Pastor h nakukubali sana unahekima ya ajabu Mungu akutunze
@Rashid-vm1fk7 күн бұрын
Umesema kweli Rev: Hananja
@privaushaki73958 күн бұрын
Huyu ni mchungaji na mwalimu mwenye busara sana
@francisjoseph10744 күн бұрын
Huyu anafaa akae meza moja na bishop ngonyani jamaa anajua ingia you tube tafuta kipindi kinaitwa izrael Katika unabii jamaa anachambua bible hatari
@amosmwangela18789 күн бұрын
kijiji bila wazee ni uhuni,mzee kanyoosha vizuri sana
@NkindaOnen10 күн бұрын
Hananja professional Bible study
@WilsonEmmanuel-bs6op9 күн бұрын
Amina baba mm nimejifuza kwa kutoa Vifungu katka bibilia
@stanleyamlima20854 күн бұрын
Yaaaah!!! Teacher
@abdallahmmary85919 күн бұрын
Hizi ibada yakuwa kiboko yawachawi nk nibiashara tu wala sio ibada ambayo tumeelekzwa kufanya kuwa ndio kuabudu. Huku ni kufeli kwasababu tumeletwa duniani kumuabudu Muumba now kinachofanyika ni uzushii tu napia leo watu wamekumbwa na stress kutokana na maisha kuwa magumu now ndio naona h nibiashara na watadanganywa wengi
@Fred-Ma10 күн бұрын
Nafurahi sana kukutana na mtu mwenye akili anayeniimarisha😅
@victorombay66255 күн бұрын
Very good Pastor. Ubarikiwe Pastor
@henryj33048 күн бұрын
Safi sana Pastor Hananja. May God bless you and your family ❤❤❤
@MadundasiDispensary2 күн бұрын
Duh Pastor Hananja we kiboko ......
@neemakalugila76746 күн бұрын
May the Living God bless you abundantly Pastor, from Holland 🇳🇱
@user-ce7dl4qc2t26 минут бұрын
Dad Mungu akujaalie unapendeza ukivaa hivyo Mungu akupe Khery nyingi 💕💕💕🤲🏼
@aliabdallah84568 күн бұрын
Kwa kweli makanisa mengi niyakichawi ndiyo sababu nikibo ko ya wachawi mara wamenasa wachawi mara apa kanisani pana mchawi atoke mara mtu katoka anatoa ushuuda mimi ni mchawi huo ni usanii siyo dini hiyo
@ShukraniChomolla9 күн бұрын
Mungu akutunze mchungaji, nimecheka eti hata congo wangepelekwa wachawi
@gastonmbarila94589 күн бұрын
I love this man, sabubu ua anatoa pia maandiko
@zamalisaide32099 күн бұрын
MashaaAllah MashaaAllah mchungaji hananja mwenyezi mungu akutangulie kwenye maisha yako inshallah
@mbalilax1629 күн бұрын
huyu mchungaji ni noma, anaongea kidogo anakazia na andiko kwa kila atakachokisema. Biblia imelala kichwan duuh
@modernmwamtobe-lq8rg9 күн бұрын
Asante sana paster.kwa hekima ya majibu yako kibiblia kwa busara.
@user-gn7xd1yg3t10 күн бұрын
Hakika Pastor unaweza kutuweka sawa asie elewa hatoelewa kamwe
@costantinemgalle191010 күн бұрын
Nakukubali mchungaji!
@RubenMtuwaMungu-bz8ee9 күн бұрын
Nafurahi kusikia wachungaji mkijibu upumbavu unaoenezwa kwa kasi
@ezralameck41504 күн бұрын
Muuliza maswal hajauliza maeneo mahususi ya upotoshaji ya huyu kiboko ya wachaw😢
@eliasilwimba1878 күн бұрын
Serikari ifute usajiri wa kanisa la Dominic kiboko ya wachawi haraka sana.Hata kama analipa kodi.
@sandejacob623Күн бұрын
Amina mtumishi
@hildalyatuu271010 күн бұрын
Yaani hapa ndo mwisho wa matatizo.
@roseriwa6951Күн бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....
@EzekiaMtwale8 күн бұрын
dah! mch Hananja biblia Yuko vzr co wale wanaotuchezea sinema eti miujiza!
@user-es4jv6pb8xКүн бұрын
AMEIN Baba Ubarikiweee
@user-qg7el6gc5j3 күн бұрын
baada ya Nyerere ni wewe..... 🥰🥰🥰
@Mlokoz_twangalatwz8 күн бұрын
Safi kabisa mchungaji
@user-jc1do5gf3w9 күн бұрын
Kweli kabisa sasa hivi mahubiri ni uchawi tu,wanaboa sana.Serikali iangalie hili kwa makini.Tunakoelekea ni kubaya sana
@nantaembanusurupia56748 күн бұрын
Na kweli kiboko ya wachawi anahubiri injili chonganishi
@ChristineKassanga-xm9xe2 күн бұрын
Watumishi wa Mungu acheni wivu kiboko anafanya mengi kwajamii hamjui tu
@samuelbahati79767 күн бұрын
Ubarikiwe sana Mungu akubariki sana
@rweumbizalugaimukamu490510 күн бұрын
Wewe ni Mchungaji wa kweli
@user-kq9lb7bd8l3 күн бұрын
Mmmm ivi mbona mnapenda kumjadili KIBOKO yawachawi fanyeni yenu nakama yakwenu yanawashinda si mnyamaze awu kwavile kawashinda nguvu
@CalistaMartin-v7m9 күн бұрын
Shida kubwa watu wanapenda mazingaumbwe kuliko kupenda kwelii
@tinertv13828 күн бұрын
Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake
@mbukumagiubukumagu406Күн бұрын
Huyu mchungaji. Sijawahi kumsikia kuna kitu uchawi wala free masaoni na wala wachawi
@paulojohn55048 күн бұрын
Ubarikiwe mtu ws mungu sana
@christianmwasakogo55799 күн бұрын
😅😂mzee mengine mengi yupo sawa na ukakasi kidogo humo kuhusu vita,vita ipo rohoni tuanzie Waefeso 6:11-12
@VascoJohn-rp1uc6 күн бұрын
Facts pastor
@MjuniJeremiaStephanoZaka-nu8dj10 сағат бұрын
Hiyo ni kweli kabisa
@milliardere91778 күн бұрын
Nakubali maandishi
@eliasilwimba1878 күн бұрын
Tz raia wengi ni vilaza jamani.
@RichVoicetz-z9r5 күн бұрын
Ila kweri serikali Ione hili jamanii utaperi umezidi watu wanadanganywa kweupeeeeee na wanachekelea tu
@BENARDMASHAIJA5 күн бұрын
Hakika Mungu akutunze❤ unaongea ukweli
@tinertv13828 күн бұрын
Kwanini hafungiwr kanisa mabar? na sehemu za starehe hazijafungwa mwacheni mradi anahubiri Yesu kuna tatizo gani!
@Jophley10 күн бұрын
Sitaogopa hofu ya usiku
@eliasilwimba1878 күн бұрын
Nimecheeka saa.
@user-mw5xs2wx8n4 күн бұрын
Yule mshenzi wa kule buza na waumini wake wote wana tatizo la afya ya akili mwenye utimamu hawezi kwenda kule kupiga kelele
@andrewkaswagula33678 күн бұрын
Kama Manyumbu 😂😂😂😂
@deogratiasrutabana23874 күн бұрын
Binafsi sikubaliani na hoja ya Mtumishi kwasababu Biblia imeandika kama misingi ikiaribika mwenye haki atafanya nini? Hapa tunachotakiwa kutafakali ni kwanini haya yanatokea? Maana sehemu zote za kumuabudu Mungu hazipo sawa hata moja zote zimeiacha sheria ya Bwana. Mfano imeandikwa askofu ni Mume wa Mke Mmoja mbona kuna watu hawaruusiwi kuoa katika kanisa lao na wanajiita maaskofu na wengine ni wanawake wanaitwa askofu. Mleta mada anataka serikali iingilie kati wakati katiba ya nchi inasema serikali haina dini na hapo ndio kiini cha matatizo yote maana neno dini maana yake njia na njia kwa wakristo ni Yesu Kristo . Nawasii saana watanzania wenzangu tusiwe na shaka wala ofu katika haya maana ajaye atatumika kuyamaliza yote hayo na kutimiza andiko lisemalo Imani moja Bwana mmoja na ubatizo mmoja na na imani moja. Kwake Yesu lazima kila goti litapigwa. Wajibu wetu sisi tuendelee kumsii Mungu Mapenzi yake yatimie.
Mchungaji hananja napenda tu mazungumzo na mafundisho yako unanipa ujasiri sana wa kuishi kwa Amani . Amen Amen ubarikiwe sana naomba sana mafundisho yako .
@milliardere91778 күн бұрын
😂😂😂😂 hela weka kichwani
@karimmveyange2809 күн бұрын
HAWA WAJIITAO WACHUNGAJI AMBAO KAZI ZAO KIROHO NI -VE WANABAKIA KUWANANGA WACHUNGAJI WENGINE,SIJUI NIKWANINI? WASHIKILIE KILE WANACHO KIAMINI,WAACHANE NA ANAYE JIITA KIBOKO YA WACHAWI. VINGINEVYO TUTAJUA KUWA WACHAWI WAMEPATA WATETEZI
@user-vb7tu5zs9d8 күн бұрын
Wapotosha watu acha waambiwe ukweli
@Dr.manyaunyau3 күн бұрын
😂
@RamondLema-po6py9 күн бұрын
TUKATAE MAFUNDISHO YA HOVYO HOVYO
@ROBERTMAXIMILIAN9 күн бұрын
Piga spana Mchungaji Hananja, waamini wamekuwa wajinga sana
@CalistaMartin-v7m9 күн бұрын
😢😢
@salumuledisalum8038Күн бұрын
wewe ndio muhokozi wa watanzania wapumbavu,endelea kuwapiga nyundo za kichwa mpaka waelewe.
@LazaroHaule-tr5cl8 күн бұрын
Kula chuma hicho
@HABIBHASSAN-wf5mr9 күн бұрын
TATIZO HII BIBLIA HAKUNA MTU YEYOTE ANAYEJUA BIBLIA ILITOKA NCHI GANI AU BASI MJI ILIKOTOKA...ANAYEJUA NAMKARIBISHA..ALETE USHAHIDI TU BASI
@kanyeshahigirimana56869 күн бұрын
Mh wewe maswala ya imani achana nayo maana ni makubwa kuliko unavyofiria wewe baki na imani uliyonayo tu bhas mengine ya watu waachie wenyewe
@martinmkoba3618 күн бұрын
Yaani umeuliza pumba kabisaaa Quran imetoka wapi??
@jamesmwandu92958 күн бұрын
Omba MUNGU akupe ufunuo uondokane na Giza kiri kwa Imani YESU ni mwokozi wa maisha yako,Roho mtakatifu atakufungua na utafahamu vyote
@einothlekaaya9 күн бұрын
Hivi kweli muungano wa makanisa ya kipentecoste wameshindwa kutoa msimamo wao juu ya hili? Sawa kama ndivyo serikali iko wapi??? Watu waache vita kwao waje waanzishe vita ya kisakologia kwetu,kweli nimetambua hatuna anayetusemea
@HelbethMlelwa9 күн бұрын
Siku hizi umoja wa CPCT ni umoja wa kuchumia pesa
@user-pj3cb5ht4b9 күн бұрын
😂😂😂 wewe unaongeya san
@michaelsiafu23693 күн бұрын
Akili kubwasana.. Salote
@healingsschool46309 күн бұрын
LUKA 7:22 Nimeona, nimeshuhudia, watu waliofufuka, mwamala umesoma, viwete, vipofu, wagonjwa waliponywa kwa Kiboko ya Wachawi kwa Hananja ni comedy tu.
@jamesmwandu92958 күн бұрын
Unaweza kutueleza hao waliofufuka saizi wanaishi wapi,na je wakati wa vifo vyao ulishuhudia makabuli yao na ushahidi wa majirani zao wanaowafaham??
@dicksonmsuva48807 күн бұрын
Zero brain
@MaseMasilenge-u8p3 күн бұрын
Serikali inanufaika nao hao wajinga
@josephatdeos17929 күн бұрын
Kila anchoongea anakitetea kwa maandiko hawa ndio wachungaji tunao wahutaji
@tinertv13828 күн бұрын
Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake