Kwani mwamposa si ni mwanaume jamani? Mwamposa we love you❤❤❤❤❤
@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly6 ай бұрын
Haya mambo yenu ya uongo yatawapeleka kuzimu,kazi yenu kuwazimisha watumishi wa Mungu ili wasiifanye kszi ya Bwana.
@rosemuhandoofficial56767 ай бұрын
Amuoe ndo safi 🔥🔥🔥🔥🔥
@NataliaKenny-vb6os6 ай бұрын
Kabisa my love ssta rose umeongea ukweli kwan wakiwa watumish wa mungu ndo wasiowane? Ndo ni baraka❤
@Madammgeyekwaofficial6 ай бұрын
Ndioo boss Rose MHANDO
@stellamuyenjwamboyi75596 ай бұрын
Neema iwe juu yao❤❤
@Madammgeyekwaofficial6 ай бұрын
@@stellamuyenjwamboyi7559 kweli eeh
@brightonjonas696 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@hawaelymaricca76027 ай бұрын
Hata akimwoa Martha mwampaja sawa tuu tena safi sana.
@mashipeter48196 ай бұрын
Sasa kabla hujatia hizi habari ungeenda kwa wahusika wakakupa jibu then ndo ukatoa. Jiangalie na
@BeullahBujah-lk3sx6 ай бұрын
Glory be to God hallelujah
@user-hw9lu6fx3x6 ай бұрын
Jamani Martha mama ninakupenda sana! Ushauli wangu usiolewe na mwamposa
@mashipeter48196 ай бұрын
Majibu wanayo wenyewe. Nenda kwa Mwamposa ndiko utakakopata majibu
@lightnessgamasa60396 ай бұрын
Hayawahusu acheni ujinga nyie,mwamposa nimtumishi wamungu,kwani akimuoa mth Kuna shidaa?? Hata hivyo mwamposa amejiheshimu Sana 🙌🙌👏👏👏👏👍
@molenicharles91077 ай бұрын
Nyinyi mlitaka aowe kikongwe????...mbwa nyinyi
@user-zl5vu6sy2z6 ай бұрын
Mungu tu afanye mazuri Kwa maisha ya mum Martha waipaja
@shangwefisima39936 ай бұрын
Nawaonyeni acheni kuchafua watumishi wa Mungu...shauri zenu
@stevenrichard1895 ай бұрын
Imani tumeilinda na tutasimama Imara..Hatupo kwasababu ya maisha ya mtu, Mwamposa ni wakala wa Mbingu ametumwa MUNGU aliye Hai.
@kingswebe32516 ай бұрын
Habari za kipumbavu hizi
@rahabnkya82766 ай бұрын
Kuona ni kupenda na kupendwa na kutimiza AMRI za Mungu watu waongezeke, watoto hata na mali na kumtumikia Mungu licha ya kuwasaidia wengine wasionacho pia. Madhabahuni pake wanawake ni wengi na yy ana chaguo kuwa na familia su na kuishi kama Mtume Pauli kajizuilia atende tu kaz ya injili kuwaokoa watu, arusi na ndoa tuviombee asiwe mpweke na watendakazi tu, mwisho mtamsema ovyo kama mitandao imekuwa ikituboost na vijimamipisho. Haifai
@bravinsengabravin27006 ай бұрын
Safi
@EsterLahel-ks4yu6 ай бұрын
Ningefurahi balaaaa❤
@octavinaalphonce68986 ай бұрын
Safiiiiii
@user-ys7od7xb6f6 ай бұрын
Cha ajabu ni kipi acheni kumtangulia Mungu hata akimuoa Martha hakuna kizuizi ni mahangaiko yenu TU.
@hopealoyce36786 ай бұрын
Shida iko wapi
@mourineburton44276 ай бұрын
Bwana Yesu tumuache baba wa watu
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Maisha kitu cha ajabu waacheni Mwamposya na Martha hao ni watu wanahubiri sana neno la mungu
@MerryMatihasАй бұрын
Ohoooooo
@adammalale71945 ай бұрын
Kabla ya kuwaza kumchafua mwamposa waza uwezo wako wa kushinda. Note hatakama umuone mtumishi yeyote kakosea machoni mwako amini halitaweza kuondoa kipawa chake. Ili ushinde jua agano lake na MUNGU tatizo watu wengi hawapokei kwa kuangalia mwenendo wa maisha ya Mtu au kuhani wa madhabahu
Achen upumbafu, huyu ni binadam kama wew, mtumishi hapo safi sana, tulete mama yetu, atakae tulea mie naona unachelewa beba japu usiagalie Wanasema nin, fanya hima baba mtumishi,
@PachaAlex-mk4cw6 ай бұрын
Du!inaonekana wewe kwa mwamposa upo kama mwenye shida ya maombezi,ila hujaonkoka dogo.na wala si muumini,maana bado umejaa vifungo vya hasira na maroho ya matusi baraaaaa!!!Tafuta wachungaji kwa ushauri,ukaokoke,na ufanyiwe maombi ya ufungulivu mdogo wangu.
@peterkandonga15857 ай бұрын
Acha kuchafua watumishi wa mungu
@gracekagoma32316 ай бұрын
Umbea sana.Hivi huyo baba hana mke au vipi😢
@PendoMatovelo6 ай бұрын
Jadilini ya mwamposa yakwenu yanachelewa, mnahangaika wenzenu tunapata faida kutoka Kwa mtume mwamposa hatamkisema uchafu wa aina gani juu yake hatuachi kwenda Kwa ibada kawe. Kaza Buti mtume wanyooshe.
@user-xb7ze3qj8z7 ай бұрын
Unatafuta laana wewe mwamposa ni mtumishi wa mungu
@chumamasaka5 ай бұрын
Ni izuri
@AdolphinaAlinda17 күн бұрын
Waoane jaman
@user-ut4vt1kn7w5 ай бұрын
Sass Mtumishi Ana a cha Mke Mungu Atamheshimu Kama MNA lose ma nikweli Ha po I mani Ngumu
@user-yj5es1jw8c6 ай бұрын
Waongo nyie mbona
@user-ew5kf9xl2k6 ай бұрын
Inapendeza
@user-kd4qr9wm2k6 ай бұрын
Unamchafua mtume Mungu atakujibu
@kaayaester9739Ай бұрын
Matha binti yangu nakujua tulia mombe mungu akuonyeshe mchumba usikimbilie tuu mtu hapana usiwe na haraka wee acha hiyo ulivyo mzuri nakushauri nonono
@mariakalama30142 ай бұрын
Wachani majungu na watumishi wa mungu
@bibielroybibielroy87106 ай бұрын
Kama umekosa habari nyamaza acheni kumchafua mtumishi wa mungu habari zenyewe hazina mashiko!!
@RehemaKasanga-vu5nj27 күн бұрын
Waache waoane Kwen kunishida gan Mwaposa akioa
@nsiamasawe45787 ай бұрын
Kwani mke wake wa kwanza kaenda wapi?
@sabrinaandrew42456 ай бұрын
Hivi kwanini mtumishi wa mwenyezi mungu mnakaa na kumjadili.Usimuombe mwenyezi mungu akusaidie ufanikishe hitaji la moyo wako wewe mjadini mwamposa tuu upoteze muda wako
@AlbanoAndrelajaAndrelaja3 күн бұрын
Acheni u wivo😊😊
@shabanikitula6457 ай бұрын
Jinsi nyie ni wambeya mpaka mnaweweseka
@BukinduBukinduАй бұрын
Mnateseka mkiwa pade zipi.
@pendomarco89286 ай бұрын
sawa tu kwani kuna ubaya
@user-tx4zc9mz6w6 ай бұрын
Kwani shida yenu Nini ..si wa kiume au!!! Mnatakaje kwani.maamuzi anayo yeye. Semeni msemavyo .huyo ni Musa wetu kwa kizazi hiki.bado hamjasema , mtasema
@Mariam-dx7lr6 ай бұрын
Hayo ni maisha yake binafsi hayatuhusu ingekuwa yanatuhusu angetutangazia jali maisha yako dada haijalishi ,,hata kama kaowa mtt wa miezi 6 si wamekubaliana? Shida ni nn?? Au ulitaka kuolewa wewe? Acha wivu
@julyanashedrack27256 ай бұрын
Hee hii Dunia kizunguzung
@atumigwepanja24996 ай бұрын
Jamani, hivi Biology haijatusaidia, yaani mwanamke wa age 21 bado anabaki kuwa mtoto? Nadhani skendo hapa ingekuwa Mwanaume wa age 21 kuoa mwanamke wa 47.
@dainessmyovela21156 ай бұрын
😂😂😂 Sipati Picha,🙈
@LucasMwijage-oc5nx6 ай бұрын
MUNGU ameisha toa taarifa kwamba mission ya adui nikuchafua watumishi wa Mungu. Ila Mungu hajalala! Atafunga kila ubaya.
@williamalfred-hz6zp6 ай бұрын
Wew umejuaje?
@user-sj3wf5vz7l6 ай бұрын
Christina shusho ni mke wa mtu jamani. Na hawa wote ni waimbaji wanatoa huduma.
@isaacmollel3456 ай бұрын
Lisemwalo ilpo.km halipo laja.kusema waaache watu.waseme walasiyo dhambi.Mkombozi wetu Yesu kirsto alisemwa.sana ajabu haowaliomsema walikuja kumsujudia.wakaamini kuwaAmetumwa.na.Mungu.mwamposa siyo Yesu walasiyo Mungu swali lakujiuliza.ni je Ameoa na anaishi na make????tuachane.na.hao watafuta pesa.siyo.waimbaji walawahubiri Yesu aliwahikusema wacheni ngano na magugu yaote pamoja mwenyekutenganisha.ni.Mungu mwenyewe Ameni
@nhguyrff73506 ай бұрын
Nyie mnatoa habari abazo hamna uhakika nazo kila neno unaro litamka utakuja kulitolea hesabu msichafue watumishi wa mungu nje nyinyi ni wakamilifu acheni kila mtu atasimama pekee take kwenye kitu Cha hukum
@GeofreyKalo-ot3we6 ай бұрын
Akimuoa itakuwa shida?
@EstherJerald-tc6ct11 күн бұрын
Sioni ajabu ,maana ni binadamu ,wakioana kuna ubaya gani ? Mungu atende tu waoaneeee
@celinepius8303Ай бұрын
Haitapendeza akiolewa nae mm sipendi
@BarakaKamara6 ай бұрын
Acheni kuwachafua wapakwa mafuta wa Mungu. Mtaalaniwa nawaambia.
@victoriasamaga84295 ай бұрын
Kwani shida iko wapi!
@BettyMsongole6 ай бұрын
Acha kuchafuwa watumishi
@sumaiyahabibu17185 ай бұрын
Mwacheni jamani mtumishi wetu hongeeni mpaka basi atuachi kwenda kawe
@rosehaule67657 ай бұрын
Mwampisa si yupo na mke jamanii mmh au pesa imemuachanisha na mke 😢 haya kwa Mungu akuna siri
@annasolomon98557 ай бұрын
Make ndo alimwachaga mwamposa kabla hajawa na pesa Wala kuanzia kuhubiri injili Tena alimwacha kisa umasikini
@user-mf9tu4yu3p5 ай бұрын
Kuchafuana sasa😢😢 kwani mwampoaa si binadamu Kama wengine hastahili kuoa na kuacha? acha unafiki wewe.
@charleskabaka30156 ай бұрын
Haina shida mbona kolabo lao litakuw Bomba sn
@jesterfredrick94976 ай бұрын
Muacheni baba yetu jaman mweh!!!!
@hassanyohna61216 ай бұрын
Ulitaka akuoe wewe ....... Mtumishi wa Mungu hajadiliwi .......tumia akili Malaya wewe ........Unavuliwa na wangapi mbona hawakusemi Kazi kuchafua watumishhi ...Mbwa Mmoja wewe ..........Tena atamuoa Anae mtaka sio wanae mtaka kwenye ukoo wenu.
@tonnyford57826 ай бұрын
Yy mwanaume na Iman yake haimkataz kuoa ww ulitaka akuoe ww?😂😂
@robisonikadogo73716 ай бұрын
Kama yure mnaijeria ariyekuwa anaaminika Dunia nzima Siri imefichuka arikuwa mchafu kama dampo,itakuweje kwa away waigzaji wakimataifa,Awana tofauti na Babu wa roriondo
@frimasonidunia866 ай бұрын
Saf
@salomekibe66576 ай бұрын
Mbona wamuhaibia mtume jina kweli musihukumu mtu ila machining mingi afanye kazi take Na mwaipaja mke WA mwenyewe jamani dunia inaenda wapiiiiii 😢😢😢
@demicratia40716 ай бұрын
Mwamposa kamuoa binti wa MIAKA 21 kumyakimya Arushaaass habari NDIYO hiyooo
@mourineburton44276 ай бұрын
Jaman mwacheni mtumishi wa MUNGU
@asteriashios18523 ай бұрын
Yaani hainihusu maana hakuna hata ninaemuamini hapo ndo tabia za akina Cristina shushu yaleyale
@hirdahaule-qe8ot5 ай бұрын
Mwamposa muoe matha Mungu itampendeza ila usimuumiz akumbuke alikotoka msahauliahe yote matha anahofu ya Mungu
@annamadavid41527 ай бұрын
Kalalee
@user-uy4uq4iv5h6 ай бұрын
Inahusu nn mwenyewe
@richardgeorge53776 ай бұрын
Yaani umekosa ya kuongea? Mungu anawaona mnachafua kiinywa cha Mungu
@ainessfoya44636 ай бұрын
Arise and shine itaendelea tuuu..itainuka tu..tutabarikiwa tuu..mwaposa chaguo la mungu..kipenzi chetu..majungu tupa kuleeee
@eliakazilo60786 ай бұрын
Mwamposa Ni Mwanaume..anaruhusu kuoa wake 60.sema sisi wakristo ndio tunajidandanya mke mmoja.ni lijali mwacheniiii. ..a.k.a kusiki nikwaee
@saidissa82736 ай бұрын
kwani haawa wana dini?
@magretomondi83126 ай бұрын
Duuh! Si Martha Mwaipaja walifunga pingu ya maisha na Mumeo kanisani? Imekuaje leo Mwaiposa kaoa Mwaipaja? wajitokeze wenyewe ijulikane rasmi basi
@MakanyaHome-th2xn4 ай бұрын
Hebu acheni kumjadili mwamposa kwa habari yandoa yake tumuombe tu ndoa yake iwe ya baraka hajalishi ametoa mtoto tunamuombea amani na upendo
@mbwawafillingstation6 ай бұрын
Acheni uongo mtoto wa huyo mama hajaolewa na mwanmposa mwacheni mwamposa na bint wawatu anasoma zake chuo
@nikodemmwahangila33345 ай бұрын
Kumbe hana mke mwamposa mbona ni dingi mtu mzima
@fidelfidel-jz4iw6 ай бұрын
Nyie ni mamuma yesu alikuwa na matajili japo alikuwa mtakatifu wa mungu Hera ndio kila kitu
@user-xs7bc6ur6p5 ай бұрын
Jamani acheni kuzusha mambo
@nchimbilusda72596 ай бұрын
Kwani hiyo inaweza ikawa ni skendo ? Na kwani ana marufuku kuoa? Sasa alitakiwa aoe au aolewe nani? Jaaamani..!Mbona ni vizuri tuu...
@MerryKashaija-jk9xh5 ай бұрын
Acheni kumchafua mtumishi wa MUNGU alie hai ,atamuoaje Matha wakati ana mke wake wa ndoa nawana mtoto binti mkubwa tu
@anithaonesmo29594 ай бұрын
Sasa kwani akimuoa Martha kunaubaya ebu muacheni
@jacksonbayyo29376 ай бұрын
Kwani cha ajabu nini
@regnaldymambaly98805 ай бұрын
mimi sioni tatizo mradi asi shuke chini ya miaka 18 kwasababu mtu akiwa na mika 18 anaitwa mtu mzima maana yake ana yaweza ya utu uzima
@PachaAlex-mk4cw6 ай бұрын
Anamuoa matha,mbona wengi wanalijua hilo siku nyingi tu!!na ameshaanza kufanya hatua za kumwingiza kwenye chama kibaya alichomo.na kama hamuamini,angalia now Matha ameanza kubadilika,mpaka anapost picha amevaa masuluali.uimbaji wa nyimbo zenye mguso umekata.anaimba nyimbo za kawaida saizi,tofauti na za nyuma.tulieni mtarndelea kuyaona hayo yote kwa ukamilifu saaaaanaaaaa!!!