KIFO CHA SELEMANI NI UKATILI |KACHINJWA KAMA KUKU |WATU WAMEKUTA MIILI FAJIRI

  Рет қаралды 26,591

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

2 жыл бұрын

Пікірлер: 110
@ednajeremiah928
@ednajeremiah928 2 жыл бұрын
Jamani sulemani ujafia jela unakuja kuuliwa hivyo kweli nimeumia kwa kweli nimekumbuka alivyotoka jela na kumfata mtoto wake alipomuona mtoto wake alifurahi sana poleni family Mungu ampe pumziko la amani 😭😭😭
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 2 жыл бұрын
Kuna Watu wanaunyama hata Simba anaafadhali. Poleni Sana wafiwa kwakuondokewa na ndugu yetu
@mariamsalim9311
@mariamsalim9311 2 жыл бұрын
Tumekumiss zahir welcome back
@laymashabani832
@laymashabani832 2 жыл бұрын
Dah yaani nimeumia kama ni ndugu yangu vile😭😭😭 binaadamu wabayaaa
@amanisalum1638
@amanisalum1638 Жыл бұрын
Kabla ya kulaumu kuna haja ya kufanya tafakuri ya kina sana.Nyuma ya jambo hili lazima kuna lililojificha.
@mariamsalim9311
@mariamsalim9311 2 жыл бұрын
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun Allah amsamehe makosa yake
@shukranjazzakhaallahukheir1897
@shukranjazzakhaallahukheir1897 2 жыл бұрын
innalillahi wainnaillahi rajiuni.mungu anisamehe mm kwafikra yangu.ninahisi niyule Askari aliyekua anabifu naye Kyle jela kafanya mpango amalizanenaye ninahisi hivyo.Allah-aallam
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 2 ай бұрын
Innalillah wainna ilayh rajiuun Allah amrehem kaka Suleiman nimeumia sana kiukweli japo ilishapita
@eyabdimaha3698
@eyabdimaha3698 2 жыл бұрын
Mimi fikira zangu zinaniambia mauwaji yalipangwa juu yake ila Allah anajua zaidi binadamu tumekuwa wanyama sana
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 2 жыл бұрын
Atamm nais ivyo😭😭
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 2 жыл бұрын
innalillah waina ileih rajioon 😭 polen sana kwa msiba wa ndugu yetu Suleiman Allah amrehem amsameh makosa yake ampe qaul thabit amjalie janat ferdaus amiin yarab Allah akupeni subra msiba mzito Allah awafarij
@adilmohamed2117
@adilmohamed2117 15 күн бұрын
Msiba wetu mungu atupe subra
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 2 жыл бұрын
Watu wapole nao wanavitu vyao fulani fulani hiivii.....Pumzika pema Seleman
@animallovers3473
@animallovers3473 2 жыл бұрын
Kiukweli hyu kaka ameteseka sana yaan imagine amepelekwa jela mungu kamsaidia katoka watuwanakuja kumuuwa tu jaman mungu ailaze roho yake mahali pema nimeumia sana
@adilmohamed2117
@adilmohamed2117 15 күн бұрын
Zahir kaka pole msiba wetu lkn ww nikikuona hapa najikuta na uzuni tu
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq 2 ай бұрын
Inalilah wainalilah rajighun poleni sana
@happymchomvu6766
@happymchomvu6766 2 жыл бұрын
Huyo bos wake Akamatwe ukweli utajulikana jaman hzi ni nyakati za mwisho daah😭😭😭😭😭
@mariamnjama3963
@mariamnjama3963 2 жыл бұрын
Haya mauwaji yalipangwa kitambo sana japo dhana c mbaya ,alifungwa miaka yote hyo maskn hakufa ila lazma aliekewa Nia yakuangamizwa maskn,Mungu ailaze roho yake pepon 🙏
@florenceamata5705
@florenceamata5705 2 жыл бұрын
Dinadamu wa.egeuka kuwa wanyama RIP salemani
@salmalopezsalmalopez524
@salmalopezsalmalopez524 2 жыл бұрын
Inna lilahi wainna ilah rajiuna daah! Allah ampe kauli thabiti nahisi hao watakuwa panya roud tu
@imusultan9918
@imusultan9918 2 жыл бұрын
Ww kumbe dia unazojia
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 жыл бұрын
Innalillah wainnah illah lajoun Binaadam wa Sasa aise kheir ukutane na mnyama mkali polin Lakin sio binaadam WA Sasa wallah 😭😭
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 2 жыл бұрын
😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭wapo waliotuma mauwaji hayo wallah siobure
@victormutua4043
@victormutua4043 2 жыл бұрын
Tanzania munamambo kweli kila saa kuuana tu Allah awasaidie
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 жыл бұрын
Dah banaee hata unaogopa
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 2 жыл бұрын
😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭
@ukhtyrehemaabdy2830
@ukhtyrehemaabdy2830 Жыл бұрын
Dah seleman kimekukuta nn tena
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
Inalillah wainaillah rajiun
@user-ur6zr7wc8n
@user-ur6zr7wc8n 2 жыл бұрын
Inalilahii wainailahii rajiuniii mungu amlazee Mahala pema peponi
@munirachangawa2928
@munirachangawa2928 2 жыл бұрын
Mhhh mtihani kwa kweli binadamu wabaya.na roho zao mbaya.ubinadamu kazi
@muniraabdulrahman5656
@muniraabdulrahman5656 2 жыл бұрын
Zahiri wewe maisha ya watu unaweka rehan kwa kweli huku kujitangaza kwnye media ni mtihani ukiwa mkweli wa mambo yanayokysibu wewe na maisha yako basi utafatiliwa uuliwe
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 2 жыл бұрын
Sele wetu jamani😭😭😭
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Itakuwa kuna mtu ambaye anakisasi naye
@daylight1707
@daylight1707 Ай бұрын
Mimi nashuku huyo mwanaume mwenzake alie muoa huyo msichana wake aliomtia mimba
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 2 жыл бұрын
Aisee toka baba yetu maguful amefariki matukio ya mauwaji yamekisiri jmn mbaka inakela mungu tusaidye jmn hii nchi imefkia pabaya
@sarahmwampulo4401
@sarahmwampulo4401 Жыл бұрын
Mmmm jamani nimeumia Sana
@marryamyusuph1699
@marryamyusuph1699 2 жыл бұрын
Inalilah waina ilahi rajiun.
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 жыл бұрын
Pole sna...mybe hao ni wale panya rod...
@aishaissa2512
@aishaissa2512 2 жыл бұрын
Poleni wafiwa Allah awape subra kwenye kipindi kigumu 🤲
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 2 жыл бұрын
Sasa vipi simu yake umepatikana kama walikusudia kuiba? Wamemuuwa mwenye boda boda kwasababu asije kusema wakakamatwa au kakataa kumuacha walikuwa wanapambana wote.
@ridhwanfaki9738
@ridhwanfaki9738 2 жыл бұрын
Inasikitisha sana binaadam tumekosa Imani kwa wenzetu
@nemajaquecene9167
@nemajaquecene9167 2 жыл бұрын
Innalilah wainahilllah rajuun
@munakhamis982
@munakhamis982 2 жыл бұрын
😭😭😭Sele wa Maxmum mung akupe kaul thabit hii ni fumbo mung ndio unajua kun nn kat yake
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Pumzika kwa aman mpenzi wetu😭😭 mbele yako nyuma yetu🤗🤗😭😭
@OmanOman-sb9oz
@OmanOman-sb9oz 2 жыл бұрын
Jamani kapitia magumu katika dunia
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
@@OmanOman-sb9oz sana😭😭😭😭😭😭😭
@latifairakoze4256
@latifairakoze4256 2 жыл бұрын
innalilah wa inna ilah rajiun
@luckydubebello1131
@luckydubebello1131 2 жыл бұрын
Zahir welcm we missed u,this is very sad 😥 😢
@maximumtvonline
@maximumtvonline 2 жыл бұрын
Am back
@felisterandrew8741
@felisterandrew8741 Жыл бұрын
Jaman mh
@mamawawili4069
@mamawawili4069 2 жыл бұрын
Sijui mapany rod seleman pumzik kma aman kak umeniumiza kwakwel😭😭😭😭😭 kak suleiman nafs yak itawalaan hawa viumb waliokufanyia iki kit
@mariamkitwana6148
@mariamkitwana6148 2 жыл бұрын
allah amrehem selemani
@khadjaiddlis283
@khadjaiddlis283 2 жыл бұрын
Innalillah wainnairaihy rajiunn
@abdijibarmaalim3173
@abdijibarmaalim3173 2 жыл бұрын
Its painful saana sorry for the family...that's well planned within family revenge ndio maana they also kill mwenye bodaboda with no evidence...waah better awe kwa jella very sad
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 2 жыл бұрын
انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه ويغفر له ويسكنه فسيح جناته يارب
@samiamamy1011
@samiamamy1011 2 жыл бұрын
😭😭😭Dah ngumu kuamini pumzika kwa amani sele wetu😭😭😭🙏
@ridhwanfaki9738
@ridhwanfaki9738 2 жыл бұрын
Innalillah wainnailayhi rajiuun
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 2 жыл бұрын
So sad 😭😭😭😭😭😭
@najmaaa6548
@najmaaa6548 2 жыл бұрын
😪😪😪 inauma sana....Allah awpe kauli thabit yaraabi
@fataomedia7050
@fataomedia7050 2 жыл бұрын
Daaaah so sad
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 жыл бұрын
Suleiman kumbe ana ndugu zake jamani na alisemaga hana ndugu dar.
@SamsungGalaxy-kx2zj
@SamsungGalaxy-kx2zj 2 жыл бұрын
Ukweli wa kifo cha sullema wafatishe simu yake itakuwa ni katika wanawake walio kuwa wanawasiliana nae kwa kutaka kuolewa hakuna wengine
@mwanamisakulembwa1147
@mwanamisakulembwa1147 2 жыл бұрын
Inalillah wainaillahi rajiun 😭😭😭 R.i.p
@ismailmatari916
@ismailmatari916 2 жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajighuna..dah selemani story yake nimeanza kuifuatilil leo. Kufungwa kutoka jela hadi kumpata mwanae. Siku hii hii nafungua clip nyingine nakuta ameuawa. Dah...! Nimeumia sana😭😭😭😭 mungu amlaze mahali pema maan yate yaliyomkuta yeye ndia alimuandikia hivo. Mbele yake nyuma yetu tumtegemee mungu kwa kili mitihani inayotupata. Pole mama sela pole ndugu wa sele pole wanakigoma pole watanzanie wote kwa ujumla😭😭
@hawamkamba50
@hawamkamba50 Жыл бұрын
😳😳😳 mtumeeee!!! Uyu kaka kafariki maskini niliwahi kuonana nae alichangamka mno nikawa najiuliza nimemuona wapi akasema kama unafuatilia maxmum tv basi ndo mimi duhhhh!
@angle3600
@angle3600 6 ай бұрын
😢😢😢😢
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 2 жыл бұрын
Inasikitisha kwa kweli
@amisamussa4433
@amisamussa4433 2 жыл бұрын
Duuh inaumaaaa jamani kaka wawatu jamani miaka20 jela leo kifoni pumzika kwa amani sele
@Inzaghi809
@Inzaghi809 2 жыл бұрын
Nazani aliwuwawa nawa police kwaju alikuwa anataka kusema mambo anapatikana jela
@fauziatumbo8221
@fauziatumbo8221 Жыл бұрын
Hyo mume aliyeoa mwanamke aliyezaa n Suleiman ndo alipanga huo unyama
@felisteredward8922
@felisteredward8922 Жыл бұрын
😢😢 looh jaman mbona km mtu analipa kisas iv
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
Zahir ulikua wapi jamani tumekumiss sana kaka
@maximumtvonline
@maximumtvonline 2 жыл бұрын
Nimerudi
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
@HAMIDA RASHIDI iddi gani kipenzi huyo dereva bodaboda au?
@salhamohamed9240
@salhamohamed9240 2 жыл бұрын
Mie nahisi walio wakata mapanga itakuwa ni watu wanao wafahamu na ndio mana wame muuwa na bodaboda kuondoa ushahidi
@rosenaheka5137
@rosenaheka5137 2 жыл бұрын
Maximum tv tunawapenda. Ila mtangazo yatawaharibia. R.i.p Seleman
@maximumtvonline
@maximumtvonline 2 жыл бұрын
Tunasubiri yatuharibie..
@rosenaheka5137
@rosenaheka5137 2 жыл бұрын
Kuanzia Leo hutaona nikiangalia Chanel yenu. Nikiangalia mnivunje mguu
@minakhamiskhamisi6193
@minakhamiskhamisi6193 2 жыл бұрын
@@rosenaheka5137 unamaanish nin kusema hivo ach kutisha wezie bwana ww km hutaangalia wengn tutatizam
@rosenaheka5137
@rosenaheka5137 2 жыл бұрын
@@minakhamiskhamisi6193 mm matangazo yananikera . Ila maximum tv wakocvizuri tuu. Co kwamba nawatisha. Ww angalia tuu
@siasia5469
@siasia5469 2 жыл бұрын
@@rosenaheka5137 ndugu hayo matangazo ndio yanayo walipa wenzio kwaio ni vizuri kuyatazama mpk mwisho
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Жыл бұрын
😢😢😢
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 2 жыл бұрын
Maybe ni panya road Bado wapo
@luludisniper2436
@luludisniper2436 2 жыл бұрын
Yani siamini naumia Sana Kwa kweli
@jojikeneth9024
@jojikeneth9024 2 жыл бұрын
Duuuu! Hii hatari sana
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 жыл бұрын
Samia naye aangalie wa kuwasamehe wengine ni vibaka kweli ukiwatazama usoni sivyo walivyo rohoni. Huyu sele inaonekana kabisa alishindikana hadi gerezani
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 Жыл бұрын
Kushtumu ni dhambi. Jela ukiwa umeregea utakufa kwa njaa. Kuna shughuli za ushoga ukiregea unageuzwa. Kwa hiyo uhalisia wa maisha ya jela inabidi uwe smart.
@SihabaAbdallah-li6dx
@SihabaAbdallah-li6dx 3 ай бұрын
Yani niksi zimeaza kwakina uyo mwanamke walomtia NDANI
@user-vn2ni9vm4b
@user-vn2ni9vm4b 2 жыл бұрын
inawezekana ndo hao panya rodi
@roselambert6700
@roselambert6700 2 жыл бұрын
Dunia hii ina watu wakatili sana
@charitylulu8872
@charitylulu8872 2 жыл бұрын
Inalilah wainailahi lajiun
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 жыл бұрын
Wanafanana poleni hatasisitunahuzuni pia tulimzoea kupitia MXimu.
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 2 жыл бұрын
Inamaana aliyewaua wanamfahamu ndo maana bodaboda kauawa pia kupoteza ushahida
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Mtihani mtu kumuwa
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 жыл бұрын
Hapo ikokitu sibure
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 жыл бұрын
Kuanzia leo natoa password kwenye cm yangu nimejifunza jambo moja hapa 😭😭😭😭
@zeddydaqueensy4612
@zeddydaqueensy4612 2 жыл бұрын
Kweli kabisa maana hatujui mambo yanayokuja mbeleni
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Жыл бұрын
😢😢😢
@rahma6189
@rahma6189 2 жыл бұрын
R l p Selemani
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 жыл бұрын
MIMI PIA SIAMINI DAH SO SAD 😭😭😭😭😭 KWA NINI UUWE MWENZAKO NAUTA KUFA REST IN PEACE.
@salamaseif4183
@salamaseif4183 2 жыл бұрын
DUu hii dunia
@hadijahadija4699
@hadijahadija4699 2 жыл бұрын
Pumzika.kwa.amani.sele.wetu.
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 2 жыл бұрын
😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭wapo waliotuma mauwaji hayo wallah siobure
TANZIA| SELEMANI AFARIKI DUNIA KWAKUPIGWA MAPANGA NA WATU WASIO JULIKANA
25:14
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 33 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,3 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 12 МЛН
Learn Web Design For Beginners - Full Course (2024)
3:07:31
Flux Academy
Рет қаралды 1,6 МЛН
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 33 МЛН