WAZEE TUSIDANGANYANE, TUAMBIZANE UKWELI KWAMBA; WAKOMBOZI WA AFRICA NI HAWA VIJANA WETU WANAOFANYA MAPINDUZI. KIFUPI NI KWAMBA, AFRICA ITAKOMBOLEWA KWA NJIA YA MAPINDUZI TU, WALA TUSIWATEGEMEE HAWA VIONGOZI WANAOPITA KUPITA MACHAGUZI MAANA WANAKUWA WAMESHAFANYA MIKATABA NA NCHI ZA MAGHARIBI.
@KiwiaCasmir10 күн бұрын
Kweli kaka lkn sasa hawa wa kwetu wanaojiita chawa unazani tutajafika huko kweli?.
@user-do2id6pp4g14 күн бұрын
Mungu akuhifadhi VLADIMIR PUTIN kwa kuwa pamoja na support team leader ya Africa tuko pamoja nao Mungu yupo tunawaombea dua awape nguvu na subira ya kupambana na manyang'au Viva,,Putin Viva Africa...
@user-dk4iq5ct6r14 күн бұрын
Mungu ibariki afrika mangaribi ktk jambo hili
@PeteroJohn14 күн бұрын
Mungu awabariki awatie nguvu mzidi kuiokoa afrika kwenye ushetani wakikoloni mwisho wao umefika
@alisaid992013 күн бұрын
Good well-done
@HajiKlein-so1rk14 күн бұрын
Safi kabisa 💯👏👏
@muhammedbakari286711 күн бұрын
Let move forward as African 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
@DafiMohamed-dz8xk14 күн бұрын
Kazi nzuri sana hongera kwao
@SaidshariffShariff14 күн бұрын
Safi sannnaaah
@Hillary_Daudi_Mrema14 күн бұрын
Big up kwa kutupa taarifa. Sahare Region nawakubali
@bukuruyassini13 күн бұрын
Wazungu watuace
@ladinobacar548610 күн бұрын
awa no walindaji wa africa
@HajiMwanz-to3vg14 күн бұрын
Viva afirika viva gwido
@EmmanuelKazimili-ky1ss14 күн бұрын
ongela wakuu afrika inwategemea
@user-bw6cd7ml1i12 күн бұрын
Haya ni mambo ambayo ni ya muhimu sana tuje kwenye elimu hasa vyuo vikuu ni tatizo kama kusoma ni kwenye nchi zinazotumia ujamaa
@RamadaneAmisse7 күн бұрын
Putini hukitoka huko njoo nahuku kwetu África Austrália.
@shehehamad-t4c14 күн бұрын
God bless them
@SalimKombo-xo4pq14 күн бұрын
Viva bro. Tuko pamoja nao.
@user-vd3ku4yz2h10 күн бұрын
Hivi!!!?" Itakuwaaa! Ni kweliii hiyo nguvu ya muungano wa NATO ya Afrika inaweza ikawa na nguvu zaidi ya ile ya NATO ya USA ahh mungu inatakiwa aibadili Dunia iwe upande wa pili kama shilingi wenda hapo ikaja ikawezekana", maana Magharibi ina nguvu kubwa mno!!! Mnooo!!!? Tena teknologia yao ni ya juu sana sisi ni mpaka sapota ndiyo tutoboe je? Tuta waomba akina nani tofauti na putini alyo elemewa dhidi ya Ukraine kwa kupewa sapota na NATO ya USA maana nadhani iko mbili tayare na nATO ya Afrika.
@CharafimalisalimoAli-qw3hk14 күн бұрын
PATAMUHAAPOOH. EEEEHE. MAISHA MAREFU KWA PUTIN NA VIJANAWAKE.
@muddypote837714 күн бұрын
Viva
@RajabuMtulia14 күн бұрын
Omo
@sharifnassor441714 күн бұрын
AES umoja wa Sahele Kirefu chake ninini?
@hamzafishten956014 күн бұрын
Waze kaziyao nikuiba inci zao tu
@ibrahimabdullah188714 күн бұрын
Samia yuhali gani 😅
@hamisramadhan-eb3ie14 күн бұрын
Hawamiamba mungu awalinde wanatueshimisha wa 🌍 😂😂
@user-vi7ly9zh1q14 күн бұрын
Fae haeleweki yule 😂😂
@hudumablack933914 күн бұрын
KAMA SIASA ZINAZOFANYIKA DRC NI DANGANYA-TOTO TU WALA HAKUNA CHOCOLATE.
@alisaid992013 күн бұрын
Obama ,tulizani ni mkombozi ;kumbe alikuwa msaliti wa waafrika