MCHUMBA WA ALI KAMWE AFUNGUKA MAHUSIANO YAKE "NAMPENDA ALI KAMWE MTU MZURI"

  Рет қаралды 47,094

S500 TV

S500 TV

Ай бұрын

Пікірлер: 112
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 Ай бұрын
leo mwanangu aliy kamwe umeniangusha nn hicho ulicho mvalisha huyo sijui ni mchumba kabakisha nn aonekane yuko uchi hakuna ndini inaruhusu mwanamke kuvaa hivyo hivyo km umeona toka utokako ungemubadilisha hiyo nguo kwani uzuri ya kujisitiri bei ngani
@seifmsabah4384
@seifmsabah4384 Ай бұрын
Kachemka
@seifmsabah4384
@seifmsabah4384 Ай бұрын
Kachemka
@sharlynshabani6815
@sharlynshabani6815 Ай бұрын
Mpuuz huy
@user-cx3kd3dg6i
@user-cx3kd3dg6i Ай бұрын
Yaani nguo ni mbaya sio ya adabu mbele za watu mmh hamna kitu amebugi
@HassnaNana-yi5lw
@HassnaNana-yi5lw Ай бұрын
Duhhhh😮
@upendokweka8381
@upendokweka8381 Ай бұрын
Hata hapo bado kamwe haujapata mke, azidi kuomba mungu
@emmykassim4132
@emmykassim4132 Ай бұрын
Mtoto WA kiislam Ally KAMWE una sauti wew mwanamme unaeuhusuje avaae hivyo
@HappyHiker-nz9vg
@HappyHiker-nz9vg Ай бұрын
Bi harusi 🎉❤ mashallah hongera Sana dada vizi liko❤❤❤❤🎉🎉🎉
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t Ай бұрын
Wala hajapendeza ,vazi haliendani na hyo harusi ya kiislamu,katoka mfupa waroho km kaona malakul mawt
@elizabethgeorge2197
@elizabethgeorge2197 Ай бұрын
Ila mmeendana jamani ❤❤❤❤
@umikifupa-mi3re
@umikifupa-mi3re Ай бұрын
So cute❤
@kisinzajohn1805
@kisinzajohn1805 Ай бұрын
Huyo binti ndio wa kuoa
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Ай бұрын
Zaylisa wa pili tumempata😂😂😂
@bennamush4616
@bennamush4616 27 күн бұрын
Waooh Ericka mtoto wa urasa mic u ❤❤
@salomemongi1246
@salomemongi1246 Ай бұрын
Hongera mchagga
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 Ай бұрын
Mnao ongelea Kuvaa kwani nyie hua mnavaaje 😂😂😂
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 Ай бұрын
Kwani pele aliko pasu paunganishwa asinge pendeza au na ww ndio walewale waenda uchi hata km malaya jistiri mtu akiambiwa yule anajiuza akatae akutete wee unatetea kuvaa vile kipaja chanye km cha ndege kaa
@despinadamian8693
@despinadamian8693 Ай бұрын
Si kwa sababu hawaonekani na hawajulikani 😂😂
@user-hu2sf3so9c
@user-hu2sf3so9c Ай бұрын
Mwanangu Ally Kamwe hilo vazi la mwali wetu limetuangusha sisi mama zako siku nyingine rekebisha
@AdamAdam-xf3gh
@AdamAdam-xf3gh Ай бұрын
Hilo paja au mkono tu
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Ай бұрын
Umaarufu na pesa kweli mtihani dada umekubali kuvishwa utupu ili kupata maokoto na umaarufu subhana llah
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Ай бұрын
Kavishwa ama kavaa mwenyewe?!
@imanibakili8028
@imanibakili8028 Ай бұрын
Amevaa yeye mwenyewe
@adammkisema1524
@adammkisema1524 Ай бұрын
HUYU MWANAMKE KAMDHALILISHA MSEMAJI WETU..........anashindwa kuuliza ama kujua dress code ya harusi ya kiislam....kama amepania kuonesha ....
@despinadamian8693
@despinadamian8693 Ай бұрын
Ye hajaona kama amedharirishwa jamani
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 Ай бұрын
Maa shaa llaa biharusi kajua kujisitiri sio aliy kamwe sijui kaalika kitu ngani kile paja lote liko wazi kabakisha sehem dg tuu chupi ionekana wallaah ss wanawake hatuna aibu
@BintOmary-gs9hw
@BintOmary-gs9hw Ай бұрын
Han akili anaon kapendez kumbe anajizaraulisha tu
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 Ай бұрын
sio dem wake
@ericbrunokalonndwa8590
@ericbrunokalonndwa8590 Ай бұрын
All good. Mavazi inategemea na event sioni issue amependeza mdada lazima watu wajue dresses na events na sherehe haijafanyika msikitini au kanisani
@user-ct4jp1ux1z
@user-ct4jp1ux1z Ай бұрын
Kusema kweli hiyo nguo aliyovaa haifai kbsa. Haina maadili
@NajmaMustafa-hq3vm
@NajmaMustafa-hq3vm Ай бұрын
Demu mwenyewe mshamba
@ismahafidhi1756
@ismahafidhi1756 Ай бұрын
twenty four seven au nimesikia vibaya
@gloryngunda9664
@gloryngunda9664 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Ай бұрын
Acheni Uswahili...kutoelewa mahusiano ndio matokeo ya maswali ya mwandishi😊
@user-vj8pi2wc3z
@user-vj8pi2wc3z Ай бұрын
Sasa mbona anacheza cheza!! Au ndio "shek well before you use"
@annambele789
@annambele789 Ай бұрын
Nguo aliovaa binti katuaibisha sana asirudie kuongozana na wewe hivyo.
@HappyAmani
@HappyAmani Ай бұрын
jaman mnaosema ni mchumba wa ali kamwe muwe mnaangalia hata vidio msikie maelezo kabla ya kumjaji kamwe kama mnatak kujaji mjajidini huyu Dada lakn pia me sio cha ajabu kwan mbna watu wanavaa vbya zaid ya huyu Dada acheni roho za kwann mnaboaaaaa
@samhayamawe6699
@samhayamawe6699 5 күн бұрын
Innalillah wainnaillah rrajuun,hilo vazi na kuitwa mke au mchumba wa Ally Kamwe wala haviendani jman,jistiri bint hilo paja unamwonyesha nan? Ally kamwe umekwama wapi mwanangu? Mpka unaingia nae ukumbin ina maana hujamuona alivyovaa?
@LilianiMeena
@LilianiMeena Ай бұрын
Hahahahaaaa eti msomi 😅😅😅wasomi anawajua msomi sio mshamba kiasi hicho
@MonaMbalike
@MonaMbalike Ай бұрын
Kigodolo kimekaa upande au wenzangu hamuon kama mm
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Ай бұрын
Hahah
@user-uq9nw7jd5i
@user-uq9nw7jd5i Ай бұрын
hahaha
@PillyAlly-ku1hj
@PillyAlly-ku1hj Ай бұрын
Huyoo mwanamke ni mshezi wa tabia Malaya huyo
@despinadamian8693
@despinadamian8693 Ай бұрын
Wewe umejuaje kama sio huwa mnafanya wote watu wenginr bhanaaa
@hamishassan6784
@hamishassan6784 Ай бұрын
Mbona hapa umeonekana kama kijana wa hovyo jamani. aaaaa kijana hapo umetuangusha sana
@SaidhassanSuleiman
@SaidhassanSuleiman Ай бұрын
Twenty four seven duuuu
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 Ай бұрын
Hafai!!!
@user-mt3xf4pc7p
@user-mt3xf4pc7p Ай бұрын
Jamani semaji letu mungu akusaidie upate mchumba mwenye maadili mema ajistili Kama dini unavyokuruhusu
@despinadamian8693
@despinadamian8693 Ай бұрын
Hicho unachokiona sio tabia mbaya na kama angekuwa na tabia mbaya nadhani huyo ally kamwe asingekuwa nae
@user-gk5ms2bk9k
@user-gk5ms2bk9k Ай бұрын
Jamani vaz la uyo mdada wa msemaji wetu kamuaibishaaa
@user-yn1jb4iu8e
@user-yn1jb4iu8e Ай бұрын
Ally kamwe huyo mwanamke amekudhalilisha amevaa hovyo sana. Amekudhalilisha sana.hakufai anajishauwa sana.
@PinkyLeonard
@PinkyLeonard Ай бұрын
Unamjua na wewe ovyooo kaa jinga
@BenithaSalvatory
@BenithaSalvatory Ай бұрын
Mavaz sio mwanamke unaejielewa uwez vaa Ivo
@user-we8cl7yt2d
@user-we8cl7yt2d Ай бұрын
Kaka Ali huyu dada mh! mbona paja nje
@user-rq8go6cf8l
@user-rq8go6cf8l Ай бұрын
@li dogo mkali broo
@johnmgalilwa9136
@johnmgalilwa9136 Ай бұрын
👊👊👊👊
@atupakisyemwakikali6777
@atupakisyemwakikali6777 Ай бұрын
Mbna hers make wake kajsitili IGA kwa wenzio
@gaudeciajackson8398
@gaudeciajackson8398 Ай бұрын
Kuna watu wanajisitiri ila wanafanya mambo ya ajabu
@despinadamian8693
@despinadamian8693 Ай бұрын
Jamani kwani mmejuaje kama mke wake au mpenzi wake ally kamwe au huyo dada kaongea chochote yani watu 😂😂😂
@shabanihugo8332
@shabanihugo8332 Ай бұрын
Ndo nn hicho ?
@user-so6md6rm2w
@user-so6md6rm2w Ай бұрын
🤣🤣🤣 twenty four seven we dada khaaa afu bado unajisifu msomi
@asiarashidi1520
@asiarashidi1520 Ай бұрын
So hujaelewa kamaanisha nini au?
@zanzibartrip5954
@zanzibartrip5954 Ай бұрын
Napita tu nakuangalia m
@salimaljahwari1
@salimaljahwari1 Ай бұрын
Huyu msichana yuko uchi. Ustarabu ni pamoja na mavazi. Dini zote mwanamke ajistiri.
@Shakira-Nb
@Shakira-Nb Ай бұрын
Ally alitoa challenge gani kwani
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l Ай бұрын
uyo sheji kweli au umemkodi ??mbona ally kamwe upo namwamke mke ambae ajajistiri?😂😂😂,kweli hii nihatari
@lovenessfracis
@lovenessfracis Ай бұрын
😂😂😂😂😂 security twenty four seven we huogopiii?😂😂😂
@archilleuswilson4359
@archilleuswilson4359 Ай бұрын
Twenty four seven labda masaa 24 siku saba ambapo ndo ana siku mbili dar 😅
@lovenessfracis
@lovenessfracis Ай бұрын
@@archilleuswilson4359 😂😂😂😂😂
@MarianaDonarld
@MarianaDonarld Ай бұрын
Ulimbukeni TU, security anezungumzia wamwibie nini
@sultansaidi4169
@sultansaidi4169 Ай бұрын
Naogopa 😂😂😂
@user-vu4vn7op3w
@user-vu4vn7op3w Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-nb6nn6sv7u
@user-nb6nn6sv7u Ай бұрын
Hajui kujieleza uyu katutia aibi siswatu wamoshi
@ZeynabAdam-mq5eg
@ZeynabAdam-mq5eg Ай бұрын
Kwan niffa yuko wapi jaman mbon simuoni😅😅
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 Ай бұрын
Mbona wengi mnasema kavaa vibaya 😂 😆 ?
@DenisMarahu-hc9uh
@DenisMarahu-hc9uh Ай бұрын
Ali kamwe. Kuwa makini huyo mchumba kama kweli ñi mchumba sijakwelewa nini hicho paja nje? Kweny umati wa watu namna hii
@stellasheba842
@stellasheba842 Ай бұрын
Cyo mchumba wake.
@gamarmahsan8254
@gamarmahsan8254 Ай бұрын
Duniya imeisha wa muanika mke hivo
@subiralema
@subiralema Ай бұрын
Afai kuwa mke uyo ana aibu anaonyesha kibaka
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Ай бұрын
Mmmmmmh angekosa aibu mngemsema
@nuruosward8161
@nuruosward8161 Ай бұрын
She is not comfortable😂
@KhadijaKiwambu-qx8qh
@KhadijaKiwambu-qx8qh Ай бұрын
Uyu atakuwa Ana wazazi Mana mama ake asinge kubari anvae iri nvazi nando Mana hii dunia tunashushiwa miteani kibao wanawake tumezidi jamani kutembea wazi sijuwi mavazi Aya yataisha rini hee mungu nijarie katika maisha yangu nisije ata siku moja nikanvaa ivi wara watoto wangu nitakao wazaa wasije wakaiga huu ujinga wa Hawa mashetani ivi kweri sijuwi wanadamu tunaerekea wapi Hee mungu tupe mwisho mwema Mana mtiani kwa kweri
@mariaferick7813
@mariaferick7813 Ай бұрын
Mamaake alifarik
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 Ай бұрын
sio mdem wa alli huyo maezo tu yanajieza
@sophyodago5062
@sophyodago5062 Ай бұрын
Mchumba mwenyewe anajionea aibu na gauni lake la uchi
@raishahatibu7095
@raishahatibu7095 Ай бұрын
Atakua sio mchumba kamukota tu barabarani ajenae harusini si kwa nguo hiyo kujicholesha
@MmingeMminge-kr8nj
@MmingeMminge-kr8nj Ай бұрын
Semaji apo umeboa Sana. Ndiyo Nini icho alicho vaa uyo dem, ndiyo mchumba uyo?
@EmmanuelAllan-kz7rm
@EmmanuelAllan-kz7rm Ай бұрын
Hahahhhah hizi comment zinachekesha
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l Ай бұрын
uyo mwanamke atakua malaya tu
@despinadamian8693
@despinadamian8693 Ай бұрын
We ni nani kutoa hiyo kauli
@user-uq3dq7sr3l
@user-uq3dq7sr3l Ай бұрын
Huyu mwanamke sio wakuoa ni wakutomba na kuacha
@atupakisyemwakikali6777
@atupakisyemwakikali6777 Ай бұрын
Yuko uchi sjui anajiuza
@braggadachu1723
@braggadachu1723 Ай бұрын
Hamna demu hapo
@EricEmmanuel-oy5lt
@EricEmmanuel-oy5lt Ай бұрын
🤣🤣🤣 bongo nyoso sana
@emmanuelndahan9815
@emmanuelndahan9815 25 күн бұрын
Msomi
@kolosii4351
@kolosii4351 Ай бұрын
24 seven ndio nini???
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 Ай бұрын
Masaa 24 ndani ya siku saba
@Heniryahaz
@Heniryahaz Ай бұрын
Ali unatuaibisha huku tunakuheshimu
@PinkyLeonard
@PinkyLeonard Ай бұрын
Mna wivu sana wajinga nyie ovyooo dada wa watu kapendeza ❤
@ommyjuniorjumbe3328
@ommyjuniorjumbe3328 Ай бұрын
Ally kamwe umeudhalilisha uislam kwa mavazi ya huyo mwanamke..yupo uchi kabisaaaa..shame on u Ally..watch out
@paschaliapesambili
@paschaliapesambili Ай бұрын
Ivi ni ally kawa wa kwanza kufatana na wavaa uchi au ni wengi,,,,,alafu ni islamic wangap wanavaa uchi zaid ya huyu dada?
@anoldjefsta177
@anoldjefsta177 Ай бұрын
Kila mtu anaongelea nguo Na akat demu pia ni mbovu
@latifauzia6424
@latifauzia6424 Ай бұрын
Manangu ally kamwe umeniangusha kwa vazi hilo mmmmm
@user-so6md6rm2w
@user-so6md6rm2w Ай бұрын
🤣🤣🤣 twenty four seven we dada khaaa afu bado unajisifu msomi
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Ай бұрын
Mbona kaongea vzr kua masaa 24 na 7 yaan yote analindwa
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 21 күн бұрын
Sasa kakosea nn we mbwa😂😂😂wew ndo ukasome
@annambele789
@annambele789 Ай бұрын
Nguo aliovaa binti katuaibisha sana asirudie kuongozana na wewe hivyo.
@user-lq1fm4dj2n
@user-lq1fm4dj2n Ай бұрын
Ali kamwe apo umefeli dogo iyo nguo aliyovaa na wewe amuendani kabisa
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 6 МЛН
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 127 МЛН
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 16 МЛН
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 2,3 МЛН
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
KIREDIO
Рет қаралды 103 М.
КАК ОН РАССТРОИЛСЯ СНАЧАЛА 😂😂😂 #пранк #юмор
0:36
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 3,4 МЛН
ХЕЧ БУЛМАСА МЕХНАТГА БИТТА ЛАЙК БОСИНГ
0:12
Муниса Азизжонова
Рет қаралды 6 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
0:17
OKUNJATA
Рет қаралды 3 МЛН
Яблочки уже не те 🍎🤣❤️
0:48
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 1,1 МЛН