Kwa Wale Wanaomkubali Jamal Apri a.k.a Professa usipite bila #LIKE
@geofreykaisi65663 жыл бұрын
Wanao sikiliza na kusoma comment tujuane kwa like
@asmamohd38323 жыл бұрын
😂😂😂
@innomchaga3 жыл бұрын
Unajua alivyo sepa yule jamaa akamuachia professor,nikaanza kuumia sana, mwanzo sikuwa nakukubali professor ila sasa niseme wewe ni 🔥🔥🔥🔥
@roncliff50503 жыл бұрын
Hi
@damianrambau72353 жыл бұрын
🤟⛑️
@elishadesela2693 жыл бұрын
Hivi huyu jamali si wampe tuzo tu ,zikishindikan mpe like
@emanuelrichard39023 жыл бұрын
Leo nimechelewa kidg kua wa kwanza lkn sio mbaya nimewah kidg. like zenu wanangu wote wana wcb na wana man U tz
@lexmalolo61893 жыл бұрын
Brother unatuelimisha sana kaka Mwenyezi Mungu akubariki na akupe miaka mingi uzidi kuzikomboa fikra za watu weusi Africa
@saidimussa55463 жыл бұрын
Mandela,kwangu.miongoni mwa. Mashuja.nawapenda sana 1)Mandela,2)Samnijoma. wa Namibia. 3)Nyerere 4)Patrick Lumumba 5)Kwame nkuluma 6)Samora Mashell 7)Robert Mugabe na shujaa wa kizazi akina. Karume Kanali Gaddafi, Magufuli hawa. Wazee warikua kweli MASHuja wetu mungu awaifadhi
@iammusic34043 жыл бұрын
Kama unasubiria Hiroshima and Nagasaki Hydrogen bomb attack by US TUJUANE😳
@brobabuu39733 жыл бұрын
Tubasubiri yeyote next
@nahyialetomia92843 жыл бұрын
Thinking the same
@tasenjaipan52303 жыл бұрын
hiii nataka kuisikiaaa
@homeoflyrics62203 жыл бұрын
Naam like 3 tu naomba hapa
@chebelafrank6563 жыл бұрын
Daaaaah! History Book hakika imempata mtu sahihi 👏🏽👏🏽👏🏽
@Mabarre2263 жыл бұрын
Ahh Nani kasema mwenyew has mtiga bana wee
@bongotv71203 жыл бұрын
BIG UP PROFFESOR JAMALI,🌍 MEME SIKUFOKEI HATA KIDOGO MZEE,👇 KAZI NJEMA.😌😌
@ramadhanimsangitzdigita3 жыл бұрын
Aisee hjamaa anajua
@bongotv71203 жыл бұрын
@@ramadhanimsangitzdigita sana kaka
@athumaniramadhani49753 жыл бұрын
Usawa kwa mwana CCM na Mmwa Chadema kwenye aridhi Tanzania 💪🏿💪🏿 na siyo chuki za kichama
@fadhilisanga33843 жыл бұрын
Jamal wewe ni zaidi ya wajumbe safi sana bro unatufanya kujua historia za viongozi na mambo mbalimbali
@abuyizedon3 жыл бұрын
Professor katika Ubora wake,Sijawahi kupata like 100k like tafadhali tuende sawa na Professor
@iammusic34043 жыл бұрын
100K Likes?😡 are u Diamond????😂😂😂
@gka91473 жыл бұрын
Buyi ze don
@petromvinge15213 жыл бұрын
Duuu
@abuyizedon3 жыл бұрын
@@gka9147 Naam
@abuyizedon3 жыл бұрын
@@iammusic3404 😀😀😀
@luifdls62173 жыл бұрын
asante sana the story book🙌..nimeguswaa i love Nelson mandela too much❤
@hassantindwa80743 жыл бұрын
Kuna ukweli kuwa mandera walimuua gerezani xio uyu yunaejua ukweli ukoje? Jamal
@arifismael56093 жыл бұрын
Wanomukubali jamal mustafa gonga like hapa 😍
@kingballoh16653 жыл бұрын
Simba wa Africa ni Mwalimu Nyerere na Kwame Nkruma
@dasilvajunior30163 жыл бұрын
ni nyerere tuu ,na ndio aliowapa ujanja
@faridkibavu20283 жыл бұрын
Good job proffessor
@jaxonduke52142 жыл бұрын
instaBlaster.
@Nzinyangwa3 жыл бұрын
Prof mwenyew#jamal the best,, talented sana uyu#akili kubwa hii
@minzarobert90853 жыл бұрын
Saiv waafrika tongekua na sehem ye2 ya kucoment
@faustineilembile75363 жыл бұрын
Professor nakukubali 💪💪
@hamzamwinyiheri80503 жыл бұрын
Kama na ww umeamua kufutiria history ya Africa kama mm like plz
@derickmgeni3 жыл бұрын
Wakwanza leo naombeni like zenu
@official_marley093 жыл бұрын
Kuna watu walikuwa wanakubeza mwanzo wakat inaingia kuisimulia mwenyewe the story book but mm nilivokusikiloza Mara ya Kwanza kilichokuja kichwan kwangu kwa haraka ilikuwa no swala la muda tu ila u are the best kamwe kumbe sikuwa najidanganya now naona YOUR ARE THE BEST PROFESSOR 🔥🔥🔥🔥🔥
@marickshani29813 жыл бұрын
Jamal umetixhaaa 🔥🔥🔥
@ismailnamtuma18303 жыл бұрын
big up sana kwa mama mandela,,bila kukichafua kisinge eleweka,,
@sideejuniormalree78403 жыл бұрын
Hakika tunashukulu kwa Story zako ALLAH akuzidishie
@Met3Dots3 жыл бұрын
kwa wale tulio ipenda hii story tujuane kwa ku like
@raninick25693 жыл бұрын
Unajua ndo mana familia ya wasafi inakupenda sana
@denicegabriel66163 жыл бұрын
So creativity 🙏
@diamondplatnumz55983 жыл бұрын
siku nelson mandera alipokufa pia alikufa na kijana aliyekuw anaitwa nelsoni kijijin kwetu kwaga R I P NERRY WA KWAGA😭😭😭
Aikuwa rais wakat unaanza kusimulia lakin now you are the best brother keep it up natamani Nickie cku umeenda sayar ingine tofaut na dunia yetu
@vedastusmsiba54393 жыл бұрын
Professor hatari xan naomb ata like zenu wadai wa wasafi
@octavianmkude60653 жыл бұрын
Nice
@beataadam84413 жыл бұрын
Dah Asante Jamal nimejua mengi kuhusu Mandela
@paschalsoli67873 жыл бұрын
This is next level brother !
@andreab70633 жыл бұрын
Saf professor 👏👏👏
@janefastephano7762 жыл бұрын
Your the best professor Jamaal
@user-qn3qf1nt6tКүн бұрын
Sijawi kupa like ila Leo jumatatu 15 2024 nakupa yangu
@noxlosingida23693 жыл бұрын
Na shukuru Mungu nilipata nafasi ya kumtembelea gereza alilo fungwa Tata Madiba niliona sehem aliyo kuwa akilala,blacket, ndoo na kikombe ndiyo vitu vyake alivyo kuwa anavitumia na pia na shukuru Mungu kwa kuniwezesha kufanya kazi na Mtoto wa Oliver Tabo.
@magrethjohn49293 жыл бұрын
Hi wana The story book enx to our God 2mekutana tena anyways Magreth loves u guys ming ming 🙏🙏😘😘
@frederickfridoline41633 жыл бұрын
Tnx
@josephmdendemi32223 жыл бұрын
We love you Madame
@nallaboy23 жыл бұрын
Me love u 2 au nitume naur 0673786665
@bradtunya27263 жыл бұрын
Great work, am flowing from Denmark🇩🇰.
@omarymwita58903 жыл бұрын
Madiba,daa!! Just remember gorilla war
@ramafrica90163 жыл бұрын
Nelson Mandela The Lion of Africa alifanya yake,pumzika kwa amani shujaa wetu...
@jacksonbuzingo66013 жыл бұрын
Hongera Jamal upo vizuri kuliko Mtiga. Wewe ndio fundi, nilikuwa sijakuzoea tu
@fatmafeisal4423 жыл бұрын
Mmmh! Mtiga hana mpinzani wewe, tena huyu hata hamfikii mtiga kwa usimuliaji.
@jacksonbuzingo66013 жыл бұрын
@@fatmafeisal442 Hata iweje Mtoto atabaki kuwa Mtoto na Baba atabaki kuwa Baba!
The story book is always fireeeee🔥🔥🔥 Big up Professor💪💪
@dullayohamza71123 жыл бұрын
MNAO KUBARI STORY BOOK LIKE APO
@shadracktilla26563 жыл бұрын
Wasafi media keep it up men and never give up
@localzone18303 жыл бұрын
I'm the coming Mandela
@abdillahimakame64342 жыл бұрын
Nakukubali sana broo
@stansilauseliasi78833 жыл бұрын
Sana mwamba leta vitu baba
@bboymeshh29653 жыл бұрын
👏🔥🔥🔥🔥🔥Bado Ya Nyerere Sasa
@seifmeja60563 жыл бұрын
Ya Nyerere Ishatoka Mzee
@kakamkubwa32103 жыл бұрын
Ukisikiliza na kusoma comments like hapa twende sawa
@imanijeremiah35113 жыл бұрын
The real professor @jamal_april I always adore you brother keep it up
@michaeleliasi-cp1kh5 ай бұрын
natamani sana kusikilisa sitori ya mantel
@shaabansaid88423 жыл бұрын
Thank you bro, Nice work, keep goin 👍
@issufocussupi72623 жыл бұрын
Uma autêntica aula de história. Bom programa.
@abedibanzi59862 жыл бұрын
Ee
@abedibanzi59862 жыл бұрын
Rreuiqr
@abedibanzi59862 жыл бұрын
Wtpqt
@khadijavassardanis31783 жыл бұрын
Mungu ampumzishe kwa amani
@officialtgeniusmusic24523 жыл бұрын
Kama umesikia mangala ngala ukacheka gusa like apa😂
@LearntowinLTN7 ай бұрын
Nakukubali sana MUNGU hakutunze sana profesa Jamali
@uwurukundoethienne15711 ай бұрын
Wow Asante
@aminandune91083 жыл бұрын
The story book 🔥Jamal April uko Sawa broo👌🙏
@donomar68763 жыл бұрын
Jamaaaaal ni hatareeeee
@chibunews56423 жыл бұрын
Wewe ni moto love from mogadishu
@msafirimadanya33403 жыл бұрын
Mambo vipi asee
@chibunews56423 жыл бұрын
@@msafirimadanya3340 poa sana
@mohdchande30583 жыл бұрын
kwann msifanye utaratibu wa kuweka epsd 2 kila wiki😂
@shivotv49313 жыл бұрын
JAMAL APRIL GENIUS LIKE KWA WING KWA GENIUS WETU
@mjuajimpumbavu55373 жыл бұрын
Mandela one love
@salmaayub613 жыл бұрын
NITAKUKUMBUKA DAIMA ROLILALA
@user-qq6mv6vh3e Жыл бұрын
I love history the book
@NJGIBC3 жыл бұрын
*Nice 4 everybody Mr professeur please Story book ya mansa musa*
@allpotentials84203 жыл бұрын
Simba na baba wa Africa NI mwal nyerere sema Basi hamna noma fresh.
@abdulymwinyimkuu99713 жыл бұрын
Dah unajua kk bado ya Christopher Columbus
@periskwicha3421 Жыл бұрын
Napenda sana hzi simulizi....zinanfngua akili n kunpea upeo wa wtu tofauti tofauti waliofnya vtu ....asnt sna
@agreykabume31143 жыл бұрын
Kama unafkili kuwa kama Mandela acha like
@amosbenard70342 жыл бұрын
Good story
@machelinakipemba51692 жыл бұрын
Good bro
@adolphmwangoje28873 жыл бұрын
Very classic mtunzi nlijua utacha kitu 🚴🚴
@ibnismail88313 жыл бұрын
Nakbali Prof.jamal
@chiefkaitaba.m.94663 жыл бұрын
Professor Jamal 🔥🔥🔥🔥🙌
@hamiyarkhamisamour94403 жыл бұрын
Ziko like za Jamal..!!
@ramadhanimwanandege78353 жыл бұрын
Naangalia baada ya varane kutufokea.
@petromlwafu69223 жыл бұрын
Mwanasayans no 1 Tanzania Jamal April hakika tunakula matunda mazur sana nataman niwe mwanafunz wako nijifunze baadh ya mamb mazur kwako
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
Hapo Jamal kafatilie upya historia kwa undani utagundua MANDELA wa mwanzo sio MANDELA aliye peea uraisi. Aliye pewa Uraisi ni Mandela aliye andaliwa.. ukweli wote unapatikana katika chanel nyingi hata IBM chanel... karudie uchanguzi ndugu yangu umechemka hapo
@abdulnaseermrisho43423 жыл бұрын
Alafu unakuta mtu anamlaumu Hushpup kwa kuwanyoosha,
@fisjaykitamuliko11833 жыл бұрын
😄😄😄
@ambasonkalenga20473 жыл бұрын
Heri kubaguliwa na mtu mweupe kuliko kubaguliwa na mweusi mwenzako kwa itikadi ya vyama mbaya sana
@blankakecy24642 жыл бұрын
Nahisi kama Nelson Mandela Kwa miaka yote aliyoitumia gerezan angekua uraiani angetengeneza historia kubwa zaidi ya hiii aliyotuachia,mungu akupunzishe pahala pema Shujaa wa Africa Nelson Mandela
@veronicadaniel11223 жыл бұрын
Mwenyezi mungu amwangizie mwanga wamilele shujaa WA africa