MCH NDACHA NA MWALIMU MASSAWE WAMEUNGANA KATIKA KUHAKIKISHA WANALIFIKISHA KANISA LA MUNGU MBELE NA KUAMUA KUSEMA UKWELI JUU YA UKRISTO
Пікірлер: 99
@HappyAlbatross-yx2dc11 күн бұрын
Mmbarikiwe walimu kwa kazi nzuri muitendayo na mwenyezi mungu akipenda awajaze roho wake mtakatifu.
@user-mu4qw2jx2f11 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi,ukweli utabaki kuwa ukweli
@franciscomtambakuluca283011 күн бұрын
Ni kweli
@PeterKamau-ty9nl12 күн бұрын
Mko naukweli
@haymanobonyo882912 күн бұрын
napenda Ndacha Anamtangaza Mungu wakweli na njia ya Uzima wa milele
@berry472612 күн бұрын
Njia ndio nini?? Hata ya kwenda nyumbani kwangu bado ni njia.
@opujejoshmahjoshmah143211 күн бұрын
Ameen
@susankathure238211 күн бұрын
❤❤❤congratulations son of the soil. Truth will set you free 🎉more grace brothers 🙏
@Onchieku-cp8wd11 күн бұрын
NIKO HAPA..
@allen89j10 күн бұрын
Vizur san
@HellenLemilya11 күн бұрын
Tuko pamoja na nyinyi, napenda kazi zenu
@funakoshtadash616311 күн бұрын
Bwana awabariki sana watumishi wa Mungu
@PaulRuben-eu5nh10 күн бұрын
Amin mbarikiwa sana
@exseviangaeje115810 күн бұрын
Mubarikiwe watumishi
@loysamwel630811 күн бұрын
Mko na kazi
@user-df1wz5xu2i2 күн бұрын
Hawa ndio walimu wa injili yani mtu asipowaelewa hatoelewa tena mafundisho yoyote mimi nimewafutilia vyokutosha mungu awape maisha marefu sana ilimusaidie watu
@AMwanjoka2 күн бұрын
Injili kadri ya uelewa wako na sio kadri ya kweli ya Kristo Shida ipo kwenye kuelewa Injili halisi inafananaje
@dancanomwenga695511 күн бұрын
Safii sana, naendelea kuelewa Bibiria
@vincentdaud995411 күн бұрын
Siyo bibiria ni biblia
@AMwanjoka2 күн бұрын
Haiwezekani kwamba Msabato awe na Mkristo na Mluthery naye awe Mkristo wakati msingi wa imani ni tofauti Hivyo kuna ambaye ni mkristo kweli na mwingine ni mzushi anayejiita Mkristo
@kitengemetshwaya77523 күн бұрын
Samhani jatahiti kunyenyekea kwa mungu atakufunulia zaidi kuna neno imekupungua nalo ni hi, unasema bado nashika amri y 4 ndo maana ya kuwa we n msabato je ikishika yote utaitwaje?
@user-xs3ko8pg2g11 күн бұрын
Shalom watumishi wa MUNGU, someni 1w yohana 5:8, itawasaidia, wa kristo tunaenda kanisani jumapili ni siku ya ushindi aliyofufuka katika mwili, nafsi yake ni MUNGU yohana 1:1-5, 12, 14, siku zote ni za MUNGU , ahano la kale alitenda kazi MUNGU, agano jipya YESU KRISTO, leo tuliokoka tunaongozwa na ROHO MTAKATIFU ni mwalimu wetu anatufundisha kuomba kuelewa NENO, na ndiyo maana ibada za watu waliokoka unaona kabisa uwepo wa MUNGU ukijidhihirisha waziwazi, sio manabii wa uongo walioandaliwa kuzimu hao kaa nao mbali
@petermgonja854710 күн бұрын
Mimi nawasalimia tu. Masawe panga mkutano Arusha, na ndacha awepo. Waislamu wamjue yesu. Barikiweni.
@salimakida9510 күн бұрын
@@petermgonja8547 waislam wanamjua yesu ,amezungumza kwenye quran surat mariam.Isispokuwa wakristo ndio hawamjui yesu aliyewaachia injili lakinj leo wanasoma biblia 😄 🤣 aliyeaambiwa wasile nguruwe leo wanakula
@salimchimwaga83848 күн бұрын
Umesikia hawamjui???au wakusudia Yesu yupi Mungu wenu wa bandia au mwana wa mariamu??
@salimakida958 күн бұрын
@@salimchimwaga8384 swali zuri sana 😄 wenyewe hawamjui ni yule mungu au mtoto wa mungu
@Onchieku-cp8wd11 күн бұрын
AMINA..
@hafidhali302011 күн бұрын
Mtajuana Makafiri
@willygwaikana11 күн бұрын
Hivi mwislamu anasafisha pua yake kwa maandiko yepi ya vitabu vyao? Naomba jibu wewe usie kafiri
@hafidhali302011 күн бұрын
@@willygwaikana sjakufahamu,kusafisha pua? what does it mean?
@willygwaikana10 күн бұрын
@@hafidhali3020 Hujafahamu kwa sababu dini yenu inaficha maovu ya Muhamad, mafundisho mabaya ya quran na hadith. Mafundisho ya ovyo ni aibu kuyaweka mbele ya watu. Hivyo hufichwa maana kama yakiwa hadharani, basi waislamu wengi wasio washabiki wataukimbia uislamu. Wewe Hafidh kama hujui kusafisha pua na sababu zake basi hujawa mwislamu wa kweli. Mwislamu wa kweli hata anafundishwa kuua wasio waislamu.
@zaidiissa371410 күн бұрын
Hidini yakuungaunga sikuzote inambaska hakjilikani imetokea wapi hata yesu mwenyewe haijui walakuanzisha ukristo walahajahi walakuwaita wanafunzi wake wakristo
@AMwanjoka2 күн бұрын
Hoja za kitoto kama hizo ndizo. Zinakufanya tuendelee kuishi gizani ukiamini Giza ndiyo Nuru yenyewe Pole sana Yesu ambaye Yu hai sasa akiwa mbinguni kwa Baba Sasa hoja yako inakufa kwa kuwa zaidi ya miaka 2000 "binadamu" Yesu yuko hai kwamba ile ya mwanadamu u mavumbi na mavumbini utarudi HAIMHUSU YESU, kuamini kuwa Yesu ni mwanadamu mwenzako na shida ya kutafakari tu
@user-jl5un4wf3u11 күн бұрын
Kama nyiehamuwezikutambua utatuwaMungu yesu nauungu wake mutautautambuajesasa?
@otaibonny883512 күн бұрын
Ninyi hamtangazi yesu ila msimamo wenu.. hubiri yesu
@opujejoshmahjoshmah143211 күн бұрын
Wataka wakitembea wataje kila waendapo Yesu Yesu Yesu...som Isiah58:1 yaeza kuwa wewe sio Mkristo ni mpiga Kristo..Acts18:28 Paulo twajifunza kwake Acts17:2
@otaibonny883511 күн бұрын
@@opujejoshmahjoshmah1432 hawa wanatangaza dhehebu Yao, si yesu..
@msemakweli24311 күн бұрын
Nyinyi mmejawa na unafiki ndacha yupo sahihi
@otaibonny883511 күн бұрын
@@msemakweli243 unafki gani Ndacha niambie katika harakati zake TZ, wameweza kushinda watu wangapi kwa kristo. Hawa kazi Yao ni kushindana na madhehebu nyingine za kikristo si kutangaza neno njema. Eti sabato, Mara nini nilifuata mjadala yake na mchungaji moja kuhusu sabato.. hawa ni naibu mungu na wameingia itilafu
@msemakweli24311 күн бұрын
@@otaibonny8835 sasa wewe unavyoonekana hata bibilia uijui maana ukijua kuwa amri na sheria ni za milele sasa ninyi watu wa j2 si mnafunga kwaresima imeandikwa wapi na mnashelekea kirsimax ndo maana unaona kama ndacha ni mkosefu lkn ukweli yupo sahihi
@ackimackim188011 күн бұрын
AMRI KUU NI UPENDO, SABATO IPO NDANI YETU KILA SIKU,YESU NDIYE SABATO.SIKU ILIKUWA AGANO LA KALE KABLA YA KRISTO.
@user-hx8ok1oh5n6 күн бұрын
Ndacha kafunguka baada ya kushindana na waislam kapata elimu kubwa, masawe ni adui wa uislam
@dullahfar77759 күн бұрын
Naamini ndacha muda si mrefu atavaa kanzu na kofia ya kitani
@user-hx8ok1oh5n6 күн бұрын
Masawe na ndacha wanataka kuazisha kanisa lako ili wavuje usabato siku hizi makanisa ni viwanda ya kutengeza na kufafuta kuibiya wasio elewa dini haswatana wakiristo hawa jielewi wanako elekea
@adamcharo93277 күн бұрын
Huyu ndacha very soon atakuwa muislam.
@willygwaikana11 күн бұрын
Wasabato huihalalisha Sabato kwa kutumia maagizo ya Mungu kuhusu Amri hiyo yaliyo katika maandiko, lakini wajumapili huitetea jumapili kwa kutumia mawazo yao pasipo kutoa neno lenye agizo la Mungu kuhusu jumapili. Yeremia 23:15,16; 30-32,; Mithali 3:1-7 na Marko 7:6-13. Hivi kwa mfano Yesu atakapokuja akimuuliza mjumapili jumapili uliagizwa na nani kuitii jumapili? Hivi watamjibuje Yesu hao walioishika jumapili??!!!!
@user-ic9hq2ut3r8 күн бұрын
Km nyinyi wenyee taari Kuna unafki ndani yenu waislamu mtawaambia nini seriously
@sophiaesmarcharo977511 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@King_Of_Everything11 күн бұрын
✌️👊🙏.
@user-qo2xd3hb8l10 күн бұрын
Wasabato na mnasoma vitabu vya Paulo mwanzilishi wa ukatoliki
@PeterMashiku-qx7xw11 күн бұрын
Ukiwa hujuwi maana ya sabato utateseka sana
@JamesMoses-jd1yq11 күн бұрын
Ndacha nakukubali asilimia kadhaaaaa
@user-uz3it6li6u8 күн бұрын
Muko katika kupapasa papasa ukweli ila ni vema pia kuenda vyio vya biblia ili kuelewa zaidi ila pia makasi kiukweli yana mifumo yake ambayo yote ni taratibu za biblia
@HoseaAnjelus11 күн бұрын
Mwalimu ndacha nisaidiye namba yako nikukupigiye nipate kuelewa mahali inafaa kwenda kwenye ukweli
@rodgerskiponda787111 күн бұрын
Mimi naona wanacho kiamini hawa,ndicho wanacho kiamini hata wale wengine ila shida ni utofautiano ktika maelezo.
@filexbenefits561211 күн бұрын
That is you
@JamesMoses-jd1yq11 күн бұрын
Ndacha hana mpinzani
@JamesJastin-bg1rx11 күн бұрын
Upuuzi
@salisali373811 күн бұрын
😅😅😅
@user-md7ug5dd9r11 күн бұрын
Ndaca kwani kuelewa kwako ndiko kutafanya wote waelewe kua uko saw ? Wewe umesoma na wengine wamesoma wote nao ndivyo walivyoelewa . Mungu humfunulia kila mmoja jinai apendavo . Fainali ni hukimu ya mwisho.
@qerysir441011 күн бұрын
Ndio maana lazima watu wasemezane! HAPANA ANAYELAZIMISHWA!
@sindabahabwoyaanacret66011 күн бұрын
Nenda na hoja za kumpinga
@JamesMoses-jd1yq11 күн бұрын
njoo na hoja kampinge yeye😂😂😂
@Kuminamoja199512 күн бұрын
Bado ajasema
@qerysir441011 күн бұрын
Sema wewe tusikie
@user-xs3ko8pg2g11 күн бұрын
Pastor Ndacha ungeokoka ukakubali kuongozwa na ROHO MTAKATIFU MUNGU anekutumia vizuri sana angekutumia uwalete watu kwa YESU KRISTO, YESU aliwauliza ni nani kati yenu n'gombe wake akatumbukia kwenye shimo akamwacha?, ombi langu kwa MUNGU akupe Neema ya wokovu
@michaelthobias996711 күн бұрын
@@user-xs3ko8pg2g hujui mengi ndacha yupo sahihi
@landelinusbyabato251211 күн бұрын
Kwani kuokoka ni kusali jumapili?
@user-xs3ko8pg2g11 күн бұрын
@@landelinusbyabato2512 jibu ni siku ya ushindi ya kufufuka kwake BWANA na MWOKOZI wetu YESU KRISTO
@user-mc2xd4eu2p9 күн бұрын
Nyie mbona waongo mungu ni mmoja alie baba huyo ndacha anasema juzi ulikua unasema yesu ndio mungu sasa nyie mnaakili timamu kweli?
@user-xs3ko8pg2g9 күн бұрын
@@user-mc2xd4eu2p kila mtu ashike alicho nacho, siku tukivua miili itajulikana, elewa YESU ni MUNGU
@wilsonkinga11 күн бұрын
Na waliomsulubisha YESU ni wasabato
@qerysir441011 күн бұрын
Sema Wayahudi! Wakati huo hapakuwa na madhehebu yaliyoko sasa, wote waliitunza siku ya Bwana
@filexbenefits561211 күн бұрын
You will never get salvation with such understanding unless you loosen your heart
@JamesMoses-jd1yq11 күн бұрын
Fata mafundisho ya ndacha
@willygwaikana11 күн бұрын
Ukisema hivyo, basi hujui kuwa Yesu aliuawa na dhambi za ulimwengu tangu Adam. Ina maana wewe umekataa kuwa hukuua Yesu. Waliohusika kumuua Yesu kimwili waliwawakilisha wote waliomuua Yesu Kiroho maana walimwengu wote wadhambi wasingekusanyika Yerusalemu kumuua Yesu. Lakini ujue pia kwamba waliomlilia Yesu mitume na wanawake wote walikuwa wasabato. Wajumapili hawakuwepo kipindi hicho. Lakini Mwanzilishi wa Sabato ni Mungu, ndiye msabato namba moja maana ndiye alietamka kuibariki na kuitakasa Sabato na yeye Mwenyewe akapumzika siku hiyo na ndipo kuwaamuru wanadamu waikumbuke na kuitakasa. Yesu atakapokuja sijui utamjibu nini atakapokuuliza nani alikuamuru uishike jumapili. Utamjibuje, Hebu jibu tuone.
@user-mc2xd4eu2p9 күн бұрын
Hamna uwezo wa kuwaingiza waislamu kwenye ukafiri labda kwa kuwalipa fedha kama mlivofanya kwa murtad yule msomaji clip yake ipo anasema kafata nini huko
@bisagakaboboye806010 күн бұрын
Hao jamaa biblia hawaielewi. Kama Mungu ana nafsi moja je Yesu wanamwamini kama nani? Hawaoni kama wanajichanganya?
@user-mc2xd4eu2p9 күн бұрын
Dogma hiyo hamna kitu hapo amka
@solihanegier89011 күн бұрын
Makafiri wakubwa nyie endeleeni tu kukufufu iko siku mtaijuwa ukweli
@DavidMatata11 күн бұрын
Mtumie wako mohamedi alikuwa chizi,alitumwa na allah(shetani)na malaika zake (majini).. Takbirrr.
@willygwaikana11 күн бұрын
Hivi kama wewe sio kafiri kwanini mnasafisha pua zenu mara tatu. Leta jibu sababu ya kusafisha hiyo pua yako, unasoma wapi kwenye vitabu vyenu.
@DavidMatata11 күн бұрын
@@willygwaikana Kafiri mwenzangu mtume mohamedi.
@harrisonodiwa72488 күн бұрын
Hivi mwalimu Ndacha unaposema umejitenga una ministry wako yamaanisha una kanisa lako? Balaa! Mimi mbona ni muadventista msabato na siamini kwa utatu,hivyo hautumii vitabu za HGW?Inekuwa heri useme wewe ni muadventista msabato wa awali.
@daudimichael733811 күн бұрын
Unafiki ni upi sasa Masawe? Nyinyi mnaishi kwa sheria na wenzenu wanaishi kwa neema, na maandiko yako wazi!!? Na kiukweli wasabato wa siku siyo Wakristo, walimkataa Yesu, wanakuwaje wakristo?
@qerysir441011 күн бұрын
Sasa ukiwa na 'neema' ndio uende ukaibe? Neema haiondoi sheria!
@JamesMoses-jd1yq11 күн бұрын
Kama Una hoja basi kamtafute ndacha
@francisjoseph107411 күн бұрын
@@JamesMoses-jd1yqNa wewe kama unamuamini mwalim ndacha mwambia amtafute bishop ngonyani amfundishe maandiko , hakuna mkristo msabato sabato NI ya wayahudi , kama unabisha nenda kagoogle hiyo movement yenu ya seven day Adventist ilianzia wapi kama sio ya miaka 1840, William Miller alipokosea kupiga mahesabu ya kurudi Kwa Yesu na akaamua kutoweka , wakaja watetezi wake ,kama Joseph bite, Helen G white ndo wakaleta hiyo siku ya sabato ,ambapo wakristo wa kwanza hawakuwahi kusali siku ya sabato bali wayahudi
@willygwaikana11 күн бұрын
Hujui usemacho, ni bora ujishushe uulize kuliko kulishwa maneno ambayo huwezi kuyajibu Yesu atakapokuja kukuliza jumapili uliagizwa na nani!!!
@HellenLemilya11 күн бұрын
Tuko pamoja na nyinyi, napenda kazi zenu
@user-ic9hq2ut3r8 күн бұрын
Kubalianeni nyinyi wakristo kwanza Kisha ndio mje muambie waisilamu miungu yenu ni mingapi
@ackimackim188011 күн бұрын
MASAWE NA NDACHA,WOKOVU NI KILA KITU,KUBALINI TU KUOKOKA ,MTAKUWA NA NGUVU ROHONI NA MWILINI.