Safi sanaaaaa Mh Mbunge kutoka chama kubwa CHADEMA. Chama chenye watu wenye akili inayowaza sawasawa.
@johnfani9380Ай бұрын
Hongera aida
@vincentmpupua5839Ай бұрын
Aida mitano tena
@matesosamwel6685Ай бұрын
Very bright!!!
@user-ig5yn4zp2uАй бұрын
Mwenyezi mungu yupo nasi
@NoelkitoiАй бұрын
Samia ni mwizi wa ccm utaenda zanzibar kwa ujumla ccm wezi
@user-zg4yz7je8dАй бұрын
Ametumia hekima sana uyu mbunge, amesema tu samia oyeee na ajasema raisi oyeee. Amelazimishwa kusema ccm oye hakuingia kwenye mtego. Nimempongeza kuhusu swala la utekaji amefikisha ujumbe
@PeterchipembaАй бұрын
Uraisi ni nafasi isio kuwa na chama aida kaongea vizuri,,izo ndio siasa,,,ccm wamuone alie tokana na ccm na chadema wamuone alie tokana na chadema,,
@damasngottea1730Ай бұрын
Hapo kuanza kwa kumsifia tu Mama ndo umenikwaza kwingine exllent
@user-rn9og1rk3lАй бұрын
Hakika jeshi
@sofiamsuya2254Ай бұрын
Well said madam
@kennethmanangwa8189Ай бұрын
Safi sana mbunge. Ukiona raisi katikisa kichwa basi ujue amekukubali. Endelea kukipigania chama chako.
@lucaschisamalo2852Ай бұрын
Kunasehemu wanapata wabunge jamani siyo wagonga meza
@YassinselemanАй бұрын
Madam aida kenan namuamini hata nikiwa usingizini ujue
@salmamsuya104328 күн бұрын
Yuko vizuri
@erickchitumbi1308Ай бұрын
2025 aida atasimama hapo kwa ticket ya ccm😂😂anaongea kabisa kama mwana kijani
@JohnMhogo-hd3fsАй бұрын
Sf umeongea pointi zakutosha
@konderaeriasi6251Ай бұрын
Saf sana mbunge wetu 5 tena mbunge wetu
@tumainimwaifunga3884Ай бұрын
Aida anajua wanachofanya safi Aida
@LoningoMollel-y3kАй бұрын
Hallo mambo vip?
@sylvanuskavindi275618 күн бұрын
Usije kushangaa Mbowe na Lissu watamkasirikia huyo mbunge.
@denisipaulo7785Ай бұрын
Wamekata sauti safi sana Mbunge
@issaidrisamusa5962Ай бұрын
Umeongea vema , ila kwenye kupandisha bei ya chakula sio sawa, u ungeshauri pembejeo ziwe bei chini zaidi
@rogersiddyАй бұрын
Hapo ndo unapokosea sasa unamfosi mtu aseme ccm oyeee ndo Chama chake?acha aseme kile alichonacho moyoni sio kumfosi aseme unachotaka wewe
@NoelkitoiАй бұрын
Uko sawa
@MatronaThomas-wz5siАй бұрын
Haida upewe hata uenyekiti❤❤
@Frolian-j9oАй бұрын
Kiukwer mweshimiwa mbunge ameongea Kwa ujasir na upendo wa nchi Yake na mama samia kasikia vizur oja zake piga kazi mweshimiwa mbunge wananchi wako wanakutegemea
@rkcomercialenterprises3209Ай бұрын
Umerudia neno mheshimiwa rais mno
@yakobokuzenza6837Ай бұрын
Ulitaka akuite ww?
@jochachallengetv7061Ай бұрын
Aida kiboko sana
@imakitori39926 күн бұрын
Mbona kwa samia hawakat saut
@domymerinyo8165Ай бұрын
Umeonja tunda tayari kwishinee. Mungu atutetee sie hatuna mtetezi duniani
@titoamani-e8bАй бұрын
Samia offered the state house to Harmonize and Mwijaku to abuse Diamond Platnumz with Uchawi...Aibu Tanzania😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@user-oq6dx8mf9x28 күн бұрын
P1
@MazibaOnesimo-my8guАй бұрын
mubunge anayejitambua kweli;
@LusunguLupenza-lf7fkАй бұрын
Huu ndio uzalendo
@ulimbagakipole3971Ай бұрын
Huyu anajua anachokifanya asifananishwe na Msigwa. Msifikiri kutukana ndiyo upinzani.
@barakakevela245Ай бұрын
UKO VIZURI SANA MBUNGE KENANI
@aliyageorge6794Ай бұрын
Kenani for president 2030.
@JoyceKabula-in1shАй бұрын
Unga juhudi na wewe ni walewale kwedaaa
@NoelkitoiАй бұрын
Mama ni mbwa uyo
@SubiragaKabangoАй бұрын
Mhe: AIDAH Mbunge jimbo la Nkasi mama amekuheshimisha sana kubali kumwaga manyanga Rudi CCM! Kubali yaishe! Mimi Binafsi nakukubali sana na mlinitunza na kunilea na wazazi wako nikiwa naishi kwenye nyumba yenu hapo Namanyere! Ugali wa Ulezi na panyapori msosi saaaafiiii sana!
@monicamwita7865Ай бұрын
Akili fupi
@joycemfuru4752Ай бұрын
kwani akiwa chadema hafanyi kazi?
@theonalyalfred8087Ай бұрын
Tunashida miaka mitano
@deogratiaskatinda9232Ай бұрын
Mambo ya kupotezeana muda tu, hakuna jipya
@sosthenesmaembaАй бұрын
Mmmh
@BeatusNgerezaАй бұрын
Hao walisha onja tunda
@davidsuleman233Ай бұрын
Saiz ziara za nje zimepungua
@yakobokuzenza6837Ай бұрын
Watanzania mambumbumbu kama ww wataishia kugeuza maneno hivo hivo tu mpaka wanazeeka.
@IssacNtachoАй бұрын
Mama yetu hongera sana,, nakupenda Kama Rais wangu,,ila angalia sisi walimu tusio na ajira ,,tuko hoi mtaani,,mwaka huu hatuelew unalenga nini had mda huu hakuna lolote
@mbikamtanganakiАй бұрын
Watanzania mnajiteka wenyew Ili mpew hela na serekali yenu achen ujinga sana
@modestapeter2997Ай бұрын
Kwahiyo wanajiteka navkujipiga risasi?
@judicateurassa7817Ай бұрын
Wewe sawa na msigwa tu
@martinemaganga5253Ай бұрын
Watu wanajuwa kusoma alama za nyakati
@SangaadamАй бұрын
Kwa nn mnakatakata -Shame on u!!
@MwitaTvАй бұрын
Mimi natamani hata huyu mwanamke tumfukuze kwenye chama chetu cha Chadema, Mzinguaji tu
@emmanuelsulle911Ай бұрын
Unakosea sana Jamani Aida kenani yuko vizuri Mno Mbunge makini wa Chadema.
@margarethsolomon9823Ай бұрын
@@emmanuelsulle911HAKUNA KABISA kwani unamtofautisha vipi na mwana CCM?
@AndrewJulius-hg4bdАй бұрын
Aida tuko salama kweli na watu wanatekwa
@MohammedAwadh-gq9siАй бұрын
Mbona wewe hujatekwa au una hamu!
@davidsuleman233Ай бұрын
Muda wakutafta kura
@SaidHamis-yz1vtАй бұрын
Mama Samia waganga WA kienyeja tunaomba wapigwe marufuku ndio chazo Cha mauaji kwanini wapewe leseni?
@epimackjohn461Ай бұрын
CHUNGA SANA !! HUYO MBUNGE AIDAN KICHWA KIPO SANA SAWA NA MOYO UNAODUNDA USIKU NA MCHANA !!! HATA MIMI NA UZEE WANGU NAMKUBALI KAIVA , KATAKATA ,KABOREKA NA ANASISIMUA !! ATAKUELEWA ,ATAKUELEWESHA NA ANAWEZA KUKUAIBISHA UTAKAPOKAA VISIVYO !
@marysichinsambwe7708Ай бұрын
Akuna mupizan Tanzania 😂😂😂😂
@deniccgabriel6153Ай бұрын
Uyu hayupo Chadema amekaa bungeni bila mgongo wa Chama chake😅😅
Samia yupo CCM kama rais,je uyo ni mbunge kwa Chama kipi?
@PhilipoMwita-b2xАй бұрын
Kazi ya mpinzani nikuikosoa serikali kuonesha nikwann haifai kua madarakani Ukiona mpinzani anaisifia serikali huyo siompinzan huyo analake jambo
@deniccgabriel6153Ай бұрын
Jiulize yupo bungeni kwa mgongo wa Chama kipi wakati Chadema hawapo😂😂😂 na je nikweli hawapo wengine
@jumakapilima7295Ай бұрын
Hata Rish Sunak juzi Tu kamsifia mpinzani wake bungeni, siasa sio vita
@evampuya-mp9vfАй бұрын
Mbunge Aidan nakupongeza saana uko vzr mtetezi wa wanyonge
@monicamwita7865Ай бұрын
Kweli
@pueblo148Ай бұрын
Wewe ni kilaza.kuna chama na rais hata kama ukiwa chama pinzani unakutana na rais Kuna utaratibu wa kuongea na rais mbele ya hadhara.huwezi mdhalilisha. Ni kosa la kiuongozi.sasa anapomkosoa hadharani mbele yake Inamaanisha unamdharau na kumuaibisha.mambo ya vyama baadae pale alikuwa anaongea na rais wa nchi sio mwenyekiti wa Cha Cha mapinduzi Kwa sababu ziara ni ya rais sio ziara ya ccm.iwapo ingekuwa ziara ya chama wamgeitwa Wana cm tu na uniform Zao wakavaa.umemuona Samia amevaa gwanda?
@margarethsolomon9823Ай бұрын
HAKUNA UPINZANI Hii Nchi, Hakuna HAKUNA HAKUNA, ni kusifia Ujinga Ujinga tu. Aida sio huyo ninayemjua.
@yakobokuzenza6837Ай бұрын
Mapunguani tu ndiyo wenye mawazo ya kupinga hata Yale mazuri.
@sylvanuskavindi275618 күн бұрын
Ulitaka atukane matusi ufurahie maana kichwa yako ndo inaamini ndo upinzani