima Wa moto hakika umetusogeza viwango vya juu zaid
@aishaomar43184 жыл бұрын
Asante kaka ubarikiwe.ujumbe umefika
@caroaisha25367 жыл бұрын
Asanten sana kwa mawaidha yenu mungu awa bariki
@frankjoshua57243 жыл бұрын
Tunakuomba sana utufikie mbeya natamani niuzulie semina yako
@BrazaBabu7 жыл бұрын
nimewasikiliza hao jamaa kwa makini sana na kuwaelewa at the end nakwambia usidanganyike "try this at your own risk"
@eliudbeyanga8575Ай бұрын
Asante
@citymaxbookshoptanzania29247 жыл бұрын
Nawafuatilia sana nipo Iringa JE mtakuja lini huku.
@kelvinmpinga57037 жыл бұрын
shukrani kwenu.
@hoseamuyungu91335 жыл бұрын
Safi Sana
@wilsonmaduhu56105 жыл бұрын
Safi sana
@imagepower36415 жыл бұрын
naam ni kweli
@yusufuchinunga26209 жыл бұрын
Nimekbali maneno yenu Shigongo na mag'amba mnafanya poa sana kutoa elimu ya ujasiriamali.
@mkamamfungo32004 жыл бұрын
Naomba muwe mnatoa namba zenu na email zenu ili tupate mawasiliano zaidi,hongera sana
@alibell52463 жыл бұрын
Naomben namba ili nipate mafunzo vzr
@wilfredmartin93027 жыл бұрын
inspired
@hassanbakari15096 жыл бұрын
Nilikuwa nauliza jee kipa hicho kitabu nakama kipo kinapatikana vp na kama ni CD jee inapatikana vp
@EcoEssence_wellness7 жыл бұрын
Okay
@shedracpeter19759 жыл бұрын
habr? nimekusikiliza kwenye radio .nikiwa ndani ya dalala leo ? kamna ulikuwepo .ndani yangu ,nitakutafuta kwa ushauli zaid, ktk,bssness
@glorykimambo12036 жыл бұрын
Asante sana nimekuelewa na pia nitajitaidi kuufanyia kazi