Dahhh mimi ngoja nitie like .sina neno la kuongezea hapo .huna baya pastor 👍👍
@mapendoimani24622 жыл бұрын
Huyu Mchangaji ni Jembe ni kweli kabisa baba.Ua way of teaching is amazing.Mungu akutie Nguvu
@faithakinyi25482 жыл бұрын
Mzee wa nondooo mwenyewe,much love and watch you from Washington DC USA
@haarunsaidabdillahi40823 жыл бұрын
Mimi ni Muislam lakini bwana Mchungaji nimekukubali sana. Mafundisho yako yanapita elimu kubwa sana.
@zanzibarst2205 Жыл бұрын
nenda kanisani kwake utamuelewa zaid
@jesuslovesyou6568 Жыл бұрын
Njoo kwa YESU Kuna raha zaid🙌🔥🔥
@rosepeter89963 жыл бұрын
and i'll always clap 👏👏👏👏👏kwa huyu pastor.abarikiwe sana;...frm KENYA ..salute.🙏✌
@user-iv7dw6cd2e2 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu. Utufundishe mengi maana nimejifunza mengi karibu baba marawi na marawi tunakusikia baba
@manirakizasandra28722 жыл бұрын
Past asante sana mungu akuzidishiye kwenye huduma,zako
@dishonsaenyi77243 жыл бұрын
Pat mungu akubariki sana, imefufua makanisa mingi, roho za watu na ndoa,,,, asante sanaaaa
@thomsonwekesa51022 жыл бұрын
Mchungaji kazi nzuri mungu aendelee kukupea nguvu kwa hyo huduma
@jeanclaudematabishi83823 жыл бұрын
Asante Sanaa mchungaji mungu aendelee kukupa kile ambacho tunakiitajii
@rosenamenge78913 жыл бұрын
Be blessed pastor Daniel continue telling the people the truth, Mungu amekuita kwa ukweli l like your preachings🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ankolichris34872 жыл бұрын
Asante mchungaji walah umeniponya sina nma ya kukushuru ila mungu azidi kukupa hio neema pia akupe uzima wa milele
@carolinemusimbi92323 жыл бұрын
Huyu pastor nampenda msema kweli when I visit Tanzania lazima I visit his church
@dinahshirima63562 жыл бұрын
Mimi muisilamu lakini namfatilia sana
@omanmwajabumbeguoman86422 жыл бұрын
Wee baba mchungaji mungu akulinde kwakweli unamafundisho mazuli kwakweli mungu azidi kukupa nguvu
@sironyotoppy92653 жыл бұрын
Truth pastor.I love your preaching coz that's the reality.🇰🇪
@kituadaniel52223 жыл бұрын
𝑫𝒂𝒏𝒊𝒆𝒍 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒂𝒄𝒉𝒂 𝒂𝒊𝒕𝒘𝒆 𝒎𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒋𝒖𝒖 𝒚𝒂𝒌𝒐
@beatricejoseph74353 жыл бұрын
Pastor you are real.
@delhidarling42853 жыл бұрын
One of my best Pastor from Tz. Much love to you 💘💘😍💘😍
@peninahkariuki46793 жыл бұрын
Amen and Amen be blessed Man of God, much Respect Prayers and Love from 🇰🇪🇰🇪🙏🙏
@queenpesh68283 жыл бұрын
I too love listening to pst mgogo here in kenya
@jenelomsambwa8113 жыл бұрын
Sasa hapo Siri ya diamond ni ipi, waandishi bwana, aibu yenu.
@micahmuturi61543 жыл бұрын
God bless you pastor...nafuatilia mafundisho toka saudi arabia
@venancendangali64962 жыл бұрын
Kwa huyu mchungaji japo anasaidia ndoa nyingi pia amekuwa burudani hongera sana paster
@marymlewa7459 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa mchungaji hatuna cha kukulipa ila mungu atakulipa
@telaamtauta22273 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭mchungsjii manenoyako yananiumizaa sana hayondio yamejaa kwenye jamii ahsante sana mchungajii mgogo
@justinamautice97303 жыл бұрын
Nakukubali sana Pastor Mgogo "Mzee wa Dozi" MUNGU azidi kukuinua katika utumishi wako.
@jwkkiko82303 жыл бұрын
Well said Pastor Daniel Mgogo, Much love from 🇰🇪🇰🇪
@petermulei93832 жыл бұрын
My all time pastor🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@irenewasike86693 жыл бұрын
Following.. may God bless you abundantly pastor mgogo .. always feel blessed
@nellynelly87962 жыл бұрын
Amen Amen Amen Pastor more Grace,i love you my spiritual dad,may God continue to give you wisdom
@paulinaululu33482 жыл бұрын
God bless you pastor,🇲🇿🇲🇿🇲🇿 from Mozambique
@geofreythomasi27102 жыл бұрын
Mozambique 🤔
@priscillahbakari51852 жыл бұрын
I think I know you Pauline Ululu
@sheilamjune12333 жыл бұрын
Asante sana pastor may God continue blesse you more ❤❤❤❤🔥🔥🔥☝️☝️☝️🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@evamanyama82682 жыл бұрын
Aminaa
@mariamkitekha92333 жыл бұрын
Mm ni mwislam lakini napenda Sana mahubiri ya huyu mchungaji
@abdallasaleh23033 жыл бұрын
Ni kwel hata mm muislam lkn huyu mchungaji ana hekima na busara sana maneno yake matamu sana mashallah.
@abdulmalickupete90153 жыл бұрын
Nendeni church tu
@juvenalyzacharia50593 жыл бұрын
Safiii
@dianaradislauc66493 жыл бұрын
Yesu anawapenda
@episonfelician76703 жыл бұрын
Pastor kweli umenena Mungu Akupe Neema ya ushindi katika maisha na Huduma YAKO ya mafundisho
@claranewaho12512 жыл бұрын
Anatumia nguv kubwa Sana kuongea ila miwatu ndo migum kuelewa
@richgambi66942 жыл бұрын
Mgogo upo vzr Sana mungu akusaidie uwe na maisha marefu sana ujumbe umefika safi sana
@paulondiek13453 жыл бұрын
May you have a long prosperous life ahead my beloved pastor
@selfaakinyi29863 жыл бұрын
You made to realize my sins and to repent, thank you Pastor mgogo, babaa wa nondo. Continue healing our family. Be blessed.
@happynescostat74202 жыл бұрын
Amina Amina,amani ya mtu iko kwenye familia🙏🙏
@rachellwetimo7002 жыл бұрын
Fundisha mchungaji unabariki sana🙏🙏
@user-hz5mo9tz9o7 ай бұрын
Mchungaji ongela sana unatuponya
@sisterolivia98743 жыл бұрын
Ukweli mtumishi.. Nakufuata from Doha qatar.. Mimi mkenya
@davidimkayula23173 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji
@carinemapendo20223 жыл бұрын
Much love from D.R.C 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@wilisonjuma83753 жыл бұрын
Namkubali sanaa mgogo huyu Tz tulikua nao wawili tu wakutuaMbia ukweli ni daniel mgogo na sheh nyundo mmoja zanzibar mmoja tanzania
@williamkeitha12623 жыл бұрын
Kweli but nyundo Ndio katangulia mbele za khaki ALLAH amrehemu
@felisterndulu51922 жыл бұрын
Be blessed I love your preaching
@nalyanyarogers37502 жыл бұрын
Thank you man of God Long live to help nations
@emmanuelyohana87873 жыл бұрын
Hongera sana mch daniel mgogo Mungu akubariki sana
@veronicakasau76023 жыл бұрын
Well said pastor support you 💯
@paulayionda29992 жыл бұрын
My all time pastor,I love ur teaching
@angelsylvester47953 жыл бұрын
Baba mie ninakukubari sana Mungu azidi kukutumia kwa kiwango kikubwa zaidi🙏🙏🙏
@user-ly9pq3xx6u Жыл бұрын
May God bless you pastor keep moving forward
@kennyrogers47343 жыл бұрын
Daniel mgogo saluuuuut nakufuatilia sana mchungaji
@hamisinyondo1612 жыл бұрын
Long live pastor
@celiakombo51732 жыл бұрын
I love your preaching teaches alot abt life,may God Bless you more and more.Thank you Pastor
@hamstonamani14142 жыл бұрын
True dear
@esthermramba93953 жыл бұрын
Hongera sana pastor unanibariki sana
@edethkekekeke9103 жыл бұрын
Facts pastor..like it from kenya
@martmstaarabukyeshe3760 Жыл бұрын
Nimekuelewa sana mchungaji mungu akubariki Sana🙏
@paulmwakilembe45733 жыл бұрын
Nakubali mchungaji Sana kariakooo natamani nije nisali hapo sijui misa ya kwanza inaanza sangapi
@jacobwaliuba88403 жыл бұрын
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ramak.95873 жыл бұрын
Mm binafsi ni muislam lakini Daniel mgogo namfatilia mwanzo mwisho. Uyu mzee ni moto wa kuotea mbali. Hua namfananisha na #Dida wa masham sham kwa kuipa jamii mabomu ya wazi wazi. Mungu awajaalie
@boniphacesaimon83582 жыл бұрын
Hongera mtumishi kwa kazi ya bwana
@gabriellanchimbi31542 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji.
@abdallasaleh23033 жыл бұрын
Huyu mchungaji kiukweli haya mazungumzo yake nime yaelewa maneno mazuri ya kweli mashallah Allah amuongoze na amtie ktk dini ya uislam heshima kwako mchungaji.
@danfordmilagiro18363 жыл бұрын
Mungu anaangalia moyo siyo dini kokote tu kikubwa umche Mungu wako kwa roho na kweli
@norahmakrean5253 жыл бұрын
Dini ni dini
@susanejd77753 жыл бұрын
@@danfordmilagiro1836 ni kweli maneno yako. Mm ni muislam lkn napenda sana kusikiliza mahubiri ya huyu pastor. Kuliko wengine kwa kweli. Allah amlinde na amzidishie elimu
@uwimanamadohkhan10983 жыл бұрын
Insha Allah
@dianaradislauc66493 жыл бұрын
Yani nyie waisilam huwa mnataka vitu vizuri viwe vyenu wakirisitu Wana mungu Alie hai na hawatangazi dini wanamtangaza mungu Alie hai Wala hawapiganii dini
@Queen5803 жыл бұрын
I love this Pastor God bless him
@omahe13 жыл бұрын
God with you pastor amen 🙏
@geoginawabululu323 жыл бұрын
Barikiwa sana pastor kwa ukweli 🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@johndeus5773 жыл бұрын
Safi sana Paster Mgogo
@user-gs5rp1xg2vАй бұрын
Baba apo kwenye kuushi na kiumbe bila polisi wala magereza hapo ndipo tunahitaji mungu atupe kibali ubarikiwe myumishi
@twinklecaroy96242 жыл бұрын
Mungu akutangulie pastor wangu
@sallygrace14953 жыл бұрын
Very well said man of God. God bless 🙋♀️👏👏
@keflennzella93132 жыл бұрын
Barkiwa sana mchungaji
@aminajuma12153 жыл бұрын
Well said pastor, more congratulations from Miss upcoming HR.
@myahudi69513 жыл бұрын
😂😂😂😂 huyu pastor nimemkubali sana point konki
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Et konki🤣🤣🤣🤣🤣
@davidelias67302 жыл бұрын
Hiki kichwa ni computer aisee🤣🤣🤣 Mungu akulinde mtumishi nakukubali sana mafundisho yako kwangu ni elim tosha
@sadamkuntukumu3672 Жыл бұрын
Namuelewa sana mchungaji mgogo
@suzanne95172 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu
@vugutsadickson4873 жыл бұрын
Favourite pastor ever👍
@pendojeremia31502 жыл бұрын
Amen mungu akubariki snaaa
@mlasinyongolo32563 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mchungaji
@joslinchuwa12983 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Baba Nakupenda sanaaa
@anicetmpawenayo30463 жыл бұрын
Jamani mchungaji Mgogo nampenda sana
@nickomlimbila2173 жыл бұрын
Nakukubali sana mzee baba
@martinbruno90713 жыл бұрын
Nakupenda sana Mgogo.
@winnyrocha13613 жыл бұрын
God bless you pastor
@pazimazongera4934 Жыл бұрын
Mchungaji yupo vizuri sana
@salmamrembo43603 жыл бұрын
Hahahaaaa mchungaji umenifurahisha sana
@annajustine3414 Жыл бұрын
Nakukubali sana baba yangu Mzee wa kuchana
@praxidesetyang7737 Жыл бұрын
I always admire to be your student
@mgallaalinisai68142 жыл бұрын
Barikiwe mtumishi
@joharimloge86642 жыл бұрын
Ubarikiww sana mgogo
@jasminmike43493 жыл бұрын
Nakupeda kusema ukweli,Mbinguni hatutafika kama huku duniani hatupedani🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wanadamu hawapedi ukweli🙏🙏🙏
@farhannahomary5505 Жыл бұрын
Nakukubali mnomno
@jeanmariemushagalusa13382 жыл бұрын
Nakupenda sana nikiwa jamuhuri YA kidemocrasia YA Congo goma.
@jacklineachieng11312 жыл бұрын
Mimi natafta mume ako wapi 🥺🥺🥺🙄🙄 please kuja niko hapa please!🙏🙏🙏
@ashasanga75522 жыл бұрын
Baptist ina mwalimu bora sana ;
@jeanmariemushagalusa13382 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa kumujua mtumish Daniel Mgogo, Mungu akubariki
@paschalpaschal92423 жыл бұрын
Ubarikewe mtumishi
@fhyubhhh28813 жыл бұрын
Umenena pastor Mungu akupe afya...
@selafinlisiely60093 жыл бұрын
Dunia imefungwa katika mafumbo mengi,, Maneno ya Mzee ni mafumbo ,,,,na tabia ya watu ni kusifia mambo mazuri ila wamefichwa kujua yalio mema mbele za Mungu ....Behold Yeremia 4:22 Mungu atusaidie
@rahmaramadhan97733 жыл бұрын
Yaaani nikweli kabisa unayo ongeaa mashallah 👏👏👏👏👏
@musajdalugo25552 жыл бұрын
Mwinue mungu hujaponya ndoa za watu bali uvuvio wa Mungu kupitia roho wake otherwise unamsukumo binafsi
@barakajackson9585 Жыл бұрын
Amina baba mchungaji
@jumakalukule53123 жыл бұрын
Uposahihi mchungaji ubarikiwe
@wkjshsxbbsbs63922 жыл бұрын
Loving you so much according to your preaches🇰🇪🇰🇪🇰🇪