Nakukubali sana Putun da! Kama kijana wa miaka 25 tu
@rashidhussein371113 күн бұрын
Dj sma ni mtu ambaye ana upeo sana wa kufikiria. Hongera brother Allah akulinde.
@user-zm8nq6xv8o15 күн бұрын
DJ sma tafadhali usiwe mbali na SNS mambo nimengi sana kwahuu wakati, tunahitaji more information kutoka kwako
@djsma25515 күн бұрын
TUKO PAMOJA
@blueboybajos688015 күн бұрын
@@djsma255kabsa kaka💣💥
@Chettymlambalipsi-lb9km15 күн бұрын
Wewe nae umeshakuwa addicted wa SNA Kama Mimi na siku yangu haijakamilika bila kusikiliza habari kama hizi
@user-zm8nq6xv8o15 күн бұрын
@@Chettymlambalipsi-lb9km 😀😀 Hatari sana
@allahisone638614 күн бұрын
ALLAH AKULINDE NA KILA SHAR
@Gulfnas115 күн бұрын
Kila mtu au nchi huwa anataratibu zake
@abdallahngoe15 күн бұрын
Ulinzi ni kitu muhimu sana hasa kwa nchi zenye maadui wengi huenda kuaminiana kupita kiasi ndo sababu ya viongozi wengi wa asia kuuawa. Adui anaweza mtumia rafiki yako kukuangusha
@jotafungo462215 күн бұрын
Waliopo nyuma ya gari ni wakalimani
@petrokayanda536115 күн бұрын
Hatari na nusu
@khalfanmlala509314 күн бұрын
Asante sana
@TrinaRoman34515 күн бұрын
Hata Tanzania hautaruhusiwa kuingia kwenye ukumbi ikiwa tu Mhe.rais akiwa ametangulia kuketi.
@HassanAthumani-ie2ce15 күн бұрын
❤❤
@anthonym254214 күн бұрын
nikama Dj sma alidipotiwa america ...anashededea sana warusi .
@allahisone638614 күн бұрын
😅😅
@imanyotz58915 күн бұрын
Good
@KOATV15 күн бұрын
Noma
@BIGBOSS-hl3bu15 күн бұрын
Kwanza kabisa kanuni za kiusalama duniani kote haziruhusu kumwamini mtu YEYOTE lkn Kwa hapa Kosa ni lamwenyeji hawakujipanga juu ya KUWAPA mwongozo mzuri wageni wao
@Jeff_Tz14 күн бұрын
Huyo alokaaa nyuma ya gari ni Translator
@balikiabdala82315 күн бұрын
0:26
@ebengapierre882614 күн бұрын
Nisawa kabisa napenda iyo
@user-te9ll8qk2q15 күн бұрын
translate
@kingsniper976914 күн бұрын
Kawaida kwa madikteta wakutanapo
@omarymwaluko976513 күн бұрын
Na kule mashoga wanapo kutana inakuajw
@Jafreez10 күн бұрын
Hapo ndo pale wanangu wakija ghetto langu, nawavua vyato wote nakuviacha chooni. Alafu wakae kimya kama movies tutaangalia. Masharti ya "ghetto langu"
@YahayaKishakwi15 күн бұрын
Mnasifia sana Korea lakini ni nchi. Ya kishamba inchi hawmwani hata mungu ety mungu rais wao
@jumamussantuiche15 күн бұрын
Propaganda za watu wa mangharib
@YahayaKishakwi15 күн бұрын
Wanao shangilia urusi ni wale wanao Thani inapigania uwislam akuna nchi inayo chukia wislam Kama urusi na china ni. Kwa wakati huu TU wa vita ya ukraen
@YahayaKishakwi15 күн бұрын
Kwan wao hawapigi propoganda
@jumaamohamed281514 күн бұрын
Pointless
@magorymara551514 күн бұрын
Ulishawahi kwenda huko ikiwa kama hujawah kwenda huko basi fika kwanza ndo uje utujuze
@BenPeter-vp2cy15 күн бұрын
Aliewaruhusu awajibike
@HassaniHassani-gb8oc13 күн бұрын
Huyo alieruhusu watu waingie kwenye chumba cha mkutano kabla ya kiduku saa hz atakuwa kashanyongwa kiduku hanaga mambo mengi
@GabrielSky6414 күн бұрын
Ila magaidi bhna. Hadi wenyew kwa wenyew. Na mbona mna simple inonekane ni kitu cha kawaida kuweni makini acheni siasa egemezi
@graysonpastory191814 күн бұрын
Shoga wewe gaidi Israel ,us ba eu
@omarymwaluko976513 күн бұрын
Ww choko chukua chuma icho 🖕
@Ally-qi7xo15 күн бұрын
✈️✈️🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇧🇮
@user-ok6lv3je4b13 күн бұрын
Mh,
@raymondmoses955114 күн бұрын
Sauti mmezingua
@POLITICS_WAR_DIPLOMACY14 күн бұрын
Putin hawezi kumuogopa mwanawe Kim na Kim hana hofu na baba yake Putin "PUTKIM" wapo safi sana baina yao
@OthmanThabitJuma14 күн бұрын
Dah nimependa san putkim good bro
@jkifutu793615 күн бұрын
😂😂😂😂
@deogratiaspmwolo194215 күн бұрын
Ndugu huyo hapo nyuma sio mlinzi wao kwenye gari . Huyo hapo nyuma ni mkalimani. Wako wawili mmoja kwa kila raisi . Kwenye gari wawili hao wanahitaji mkalimani oli kuelewana. Sio hicho unachotueleza.
@djsma25515 күн бұрын
KWANI NILICHO SEMA MM NI NINI, AU KUNA KITU KIZAZUIA MTU 1 KUWA NI MLINZI NA MKALIMANI KWA PAMOJA? RUDI USIKILIZE VIZURI NILICHO SEMA
@FilbertHabashi-zn1qu15 күн бұрын
@@djsma255 djsma255
@khamisomar88915 күн бұрын
@@djsma255 usiwe unawajibu wapuuzi kama hawa utashusha heshima yako kaka
@user-gi2jv4kl7s15 күн бұрын
DJ sma ulichosema ni sahihi na aamini yule alikua na Mambo matatu,Ni mkalimani,mlinzi na Ni dereva ambae anajua kuliendesha lile gari mbindipo Kama ingelitokea dharura yyte.
@icahgracie124215 күн бұрын
@@user-gi2jv4kl7sna ni daktari pia kukitokea dharula alafu ni mjeshi,ogopa😂
@user-ii6gs2jg4g15 күн бұрын
Nani tena anakohoa jaman watu tunasikiliza 😂😂😂😂
@kichenjewillian572015 күн бұрын
Konde boy
@PAULNYANDILE15 күн бұрын
ukapimwe na akili
@kichenjewillian572015 күн бұрын
@@PAULNYANDILE unamtindio wa ubongo ww
@papsmicrocreditcompanylimi144315 күн бұрын
Hakika wewe ni mchambuzi mzuri tatizo lako Dj sma. Uchambuzi wako kilasiku unachambua kuhusu Vita ya Ukraine na Urusi, Israel na Hamas au Irani na Marekani. USHAURI jaribu kuwa unachambua masuala ya ndani kama vile Ununuzi wa Sukari suala la Ruhaga Mpina na Bashe. Maandamano ya Kenya, siasa ndani ya chadema uenyekiti wa Mbowe utatoboa kwenye uchaguzi wa ndni
@djsma25515 күн бұрын
Assnte ila nadhani unajuwa nchi zetu za jiaftika na swlaa la uhuru wa kuongelea mambo ya ndani.... Au unataka kusokia sns haipo tena tukose hata hizi habari tunazo pata
@user-gi2jv4kl7s15 күн бұрын
DJ sma tuliiiiiiiiya Africa achana nayo sisi habari za Africa tunazielewa uyo jamaa hafatilii mwenyewe,habari nje sisi ndo tunazihitaji hatuzipati kwa undani magharibi na marekani wanatudanganya,,DJ sma hapa mwendo habari za nje tu
@Zillionking62715 күн бұрын
😂😂😂😂 duu
@MathewNathan-yb2bz15 күн бұрын
P@@djsma255ww si unasema wazungu hawatupendi na walituua sana hususani huko congo ,sasa inawezekanaje sisi waafrika wenyewe kwa wenyewe hususani hapa Tanzania hatupendani kiasi kwamba tunakosa uhuru wa kuchambua mambo yetu ya ndani kwa kuhofia serikali yetu kuwakamata na kufungia vyombo vyenu vya habari?Ndio ujue hata sisi watu weusi baadhi yetu ni wanyama na wanaweza kuua watu weusi wenzao kwa tamaa ya madaraka.
@allahisone638614 күн бұрын
AKILI KUBWA SANA KBS UPEW ULINZ WAKUTOSHAA KUTO YA ZUNGUMZIA HAIMAANISH HUWEZI
HUU UCHAMBUZI WENZANGU MMEULEWA AU NI MIMI NDO SIMSOMI DJ ASMA. MBONA KAMA BADO HAWAKO SAWA MRUSI NA MKOREA KASKAZINI.... 😢😮
@omarymwaluko976513 күн бұрын
Huwez kuelewa kam huna D
@hazygardmericho957115 күн бұрын
SMA anachojua ni kimoka tu... Kupondea wa magharibi na kusifi wapinzani wake
@uwimana653315 күн бұрын
Nenda BBC upewe Habari nyeti umefata.nini huku 😂😂😂
@user-pn7xm6wd8v15 күн бұрын
Uyo jamaa huenda alinyimwa us au Schengen visa
@Mtaki_Zakayo15 күн бұрын
@@uwimana6533 Amini kidogo
@frankrobert970615 күн бұрын
Pia aende CNN huko utapata habari za magharibi huku kwa smaa tuachie sisi Anti West
@abdallahngoe15 күн бұрын
Ndugu yangu wewe kwako ushoga ni kitu kizuri au kibaya? Na jibu la uzuri na ubaya lina upande pia? Ebu tujibu tafadhari
@Mtaki_Zakayo15 күн бұрын
Msimuone Ruto mbaya kuchagua upande wakati na wewe umechagua upande wako. Kibanzi cha mwenzako
@donaldmgunda497015 күн бұрын
Waambie wasiojielewa hawa
@abdallahngoe15 күн бұрын
Tatizo sio upande ila ni upande upi wenye afadhari katika kunyonya na kukandamiza.. labda nikulize ndugu wewe kwako ushoga ni kitu kizuri au kibaya? Je utakubali kenya wakiruhusu ushoga
@DjskillsTboiyprincess15 күн бұрын
Wewe unajuwa upande wenye uwafazali kuliko Rais Ruto
@abdallahngoe15 күн бұрын
@@DjskillsTboiyprincess Naamini ruto anazijua siasa kuliko hata mm na wewe sababu kasafiri nchi nyingi kakutana na viongoz wengi na kusaini mikataba mingi ambayo mm na wewe hatujui kasaini nini. Lakini si umeona wananchi wa west africa mali niger n.k wanavoishi maisha magumu na libya sababu ni hawa america na wenzie lakini njoo kwa urusi umesikia analinyonya taifa gani la afrika? Umaskini tulionao unatengenezwa sikiliza speech za nyerere mugabe mandela sankara gaddafi n.k utaelewa
@ammaherman339115 күн бұрын
@@abdallahngoe😂😂😂kenya waruhusu ushoga mara ngapi 😂😂?
@hizamawa604615 күн бұрын
Uchambuzi wa hovyo
@PAULNYANDILE15 күн бұрын
nenda BBC au CNN😂😂😂 zuzu wee
@user-ub5ce1ym8m15 күн бұрын
Muongo wewe hao ni wakarimani Acha uongo tutaacha fatilia kumbe uwa una chambua uongo
@FahadAbubakari15 күн бұрын
Acha kufatilia kwani Nani alikuita paka wee
@idrismbembe269115 күн бұрын
Wewe ndio utaacha peke yako sawa 😂
@ShawnBeatz15 күн бұрын
Nashindwa kuelewa pipo zinazomsapot sma bila kujua yupo upande gan, akat akipewa visa ya usa au russia anatimba marekan😂😂😂
@icahgracie124215 күн бұрын
kawachambulia wale wenye D mbili😂
@StephanoMoses14 күн бұрын
we ni upinde wa mvua . Nenda kafatilie BBC . tuache na jamaa yetu.