Рет қаралды 322,812
MFAHAMU MCHINJAJI MKUU wa SERIKALI ya SAUDI ARABIA ANAYECHINJA WATU WALIOHUKUMIWA KIFO...
Jina lake halisi anaitwa Muhammad Saad Al Beshi au maarufu kama Al Beshi. Ni mwanaume mweusi, mrefu mwenye mwili mkubwa, aliyezaliwa nchini Saudi Arabia mwaka 1961.
Kama ilivyoelezwa, huyu ndiye mtekelezaji mkuu wa hukumu ya kifo katika Serikali ya Saudi Arabia! Ukihukumiwa kifo nchini humo, basi huyu ndiye anayetekeleza hukumu hiyo kwa kukukata kichwa na jambia lenye makali mithili ya wembe, pigo moja tu lazima kichwa na kiwiliwili vitengane!
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline