Ahsante Mch.Mgogo ushuda wako umenijenga Mungu akubariki.
@salimalimasi13264 жыл бұрын
Napenda sana iyi interview nimependa ujumbe uliomo , na dada ulio apo Mungu akubariki vile unavyo jistiri . Umevaa vizuri sana , unadamsh comfortably and elegant . Ukweli umesemwa , unaushuhuda mzuri Pastor wetu . Utafika mbali sana
@blasioshitsirishibachi97392 жыл бұрын
Huduma yako ni first class. Naomba ifanye na masters kabisa katika kazi ya uinjilist. Nakuoembea sana Mungu aendelee kukuinua
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Hawa ndio wale tunaowaita WALIMU tena WALIMU wazuri katika huduma za KIMUNGU.
@elizabethkaroli37994 жыл бұрын
Ukisikiliza kwa makini kuna sehem utalia kuna sehem utacheka kuna sehem utajifunza nk barikiwa sana mchungaji
@esperanceruziga19904 жыл бұрын
Iyo ni kweli kabisa
@mtupiruu32524 жыл бұрын
Amen
@hawamusumba4314 жыл бұрын
He is nt jst a pastor but a role model to the society
@victoriamallago83073 ай бұрын
Mchungaji, uko vizuri sana. Endelea kutusaidia. Hiyo si hekima ya kawaida, mh! Umenibariki; umenipa majibu ya maswali yaliyonitatiza. Umebarikiwa.
@kagoramogi2 жыл бұрын
I wish we don't have music on the background to distruct the attention of listening this good message
@paulina.baynit79704 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki sana. Nakupenda maana una gusa maisha ya watu. Nimenufaishwa na Kubarikiwa sana na mahojiano haya. Mbarikiwe mno.
@phoebemmanga2994 жыл бұрын
Ubarikiwe Mch. Daniel Mgogo. Unatuponya roho zetu. Ameeen.
@emmanuelgabagendi31694 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu sana mchungaji
@aludomakori42304 жыл бұрын
Dada mtangazaji nimekupenda uko smart,vaa yako Hadi ongea yako
@rajabumalupu41844 жыл бұрын
Tatizo makuchaaa hyoo
@mecktildatushabe78984 жыл бұрын
Kweli kajitahid
@michaeldjunior10234 жыл бұрын
Kama hana pete vile, ngoja tuombe posa
@abdullatifnakikolo74334 жыл бұрын
Kweli aiseee.. mtangazaji yuko njema sanaaaa.. big up kwake.
@angelangare8634 жыл бұрын
God Bless you man of God watching all the way from Kenya mombasa
@brightonjohn43934 жыл бұрын
Namkubali sanaa huyu Baba Mchungaji
@rosemarynyabenda31314 жыл бұрын
Kazana Kuhubili Muchungaji MUNGU AKUBARIKI WEWE NIMUVUNAJI KATIKASHAMBA LABWANA YESU KIRISITO HUWATUNABARIKIWASANA
@nelsonsaimon56464 жыл бұрын
Pastor Mgogo kazi yako n kubwa sana katika kutusaidia sisi vjana na jamii kiujumla mungu akutunze na kkutetea katka huduma yako
@rehemankungu35114 жыл бұрын
Napenda sana mafundisho ya mch,na hasa hongera kwa aliendaa haya mahojiano,ila kimeniudhi huo mziki ni wanini hasa
@wakyomusongo72454 жыл бұрын
Hata mm mziki hapana
@shangwekamando25994 жыл бұрын
Pole kaka
@shangwekamando25994 жыл бұрын
Pole kaka
@beverlymutinya5104 жыл бұрын
God does not call the qualified,He qualifies those that He has called.He doesn't call the prepared,He prepares those that He has called.Long life Pastor Mugogo.
@ezekielmwasamboma99533 жыл бұрын
Very true
@jafariabwe34342 жыл бұрын
@@ezekielmwasamboma9953 hello
@patrickigiraneza65914 жыл бұрын
Asante Mchungaji kutuelezea historia au njia yako tangu ulipoanzia kumtumikia Mola.
@AppolineAtandjo6 ай бұрын
Baba yangu tunawapenda sana kwakazi Mugu ametiya ndaniyenu,mubarikiwe sana tena sana❤❤❤
@carolinetalam58324 жыл бұрын
My favorite pastor be blessed 🇰🇪
@michaeldamas96112 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, kweli utumishi upo ndani yako.
@elizabethchristopherkilumb47294 жыл бұрын
Hakika dharau siyo nzuri . Mungu nisaidie nisiwe na dharau ndani yangu , nimpende kila binadamu .
@nyandajppeter44934 жыл бұрын
Mgogo umefika mbali
@tembarooney7899 Жыл бұрын
Amen❤❤
@arielngabo90164 жыл бұрын
This testimony is so powerful and helpful. But the music is not necessary. Please leave the testimony be clear and neat.
@nemaodhiambo72744 жыл бұрын
Thanks you
@arielngabo90164 жыл бұрын
You welcome my sister.
@ananiamkasu88474 жыл бұрын
Watumishi kama wewe ndio nguzo ya taifa,kwani biblia inasema akiwepo mcha Mungu moja wa kweli ktk taifa Mungu hulinda taifa hilo!!
@irenemacha74574 жыл бұрын
acha mwanadam akushushe chin ili mungu akuinue
@adrophwilliam32254 жыл бұрын
Ni Mungu sio mungu
@nicholaskhainza48023 жыл бұрын
Tunashukuru Mungu kwa kukuinua kutoka kwenye vianzo vidogo hadi uliko leo hii.Mungu azidi kukutumia kutukosoa,kutujuza na kutukomboa.Mungu akubariki 🙏
@meksonyjoseph89094 жыл бұрын
Huyo ndo mchungaji wa kweli ana fundisha maisha halisi ya binadam na tabia zake .najinsi ya kumshilikisha mungu kurpuka mabaya
@stevenlayda78474 жыл бұрын
Powerfully testimony 🙏🏻Barikiwa sana mtumishi
@manasejames84044 жыл бұрын
Napenda jinsi MUNGU anavyo mtumia kutangaza habari njema ya yesu Mungu akubariki
@gwakisanoah25384 жыл бұрын
Haleluya watu wa Mungu. Ahsante kwa ujumbe pia kwa safari ya wokovu mchungaji. Nimesikiliza vizuri,,,, Yako mambo mawili nataka kuongezea hasa kwa habari ya dhambi ya uzinzi. 1. Ni kweli kabisa wengi walijua na wanajua dhambi zote ni sawa ila dhambi ya UZINZI ni kinara cha dhambi zote... Yusufu anasikika akisema nimtendeje Mungu dhambi kubwa kama hii mbele ya mke wa Potifa anakimbia pia dhambi zote ni nje ya mwili wa mwanadamu isipokua dhambi ya UZINZI. "ikimbieni zinaa" mpaka mtu ashiriki dhambi ya UZINZI huyu alikusudia kuitenda kwa gharama yoyote. Kwa swala la kutengwa halafu baadae arudi kundini hiyo si sawa,,,, lugha nyepesi hatakiwi kurudi tena kundini ndio maana siku hizi kuna mizaha sana makanisani maana wanajua watarudishwa tena. Wakirudu bado wanarudi na tabia zile zile za kale. MTU akibainika amezini asitengwe tu bali AFUKUZWE kabisa. 2. Nimezini nakufuata ofisini kwako ili wengine wasijue na unikingie kifua kwa sababu ya wadhifa nilionao yaani tajiri, msomi, mwimbakwaya, kiongozi wa ibada, sorolist maarufu, mtoaji sana, maskini nk... Dhambi ni dhambi tutafanikiwa kuficha mimi na wewe lakini KAMWE hatafichwa Mungu, maadamu mtu amekiri kuzini iwe ni kwa mchungaji au kiongozi mwingine huyo AFUKUZWE kwa staili yoyote ile... Kizazi cha leo utatenga wangapi na utarudisha wangapi ona watu wanavyovaa makanisani, wanavyosuka, wanavyonyoa, hakuna tofauti na wahuni wengine walioko mtaani tofauti ni Bwana asifiwe tu. Kanisa SIO sehemu ya kufanyia mizaha. Kanisa ni sehemu serious kwa watu serious. Mwishoni, Injili kabisa kabisa haikumwacha mwenye dhambi anacheka ilimpa afanye maamuzi mawili tu yaani KUMWUA aliyehubiri ama KUTUBU dhambi na kuanza maisha mapya... Njia ni Ile Ile bado haijabadirika. MATENDO 2:37, 5:33-42, 7:51-60. Amen
@wardawarda34274 жыл бұрын
kabisa halafu eti utakuta anazaa mtoto wa kwanza anarudi kundini anabeba zaidai ya mimba tatu zote zinaa zote anarudi kundini Mungu anajua ila zinaa skuizi yani wameifanya kawaida kule kwa nabii Mkuu wanaenda waombewe ili wazae wakati hawapo kwenye ndoa dada yetu Wema analia apate mtoto lakini hajaolewa. onaona sasa mtihani huo leo kijana anakutongoza siku moja hiyo anataka uzini nae subhanaallah.
@joynkungu76304 жыл бұрын
Ni kweli kabisa mtumishi,Dhambi ya uzinzi tumeona makanisani km kitu cha kawaida tu,na wakati ndo dhambi inayo beba mambo mabaya mengi cn, na km hilo la dharau,na mizahaa,ndo limekuwa nguzo kuu ndani ya makanisa.
@joynkungu76304 жыл бұрын
Mungu atufanye tupone
@dafrozasangi30383 жыл бұрын
Mchungaji nimekuelewa ubalikiwe sana
@user-vg6me9vk7y9 ай бұрын
Amen 🙏 baba nimesikia kubarikiwa sana ata Mimi MUNGU atanisaidia nijue kuongea kingereza vizuri nisawala la muda tu
@cyrusmecha6644 жыл бұрын
Asante Sana Mch D mogogo unajenga mioyo ya wengi Sana endelea barikiwa na Elohim
@samsonkabakasamsonkabaka77734 жыл бұрын
Walitazama kimwili kumbe rohoni uku vizuri hongera sana
@bibianajangandu17272 жыл бұрын
Hongera mch mgogo bxarikiwa sana
@paschalzacharia67084 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu,unaneno la Mungu ndan yako
@edwardkasubi13324 жыл бұрын
Hukufeli darasa la saba bhaaaana isipokuwa shule zilikuwa chache wakati ule
@barikielisaktay74044 жыл бұрын
Be blessed pastor you're so unique
@enestaasanga27154 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na kipindi hiki barikiwa mtumishi unaeleza vizur sana
@samwelsamwel26924 жыл бұрын
Hivi unaimba gospel? ??
@enestaasanga27154 жыл бұрын
@@samwelsamwel2692 hapana siimbi ndugu yangu
@doreenchuwa36304 жыл бұрын
Nafurahi sana nikimsikiliza Pastor yaani napata raha tu nina Enjoy.... nakuwa tu naraha Asante Nice interview
@ezekielmwasamboma99533 жыл бұрын
Mungu akutunze Kaka yangu mpendwa, huduma yako ni njema sana! Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi na zaidi! Barikiwa sana mtumishi wa Mungu!
@shadrackmajikwa47704 жыл бұрын
Ongera. Sana. Baba. Mchungaji
@philipowilliamu79744 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor.
@imrantheophile75234 жыл бұрын
Listening from Kuwait,, You are real man of God.. You talk facts and you believe that we are human
@happinessndunguru51554 жыл бұрын
Mungu anamtumia mtumishi wake barikiwa mnooo
@raka198534 жыл бұрын
Hapo umenena mchungaji, great testimony
@adelinaadoloph53114 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mch.Huduma yako ni nzr napenda kuskiliza mahubiri yako
@prosoerngelangela80464 жыл бұрын
Watanzania tumekuelewa sana Mchungaji na ludia tumekuelewa hatakama wengine hawajasema ila wamekuelewa kimoyomoyo
@happybruno17644 жыл бұрын
Ni nakukubali san nayakumbuka mahubili yako yalisababisha baba na mama waokoke iringa makambako myaka ya tisini huko mwaka wa kwanza somo ni pombe ni kikopo mwaka wa pili wachungaji munapenda mikate makanisani, mwaka wa tatu ulisema mm ni nessi katumwa na dackital mungu agawe doz mbili mala tatu myaka hiyo
@luciuskomba88244 жыл бұрын
Samaki haloi 😀😀😀 ubarikiwe sana mchungaji 🙏🙏
@samsonkabakasamsonkabaka77734 жыл бұрын
Baba uko vizuri sana kweli mchungaji ana siri kubwa Sana
@goroliainekisha5834 жыл бұрын
Hakika wewe ni mchungaji mwema,mungu anakutumia
@dannabiswa13403 жыл бұрын
umeniponya moyo wangu mchungaji,hongere kwa kazi nzuri
@selfaakinyi5124 жыл бұрын
Neema yaa mungu izidi kuwa juu yako mchungaji napenda nondo zako zinaniponya mno.from Qatar amen
@esperanceruziga19904 жыл бұрын
Pastor napenda Sana injili yako. Natamani sana nikitumiwa maubiri yako yawe full Mzee
@dorcasshoo24054 жыл бұрын
That's mgogo much love to you championship
@bernardwald87454 жыл бұрын
Hongera sana mwamgogo ulongite lukani!
@paulomwalimu67313 жыл бұрын
Ongera sanaa mchngji mungu amekuinua kwa viwango vya juu na vya ajabu sanaa
@isaacjackson76672 жыл бұрын
Lkn nimefurai Sana sema hapo t kwany kupenda Arsenal mmmh jamn tunakupenda lkn hii timu dah
@josephinejacob55504 жыл бұрын
Mchungaji mchekeshaji.uko vizuri.
@queenessiekenya68694 жыл бұрын
A very big testimony 🙏🙏🙏napenda mahubiri yako from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@yhudahtallam43984 жыл бұрын
Kweri
@mtupiruu32524 жыл бұрын
Anatumiwa sana na Mungu
@estherongere27654 жыл бұрын
Amen sana mtumishi unanibariki sana kutoka Kenya
@abdullatifnakikolo74334 жыл бұрын
Kipindi kizuri sanaaa.. hongera mchungaji na pia mtangazaji mmefanya vema sanaa. Mbarikiwe.
@evawayesu78484 жыл бұрын
Amen amen God bless u Pastor l like this papa so much thanks
@abbybixa69724 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@franciswasajja68314 жыл бұрын
Am following you from Uganda
@mwajejasson69954 жыл бұрын
Mchungaji mgogo unatakiwa uwe mbunge Wa chama chochote maana mungu anakusimamia
@jafariabwe34342 жыл бұрын
Verry nice God bless
@gressmaganga35514 жыл бұрын
God bless u pastor Daniel
@leahmwasaru35009 ай бұрын
I love your preaching
@bwirechrispus30922 жыл бұрын
I listen to this pastor's teachings all the time Busia Uganda well represented
@lauratuya4 жыл бұрын
Pastor be blessed 🙏🙏
@t7zkc5tpxgim284 жыл бұрын
AMEN, Mungu akubariki sana pastor haki huwa wanibariki zaidi
@msafirimhehe4 жыл бұрын
Wow! Amina.. Umezungumza ukweli kabisa wa Utumishi. Barikiwa..
@medardpeter83723 жыл бұрын
Ahsante Sana pastor Mgogo ubarikiwe sana
@jeanmjimmy4 жыл бұрын
Hapo nimefurahi kabisa "zawadi ya mwanafunzi mvumilivu"(hacha nipime hapa Australia nione kama wazungu watanizawadiya).🤔🤔🏞
@barakamwema69804 жыл бұрын
Nataka namba ya huyu mtumishi wa mungu mgogo
@monaishm94452 жыл бұрын
Najisikia haman nikimsikiliza mtumishi wa Mungu
@user-mb7pl8ok9r Жыл бұрын
Ulinitowa mbali sana mchungaji wangu
@ceverinlyimo82914 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji..
@douglaswawire1744 жыл бұрын
Thanks pastor,
@agneswayua57383 жыл бұрын
Napenda maubiri yako from Kenya God bless you
@v.mapenzii4 жыл бұрын
"Akisema good morning njo sielewi kabisa" I love this sentence
@mugemadesire82863 жыл бұрын
Mchungaji injiliyako inahekima, mungu azidi kufungua mlango injili itangazwe
@devothabishagazi23904 жыл бұрын
Pastor nakupenda mno Mungu azidi kuinua huduma yako
@fredrickodongo85704 жыл бұрын
I love listening to him!!! .He touches our hearts.
@rogersmaokola31473 жыл бұрын
Hahahaaa barikiwa baba umenichekesha ama kweli
@arcadensenguwera8943 жыл бұрын
Asante sana kwa kipindi kinanijenga upya
@k.kswitzerland41684 жыл бұрын
This guy is really..plz the music is too ......
@albertludago73744 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na huduma yako pastor wangu
@johnhaule17502 жыл бұрын
Mgogo,pasta,ukovizuli🙏🙏🙏
@nyekingobwire79934 жыл бұрын
MCHUNGAJI jitaidi uje na kigoma napenda Sana mahubiliyako
@aludomakori42304 жыл бұрын
Umejitahidi kujibu vzr
@fei36684 жыл бұрын
my favourate pastor
@ameniameni6174 жыл бұрын
Pamoja Sana mchungaji mgogo nakukubali sana
@zawadimwanyuke30534 жыл бұрын
Jamani nampenda sana mungu aendelee kumu inuwa
@devothabishagazi23904 жыл бұрын
Nimekuelewa mwenye dhambi hatendi dhambi....
@GODisable75734 жыл бұрын
Zidi kubarikiwa Mchungaji Daniel Mgogo na MUNGU azidi kukutumia zaidi🙏🏾
@elizabethchristopherkilumb47294 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia baba yangu .
@emsalilwa49004 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi!
@ameniameni6174 жыл бұрын
Umeanza utumishi kabla sijaanza shule kweli wewe nimtumishi wa Mungu unayeponya mioyo yetu
@mulabwempendwa32524 жыл бұрын
Huyo baba ni hatari kabisa Muchungaji tunakupenda sana hapa USA phone number ndo tungetaka.