Рет қаралды 524,598
#MwlNyerere #Miaka100yaNyerere #RaisSamia #MakongoroNyerere
Mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere aitoa salamu za familia wakati wa Mdahalo wa Kitaifa wa kuadhimisha miaka 100 ya kuzaliwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere leo tarehe 09 Aprili, 2022 Shule ya Uongozi Kibaha, Pwani.