SIKIA..!! Vituko vya Makongoro Nyerere mbele ya RAIS SAMIA | "Nivue barakoa..?"

  Рет қаралды 524,598

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

2 жыл бұрын

#MwlNyerere #Miaka100yaNyerere #RaisSamia #MakongoroNyerere
Mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere aitoa salamu za familia wakati wa Mdahalo wa Kitaifa wa kuadhimisha miaka 100 ya kuzaliwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere leo tarehe 09 Aprili, 2022 Shule ya Uongozi Kibaha, Pwani.

Пікірлер: 222
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 Жыл бұрын
Mwl.Nyerere amerudi mpaka raha .Ana upendo sana makongoro na watu na Tanzania pia .hongera mtoto wa mzee wetu wa taifa.
@BernardUrassa
@BernardUrassa 3 ай бұрын
You deserve high position for sure,you remind us our beloved Father of our Nation Julius Nyerere,Thank you Sir.God bless you
@fatmaaliomar9733
@fatmaaliomar9733 4 ай бұрын
Ahsante Muheshimiwa Makongoro kwa hotuba nzuri za kumkumbuka Mwalimu Julius Nyerere kwa bidii zake za kazi na mengineyo aloyafanya ya maendeleo.ya nchi yetu Tanzania.
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 жыл бұрын
Mwalimu Nyerere ni mwalimu pia kwa wazazi wengi, tujifunze kuishi maisha ambayo watoto wetu hawatatuonea aibu bali watajivunia kuitwa watoto wetu..Mungu azidi kukutunza mhshmw.
@shedrackytwinsy2206
@shedrackytwinsy2206 2 жыл бұрын
M
@user-sv2cc4xn1m
@user-sv2cc4xn1m 6 ай бұрын
Hongera sana Mzee Makongoro Mungu akujalie Maisha mema na hekima zaidi.
@samuelnyariki7275
@samuelnyariki7275 Жыл бұрын
Wonderful, legacy's records are in the register of our creator. In the fullness of time he reveals how his servants worked when they were on earth. Even Nyerere's grand children will bear testimony at 200 years of his remembrance. Great men's works live on for many seasons.
@mackiemguhi692
@mackiemguhi692 2 жыл бұрын
Nimependa hotuba yake. Ubinadamu kwanza. Mbwembwe zimenogesha lkn alichokuwa anaongea anakifahamu." Barakoa hoyeee!
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 жыл бұрын
Wenye akili wanamuelewa alichokuwa anamaanisha.Alikuwa anafikisha ujumbe.
@lucasharison2441
@lucasharison2441 2 жыл бұрын
Makongoro Ana jipya kichwani akuna kitu baba yake alikuwa na uwezo mkubwa sana
@mikekamili6686
@mikekamili6686 4 ай бұрын
Huyu mwana wa Marehemu Julius Nyerere, Makongoro Nyerere nimcheshi kweli 😂. Ana hekima na talanta ya kuwa msanii. Usemi wake hapa umenifurahisha sana. Mwenyezi Mungu ayiweke roho ya marehemu Mwalimu Nyerere pahali pema peponi 🙏.
@user-kw8pe9pk4l
@user-kw8pe9pk4l 3 күн бұрын
Makongoro.mtani wangu upo vizuri kwa utani mi muhaya
@HashimYahya-ic2wn
@HashimYahya-ic2wn 3 ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki afrika
@amosshidai8378
@amosshidai8378 5 ай бұрын
A good teacher
@calvinkambanga8312
@calvinkambanga8312 Жыл бұрын
Namkubali sana majaliwa na mama samia wanafanya kazi
@BrendaKimario-ys7lk
@BrendaKimario-ys7lk Жыл бұрын
Nampenda Makongoro...sichoki kumsikilizaga,!.. Makongoro Mungu azidi kukuinua😅
@GeoffreyMaweu
@GeoffreyMaweu 4 ай бұрын
Kiswahili chatuzidi sisi wakenya lakini hongera makongoro
@muhwezitimothy1316
@muhwezitimothy1316 Жыл бұрын
Asante sana
@kanyamagaraabdallah8300
@kanyamagaraabdallah8300 2 жыл бұрын
oui je attends bien , et je dit que , dieu benisse Rais nyerere du TZ , ameeni
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 6 ай бұрын
Daaa point sana sana
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 жыл бұрын
Makongoro anapenda kufarahi na watu TENA ni mtoto wa mjini sana nasikia lugha zake
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 2 жыл бұрын
Kweli lazima kuena comedy kidogo
@user-eq2nq6os7v
@user-eq2nq6os7v 10 ай бұрын
Congratulations ❤❤❤
@TALLUBOY
@TALLUBOY 2 жыл бұрын
Safi
@prosperkullaya6721
@prosperkullaya6721 Жыл бұрын
Very nice speech excellent 100 mcheshi sana una roho nyeupe sana Kama baba yako
@peterboniface2975
@peterboniface2975 Жыл бұрын
U
@profbznesyohana6989
@profbznesyohana6989 2 жыл бұрын
Makongoro ni kichwa sana japo wengi hawamuelewi, amewaponda sana tena kwa kutumia tafisida kali
@vincentmhoro1952
@vincentmhoro1952 3 ай бұрын
Kuna vitu vitatu tu ambavyo mtu huna uwezo au uhuru ea kuchagua. Vitu hivyo ni:- 1. Mungu wako 2. Mzazi wako na 3. Jirani yako. TAFAKARI
@deuskalinga2449
@deuskalinga2449 8 ай бұрын
Good speaker hono. Makongoro
@lovenessaron2669
@lovenessaron2669 Жыл бұрын
😍🥰♥️🔥🔥🔥 Makongoro oyeee
@SmonTangas
@SmonTangas 9 ай бұрын
Kaka umetisha sana ooyee
@SmonTangas
@SmonTangas 9 ай бұрын
Sawakaka nakuheshim sana unajuaa
@SmonTangas
@SmonTangas 9 ай бұрын
Sawaaa
@RevCharlesJPeter
@RevCharlesJPeter 8 ай бұрын
Siku moja mtoto mmoja wapo wa Mwl. Nyerere akiwa Rais itakuwa raha sana. Tutakuwa tunaita Rais Nyerere
@marthamungure1777
@marthamungure1777 5 ай бұрын
Rosemary asingefariki angepanda sana.
@ignatiusm.ndwiga7438
@ignatiusm.ndwiga7438 Жыл бұрын
A good speaker. God bless him.❤
@SmonTangas
@SmonTangas 9 ай бұрын
Sawa ccm oyeee
@SmonTangas
@SmonTangas 9 ай бұрын
Hapo sawa
@meshackchavo4928
@meshackchavo4928 2 жыл бұрын
Nakukubali sana makongoro
@user-yd9up9zg4t
@user-yd9up9zg4t 5 ай бұрын
Mungu ibariki Tanzaniaaa
@beckasalum2620
@beckasalum2620 2 жыл бұрын
Ongera makongoro, mungu mpunguzie azabuza kabur mwalim nyelele
@peterkesimba9619
@peterkesimba9619 2 жыл бұрын
Very wise
@FelisianLiheta-nf2nr
@FelisianLiheta-nf2nr Жыл бұрын
Safi sana
@michaelkaswahili9593
@michaelkaswahili9593 Жыл бұрын
Ok
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 2 жыл бұрын
Sawa!
@fauziakimath7446
@fauziakimath7446 Жыл бұрын
Ubarikiwe.sanaaaaaa
@yusrakahera7589
@yusrakahera7589 3 күн бұрын
Oyoooo kererereeerr
@kazitembo4928
@kazitembo4928 3 ай бұрын
Makongoro oyeeeh,, lakini mzee wasila akawepo yupo
@selemanimadeha4658
@selemanimadeha4658 2 жыл бұрын
Speach za makongoro zinahitaji akili kubwa Sana kuzielewa
@salehalisalum5466
@salehalisalum5466 Жыл бұрын
Namuelewa saana
@user-cw2hf5zp6u
@user-cw2hf5zp6u 2 ай бұрын
Daah namkubali
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 Жыл бұрын
As philosopher as the father
@prosperkullaya6721
@prosperkullaya6721 Жыл бұрын
Namkubali sanaa best yangu apo vipi Sasa lol!
@nkwabidonald4277
@nkwabidonald4277 2 жыл бұрын
Duh
@andrewalbin3847
@andrewalbin3847 3 ай бұрын
7:00 vidole oyeeee😂😂😂
@eugenenkandu1287
@eugenenkandu1287 Жыл бұрын
Like father Like son
@mussamisinzo4934
@mussamisinzo4934 Жыл бұрын
Ok mh makongoro mungu akubariki sana!
@josephkithama9739
@josephkithama9739 Жыл бұрын
Wakati tukisoma Tabora,alikuwa anapiga bendi ya Tabora Boys alikuwa mpigaja mzuri wa bass guitar, watu walikuwa wanachanganyikiwa.mtu wa watu kama baba wa Taifa
@salummwanga8181
@salummwanga8181 2 жыл бұрын
Sionagi umuhim wa vituko kwake, labda umsifie kuwa anachapa kaz, vituko na vichekesho vinasaidia nn ktk jamii za sasa?
@samuelkamau3418
@samuelkamau3418 2 жыл бұрын
Why no one will mention how he is a spitting resemblance of Mwalimu Julius Nyerere
@emanuelmuna1242
@emanuelmuna1242 2 жыл бұрын
Barakoa hoyeeee😂😂😂
@uzimaafricanheritagetv8189
@uzimaafricanheritagetv8189 Ай бұрын
L
@nickdhaemperor-ox7sz
@nickdhaemperor-ox7sz Жыл бұрын
Natamani sana niingie Tanzania
@magrethtitus
@magrethtitus Жыл бұрын
Karibu
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 11 ай бұрын
Uje kufanyaje kaa hukohuko
@tibonmbingi1082
@tibonmbingi1082 2 ай бұрын
Hayo ndo mnayoweza
@allymwazoa2284
@allymwazoa2284 8 ай бұрын
Kama utani vile lkn Msg inafika vizuri kama ilivyokusudiwa
@BernardUrassa
@BernardUrassa 3 ай бұрын
👏🏽👏🏽👏🏽🙏🏾🙏🏾🙏🏾✔️✔️✔️
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Makongoro mmpe uongozi tu kwa vile ni mtoto wa hayati nyerere lakini ni mtu wa comedian sana kwa kuongeza jiji la arusha ni bomu kabisa mlevi sana
@whimsymaverick3057
@whimsymaverick3057 2 жыл бұрын
Jiji la Arusha haiko Manyara we MTU. Huijui hata nchi Yako unathubutuje KUCOMMENT?
@laurinfred2931
@laurinfred2931 2 жыл бұрын
@@whimsymaverick3057 😅😅 mwambie afatilie hata hutuba za Mwl Nyerere zilikuwa na ucheshi ndani yake
@LerwenceokuloMolle
@LerwenceokuloMolle 5 ай бұрын
Makongoro my friend ulisaliwa kweli
@noelmugizi5853
@noelmugizi5853 2 жыл бұрын
Anabahatisha
@missangela6720
@missangela6720 2 жыл бұрын
Waliomwelewa alichozungumza jmn
@stantonemgao3771
@stantonemgao3771 Жыл бұрын
Lijenje yuko wapi mbona linapotezewa?
@keffaonchiri7813
@keffaonchiri7813 4 ай бұрын
Mako anaongea kAma babake the late J.Nyerere.......Sauti ni Ya J.Nyerere
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 11 ай бұрын
Mimi ni mmoja wa wale waliokuwa na wasi wasi kuwa baada ya Mwal. kung'atuka nchi hii itakuwaje? Juu ya umoja wetu, uwadilifu wa viongozi na mengine mengi. Namshukuru Sana Mungu wasi wasi wangu ulikuwa sahihi kabisa tangu Mwal. ang'atuke TUNASHUHUDIA UFISADI MTUPU awamu kwa awamu!!! Na sasa umoja wetu u mashakani, sote TUNASHUHUDIA MKATABA WA DP WORLD ULIVYO uibua UDINI NA UMETUGAWA AAJABU!!! WATU wameacha kujibu HOJA WANACHOMEKEA UDINI!!! Kama hawajui madhara MAKUBWA yanayosababishwa na UDINI. WAISLAMU NA WAKRISTO TUMEISHI KAMA NDUGU MIAKA YOTE YA MWAL. UFISADI HAUKUSHUHUDIWA, KAMA NIMESAHAU NIKUMBUSHE!!! UFISADI BAADA YA MWAL. NITAKUKUMBUSHA KWA UFUPI: LOLIONDO, UFISADI HUU ULIONDOKA NA UHAI WA MWANDISHI WA HABARI NDG YETU KATABARO, EPA, ITPL, MEREMETA NA RICHIMOND N.K. MWALIMU ALIWAHI KUSEMA KUWA : SIKUWA NAAPA KWA KUTANIA MUNGU SI MTAANI WANGU, HUYO NDIYE MWALIMU J. K. NYERERE. NANI KAMA NYERERE MIONGONI MWAO?
@TECHTZTV
@TECHTZTV 2 жыл бұрын
Yani katika wanasiasa sichoki kuwasikiliza ni huyu ,lisu,msigwa,mbowe,na lema
@haroldtarimo3115
@haroldtarimo3115 2 жыл бұрын
uko sahihi Makobgoro huchoki kumsikiliza
@magrethmeela154
@magrethmeela154 Жыл бұрын
Mmmh huyu simuelewaginhuyu jamaa.
@ramaaman9173
@ramaaman9173 2 жыл бұрын
Vizurisana inaletaupendo kwa wazalendo wa Tanzania tumkumbuke mwalimu
@yakobomaganga6557
@yakobomaganga6557 2 жыл бұрын
Wenye akili nyingi tumekuelewa 🤣😆😆💪💪
@hindisaid2413
@hindisaid2413 Жыл бұрын
Yani hata mbele ya raisi yeye anaendelea na vituko😅
@mwazaniedward8119
@mwazaniedward8119 Жыл бұрын
Sport
@user-ct3um3fr6j
@user-ct3um3fr6j 4 ай бұрын
Aijirudii bwana enzi mungu amlazemahali pema
@drkalokola5861
@drkalokola5861 4 ай бұрын
Kumbe kwenye Chawa umo.
@drkalokola5861
@drkalokola5861 4 ай бұрын
Baba wa Taifa hakuwa mnyonyaji wala hakuwa fisadi. Mwalimu alikuwa mzalendo. Mwalimu aliwachukia wanyonyaji na hasa wakoloni Mamboleo.
@swalehesaad2692
@swalehesaad2692 2 жыл бұрын
Nimemuona manara
@drkalokola5861
@drkalokola5861 4 ай бұрын
Aibu.
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
Makongoro bana anachekesha sana aisee
@mussamisinzo4934
@mussamisinzo4934 Жыл бұрын
Dah huyu jamaa anaongea kama Nyerere!!
@patrickKitambo
@patrickKitambo 2 жыл бұрын
Hata baba yake alikua mcheshi sana
@lesliesolomon3624
@lesliesolomon3624 8 ай бұрын
R.I.P JKNyerere🙏
@josephkithama9739
@josephkithama9739 Жыл бұрын
Ulikuwa una mwita Mwalimu au Baba?
@jamesmuringi1791
@jamesmuringi1791 5 ай бұрын
Nawapenda nyie ndugu watanzania. Mola kawapa kisichopatikana duniani.
@keffaonchiri7813
@keffaonchiri7813 4 ай бұрын
Mako hoooye!
@johnmabugalusalulo2066
@johnmabugalusalulo2066 6 ай бұрын
Siasa ni nzuli kwa mwana siasa aliye iva kisiasa,siyo kama wale wanao piga siasa kama wanagombana nawa tu,mala kutukana mala kukejeli mala kupiga siasa za kuzalaulina mala kusimanga viongozi walio tangulia mbele za haki,siasa iliyo nzuli niile yenye usitalabu kama vile makongoro anavo ipiga kama kinanda cha kanisa ni safisana
@feisalfaraj44
@feisalfaraj44 2 жыл бұрын
aslm mumu plz anzishabishara yakwakoo itwe jina hiloo nimekutabiriya jina zuri kabisaa ukishindwa kufanya bisharas ni weww
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 2 жыл бұрын
Makamu mpya wa Zamani tangu uhuru
@sundaykomba1327
@sundaykomba1327 2 жыл бұрын
Kama siyo mtu smart kumwelewa makongoro itakuwa ngumu sana
@kazembeally1619
@kazembeally1619 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@januaymagori4642
@januaymagori4642 2 жыл бұрын
tumelewa 😂😂😂😂
@yustasemayengo3068
@yustasemayengo3068 Жыл бұрын
Bwana ni mwema san
@user-fr6rv2yb4s
@user-fr6rv2yb4s 4 ай бұрын
Jemeni my Kiswahili siyo fasihi. But naskia Makongolo Nyerere akisema "Wanapenda Kiki", Jemeni nini maana ya KIKI? Salam's kutoka Toronto Canada
@ndikumanaismail5419
@ndikumanaismail5419 8 ай бұрын
Makongoro hoooye
@briansancedo9336
@briansancedo9336 2 жыл бұрын
Mwalimu nyerere ametuachia picha halisi
@michaelkimune7024
@michaelkimune7024 3 ай бұрын
Ndugu zetu mna wengi wa kuwafaa-mpokeeni huyo!
@tibonmbingi1082
@tibonmbingi1082 2 ай бұрын
Baki nae tu,huku hatuna kibanda Cha kumuweka
@isaacvtv547
@isaacvtv547 2 жыл бұрын
Nampenda Nyerere hajawafanya watoto wake wawe marais wadogo kama Uganda, Burundi mtoto wa rais anapimewa heshima kama vile nae kapigiwa kura. Mwingine ni Magufuli katika shuguli zake watoto wake hawajawahi kuonekana ila nenda pengine du, baba akisafiri basi navitoto vyote
@feisalfaraj44
@feisalfaraj44 2 жыл бұрын
Iskadafaaauuu haa
@selemankishema5780
@selemankishema5780 2 жыл бұрын
Naona hata aibu kuendelea kutizama na kusikiliza
@feisalfaraj44
@feisalfaraj44 2 жыл бұрын
kaka shikamio kiki long distance Orr short kiki
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 4 ай бұрын
Sun of first late julias kambarege first president repablic of tanzanian regional commissioner of ngorongoro but leader stroke comedian following late julias kambarege Nyerere jokes during his life time on his leadership can crush late people get angry at the beginning of meetings but at the end laphing sun also on seem truck creat lmotion of angry at the end laphing sun of late julias kambarege Nyerere makongoro Nyerere short briefing under full gavment official
@gabrieltemba6916
@gabrieltemba6916 2 жыл бұрын
Makongoro ni comedian sana jmn cheka tu wangemchukua jmn
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 Жыл бұрын
Hahaaaa
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 2 жыл бұрын
Ccm hamuoni aibu kukusanyana dhambi zimewajaa Kwa kunyanyasa watu na unafiki mwingi? Pindi magufuli yupo hai mlikuwa hamumwambii akikosea alipokufa mnaanza kusema kakosea je yakwenu ambayo mpo sahihi ni yapi? Mungu anawaona Tubuni ,Tunataka katiba mpya,tume huru ya uchaguzi
@charlesngwembele4541
@charlesngwembele4541 2 жыл бұрын
Ukiona walikuwa hawamuambii ni kwasababu alikuwa dikteta
@zeralucyntazimila6600
@zeralucyntazimila6600 2 жыл бұрын
@@charlesngwembele4541 huo ni unafiki na wala siyo udikiteta ni ujinga kumsema mtu aliyelala
@laurinfred2931
@laurinfred2931 2 жыл бұрын
@@zeralucyntazimila6600 fact
@Leminelimited
@Leminelimited 4 ай бұрын
M23
@user-uy8vp1fr7e
@user-uy8vp1fr7e 4 ай бұрын
Makongoro nyerere ni Mwamba sana
@lloveyoutanzania5315
@lloveyoutanzania5315 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Makongoro oyeeeèeeeeeeeeeeeeeeeee!
@tondiyeamani2948
@tondiyeamani2948 Жыл бұрын
Nina amini
@rosemayunga4021
@rosemayunga4021 2 жыл бұрын
Mabarakoa ya Nini?
@epimackjohn461
@epimackjohn461 Ай бұрын
Hapa utadhani VITUKO kumbe kwa hapo hapo utakuta hujagundua NONDO za hali ya juu zilizojaa MANTIKI ,baadaye saana ndo utakuja kugundua analenga kitu . Ndivyo alivokuwa babake MWL J.K.NYERERE .
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 Күн бұрын
Kweli kabisa wengi hawakumwelea. Wangemuelewa hii tumbua ya sasa ya watoto wa nyoka isingefikiwa. RIP Mwalimu alikuwa kiona mbali. Kawaacha familia yake kama familia ya Mwalimu sio familia ya Rais. Neno kubwa sana. 4R zizingatiwe.
UTACHEKA VITUKO VYA RC MAKONGORO, AWAVUNJA MBAVU WADAU NANENANE
8:11
Hotuba Ya Mwl  Julius K  Nyerere   Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995
14:17
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 120 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 195 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 13 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 60 МЛН
TAZAMA OSCAR NYERERE ALIVYOMUACHA HOI RAIS SAMIA, AITWA KUTUNZWA
6:20
PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
20:48
CHOZI LAZIMA LIKUTOKE | ALICHOKIFANYA MWANDALE MBELE YA RAIS SAMIA
17:27
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 120 МЛН