MCHANGANUO KWENYE KILIMO CHA MAHARAGE :MTAJI NA FAIDA KATIKA HEKA

  Рет қаралды 28,678

AGALUS  TV

AGALUS TV

3 жыл бұрын

👉Kilimo cha maharage aina ya Soya kina faida kubwa. Fuatilia somo hili kwa mtaji wa Tsh. 667, 000 upate faifa ya 3, 083, 000 ndani ya miezi 4/5 katika heka 1.

Пікірлер: 137
@MajutoAbdul
@MajutoAbdul 16 күн бұрын
HABARI,Nimefurahishwa sana kwa elimu ya kilimo biashara cha MAARAGWE...GOOD JOB...THANKS AND GOD BLESS YOU....Asante.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 16 күн бұрын
Amen 🙏🏿 Same too
@MagenLucas
@MagenLucas 5 ай бұрын
Njinsiya upandaji nzuri WA maharage
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Fuatilila video za upandaji wa maharage
@erickclaudio2978
@erickclaudio2978 Жыл бұрын
Ahsante ndg kwa post zako za faida,naomba kujua hayo maharage ya soya yanafananaje.
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ya njano
@jumakibe5032
@jumakibe5032 Жыл бұрын
Makala nzuri lakn natoaushauri kupunguza kengere zenu. Mnamtoa mtu kwenye mood.
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Asante ndugu✍️🤝
@rinaamour1796
@rinaamour1796 Жыл бұрын
Yani mi nimeacha kuangalia sababu ya hio kengere it’s annoying
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Very sorry ndugu. Tutajihidi kurekebisha Hilo tatzo na tuna haidi kwa video zingine halitatokea🙏🏿🤝✍️
@Shaksi434
@Shaksi434 5 ай бұрын
Wanaboa Sanna
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Samahani ndugu 🙏🏿 ✍️ 🤝
@user-br3sc8bm4t
@user-br3sc8bm4t 3 жыл бұрын
Asante sana ubarikiwe ila nungependa kujua kilimo hiki kinategemea mvua au umwagiliaji maana nimeona Kama shamba liko ktk mwinuko kidogo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Kote kote kina kubali umwagiliaji na mvua pia🙏
@majabangili1779
@majabangili1779 Жыл бұрын
Axant xan kwa kutuelimisha kuhux kilimo
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@janethsevin3336
@janethsevin3336 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri nime be inspired kwa kweli 🙏
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu ndugu
@julianaboniphace7351
@julianaboniphace7351 9 ай бұрын
0 Ip
@AGALUSTV
@AGALUSTV 9 ай бұрын
Nini ndugu
@morrismwita8868
@morrismwita8868 2 жыл бұрын
Kilimo cha maharage aina ya Soya kina faida kubwa. Fuatilia somo hili kwa mtaji wa Tsh. 667, 000 upate faifa ya 3, 083, 000 ndani ya miezi 4/5 katika heka 1. ---------------------------------------------------------- ___ hesabu hiyo hapo juu unaifikiaje ?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Umejieleza kwa vdeo
@rechoshop4094
@rechoshop4094 Ай бұрын
Nashukuru
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo PAMOJA NDUGU
@OmarkhamisOmar-cj2qz
@OmarkhamisOmar-cj2qz Жыл бұрын
🎉kpindi gani cha kilimo hichi bwanna shamba naona umesahau kutuambiy
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mvua zinapo isha TU tunapanda maharage yaani unyevu nyevu uwepo shamba
@adamjumbe4390
@adamjumbe4390 3 жыл бұрын
Je mbolea ya supergro Haifai kwa maharage!nakamainafaa nipe faida yake tafadhali
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Sorry. Naomba ukamwone mtaalam au wakala wa izo mbolea anaweza akawa na mengi. Ya kukwambia🙏🙏🙏 kwa zaidi nichek 0786097274
@user13375
@user13375 Жыл бұрын
Kengere inakeraaaaaaaaa,kuweni wasomi
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Sory mkuu tujajitahidi
@user-oe1es2in2y
@user-oe1es2in2y 5 ай бұрын
Jambo ndugu.nomba kujua naweza kulima handeni pozo. naweza kulima maharage ya soya ?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Yaah inawezekana tu
@user-ny7bu6ur4p
@user-ny7bu6ur4p 5 ай бұрын
Jee! Kila shimo Moja unapanda mbegu ngapi?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
2
@PatrickGatabazi-oi1po
@PatrickGatabazi-oi1po Жыл бұрын
Ooooo
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 6 ай бұрын
Kilimo cha daftari 😂😂😂😂 hicho ingia shambani ndiyo utajua kuwa kilimo kinasemaje
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Ok
@magrethmkoga7340
@magrethmkoga7340 4 ай бұрын
Mbolea gani inafa kwa maharage
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 ай бұрын
Ya kupandia, kukuzia AU matunda. Maana zote ni muhimu so unahitaji kujua kwa ajiri y Kaz gani apo
@RamadhanNgereza-md2sq
@RamadhanNgereza-md2sq 10 ай бұрын
habar ;naomb nijue faida ya kufungasha na kuyaweka store maharage ipoje
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 ай бұрын
Ni pale utakapo kua unasubiri soko la maharage Lipande
@nicksonkimaro3202
@nicksonkimaro3202 2 жыл бұрын
Kaaaaaaa izo gharama
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Upate tu picha japo zitatofautiana kat y eneo 1 na lingine japo kidogo sana
@chalaboys175
@chalaboys175 2 жыл бұрын
Upandaji cm ngp mche hd mche?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Sm13/15 kwa sm 50/70
@vannjunior_tz9903
@vannjunior_tz9903 2 жыл бұрын
Namba ya simu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Okay
@gracebenjamin6564
@gracebenjamin6564 Жыл бұрын
Tunaomba majina ya mbolea za viwandani
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
ZA kupandia au
@user-je3ye8vk7m
@user-je3ye8vk7m 8 ай бұрын
Blaza inakuaje man. Ivi kwa Tanzania wapi panafaa zaidi kwa mtu anaeanza kilomo Cha maaalage. Yani no mkoa gani kuliko wote wenye lutuba. Afu mini Tena ujue kilimo nimekikubali japo naishi town man. Niambie bloo nianze mishe
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Maharage ya nakubali tu sehemu kubwa nchini ni wewe tu hesabu zako piga
@peterndella9536
@peterndella9536 Жыл бұрын
Nimejifunza kitu mbarikiwe sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Pamoja ndugu 🙏🏿🤝✍️
@user-vb3rt3ln9c
@user-vb3rt3ln9c Ай бұрын
Kigoma vijijin hasa wilaya ya uvinza watu wakilima heka akipata sana ni gunia tatu tu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Poleni Sana ndugu. Anza kulima kilimo bora
@salehabdallah2737
@salehabdallah2737 Жыл бұрын
Sawa lakin hiki kilimo kinafaa sana wap dodoma morogoro au singida au mkoa upi
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mikoa yote Kilimo hiki kinafaa
@user-mq5ly7kr8x
@user-mq5ly7kr8x 3 ай бұрын
​@@AGALUSTVNi mwezi gan unafaa kulima Maharage
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 ай бұрын
Mvua zinapo enda kuishia
@isaimlongesanga6203
@isaimlongesanga6203 2 жыл бұрын
Vipimo vya upandaji shimo hadi shimo ni cm ngapi?na mstari hadi mstari ni cm ngapi?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Sm 10 hadi 15 shimo kwa shimo na sm30hadi 45 mstari kwa mstari
@bettysetty4567
@bettysetty4567 10 ай бұрын
Mkoa wa mara kilimo hichi kinakubali?maana ni ardhi ya mchanga
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 ай бұрын
Inakubali vzur tu
@joycenchimbi9892
@joycenchimbi9892 2 жыл бұрын
Je kilimo cha soya tunatumia mbolea?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ndyo Zina tumika ndugu
@masoudismsil4802
@masoudismsil4802 2 жыл бұрын
Mm natakaa kujuaa mbolea yamatundaa nitumiee mboleaa ganii
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Mbolea zipo nyingi ndugu tuzitaja Majina apa Ata sehem haitatosha ila kwa ushaur muone mtaalam w kilimo aliyekaribu nawe atakwambia eneo unalolima ni mbolea gani itafaa🙏kama utaitaji msaada zaidi tuzid kuwasiliana
@rosesesala9131
@rosesesala9131 Жыл бұрын
Nimelima heka 2 ngoja niangalie faida Kama itakuwa nzurii
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Baraka za Mungu ziwe ktk Kaz yako🙏🏿✍️🔥
@salehabdallah2737
@salehabdallah2737 Жыл бұрын
Hamna namba za WhatsApp kwa maswali na masomo zaid
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Kwa sasa haipo ila soon itakuwepo 🙏🏿✍️Endelea kubak na AGALUS online TV
@mohdswahili7219
@mohdswahili7219 2 жыл бұрын
Naomba no ya sim
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ok
@mohdswahili7219
@mohdswahili7219 2 жыл бұрын
@@AGALUSTV nahitaji harage sio makavu yani mabichi yanatikana guniya kwa bei gani
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Tuwasiliane +255765467484 wasap na. Telegram pekee
@feychipa3054
@feychipa3054 3 жыл бұрын
Naomba namba zenu za simu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ok 🙏
@bznznbznjznz1147
@bznznbznjznz1147 3 жыл бұрын
Hayo mahage yanastawi zaidi sehem gani(mkoa gani)???
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Mikoa ya nyanda za juu kusini
@laurentdau753
@laurentdau753 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV napenda saana kuanziasha kilimo Cha maharage , napenda kuuliza kwamba maharage ya msimu na Yale ya kumwagilia yapi Yana faaa zaidi katika kuvuna mavuno mengi?
@laurentdau753
@laurentdau753 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV napenda saana kuanziasha kilimo Cha maharage , napenda kuuliza kwamba maharage ya msimu na Yale ya kumwagilia yapi Yana faaa zaidi katika kuvuna mavuno mengi?
@bennojoely3433
@bennojoely3433 Жыл бұрын
vipi mbolea ya kumwagilia aka booster..
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Nzuri Sana izo
@gilbertmwitula2875
@gilbertmwitula2875 2 жыл бұрын
Kwa mkoa wa manyara au singida maharage Yale ya njano hukaa muda gan?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ngoja tufuatilie hali y hewa kw uko ipoje
@monysulloo5904
@monysulloo5904 Жыл бұрын
@@AGALUSTV samahani mpendwa hivi nikipanda maharage Yale ya njano mwezi huu wa kumi na moja katikati yataweza kustawi vizuri na kuiva vizuri,? Asante nipo mkoani Arusha
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Inawezekana kabisa ila mvua sisichelewe au utakua unamwagilia?
@goodlucksokoni1915
@goodlucksokoni1915 2 жыл бұрын
Naitaji namba yako mm ni mkulima
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Wasap +255765467484
@user-hy3qk9em3e
@user-hy3qk9em3e 5 ай бұрын
bolea unawekaje kwenye maharage kama ya meota
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Fuatilila video hii y upandaji w maharage kzfaq.info/get/bejne/espkeKai3qq8e2g.html
@ifirooidinga-ms6ql
@ifirooidinga-ms6ql Жыл бұрын
Nimkoa gani
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu mikoa yote zao hili linakubali
@nasibubiyaka7275
@nasibubiyaka7275 Жыл бұрын
maharage yanachukua mda gani kukomaa?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Miez 3/4
@feychipa3054
@feychipa3054 3 жыл бұрын
Mashamba yanapatikana wapi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Upo wapi
@jumamseti8217
@jumamseti8217 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1
@muhsinhamis191
@muhsinhamis191 3 жыл бұрын
sawa
@obethmdeka4222
@obethmdeka4222 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV thjt
@marianachristophory5239
@marianachristophory5239 10 ай бұрын
hii imeakaaje mbona Mimi nikilima napata gunia 5 kwa heka 1
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 ай бұрын
Pole sana ndugu mavuno hutegemea mambo mengi Sana. Rutuba shambani, mbegu uzaaji, Hali ya hewa n. K
@ShamteKisoma
@ShamteKisoma 8 ай бұрын
Mambo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Poa poa ndugu 🙏🏿
@davidayungashukuru7870
@davidayungashukuru7870 Жыл бұрын
Aina gani mzuri ya maharage?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Maharage yote ni mazuri ndugu cjui eneo lako yapi ni mazuri zaidi
@davidayungashukuru7870
@davidayungashukuru7870 Жыл бұрын
@@AGALUSTV kuna yale ya rangi ya njano ndo yanaitwaje kitahalamu?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ivyo ivyo maharage ya njano
@user-dy3gq3qf4h
@user-dy3gq3qf4h 6 ай бұрын
Kulima ni,kuanzia,mwezi gani?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Kila eneo utofautiana ila pale mvua zinapo enda kukatika tu
@user-dy3gq3qf4h
@user-dy3gq3qf4h 6 ай бұрын
@@AGALUSTV eno TABORA,nililima,Karanga,nategemea,nikizitoa,niweke,maharage,niombe,mungu,Mandal,mwez,wa,3
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
BARIKIWA SANA NDUGU
@user-dy3gq3qf4h
@user-dy3gq3qf4h 6 ай бұрын
@@AGALUSTV Amiina Kwa sote,no, yako ya, WhatsAp, Kama nitaanza nntakutafuta unipe maelekezo zaid inshallah
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Sawa ntakutumia ndugu
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 2 жыл бұрын
kaka naomba mamba zenu nakufatilia kila zao
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Tunashukuru sana Na ubarikiwe sana🙏
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 2 жыл бұрын
@@AGALUSTV kak nahitaj shamb nitapata. huk
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Mengi tena mazur sana
@asaakaim7359
@asaakaim7359 2 жыл бұрын
Mm naomba nipatieni namba zenu Ili niweze kuuliza maswali elimu nzuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
+255765467484 wasp tu
@azilathabdul1557
@azilathabdul1557 8 ай бұрын
Mimi niko kagera napenda sana kilimo na mungu akipenda mwaka ujao nataka nijaribu na mm maharage na mahindi kwenye shamba moja itawezekana? Na je una group la WhatsApp
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Karibu Sana ktk kilimo. Kwa kilimo chenye tija si vizuri kupanda ayo Mazao mawili ktk shamba 1 maana maharage ya nahitaji Sana Mwanga w jua so itakua ngumu. Pia mahindi ya nahitaji Sana rutuba. Labda uhakikishe shamba lako Lina rutuba y kutosha. Ila kwa kulima kwa lengo la kupata ugali na mboga tu waweza fanya hivyo. Group hatuna bado tunatafuta njia nzuri ya kuliendesha group. Ukiwa na shida waweza ku comment tu AU ukitingwa Sana ntakutumia namba y wasap
@azilathabdul1557
@azilathabdul1557 8 ай бұрын
Ahsante sana. Kwa mm ninaeanza ni vzr ninunue shamba au nikodishe kwanza? Nipo Bukoba Ila nataka kutafuta shamba karagwe kama unapafaham au unamtu unamjua unaweza kuniunganisha nae
@user-dy3gq3qf4h
@user-dy3gq3qf4h 6 ай бұрын
@@azilathabdul1557 ndungu,yuko,wengi,tunaanza maisha,kilimo,ALLA,atuongoze,
@Aminaamina-cg8sf
@Aminaamina-cg8sf 2 жыл бұрын
Maharage yamsimu yanapandwa mwezi gani?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Hatujakuelewa kdogo swali lako🙏
@Aminaamina-cg8sf
@Aminaamina-cg8sf 2 жыл бұрын
Kuna maharage yakumwagilia nakunamaharage yanayotegemea mvua Sasa unasemahayahitaji mvua nyingi Sana ndo nauliza mfano sehemu mvua zinaanza mwezi WA 12 zinakata kuanzia wanne hadi watano Sasa hapa inabidi nipande mwezi wangapi ili kuepukamvua nyingi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ok miez y 10/11 kwa maeneo maeneo mengi Tz
@Aminaamina-cg8sf
@Aminaamina-cg8sf 2 жыл бұрын
@@AGALUSTV oky shukrani sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@abelichacha7208
@abelichacha7208 Жыл бұрын
Nina swali kidog
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu Sana ndugu
@SurprisedBorderCollie-ls2mq
@SurprisedBorderCollie-ls2mq 6 ай бұрын
Eka tunapandia kilo ngapi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Nini? Mbegu AU mbolea
Kilimo sawa: Ukulima Bora wa Maharagwe ya Kawaida
15:25
Kilimo TV
Рет қаралды 37 М.
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 36 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 22 МЛН
Jukwaa la Wakulima : Mbegu Bora za Mbaazi "Channel Ten"
25:49
Channel ten
Рет қаралды 4,8 М.
KILIMO CHA MAHARAGE: UPANDAJI, MBOLEA NA UTUNZAJI
15:16
AGALUS TV
Рет қаралды 59 М.
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН