Kazi nzuri sana mkubwa hii imeenda salam ziwafikie
@georgelukas12726 ай бұрын
Big up sana chama kubwa
@user-ki4sg8yz9j6 ай бұрын
Mie ni kutoka Zanzibar naunga mkono maamuzi ya Chadema kwa mara ya kwanza. Na huku znz pia yafanyike maana Mwinyi nae anapuuza maagizo ya kamati.
@allymkazi27756 ай бұрын
Kazeni buti tuko nyuma yenu watu wanaotegemea wizi wa kura ili waendeleee kuongoza hao Ni wepesi Kama karatasi siku zote mungu Yuko kwenye haki ! Na sio kwenye wizi wa kura!!!!
@user-ki4sg8yz9j6 ай бұрын
Chadema kazeni buti isiwe kama UKUTA. Znz tutawaunga mkono. Sie kuuliwa ni cha mtoto tu tushazowea.
@boscomfundo79536 ай бұрын
Well said Mheshimiwa Mbowe
@user-lx2lo2lp8m6 ай бұрын
Mbowe mbowe!..kwa hotuba hii we ni nabii uliyekuja kutukomboa baada ya nyerere,Mungu akulinde mpaka ndoto zako zitimie,ccm imefikia mwisho,hotuba ya Karne kwa watz,zingatiane haya!...tz
@abubakarimussa91316 ай бұрын
Haswaaa
@user-sl1ko9me7u6 ай бұрын
CHADEMA....CHAMA MBADALA WA CCM KWACHAGUZI ZA 2024 NA 2025....WATANZANIA BILA KUJALI VYAMA NA DINI ZETU TUKO NYUMA YENU.
@usembiphonedar56326 ай бұрын
Wananchi huu ndiyo wakati wa kulikomboa Taifa letu,Tanganyika yetu na rasilimali zetu,ccm haifai kupata kiti chochote kuanzia wenyeviti wa mitaa,vitongoji,kata,madiwani,Wabunge na Rais. Tuwanyoe ili mafisafi wajue hili Taifa siyo mali yao! KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI SASA.
@paschalmagai7516 ай бұрын
Mwenyekiti sasa mmeanza kuwa serious..... Huu mwaka uwe ni wa action zaidi maana future ya Tanzania chini ya hawa majambazi inafifia vibaya sana.
@hakiyangu6 ай бұрын
Tena kwa sasa wamekua wanyonyaji wa nchi
@user-vs5ow5jt1w6 ай бұрын
Tatizo ninyi chadema tuna waunga mkono halafu badae tunapoteza kura zetu Bure mnazubaa mpaka ushindi unapotea.
@user-ki4sg8yz9j6 ай бұрын
Huu ni wakati wa kuunda UKAWA mpya kwani umoja ni nguvu. Ccm wamezidi zarau.
@usembiphonedar56326 ай бұрын
Huo ndiyo ukweli ndugu,haya madudu ya kijani yanatakiwa kuchomwa moto kwenye uchaguzi ujao 2024/2025,yasipate Balozi wa nyumba 10, mwenyekiti wa kitongoji, diwani mbunge wala Rais!
@saidchaula19476 ай бұрын
Nimejikuta nalia kumskilza mbowe kweli tanzania tunaishi kwa mazoea nakibri kwamba watafanywa nini waspofanya
@sautikuu2126 ай бұрын
Hakuna kitakachobadilika hadi ifike mahali tuuane na viongozi wafiwe ndio akili itawakaa sawa. Mimi ninayo njia mkitaka nitawaambia
@user-ki4sg8yz9j6 ай бұрын
Wakiuwa na sie tuuwe tu. Tunao mitaani
@husseynzooh19796 ай бұрын
People's power ✌️
@honoratamafala69686 ай бұрын
Watoto wa viongozi wote wana ajira tena kwenye nafasi nzr na wengine wamesoma na watoto wetu lakini wa kwetu hawana ajira.tuambiwe ni mtoto wa kigogo gani haha ajira na anatembea na cv.kwenye maofisi akisaka ajira.jamani wamwogope Mungu.Mungu akikasirika akawageukia watalia machozi ya damu.tunataka ajira kwa kila kijana ili mradi ana vigezo.
Wanaokataa maandamano ni watoto wa viongozi ambao hawajui na gharama ya maisha.
@usembiphonedar56326 ай бұрын
Ndiyo hayo mafisadi majambazi majizi ya rasilimali zetu ndiyo yanakataa maandamano ila nguvu yetu moja tutashinda.
@abelnyenye45006 ай бұрын
Kwakweli hawa ccm wamezidi sana, ccm ni kakikundi kadogo kanakosaidiwa na vyombo vya Dola. Hawa askari watakaozuia jambo hili watakuwa wa ajabu sana. Halafu askari ndio wanaolipwa mishahara midogo sana lakini wanawalinda wanaowaumiza.
@jalaryababilasi15626 ай бұрын
Leo ndo nimekuelew mkuu
@lovegodmunisi10066 ай бұрын
Hapa sawa
@clemencelisonga82616 ай бұрын
Leo ndo nimeona umeongea kama mpinzani mungu akutangulie
@user-ou3eb8kd8y6 ай бұрын
Pamoja
@The1979bornagain6 ай бұрын
Ila waandishi wa habari wa Tanzania ni very unprofessional. Uulizaji wa maswali yao tu unaonesha liko tatizo kwenye professional hii hapa nchini hasahasa kwenye uelewa na ufahamu wao
@vitalisnyagali27746 ай бұрын
Mambo si ayo bwana
@user-qz2cs5wm5u6 ай бұрын
Kama wamezoea kuhua. Bola watuuwe wote lakini sikwaujinga uhu
@kingj96066 ай бұрын
Sir yes Sir !!!
@user-cr6tm5jz8x6 ай бұрын
Ama kweli mnapambana kuhusu haki
@user-md7sd3hk6l6 ай бұрын
mbowe pamoja
@user-fl7jl7vk3n6 ай бұрын
Tuko pamoja
@silasponeka17736 ай бұрын
Ni nchi nzima tuanze maandamano
@RobsonMushikutokamanyarambulun6 ай бұрын
Fanyeni kiume kwa ajili ya haki usawa acheni maneno matupu
@deogratiuswambura75976 ай бұрын
Tanzania hii samia hakumbuki tena ka kulikuwepo na bunge ra katiba mpya ivo uchaguzi usifanyike hadi mchakato wa katiba mpya ifanyike
@ezekielmirambo87046 ай бұрын
Hofu ya Mungu ndio jambo la msingi!
@HenrySam-dz1bw6 ай бұрын
Great
@jalaryababilasi15626 ай бұрын
Usije kutugeuka sasa maana nyie nao mnaturudisha nyuma ukipewa bi ngap unatutelekeza naomba msimamo huu huu ❤❤
@NassorSalumMengi-jj1nf6 ай бұрын
He mbowe Loko spaiz safi sana
@clarencehilary55886 ай бұрын
Mimi naomba maandamano yalenge mambo matatu (1) tume huru ya uchanguzi (2) tunaitaka tanganyika yetu iwe huru (3) tunaitaka bandari yetu na mwisho hatumtaki kabisa samia
@antonykpatricj28646 ай бұрын
Nakuelewa mkuu pamoja sana
@erastoleonard86256 ай бұрын
Hayo ndiyo maamuzi ya kiume wananchi tumechoshwa na plopaganda za maccm
@benardsamizi-qo4yp6 ай бұрын
MUNGU WA HAKI SIMAMANA WAPENDA HAKI. UKO WAPI MUNGU WA DANIEL? UKO WAPI MUNGU WA MESHACK NA ABINEGO??? SIMANA NA MBOWE NAONA ANAKWENDA KUTUPWA KATIKA TANURU LA MOTO.KWA SABABU TU AMEKATAA DHURUMA.
@JuhudiJotham6 ай бұрын
Pamoja sana tunawapata vzr hapa Lilongwe Malawi,tupo pamoja
@lgf72976 ай бұрын
Netanyahu aliulizwa maswali alfu hadi wengine wakakosa nafasi, hapa ni wawili. Watanzania milioni 63 Mayahudi milioni 3.
@bukurunestory35406 ай бұрын
Si Walisema Chadema imekufa?
@ZakayoSanga-ge4jr6 ай бұрын
Mwenyekiti Leo nimekuelewa
@user-tn1bn5ou2i6 ай бұрын
Sauti jamaani hatusikii mitambo imekorofisha ndg
@rizikiminga30106 ай бұрын
Iv ni kwamba vyombo vya habari habari vikubwa hapa nchini Tanzania kama Tbc, Azam tv, wasafi, UTV, ITV na vinginevyo ni kwamba huwa chadema hawavialiki katika platform zao au ni kwamba ivyo vyombo vya habari huwa havitaki kushiriki???
@muaminiadamu23616 ай бұрын
Vimeolewa vyote ns gavoo
@user-up6lm6xr3d6 ай бұрын
Hapo nimeelewa sana
@user-cr6tm5jz8x6 ай бұрын
Aiseee
@user-ln3jp8cu8u6 ай бұрын
Minaomuomba mungu usiku na mchana chadema owe madalakani ccm hii ccm hii ccm hii itatuua kweli .tunateseka mno tulikua uchumi wakati zaizi tuko uchumi 0 kabisa wanashindwa kutatua tatzo la umeme ,kweli mmchadema woyeeeeee
@emanuelmwatwebe58756 ай бұрын
Kumekuchaaaaaaaaaaaaa.
@user-fl7jl7vk3n6 ай бұрын
Mbowe akili mwingi
@user-sl1ko9me7u6 ай бұрын
MKO WAPI AZAM TV, TBC NA VYOMBO VINGINE VYA HABARI KUONYESHA HOTUBA HII LIVE.....TUNAAMBIWA 'MNATISHWA' NA CCM NA VYOMBO VYA DOLA WENU...AIBU NA FEDHEHA KWENU.
@mwlpierre6 ай бұрын
Waache na hizo Tv zao waache tutaunsubscribe mbona hata sisi tunakuwa tunapata viewership nzuri siunamuona Jambo Tv anavyokuwa siku baada ya siku
@EDWARDPKATWIGA5 ай бұрын
Mbowe❤
@fettyaziza6 ай бұрын
Viongozi wengi chadema wa chaga chadema chama Cha siasa au chawa chaga kunanitia mashaka sana awa. Wakipewa nchi atari
@jophley20436 ай бұрын
❤
@williamgeorge-hd2tn6 ай бұрын
Hii ndio maana ya upinzani.haiwez kuwa maneno maneno bila actions kila siku
@RichardMeena-sm5vm6 ай бұрын
Tunawasoma kwa saut ya juu sana
@user-fn2gp6xq7x6 ай бұрын
AMANI,ITAWALE❤
@usembiphonedar56326 ай бұрын
Wananchi tunapongeza uamuzi huu wa Chadema na tuwe tayari kushiriki maandamano na mapambano haya bila kuogopa wala kurudi nyuma,hayo ndiyo maamuzi ya kiume aliyoyafanya mwenyekiti Mbowe na tukiunganisha nguvu zetu pamoja tutashinda, Mungu simama katika haki wenye haki washinde jambo hili,Ameni. KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI SASA.
@hamisijuma81246 ай бұрын
Kaandamame Libya watanzania hatuna utamaduni huo
@usembiphonedar56326 ай бұрын
@@hamisijuma8124 Wanufaika wa mafisadi wanajulikana! Muda utafika tutaongea Lugha moja!
@songombingo1086 ай бұрын
@@hamisijuma8124Libya ya Baba yako
@talents79346 ай бұрын
@@hamisijuma8124Alaf ndg zangu Wa kiimani hii sio vita ya kidini Bali ni vita ya maendeleo acheni upuuzi mimi ni Muislam ila nikipitia kila comments nyingi zinazopinga ni za mrengo wetu kwanini? Ni nan aliyetudanganya? 😢
@OdiloMagungu-uf5is6 ай бұрын
Mama huyu is double faced
@abubakarimussa91316 ай бұрын
💪💪💪👌✌️✌️✌️✌️✌️✌️❤❤❤
@thomasmallya29726 ай бұрын
Wewe mbowe shida yako na wewe unabadilishiaaga gia angani uwa mnakuja kulalalama baada ya kuona maslai yenu yameguzwa uliwekwa ndani kwa kosa la uhaini tulipiga kelele chaachabu uliitwa ikulu cjui ulipewa nn ulipokuja ukatupiga marufuku kuwanyooshea viongoz wa serikali vidole na kuchukua CDM yote ukaipeleka ikulu tuambie kwanza ulihonga nn ama ulihongwa nn kesi yako ikafutwa
@talents79346 ай бұрын
@@thomasmallya2972tuliza iyo Niaje Man Ndonga ya kiume Haitaki Mawenge
@richardhezron25886 ай бұрын
Twende na mbowe kuchochewa siasa ya tz
@floraminde6 ай бұрын
Mbowe mungu akulinde pambana niko na wewe baba nataka mabadiliko CCM imetuchosha
@BossiLaizer6 ай бұрын
Kwa mara kwanza Chadema kuonesha njia ya ukombozi wa fikra juu ya taifa letu, kikubwa msimamo wasio na vyama Tunawaunga mkono CCM wametufanya kenge kwa mda mrefu sasa
@abubakarimussa91316 ай бұрын
Kabisa
@fettyaziza6 ай бұрын
Mboe angekuwa mpinzani wange mfumgia makasino yake mboe siasa ni kama kazi ana shida ya kwenda ikuru anajua ana sifa kuwa Raisi yeye ana piga ruziku mboe akuna mwenyeki Mwingine mwaka 25 mwenyekiti yeye tukimpa nchi atatoka atatoka ikurru
Mzee mbowe ss tunakuunga mkono natuko pamoja nipo mvomero turian
@awadhrajabu14036 ай бұрын
Taifa Letu Mpaka Intaneti Nazo Zinaleta Pozi Hi Inamanisha Wanaona Wako Kwenye Maamuzi Yao2
@user-cw4jr1jz4x6 ай бұрын
MUNGU,peke yake akusimamie Mzee mbowe
@user-ln3jp8cu8u6 ай бұрын
Raisi nae yupo kimya hata akohowi kuhusu umeme kwavile ikulu haukati hana shida na wanainch
@cosmaswilliam38056 ай бұрын
Ofisi imejengwa maeneo salama.
@fettyaziza6 ай бұрын
Chadema Awana uwezo kuamdama daresaramu Ra moshi au Arusha sio daresara warifanikiwa maandamano cafu pekee ripumba kavunka mkono. Mboye kavujwa rini mkono zaidi kuwekea jera kwa mchongo
@user-vc1vf4uz4r6 ай бұрын
Hiki chama huwa sikielewi kabisa ni cha ukoo au kabila 😮😮😮 mara kileo mara mushi nk hiki chama pia ni tatizo tu
@teddyoscar68766 ай бұрын
Kabisa tatizo vile vile hawana lolote, ngoja wachukue hiyo nchi uone utumbo wao hakuna chochote cha ajabu watafanya yale yale tu.
@davidkiswaga44536 ай бұрын
Kama ulikuwepo vile yaani nyani ciku zote halioni kundule
@gilliadndossi33026 ай бұрын
Askari wakiwafuta mkakati sio kukumbia wote kwani chini kwani askari awezi kumpiga aliye kaa chini.Martin Lither King waliweza kutembea hadi WashntonMkikimbia ni hatari kupigwa
@venustomkandawile56096 ай бұрын
Una uhakika? Acha tuishi tulivyozoea amani idumu TANZANIA oyeee!amani daima
@user-cr6tm5jz8x6 ай бұрын
A
@user-do5by8jl6g6 ай бұрын
Heshima kwako kamanda mbowe
@deogratiuswambura75976 ай бұрын
Mpeni nafasi y urais dkt silaa hapo inchi inakwenda mapema na chadema
@emmanuellupele81296 ай бұрын
Hatafutwi Rais bali wanazungumzia mswaada wa Sheria za uchaguzi. Hivyo elewa.
@user-ry1pe3tu5s6 ай бұрын
KWA KAULI YA MH MBOWE SASA NINAONA MWANGA WA MABADILIKO YA NCHI YETU, ,,KWA MAANDAMANO NI UKOMBOZI NA DEMOKRASIA YA KWELI ,,HONGERA MH MBOWE TUKO PAMOJA WATANZANIA WENZEKO WAPENDA MABADILIKO
@user-ij2lp1om6i6 ай бұрын
Mbowe ni mwamba
@AshrafuJonny-sz4gs6 ай бұрын
Sawa mkuuu
@jindamjukuu84406 ай бұрын
Awadhrajabu vurugu ataileta ccm maana yeye ashatangaza kuja na polic na wanajeshi na ff u Sasa hap mtata ni ccm na SKU zote mbabe ukimuendekeza mwisho wa SKU atakupangia ule Ila usinywe Sasa hii ni kututoa sisi ktk utanzani kujipa yeye ndo mwenye haki na Tanzania bora iwe vyovyot itakavyo kua acha uoga bro
@kavulatikivurunzi6 ай бұрын
Kiswahili
@JumaMbaga-is9xc6 ай бұрын
Hii imekaa sawa naunga mkono
@user-tf6sd1ev2n6 ай бұрын
Jamani wanachama na wananchi muwe makini na hizi kauli na matokeo yake juzi kapokea milioni 150 wao wanakutana na raisi sisi wanatushawishi tukakutane na fidifosi
@user-ri2xq6fu6w6 ай бұрын
Acha uongo
@titusrobert58906 ай бұрын
Wananchi wamechoka na ugumu wa maisha
@kavulatikivurunzi6 ай бұрын
Nitumieni kwa eartll mone
@richardhezron25886 ай бұрын
Umeme tunateseka ile mbaya yaumeme tuwatazamie
@AlexAlex-kf1eg6 ай бұрын
Ccm oyeeeeee mwamba kashaaanza kutusaidia kampeni tunakushukuru mbowe huna baya andamana tu hata ukitaka zunguka dunia nzima 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@SaidAlly-uh4qw6 ай бұрын
Chama hakina hata sare aileweki sare yao ni ipi😂😂😂
@davidkiswaga44536 ай бұрын
Hapo sasa mm mwenye nikajua kikundi cha masera kwenye vikoba
@jindamjukuu84406 ай бұрын
Ccm miyayusho
@user-eh8cy4yk3d6 ай бұрын
Cdm tumaini letu
@user-uf8tz2vs5x6 ай бұрын
Or pppo
@greysondavid64456 ай бұрын
Paka wangu shujaa na jasiri ametokomea kusikojulikana; Sasa ,panya buku,panya wana haribu nafaka katika nyumba yangu.
@davidkiswaga44536 ай бұрын
ww na ww Acha ukorofi bwana kama nimekuelewa hiv maana yako.
@johanesjoshua46616 ай бұрын
III III III III III III Ii
@user-ik5ls9ts3c5 ай бұрын
Pipoooooooooozi
@deogratiuswambura75976 ай бұрын
Tatizi ra mbowe ni kunghanghana na umwenye kiti ni kuuza chaguzi hatua ya mwisho achia uwenyekiti
@songombingo1086 ай бұрын
Wewe ni matako kweli
@mpendamema36946 ай бұрын
Kuku wewe
@mpendamema36946 ай бұрын
Kunguru
@user-zd7ub4me2t6 ай бұрын
Hali ni ngumu sana ya kimaisha ,,,,vitu vimepanda , umeme mugao kila siku ,,,, wafanyakazi wa serikali wanaibiwa fedha zao kwa kitu kinachoitwa KIKOKOTO ,,,,,, Hali ni mbaya ,,,,afadhari ya mzee wa CHATO,,,, alitusaidia tukafika kwa kufuta machozi