" @officialalikiba ni mwanaume mzuri anavutia pia ni kaka yangu hivyo sikuona shida kurekodi video ya wimbo wangu wa #Zamani huku nikicheza naye kwanza nipo single na yeye yupo single" @mauasama
Пікірлер: 30
@habarikaonlinetelevision41423 ай бұрын
Dah maisha haya demu anamtaka Ali kiba kilazima
@kevinkioo2544 ай бұрын
Ukweli nayo ni kua Alikiba anavutia kw wote. Kwanza hananga pupa mingi 🎉❤
@Mary_suip4 ай бұрын
Mwijaku hilo pala lang'aa
@VgmukomboziOficiel4 ай бұрын
❤ kila mutu iko huru kama anapenda alikiba iyo ni isiya yake siyo kumulaumu
@lemeboyofficial4 ай бұрын
Suala la Nyumba Maua limekujaje kwenye hii mada😆
@imanuelnguya92775 ай бұрын
😂😂😂 eti kaka ndo umkalie vile kwenye mapaja alafu yeye alikiba uso wake anakugusa kwenye ziwa lako maua wewe jiangalie sisi watu wazima tumeona vzr ile video eti kaka we
@speroachpaulsen5 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@Legends_InterviewsАй бұрын
Mauwa anampenda alikiba hawezi ficha hisia zake tena
@user-sj1cu2fc2s4 ай бұрын
New hit loading
@WahuBothАй бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@saididuri35184 ай бұрын
mmmhh sasa wew maua sama mbona ali kibaa sasa mzuri kuliko wew itawaje?
@rahimhemed33704 ай бұрын
ww bwege c tumempenda shemej le2
@masikimhina1584 ай бұрын
Dunia tyuu wacheni wenzenu msiwajadili kwani maisha yanaenda kwa bahati
@sheruajafari16764 ай бұрын
😂😂😂maua me napenda ivyo
@EspiSimai5 ай бұрын
Njoo kwngu mm
@godifreyphilipo8934 ай бұрын
❤❤❤
@AbdallaAli-ov3jg4 ай бұрын
Huyu dem mbaya bhna hata bure me ctaki
@kennedymatiko68305 ай бұрын
😂😂😂
@shanzuagencyshanzuagency38454 ай бұрын
Tafadhali naomba munitafutie number ya maua sama
@WashikiMarwa4 ай бұрын
Amesemaa ukwerii wakee jmn mwijaku nn lakini
@ChordCrafted4 ай бұрын
😆🤣
@yosefamlumbe70444 ай бұрын
mauwa nichek DM
@bedastusmichael78115 ай бұрын
Dooh
@rashlyblacksaud17664 ай бұрын
MAUA SAMA mwenzio nipo tayar kuuza FIGO ili niwe nawe.I LOVE YOU ❤
@AnnethLonas-jh9go4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MrTop-wj7no5 ай бұрын
Tatizo huna uzuri wowote Kabisa
@user-jn6ec7qv5p4 ай бұрын
Wew ndo mwenye uzur
@gracejulius69134 ай бұрын
Koma wew😏
@robertevarist15954 ай бұрын
Washaingia kwnye mahusiano hakuna haja ya kuanza kuzunguka hapa
@user-dm6ww8sw9o4 ай бұрын
Mhhhh maua sama kiba huyo n mtu wako na mpo kweny mahusiano