Mandojo na domokaya ni miongoni mwa makundi bora ya muda wote ya Bongofleva,Wamerudi kwenye The classic for part 2 ambapo wanaendelea kutupa stories ambazo hawajawahi kuzisimulia popote,Enjoy
Пікірлер: 28
@omarmoud1016 Жыл бұрын
Hip hop banjo, yani hawa jamaa mda wote wapo tayari tayari kuimba ni wewe tu useme unataka waimbe nini🙌🔥🔥🔥
@jabirkuvichaka5391 Жыл бұрын
Noma sana
@am_theChange Жыл бұрын
ᵁᵐᵉᵒⁿᵃ
@keydeemasinga6986 Жыл бұрын
Mcheki na mb doggy kaka,kiukwel napenda mnooo hki kipindi.
@Dan1one1 Жыл бұрын
Asante sana kwa hii interview. Nakumbuka walivyokuja Birmingham pamoja na Mr NICE. love from Leicester U.K.
@ahmedmwatawala7967 Жыл бұрын
Hawa ni Wasanii wanaojua sanaa na kujiweka kwenye uniqueness ...We need to support them much...
@oscarmkoba827814 сағат бұрын
Daaah hii dunia walahi we acha tu
@righitkileo12 күн бұрын
❤❤Maskini sijui kama mlisapotiwa ipasavyo maskini.jaman maskin domo kaya pole sana
@penielsteven7057 Жыл бұрын
Kaka p funk jaman anakuja lini maana heshima yake ni kubwa sna
@abdulkitumbi3370 Жыл бұрын
Jamaa wana Vibe sana asee
@nasrikileo7291 Жыл бұрын
Asante sana braza kuvichaka, Acha sasa tufurahie channel yetu namba moja
@denissnkya5891 Жыл бұрын
People should inject money kwa hawa jamaa... They are just that good man
@knamics14 күн бұрын
Very gifted 🙏 #Rip Mandojo
@MwanaharusiAlly-o1d12 күн бұрын
Yebabah dah pumzika kwa amani broo😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭