Mbunge Mrisho Gambo Akasirika Vibaya Mbele ya RC Makonda, DC "Asinichokonoe Sitaki Kugombana Na..

  Рет қаралды 74,712

Tiki Tv

Tiki Tv

Күн бұрын

Mbunge Mrisho Gambo Akasirika Vibaya Mbele ya RC Makonda, DC "Asinichokonoe Sitaki Kugombana Na..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#MBUNGEGAMBO #MRISHOGAMBO #gambovsmakonda
#rcmakondaarumeru
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu

Пікірлер: 71
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 2 ай бұрын
Sisi wengine hatuko Arusha , lakini tuna fuatilia habari za Arusha kwajili ya makonda tuuu nahao walio dhulumiwa hakizao , wala sio kwaajili ya Gambo, wala Huyo Dc kwanza wengine tuna muona kwajili ya makonda, hawa wote wanatembelea nyota ya Rc Makonda , kama umeona wanatembelea nyota ya Rc Makonda, weka like za kutosha,
@TwalibHusseinteni-qz8tb
@TwalibHusseinteni-qz8tb 2 ай бұрын
Wakuu WA mikoa 😮wote fanyen hivyo
@user-yk5gm5qj4u
@user-yk5gm5qj4u 2 ай бұрын
Daa natamani mama angenipa ukuu wa mkoa ningefanya kazi kwa weledi kama wewe mh. Makonda ila sio mwanasiasa daa
@salumsimai642
@salumsimai642 2 ай бұрын
Hawatembelei nyota wanasaport
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 2 ай бұрын
T M U... Team Makonda Ukombozi... Mungu azidi kuwatangulia....kuwalinda na kuwaongoza... Makonda ni mtumishi wa Mungu aliye hai, asante mama Samia kwa hii zawadi...Ma ko mda❤
@EgallSamsam
@EgallSamsam 2 ай бұрын
Makonda anaulizi wa Mungu na Mungu akuongoze.
@user-yk5gm5qj4u
@user-yk5gm5qj4u 2 ай бұрын
Your my best natamani niwe mkuu wa mkoa nifanye kazi kama wewe makonda
@user-ob2ik5gy1b
@user-ob2ik5gy1b 2 ай бұрын
Gambo jifunze kazi kwa Rc makonda
@mpambanajitz7026
@mpambanajitz7026 2 ай бұрын
Nikipata ukuu wa wilaya tu.... Nitafuata nyayo zako Makonda. Makonda MUNGU AKUTANGULIE MKUU WANGU nimekuelewa SANA 🙏🙏🙏🙏
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 2 ай бұрын
Kazi hii Kama itafanywa na Wakuu wote wa Mikoa nchini basi nchi hii ingefika mbali sana!lkn inaonesha wazi kwamba viongozi wengi hawaungi mkono kazi hii adhimu na muhimu kwa wananchi.Hivyo ni vyema Mh Rais akafanya uteuzi moya kwa Wakuu wa Mikoa
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 2 ай бұрын
Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu kwa ueledi wako na usikivu maendeleo ya Arusha na Nchi nzima yanaonekana Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani mke wangu jamani mpenzi wangu.
@user-cp8ml7ig6j
@user-cp8ml7ig6j 19 күн бұрын
Ww ni kuma
@user-ix9fv5xq1h
@user-ix9fv5xq1h 2 ай бұрын
Dr Samia,shikamoo mama yangu,nakuomba huyu makonda umtengue Mara kwa Mara na umteue Mara kwa Mara,namaanisha Kila mkoa ahudumu hata kwa miezi miwili miwili na sisi Mara huku tumfaidi ili mamungu watu wayapishe maendeleo na migogoro ziishe.ahsante.
@kwisa4899
@kwisa4899 2 ай бұрын
Gambo anatengeneza shida
@HashimuAbubakar-ej8gc
@HashimuAbubakar-ej8gc 2 ай бұрын
Hiyo ni nyota ya makonda na mungu wake makonda ipo siku utakuwa rais wa nchi hii
@AsiaNgoleka
@AsiaNgoleka 2 ай бұрын
Ni kweli
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 ай бұрын
Kusema ukweli hata mimi nilikuwa simuelewi Gambo ila baada ya kuona haya yote yanayoibuka baada ya makonda ya ubadhilifu kiukweli Gambo was and he is right Arusha kuna shida ya wizi wa pesa
@samwelshedrack631
@samwelshedrack631 2 ай бұрын
Mnafik tu mbon we umewahi kuwa mkuu wa mkoa lkn hukufanya kitu?ebu muache makonda apge kazi tunatamn makonda akae arusha milele
@AlimasiLukomba
@AlimasiLukomba 2 ай бұрын
Ktk comment zotw Yako ndo nzuri kuliko Zote
@sophsoph4740
@sophsoph4740 2 ай бұрын
😂yan gambo mkorofi
@MasungaJooji
@MasungaJooji 2 ай бұрын
Makonda mungu akubaliki tunamuomba samiya akulente mwanza kunaukilitimba wahaki mzawanyoge kama arusha
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 2 ай бұрын
Ss kwanini viongozi wote msifuate mfano wa Kijana mwenzetu mzalendo Mako yaani mpaka apite mako ndio mshituke 💪🏽🙏🏼TZ inamambo kweli kweli Mungu akutangulie Mh.Makonda utakuwa Rais imekuwa mitano mitano mitano tena🤣🤣🤣🤣🤣
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 ай бұрын
Asante….. Dr. Rais Samia Oyeeeeee Arusha
@kashindisimon5265
@kashindisimon5265 13 күн бұрын
Kwa hiyo. Kabla makonda hajaenda Arusha ilikuwa chini ya serikali ya TLP??😮😮😮😮😮😮😮😮
@williammassana
@williammassana 2 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki,wewe ni mtu wa Mungu
@kudramkoma8438
@kudramkoma8438 2 ай бұрын
Mheshimiwa makonda ipo siku ,mwezi,mwaka atakuwa raisi wa Tanzania hii
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 2 ай бұрын
Supana juu ya Supana 😂😂😂
@nkwabidonald4277
@nkwabidonald4277 2 ай бұрын
Congratulaton leader
@RehemaBukuku
@RehemaBukuku 2 ай бұрын
Makonda salute
@sabinahobe3478
@sabinahobe3478 2 ай бұрын
Huyu Gambo ni mkorofi jmn
@MzeeAbdallah-gx9sd
@MzeeAbdallah-gx9sd 2 ай бұрын
Allah atakulimda kwakweli
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 2 ай бұрын
Makonda atakuja kuwa l Raisi wa nchi hii Yani alipata nafasi hata kula watu wasilige apewe tu uraisi makondaaaa mungu ampe jhai yajayo yanafurahisha
@albartdastani3412
@albartdastani3412 2 ай бұрын
On fact GAMBO
@AsiaNgoleka
@AsiaNgoleka 2 ай бұрын
Hii ndio kazi tunayoitaka wananchi chama na viongozi wetu wafanye.
@JoyceManyuka-ot7sg
@JoyceManyuka-ot7sg 2 ай бұрын
Makonda ishiiiii
@sabinahobe3478
@sabinahobe3478 2 ай бұрын
Jmn mbona ana majungu huyu Gambo?
@MarthaGambaloya
@MarthaGambaloya 2 ай бұрын
Gambo aache kujikomba
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 2 ай бұрын
Ni vyema Makonda akabaki kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha ila Mbunge hapana.
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 2 ай бұрын
KWANI AGIZO LA MACHINGA KUFURUSHWA LILIKUWA NI AGIZO LA RAIS
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 ай бұрын
Kama mrijuwa machinga wanateseka nahio migogoro mrifanya nini muda wote
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 2 ай бұрын
Kiki za uchaguzi ngoja uchaguzi upite mtaona kitakachoendelea
@lordymawoiya5818
@lordymawoiya5818 23 күн бұрын
Kwani Makonda ni Akimu alosomea sheria?
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 ай бұрын
Arusha wamepata Rais
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 2 ай бұрын
Huyu Gambo hovyo kabisa boya tu
@user-nr8gx1vs6t
@user-nr8gx1vs6t 2 ай бұрын
Hatar sana
@princesschii4090
@princesschii4090 2 ай бұрын
Mpenda majunguuuu
@laizermaasai6759
@laizermaasai6759 2 ай бұрын
Kagambo ni kanafikk sanaa na kichonganishi. Na hakuna chochote alichowah kufanya
@user-tu9ps9kr2o
@user-tu9ps9kr2o 2 ай бұрын
Mhe mbunge nimekuelewa kwa lugha ya kufikisha ujumbe wako kwa jamii
@mgalulamatongo4079
@mgalulamatongo4079 2 ай бұрын
Manene unafaa kuwa rais wetu uchaguzi ujao
@namsamson3443
@namsamson3443 2 ай бұрын
Make sure kiwango cha barabara kinakuwa kama zile barabara za Maguful ziwe imara maana nyingi zinakuwa sio imara
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 2 ай бұрын
Huyu makonda awe mtu anayetaka ugonvi na watanzania hatukubali ambao si raia wa nchi ndiyo wanaotamani makonda wapishane hao hatuwataki waende kwenye nchi yao
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 2 ай бұрын
Piga spana makonda mimi nina paiprench na tailiva sijui nikuletee hapo mkuu uwapige kweli kweli
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 ай бұрын
Mrisho Gambo unaona namna kazi zinavyofanywa na RC Makonda?? Je wewe uliwahi kuwasadia Wananchi kwa lipi zaidi ya kulinda cheo??
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 ай бұрын
Kwani huyu ndo arikuwa mkuu wa mkoa kabura ya makonda
@user-mb2ln1et5w
@user-mb2ln1et5w 2 ай бұрын
​@@khadjamhozyamkuu Kuna R na L daah Sasa arikua kabra ndonini
@OdenBidili-lj5qi
@OdenBidili-lj5qi 2 ай бұрын
We gambo ulikua mkuu wa mkoa hapo mbona hukufanya chochote acha kupiga siasa hapo mwezi wa 10 kuna uchaguzi ndio maana unadanganya watu
@user-qv8qo3ff3q
@user-qv8qo3ff3q 2 ай бұрын
nilichogundua baadhi ya viongozi wa ccm wanafki sana 😢 huyu jamaa anasifia tu na yeye alishawahi kuwa mkuu wa mkoa mbona hujafanya kama anavyofanya makonda? makonda hana ata miezi mitano lakin anavyowajibika ni kwa moto kila mahali arusha, yaani inavutia sana huyu makonda ni raisi wangu miaka kadhaa mbeleni
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 2 ай бұрын
Huyu makonda anastahili kupewa nchi tu.
@odhiambojames8578
@odhiambojames8578 2 ай бұрын
We Mambo ulifanya nini
@khatibumtaki7425
@khatibumtaki7425 2 ай бұрын
new magufuli wewe ni jpm mpya wa badae
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 2 ай бұрын
Wambie mitalo yote ifunikwe isikae wazi
@sarahjames2287
@sarahjames2287 2 ай бұрын
Huyu Gambo??? ni
@abaskhatoon9425
@abaskhatoon9425 2 ай бұрын
Taka huku ni shida gari hazipiti
@user-vs3kd5wr7z
@user-vs3kd5wr7z 2 ай бұрын
Tuko pamoja na makonda wewe ulizaliwa kuwa kiongozi na Wala siyo uongozi wa kujifunza
@ElishaOisso
@ElishaOisso 2 ай бұрын
Watu
@priscairene4605
@priscairene4605 2 ай бұрын
Makonda jembe
@baruaninombo291
@baruaninombo291 2 ай бұрын
Gambo wewe ni hamna kitu, kajeuri na kakorofi sana, wewe ndo uliyesababisha leo hii arusha tusiwe na stand kubwa. Enzi ukiwa mkuu wa mkoa ulikuwa na bifu kubwa na mkurugenzi wako mkawa mnagombana kila mtu akitaka stand ijengwe eneo analotaka yeye. Hadi pesa zikarudi hazina na magufuli ndo akaja kuwasuluhisha na akawasema sana kwa kuwacheleweshea maendeleo wana arusha.
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 2 ай бұрын
huyo dc ana mapito makubwa...huyo gambo nidhamu mbovu ccm wanatakiwa wamuajibishe kwenye kamati ya nidhamu
@baruaninombo291
@baruaninombo291 2 ай бұрын
Sasa leo hii gambo unaugomvi na dc. Hii inaonesha wewe ni mkorofi. Unapenda migogoro
@lordymawoiya5818
@lordymawoiya5818 23 күн бұрын
Kwani Makonda ni Akimu alosomea sheria?
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 12 МЛН
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 15 МЛН
Они научили её летать! 🤯
0:20
MovieLuvsky
Рет қаралды 1,7 МЛН
PUNISHMENT FOR BREAKING A CARDBOARD BAG!#asmr
0:36
HAYATAKU はやたく
Рет қаралды 13 МЛН
КТО УКРАЛ АРБУЗ? #тесты #вызовы
0:30
Stark Enigmatik
Рет қаралды 1,2 МЛН
Mangos (Slowed)-LDRR! #2
0:13
XD 925
Рет қаралды 65 МЛН
Кто быстрее съест мороженное?
0:31
Goortiy_family
Рет қаралды 1,7 МЛН
Schoolboy Runaway в реальной жизни🤣@onLI_gAmeS
0:31
МишАня
Рет қаралды 2,3 МЛН