Рет қаралды 10,021
Tusisahau kwamba Dr. Vicent Mashinji alikua mmoja wa Watia nia walioutaka Ubunge wa Jimbo la Kawe Dar es salaam lakini Chama cha Mapinduzi (CCM) kikampitisha Askofu Josephat Gwajima kuwa Mgombea Ubunge Kawe, leo hii Mashinji ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA amejitokeza kwenye ufunguzi wa kampeni za Ubunge za Askofu Gwajima na kumnadikwa nguvu zote.