Mimi namushangaaa sana Makonda AKILI kuuu sana ndugu yangu Mungu akubariki sana ndugu yangu makonda
@edrisalusonge4141Ай бұрын
Hawa wakuu wa mikoa wengine sijui sio wanachama wa ccm
@susananyasani6526Ай бұрын
Ni kweli Wananchi wanaharibu Bomba ndo sababu Maji hukosekana sehemu nyingine asante
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Be blessed 🙏🙏 makonda,tunaomba rais asikutumbue, watanganyika tunaibiwa sana na hawa watu wa serikalini,
@h.alshidhani8971Ай бұрын
Kwa kweli muheshimiwa Hawa idara ya Maji Mkoa wote wa Arusha lazima wasimamiwe vizuri sanaaaa.
@user-lz1qj6ck3mАй бұрын
Makonda nakujaaa, idara ya maji ni shida ninatumia ndoo 10 Kwa wiki moja lakini bili naletewa 30 au 25
@gweremuhidini4204Ай бұрын
Magufuli bado tunae
@daudimwaipaja1734Ай бұрын
Makonda hoyeee❤❤
@HitamiIbrahimuАй бұрын
Makonda nimekufwatilia sana tangu ikiwa mkuu wa mkoa wa daresalam na mpito uliopita nilikuwa sikuelewi ila kuanzia ulivokua muenez mpaka mkuuu wa mkoa wa arusha nimekuelewa sana piga kazi mkuuu
@dorahmushi-we6tsАй бұрын
Makonda Mungu azidi kukutangulia...
@drtobias_Ай бұрын
Kuhudumia wamasai inahitaji Moyo
@michaelfrenkline3429Ай бұрын
kukuudumia wewe insitaji Nini?
@joachimsironga1560Ай бұрын
Acha dharau we mbwa
@JanethMollel-wk5thАй бұрын
Wamasai tuna Nini,acha zarau wewe
@rofacoltanzania589Ай бұрын
The Guy is not compitent enough... Huyu injinia hayupo sawa
@nasmabanda6340Ай бұрын
NIKWELI WANAIBA MAKONDA
@OmanOman-dn6djАй бұрын
😂😂😂Makonda Oyeeee
@mataypanga5262Ай бұрын
Maji ya kutosha Tanzania yapo ila pesa za kuchimba visima na mabomba zinaliwa na wanasiasa pamoja wateule wa wanasiasa hao kama kina Makonda.
@saimongilala8938Ай бұрын
Magufuli katuachia mwana Mungu akupe maisha malefu
@jeshimungiki5793Ай бұрын
Hahahaaaaa mtaalamu wa maji hajui binadamu anatakiwa anywe maji kiasi gani.. kiongozi huyo wa serikali vituko sana
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
Huyu meneja wa maji mbona Anaonekana mlevi wa pombe mbovu kapata Meneja kwa Uchawi au ndugu yake mkubwa kamueka umeneja???😂😂Ajui kwa siku litter gapi Anakunjwa😮😮😮
@bockerNyarusahiАй бұрын
Ukisikia akili ndogo kuongoza akili kubwa ndiyo hapaaa
@PriscaBarnabas-qg7exАй бұрын
😂😂
@HitamiIbrahimuАй бұрын
Ipo siku utakuja kuwa rais wa jamhur yamuungano wa Tanzania utakuja kunikumbuka kwa huu utabiri wangu
@uziasinkamba7380Ай бұрын
Mradi wa maji momba tarafa ya msangano wenye pesa nyingi bilion 6.7 mpakaleo nikituko wamepewa watu kuchimba mifeleji ya kufukia mipila.Mda wa mradi unaelekea kuisha.mkuu wa mkoa songwe tunaomba baba jaribu kufanya mkutano na wanainchi wa kata ya msangano na ukaguea mradi wa maji pia kuna mradi wa ujenzi wa daraja bado nikama kunashida.
@alichengilangwa1361Ай бұрын
Bana baba Hawa wanatutesa kote tu?
@johnsonlweyemam7944Ай бұрын
WASOMI VILAZA HAO WALIOWEKWA NA WAJOMBA ZAO KTK NAFASI ZAO😊