MASANJA: NILIFANYA MOVIE NA KANUMBA NIKAWEKWA GETINI
Пікірлер: 56
@angelyaee6423 Жыл бұрын
Unanibariki san mtumishi wa Mungu mb zinaisha kila cku Mungu akutunze
@pirminmatumizi54643 жыл бұрын
Hubirini, acheni porojo. Hubirini watu wajiandae kwa ujio wa pili wa Bwana Yesu Kristo. Acheni kabhobho.
@erickbabu17273 жыл бұрын
Maadam mwili kristo unajengwa, ili kuwakamilisha watakatifu utukufu kwa Mungu
@neemamjengi99133 жыл бұрын
Nakuelewa zaidi Mtumishi wa Mungu, ubarikiwe zaidi mtumishi wa Mungu
@yohanagitano99413 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumish wa Bwana
@angellizer77012 жыл бұрын
Najifunza kitu kutoka kwako my pastor
@rev.musabalalarogersmusabalala3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mch. Masanja
@josiaskay79393 жыл бұрын
Very good
@josephnjella49193 жыл бұрын
Mbona kwa mwenda zake ni kama ulikuwa km za mbali
@hamishamis99053 жыл бұрын
Shishi humpati mtu zaidi ya nafsi yako elewa dunia tunapita tu😌😌😌😌
@wangonamuhange82183 жыл бұрын
Acha wivu
@elishavicentmhina35452 жыл бұрын
Una roho mbaya sana
@elispiuselias13393 жыл бұрын
watakusumbua wakiona unang'ara na kanisa lako mpka ushangae! lakini watambue kuwa kazi yashra
@ericmtalemwa35733 жыл бұрын
Much appreciations for the strong confidence!!
@ezekielnjau88303 жыл бұрын
Amina
@lichilasalumu79833 жыл бұрын
Wasaka tonge,wizi mtupu
@bidayo10583 жыл бұрын
Great work man of God! Endelea kuchapa injili hata iweje
@johannes41273 жыл бұрын
Mtumish ubirini ufalme wa mbingun
@amockkalinga15203 жыл бұрын
Kaka kwakweli mpaka hapo ulipofikia big up!!kweli kaka umeitwa na mungu nilikuwa napitia comment za watu Yani sisi wanadamu tunashida na mungu aturehemu tunapenda kuhukumu sana Yani mpaka tunachukua nafasi ya mungu barikiwa Sana kaka
@hadassahmakuna79543 жыл бұрын
Yaani Ktk Tanzania hii Ktk ma kanisani ya kilokole kuna watu walishaacha njia ya huyo Bwana Yesu wamegeuka wao ndio Mungu sijui ni mbingu ipi wanayoiendea ? Wanachokijua ni hukumu, chuki, na wivu, tu wala upendo wa Mungu haumo ndani yao lkn wako humo makanisani Mmmmmhhhh. Wanamsaidia shetani Kazi
@mcsimonmzungutv20843 жыл бұрын
Daima Unanibariki Mtumishi
@williamgeorge1503 жыл бұрын
Barikiwa pastor
@geraldlutamigwa75563 жыл бұрын
Kwel brother
@bishopgeorgemao9993 жыл бұрын
Songa mbere mtu wa Mungu
@elphasaloyce16733 жыл бұрын
inspirable
@dyannnaasy37463 жыл бұрын
Barikiw san
@papa_noah_3tone3 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@revinastephen33653 жыл бұрын
Hongera sana natamani siku hiyo ningekuwepo lakini majukumu ya kutafuta riziki yalinibana ,na ni siku ambayo ilikuwa muhimu kwa mtoto wangu ,tarehe yake ya kuzaliwa
@raheemahongeramashaallah14433 жыл бұрын
inguluvi yiihuvihage .
@allan37233 жыл бұрын
akili nyingi sana masanja
@aminamwakilembe46583 жыл бұрын
nakuelewa sanaaaa umeniinua na uu ujumbe
@hakimabdul74943 жыл бұрын
Hakuna alieokoka kati yenu Mwenye kuokoka ni yule atakaevumilia hadi siku ya mwisho .....
@jacobopeter62043 жыл бұрын
Amen
@user-te4cp5mh7z3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@africanbeautiful51233 жыл бұрын
Ulitaka uwekwe wapi
@elispiuselias13393 жыл бұрын
mtu ana Uhuru wa kuamini anachoona kina mfaa ili mradi tu asiingilie haki na utu wa mtu mwingine, Ila Kuna watu hudhani Damu ya yesu ni ya kwao tu. wengine Wana ya kunguni hulazimisha wengine kuamini wanachokiamini, hyo Ni fikra mgando.
@haikamchaga82513 жыл бұрын
Na kweeli kuokoka no MOYO na maàmuz magumu no kuyaa c ha mambo yote lkn wengi wetu hua tunavhukuliwa poa myumishi elewa mti wenye matunda daima hupigwa mawe
@bhataprotasi19713 жыл бұрын
Konki
@emmanuelfari89243 жыл бұрын
+MUNGU+ Azidi kwako zaidi kwa kila eneo 1 WAKORINTO 1:9🙏🙏