Рет қаралды 17,391
Dk Salim Ahmed Salim ni miongoni mwa wanadiplomasia wenye historia kubwa Afrika na Duniani kwa ujumla. Hivi karibuni, Dk Salim alipewa tuzo ya heshima ya juu ya urafiki na Rais wa China Xi Jinping kwa mchango wake katika taifa hilo. Daily News Digital inakuletea historia, harakati na maisha ya kiongozi huyo.
#DKSALIM #NYERERE #MAGUFULI #UN #AU #SALIMAHMEDSALIM #CHINA #XI JINPING