Kiukweli shaikh kipozeo ndiye angetakiwa awe mufti wa tanzania kwa juhudi kubwa za kuwajulisha watu kheri anazozifanya shaikh allah akulipe kheri duniani na akhera na usichoke kutupa fawaaid
@jacminechopa26105 жыл бұрын
imamu mponda
@husseinchiaseeds26532 жыл бұрын
Hii akili ya hv ikienda bakwata inaharibika mazima
@emmanuelahmedbyona23536 жыл бұрын
Hebu kweli Sh. huyu anakuaga na stress kweli??? sababu sikosage kucheka ninapo fwata mawaidha yake. I like that Sh. Mashalah.
@mamuuwangu17926 жыл бұрын
Allah akujaalie kher in Sha Allah Sheikh wetu zidi kujulisha kher ndugu
@holaasafarikenya83276 жыл бұрын
Allah Akbar.. sheikh wewe Mungu akuhifadhi. ..mimi napenda mawaidha yako mno
@jabirygambossi33845 жыл бұрын
Allah Akbar napendasana Sauti yako
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Mashallah mungu akubaliki Sana kwa ku2pa dawa amdulilai wabllamin
@nurudinehamimu56586 жыл бұрын
Allihabibi shekhe kipozeo ,gawa dawa Allah atakuripa
@ahmehomar79155 жыл бұрын
Wallahi mola akuzidishie umri napenda kusikia mawaidha ya huyu shekh yaani ukweli uwasema na kukufurahisha mola akujazi kila lakheri na afya njema uzidi kutuilimisha Ameen yaraab
@faridahmed6296 Жыл бұрын
Asalamu Alakum shk hilale. Watu wa rufiji. Kama unavyo penda dini ya Allah. Namimi nakuombeya mapenzi ya M. Mungu. Ya dumu kwako. I Ameen ❤
@samakimwenyekiundaniyamaji84297 жыл бұрын
Kila Mawaidha ya Sheikh kipoozeo Uwa sikosagi kucheka.
@samakimwenyekiundaniyamaji88857 жыл бұрын
Samaki mwenye kiu ndani ya Maji l
@softena1004 жыл бұрын
Samaki mwenye kiu ndani ya Maji hata mimi 😂😂😂
@abdillahinaaman68077 жыл бұрын
i love ur sermons sheikh kipozeo....allah akuhifadhi
@issachikwindo80986 жыл бұрын
mungu atuepushe na shetani
@abdirahimjari11183 жыл бұрын
Maashaallah Jazakumullahu kheir Sheikh Kipozeo
@saidmsenda54394 жыл бұрын
Jazakallah Kheir SHEKHE Hillal Kipozeo
@saidmuhama98466 жыл бұрын
Jazaakumullah Kher
@tysonpambakali45495 жыл бұрын
Mungu nimwema
@shebbyclass83612 жыл бұрын
Asalam aleikum warahma tullah warakatu m mungu mtukufu akupe umri mlefu shewangu ili wengi waweze nufaika na mawaidha yako napia mungu kwa rehma zake atujaalie mwisho mwema.
@fatmafmly4 жыл бұрын
Allah akbar mashallah sheikh Allah akupe umri zaidi na hekma yake
@fatmafmly4 жыл бұрын
Mashallah kila nafsi itaonja mauti allah tujalie tuwe miongoni mwa watu wema
@rahmashaban86937 жыл бұрын
shukraan sana Masjid Mtoro. tunafaidika sana kwa kweli
@amadiibrahim466 жыл бұрын
sheikh allah akijaalia kwa kutuelimisha kupitia mawaidha yako uwaga unatuelimisha mno allah akujalie shukran
@rahmashaban86937 жыл бұрын
Maaasha Allah nimefurahia kisa cha baba aliechukua epo na mzazi mtu. nimejifunza kitu Maasha Allah. ucha Mungu ni mzuri sana
@hamidahamida14734 жыл бұрын
Subhanalha mashalha
@amsalmsuya68256 жыл бұрын
ALLAH AKUHIFADHI SHEIKH
@NdaramaHabib15 күн бұрын
Ya Allah tujalie Sisi na ma sheikh wetu umri mrefu ili watuelimishe
@othmankisuma26954 жыл бұрын
Mzee wa kupoza Aise huyu kiukweli ni Sheikh ambae nanae muelewa sana. Mungu amlinde popote aendapo Inshaallah
@radhiamussa16295 жыл бұрын
Ma shaa Allah jazzakallah khayra
@halimamuketi67383 жыл бұрын
JazakaAllah kheir
@halimafarouk95787 жыл бұрын
Allah akuhifadh shekh
@hasanisaydi71152 жыл бұрын
mashaallah
@platiniali86094 жыл бұрын
Allah aku bariki
@jidalddl87877 жыл бұрын
Allaah nimukubwa masha Allaah
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Allah wakbar
@brownkelly88446 жыл бұрын
jazakallahul khayr ya akhyl kareem
@islammwatoa29907 жыл бұрын
mashaalah sheikh
@salehenasibkimenya19566 жыл бұрын
Subhannallah. Allah akulipe kheri kwa elimu unayoitoa
@user-wp6tl1is1r6 жыл бұрын
Salehe Nassib mashaallhaa
@user-wp6tl1is1r6 жыл бұрын
Mashaallhaa
@humudmarhoon80445 жыл бұрын
Mwamba kipozeo ktk ubora wake..
@anipaesleiman61354 жыл бұрын
Nimependa sana
@saidaabdalla28546 жыл бұрын
Ma Sha Allwah
@kibwanasuleiman83253 жыл бұрын
Umesoma mashallah na napenda jinsi unajua kuikabili hadhira
@samakimwenyekiundaniyamaji84297 жыл бұрын
Sheikh Nakupendea hicho2
@lalimarzouq8706 жыл бұрын
Allah akulipe kheir
@isackmasele96746 жыл бұрын
takjbiirr Allah Akbar
@nshimirimanadjamilla72702 жыл бұрын
Masha allah
@sadikihamisi67906 жыл бұрын
MASHAALLAH..!!
@shanisaidy50336 жыл бұрын
Mashaallah
@adammaganga4853 жыл бұрын
maasha allah
@ramadhanrashidramadhani85636 жыл бұрын
مشاءالله
@saidkinganuarykingazi20126 жыл бұрын
Mashallah
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Subuana Allah
@festobayo74757 жыл бұрын
Naomba kisa cha as-habilkahf /watu wa pangoni
@ummysaid56007 жыл бұрын
Subhana Allah
@boykaaledjoz54227 жыл бұрын
ok sheikh
@samakimwenyekiundaniyamaji88857 жыл бұрын
kweli kabisa
@TeamKRX6 жыл бұрын
Shekhe mbona hujafika Zanzibar
@hassanmatekenya2 жыл бұрын
Mawaiza ya kujua njinsi ya mtume Mohammed rasul laah
@omarymiraji58715 жыл бұрын
Allah Akbar
@mrnawanda10105 жыл бұрын
Upo sahihi shekhe wewe ni mkweli
@tysonpambakali45495 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@obasisibao50866 жыл бұрын
Shuk'ran
@allyosama80955 жыл бұрын
Magoriyakagere
@awadhinyeresa54784 жыл бұрын
Mawidha yako mazuri
@zaharanituwano66157 жыл бұрын
ماشاالله!! شيخ هلال
@abulrahmanahmed4468 Жыл бұрын
'
@abulrahmanahmed4468 Жыл бұрын
P
@abulrahmanahmed4468 Жыл бұрын
Ap
@saidyahaya96206 жыл бұрын
SRIFU rubatimatog
@yasinijuma66464 жыл бұрын
Mzee wa mizigo mbona unapenda sana matako unafila nn
@keifatuke992 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akusamehe kwa maneno yako.
@idrissamustafabukenya61102 жыл бұрын
Allah akusamehe kwa maneno machafu
@shahidusaid74504 жыл бұрын
Vp hakuna mawaidha mapya ya Sh. Kipozeo?
@majiyameloa97406 жыл бұрын
Wgy
@NdaramaHabib15 күн бұрын
Ya Allah tujalie Sisi na ma sheikh wetu umri mrefu ili watuelimishe
@nurudinehamimu56586 жыл бұрын
Allihabibi shekhe kipozeo ,gawa dawa Allah atakuripa
@mrsdully16137 жыл бұрын
hahaha minahis ndo maana umeitwa kipoozeo coz mawaidha unawapooza nahao wanatamani waendelee kukusikiliza nimecheka sn mungu akulipe kheri