Safi mkuu wa mkoa I love it ....wanyonge wanaonewa mno
@idrisahussein38695 жыл бұрын
Hongera saña tunahitaji watu kama hawa kwa maslahi ya nchi,hili ni moja lakini yapo mengi sana dhulma nje nje kwa wanyonge wa nchi hii.Ubarikiwe Hapi,nakukubali.
@tunuagriproducts96494 жыл бұрын
Kama unasubiri part 2 ya hapa gonga like hapa
@denicymichael62844 жыл бұрын
Tunu Agriproducts natamani uo mwendelezo
@patrickfulano52822 жыл бұрын
Good , mkuu wa mkoa kazi Nzuri Sana big up
@watuwawili51685 жыл бұрын
He was very smart. Mungu akubariki brother
@fatumahirbotuke16634 жыл бұрын
Ma shaa Allah mkuu wa mkoa Allah akuzidishie kila la kheri..kweli wanyonge watapata haki kwa kazi yako nzuri may almighty Allah bless you from +254
@francinesimirra42025 жыл бұрын
WOW wow Amazing Mungu akuongezeye ekima kama ya sulemani wewe ni msaada kwa taifa lako 👏👏👏👏👏👏👏👍
@sajubwax93355 жыл бұрын
Francine Simirra ska
@anosisyemwaipopo4664 жыл бұрын
Watanzania wanafiki sana, wanachoshangilia nn sasa? Wanapoenda kukopa wapo radhi hata wahonge ila kuripa sasa chenga nyingi, mikopo wanahonga, wanapeleka kusiko malengo...tabu sana
@didahassanhassan6875 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa. Kwa hili. Nakupa kura yangu. Love you.tena mwaaahhhh. From Kenya mombasa
@garamabe68915 жыл бұрын
🤣🤣🤣 uko na kiu sana
@hababisamade72834 жыл бұрын
Safi sana Mkuu wa mkoa
@bethkamau60374 жыл бұрын
Aki huyu mku wa mkoa so akuje afunze wakwetu kusimama na ukweli
@aminasaleh61344 жыл бұрын
mkuu wa mkoa upo sw nakukubal mung akupe umri mrefu
@msomisongoma97155 жыл бұрын
mungu akutangulie kazi njema sana kwa wananchi
@isayangonyani26782 жыл бұрын
Aise Alli Hapy. safi kazi nzuri sana
@fatmazenafzena9175 жыл бұрын
Daaa wanyonge wengi masikini ....Alhamdulillah tumepata watetezi... Allah awalinde zaidi na zaidi
@hawaabubakar26194 жыл бұрын
Swadakta safi naomba sehemu ya pili ln Sha Allah ilinione vpwali waclisha viyeti safi i salute u Bro from saudi
@niccolomachiavelli60575 жыл бұрын
Aliyecheka Kama Mimi baada ya kugundua kuwa na Yunus yupo kwenye mkutano gonga like 😂
@jamessyria66495 жыл бұрын
Serikali ya sasa mambo mazuri kweli nampongeza sana RC wa iringa kwa kupigania haki ya wanyonge mungu akutie nguvu
@poureenkunambi64135 жыл бұрын
Edsson Nzingo nmecheka saaaana
@niccolomachiavelli60575 жыл бұрын
Kunambi,mimi nilicheka sana siku hiyo kwa sababu Before nilijua aliyechukua mkopo Alisha sepa zamani
@poureenkunambi64135 жыл бұрын
Edsson Nzingo namie nmecheka hpa baada ya kumuona yunuc akiibuka ndan ya ukumbi aaaaakhaaaaa
@happyfiverickaldo46625 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@bjzee19815 жыл бұрын
Magufuli kachagua kweli. Yani hakuna mbabaishaji ktk uongozi wake. Big up Mr PC
@albertmwinde4875 жыл бұрын
Hongera sana may Ally Happy New kazi nzuri God bless you
@Ntambwe40404 жыл бұрын
☆☆☆ after Magufuli this guy need to take it over ☆☆☆ Tanzania itaendelea kusonga mbele. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@skinnygypsy8629 Жыл бұрын
Yeah huyu sasa safi sana kama rais magufuli
@paulbruno98175 жыл бұрын
I admire you Mr.Rc Happy I love your job!
@herculesthepower15442 жыл бұрын
Don't believe what you see and what you hear. This politicians are very clever. This is organised group of actors including Hapi himself. Once case is at the court it is not allowed to be discussed publicly and he Hapi himself knows that,but since there is no case at the court he knows he wouldn't be charged cos they are just acting. The mama Asian guy(I believe asian kinda forced into this matter)to act lawyer, bank, manager. If you noticed you will see the lawyer played dumb bank manager too. This act to raise his popularity and people to believe he is on their side. This is politic my friend.
@ifruitx20965 жыл бұрын
Sawa sawa mkuu wa mkoa hivi ndio kazi inafanywa bwana hata mungu anaona unachokifanya😁😁
@jacksonmathayo65104 жыл бұрын
Hakika
@aspaslove1135 жыл бұрын
Kama unaomba part2 kama Mimi gonga like tujuane hhhhh
@taifocuscompany92465 жыл бұрын
Huyu RC anaugusa moyo wa MUNGU moja kwa moja.
@jozostationery1915 жыл бұрын
yes
@mbwanaomary75375 жыл бұрын
Wale wote wanaosema hawa vijana wanafanya kazi kwa mihemko ni wezi, hii hari ya kazi walionayo hawa vijana imewasaidia wengi sana hasa watu wa chini maana vipindi vilivyo tungempata wapi mkuu wa mkoa tungemuona wapi mkuu wa wilaya, wacha wafanye kazi
@janethjustin52565 жыл бұрын
wanyooshe baba safiiiii👏👏👏👏👏👏👏well done Happi.
@mcyudasicqo96105 жыл бұрын
Nakukubari kijana Hapy, Kazi njemaaa mungu akuinue zaidi hiii ndio tz ninayo hitaji, magu hakufanya makosaaa, nakuombea upate uwaziriii wa nje hiii ndi tim work
@lugayilajohn62695 жыл бұрын
Ninoooma Mbaba hapa kazi tuu kaka Upo sawa
@lugayilajohn62695 жыл бұрын
Jaman magufuli mwangalie kwa macho mawili hapy anafaaa tena Sana uwe unamhamisha hamisha ili aendeleee kunyoosha hawa wapuuzi wanaodhulumu wananchi da iringa mnamtu mhimu sana hapy Upo poooa sana tena Sana ingekuwa inawezekana mikoa yote ungezunguka kuinyoosha inchi
@ashapearubart26245 жыл бұрын
Asante sana awamu ya5. Hingekua zamani wanyoge wanazulumiwa.
@sistimasawe59365 жыл бұрын
Kama na wew umegundua benk wanatoa mkopo kwa hati ya photocop gonga like twende zetu
@radhiasalum71565 жыл бұрын
Yunusi karika futi mia kuwa dhaman si nyumba😂😂😂
@teddygidamuhale94055 жыл бұрын
Radhia Salum habsri
@abdulmelele73224 жыл бұрын
Yunus konyo kwel😂😂😂😂😂
@adammwakosya43255 жыл бұрын
Well done RC happy we need such kind of leadership.
@khamisseif6362 жыл бұрын
....
@jacksonnyange7012 жыл бұрын
Ùùùùuuùù
@muddah75592 жыл бұрын
Exactly! But, upumbafu, rushua, udjinga wa sisi wa Africa, huyu Kiongozi watamucukia na kumushusha. Thank u RC Happy angalao Mimi ni Mkongo(DRC). Nafirahi sana kwasababu Pombe Magufuli ameeee Yani Magufulification is still spreading.
@thegreatsource29532 жыл бұрын
Huyo RC ni hamnazo, anajifanya kujua wakati hajui kuwa hajui😏
@hashimbakari46702 жыл бұрын
@@khamisseif636 llllll
@quentinsylvia38772 жыл бұрын
Hongera sana Kwa kazi na msimamo uliouonyesha hapo .m.mungu akusimamie inshallah
@jkjonathanlabel44985 жыл бұрын
Hivi ndivyo mungu atakavyo hukumu siku za mwisho tena itakuwa zaidi ya hapo
@elishamdack74495 жыл бұрын
JK JONATHAN J Ic
@sadickwalker27954 жыл бұрын
Kabisaaaa.
@eliamugini61604 жыл бұрын
Huwezi kulinganisha hukumu za mwenyezi MUNGU na za hapi
@husseinsalimmaula42545 жыл бұрын
Long long life ally happy maisha marefu.
@FausitnePonera-fq9pj5 ай бұрын
Magufuri ana vijana wazuri sana ukimwangalia happy kama makonda
@goldendaisy1875 жыл бұрын
Mbona Tanzania kutamu jameni,I love this mkuu wa mkoa
@fredytarimo91075 жыл бұрын
Hao jamaa bank wapumbavu kweli,hongera sana mkuu wa mkoa kumsaidia mwanamke mmoja ni sawa na kusaidia wanaume mia 100.
@oscartatrino17144 жыл бұрын
Magufuli rais wangu piga kazi baba piga kazi, unajua wakati mwingine binadamu unashindwa useme nini kwa kuwa pa kusemea unakuwa huna,ivi watanzania wenzangu tukiacha utawala baba yetu wa Taifa aliyeliongoza taifa hili kwa dhiki na shida pamoja na kuwa alikuwa na madini ya kila aina, lakini aliangalia mbele,ambae hii leo mimi namfananisha na baba mwenye familia kubwa aliyelima shamba akapata chakula akakiweka akiba ya baadae wakati wa njaa ili watoto wasije kufa na njaa,ambayo ndo leo madini aliyotutunzia baba yetu tunafaidi, ivi tukiacha utawala ule wa baba wa Taifa hapa katikati tawala zilizopita mpaka hii leo hapa kwa baba JPM, matukio kama haya tunayoyashuhudia watu kama hawa tena na wanasheria wakiwepo ni wangapi wamedhurumika haki zao kwa tawala zilizopita ukiacha kipindi cha mwalimu? Hatukuwahi kusikia habari njema kama hizi tunazoziona leo kwenye jeshi la magufuli, hata na kuna utawala wa wakati fulani ulitangaza mpaka kikosi cha mwavuli lakini hatukuyaona tunayoyaona hii leo, ebu watanzania wenzangu naomba niulize kaswali kangu kadogo tu, ivi kwa kazi hii aliyoifanya mdogo wangu Hapi kwa hawa watu yaani kwa meneja na ,mwanasheria wa benk NMB ni ya kujimwambafai mwambafai? Ivi unaweza ukasema Hapi amejimwambafai hapo? Hapi nae ametumia nafasi yake wala hajaiingilia mahakama,mahakama nayo ina nafasi yake, ebu cheki waangalie wapiga dili walivyobanwa maswali yaani dhahiri shahiri hata asiyejua kusoma ameng'amua kuwa issue nzima hapo kuanzia meneja mpaka mwanasjeria walipiga dili,na kumtishia huyo mama wa watu kumpeleka mahakamani,na wanajua watanzania tuliowengi tunashindwa kesi nyingi zikiwa mahakamani kwa kutojua sheria,au kwa kutishiwa kuwa kesi yako ni mpaka wakili ili ushindwe pesa za kumlipa, ndg Hapi kwa issue kama hiyo ivi mahakamani huyo mwanasheria alienda kufungua kesi gani? Ikiwa mkopaja kajikatalia kata kata kwamba yeye dhamana ya nyumba haitambui,yeye dhamana yake ni aseti zake,sasa huyo meneja na mwanasheria walipata wapi hati tena coppy? Tumwulize na huyo meneja alisomea wapi umeneja wake wa coppy kukopea mikopo? Na huyo mwanasheria achunguzwe vizuri uanasheria wake alisomea wapi? Huenda ndo wale wenye vyeti feki hao, kwanza mwanasheria gani wa benk tena benk kubwa kama NMB mwansheria wake unavaa tirshit tena ya round coler,halafu unathubutu kusimama mbele ya kadamnasi eti unajitutumua mimi ni mwanasheria wa NMB ivi hujaona aibu, ivi na nyie NMB mekosa kabisa watu wenye sifa za kufit hapo? Ona sasa mnavyoumbuka, watanzania ivi mnataka mniambie je kwa tawala zilizopita wababaishaji kama hawa wapiga dili hawakuwepo? Mbona hatukuwahi kuwasikia? Kama ndivyo ni wangapi kwa style hii wanyonge tumedhulumika haki zetu? Hapi kamata hao weka ndani hata wakisema na wewe unajimwambafai mwambafai poa tu.
@japhydejerry29083 жыл бұрын
Fredy Tarimo nakuona boss wanguu😆😆😆 kahama tuko pamoja
@neema-ee6qm5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ibrahimmawazo71655 жыл бұрын
Nampenda sana mkuu huyu wa mkoa.. yaani ana hoji FACT tupu.. Mungu akulinde na kila shari...
@kadogoomushadi54095 жыл бұрын
Muheshimiwa hao.niwaizi hao.mungu akupe afya njemaa mkuu wamkoa
@johndismas25622 жыл бұрын
Very good,,I appreciate RC Mungu akubariki sana
@e.j.starelia56724 жыл бұрын
Enzi za magu si za kuleta ujinga ujinga!!!!! Congratulation RC Hapy
@hellenj2704 жыл бұрын
Tungekuwa na viongozi kama Hawa Tanzania ingenyooka 😍😍😍
@f.a60432 жыл бұрын
Tumeimiss sana hii mikutano big up Ali hapi!
@kasimpongwa51785 жыл бұрын
kaka HAPI ongera kwa kutenda haki mwenyezi mungu akubaliki sana katika kazi yako ,
@user-ok9mi5uq6y4 жыл бұрын
Hongera kwa kazi mzuri. Mkuu wa mkoa
@johnyusuph32215 жыл бұрын
Ally Appi wew ni zaid upo vizuri safi san
@nyambelewinfrida90745 жыл бұрын
Hapi omba asikuguse nampenda kwa sababu hashoboki na kunadi siasa kwa maneno anatete na kusaidia raia wake kwa haki na vitendo Mungu akupe maisha marefu nataman kukuona kwa wema.
@aishaail44555 жыл бұрын
Watu wa bank ,wezi wanapotoa mikopo huwa hawalengi kumsaidia mkopaji bali ni kumkandamiza na kujinufaisha wao.
@marthamasue400926 күн бұрын
Ally Happy hoyeeeeeee. Mungu akulinde kabisaaaa
@susananyasani65264 ай бұрын
Super Mkuu wa Mkoa maamusi ya Kibinadamu hongera sana katika haki unazotumia kwa Wananchi
@sabinashabani97425 жыл бұрын
Benki sikuhizi wanaibia sana watu na huu yamekuwa mchezo wao mkuu tusaidie kwahilo
@fatemafatema47802 ай бұрын
Ahsante muheshimiwa kura yangu kwako haina mjadala..hongera sana
@dandeenndandeen30475 жыл бұрын
Yaa Allah 🙌🙌🙌🙆
@margarethsaramaki11005 жыл бұрын
Hao tia ndani waongo wanamuonea huyo mama. Mimi yalishanikuta nilipata nyumba yangu.dill hilo lina watu nyuma yake.
@user-oh8bn3vg2w5 жыл бұрын
Mungu akutangulie mkuu hiyo kazi ninzuri sana
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Wanyemakosa hao maafisa ata sis tumevunjwa nyumba mpk leo wazazi wangu wanahangaika na hatuna msaada
@clintonaward75802 жыл бұрын
Imeniuma sana 😭😭😭yani tunatoa viongozi Bora kwa visa na visasi vya wapumbavu wachache ila kuna Siku hawa wanaojiona ni wenye giningi Watakuja kusaga meno!!!!! Kaka hapi kuwa na amani wewe ni reserve wa mfumo ujao, si wao wamekukataah usikate tamaa, wao Wanataka viongozi wa kuteteah uovu na si viongozi wa kuteteah haki za wananchii
@marieconnect63892 жыл бұрын
Inauma sana.
@ellyemily42345 жыл бұрын
Kaka hapii Mungu akubarikii
@hamadiathumani50184 жыл бұрын
Safi sanaaa baba kweli wananchi wanaumia sana.
@marieconnect63892 жыл бұрын
Ee Mungu utusaidie. Viongozi kama hawa wanagusa moja kwa moja mioyo ya watu. Wanaitenda kazi ya mungu kwa vitendo nina imani Mungu amefurahishwa na kazi za aina hii na lazima atapenda mijuiza yake kwenye nchi yetu. Mungu wetu utusaidie waja wako
@christinetimothy58055 жыл бұрын
Nimegundua Tanzania tunaibiwa sana haki zetu kwakutojua sheria.jamani kusomea kitu siompaka uje ukifanyie kazi vingine kwajili yakutusaidia wenyewe.
@saidyahmad39852 жыл бұрын
Hongera Sana mkuu wa Mkoa uko vzr Sana Kwa utetezi mungu akulipe
@enoshmhemakapaya4 жыл бұрын
Wakuu wamikoa wakiwahiv wote dahhhhh!!!!
@richardmsumari40515 жыл бұрын
Kati ya viongozi ninaowakubali awamu hii wewe uko kwenye akili yangu , mkuu , piga kazi
@nyamwekomatoke99512 жыл бұрын
Wazurumaji Wa Aina hii niwengi sanaaa wanatapeli Sana wamama wajane Hongera Sana Happi Watu walikupenda sanaa
@rehemamasoud36875 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa baba baba baba ongera mungu akupe maisha marefu baba
@user-pt4uf3he7d6 ай бұрын
Mungu akulinde sana na ukuweke akika.unatenda Hali kwa mungu na wanamchi pia unastaili mauwa Yako kwa muumba wetu
@nehemiambughi67314 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa we noma sana!
@jacksonrwechungula94794 жыл бұрын
Daaah mungu akuongezee nguvu kiongozi we ni mtetezi
@tegemeareuben76185 жыл бұрын
Mafuli's generation hapa sio mchezo MUNGU acha atumie viongozi hawa vizuri
@reachthegoal76245 жыл бұрын
Hapi Hapi Hapi well done! Wakati mwingine mambo hadharani inasaidia kila mtu kubeba msalaba wake. Msaidizi wa ishu hapa lazima aimbe yarabi nafsi yangu, zama lwako, mimi simo! Hapa hakuna kuchukuliana misalaba. Safi ukweli unajulikana.
@alpheondanzi25444 жыл бұрын
Mh leo umekuja kimya kimya mtaani kwetu daah Nazidi kukuombea tu Mungu akuzidishe na akuangazie Nuru yake na kukupa Amani #allyhappy
@fatumamukete68395 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa Happy. Mungu akubariki. Uko juu
@abdishukrisheyhow22513 ай бұрын
Ah Tanzania is the best country in East Africa.
@phayphay84715 жыл бұрын
Kwa hivyo mkubwa nakuaminia sana Mungu akupe miaka mingi tunahitaji watu kwema wewe wengi katika tz yetu
@twahasaidi75782 жыл бұрын
Huyo magufuli kafufukani kumbe kunamasihi mwengine tumpeleke ikulu jamani from kenya nairobi kenya tunataka watu kama hau
@Hancy_barrowАй бұрын
Hiiii ndo Tanzania 🇹🇿 yetu hatari sana 😂😂
@mudhihirugara88455 ай бұрын
Hongera hapi umenifurahisha mama samia nikushawishi ukipita uchaguziujao teue ally hapi awe waziri mkuu
@gm70455 жыл бұрын
Magufuri kachagua safi yaani baba na mtoto photo copy👍 Hio ni unyanyasaji kwa mama huo..usiwapatie time hao wizi wanataka kuenda kutapeli hizo karatasi.. Mkuu wa Mkoa Mungu akubariki👏👏👏👏
Miongoni mwa maamuzi aliyofanya Raisi Magufuri yenye kuvutia sana ni pamoja na kukuteua wewe kuwa mkuu wa mkoa Big Up kaka Mkubwa chapa kazi
@jenyyusuph49735 жыл бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗✊✊✊✊✊✊💪💪💪💪💪💪awamu ya5 waishi waishi waishi tu sinamashaka nao wamekuja kulikomboa taifa dakika za mwisho maana majanga yenyewe mara 2007 mara 2011 ukisikia mambo yazamani yanang'ariswa ujue yamepata mtakasajio
@stewartmagiri4725 жыл бұрын
Ally hapy wewe ni mwanaume👏👏👏👏👏
@dianadominic7015 жыл бұрын
Ally Salum Hapi tumekua wote kambini nzega ulikua msafi na mtanashati ila haukua muongeaji, aseee nakukubali sana
@maxmaizer46315 жыл бұрын
Umeonaa jembe ilo saiv tuna vichwa viwili bashe na ally
@jeremiahmolell6655 жыл бұрын
mkuu upo vizuri watete wanao nyanyaswa mungu akulinde mkuu miaka mingi uzidi kutetea wanyonge.
@coachndesh4 жыл бұрын
mkuu wa mkoa ana tabia za rais mwenyewe,napenda sana vile kazi inatendeka tanzania
@alexmarungu22355 жыл бұрын
Mungu akulinde popote your strong leader nyayo za Mr president.
@akilikarama33315 жыл бұрын
Safi sana
@mmasymery3914 жыл бұрын
Jaman Asante sana mweshimiwa wengine wamezoeya kuonea watu
@abdigiro77012 жыл бұрын
Unafanya kazi nzuri lakini wanadamu hawataki ukweli chunga maisha watakuwa adui yako ndugu yamgu
@kulwamakango29092 жыл бұрын
Mungu akizidishie mkuu wa mkoa , kw maamuzi ya kijasiri.
@aminahussein54182 жыл бұрын
Mungu akusimamie kwenye uwongozi wako wa haki
@stevenjackson49852 жыл бұрын
Viongozi kama hawa ndio wanapigwa vita tena na wapinzani wa JPM. Hatari sana.
@salmamakweta11982 жыл бұрын
acheni umbeya
@janerosempeta56622 жыл бұрын
Woooooh I salute u ! Good work
@mimaakenirram14054 жыл бұрын
hapa kuna kamchezo walikicheza hawa watu maana yunusi kakataa kama kaweka nyumba zamana yeye anasema aliweka vitu vya ndani asante mkuu wa mkoa safi sana magu ajakosea
@user-fs7xc2bb5d2 жыл бұрын
Leo nimeipitia hi kuangalia mala mbili siku niliposikia kaondolewa niliumia kama na mfahamu kuna hii na ile ya baba aliyelazimishwa kuhama na kubomolewa nyumba ya ile harambee ya kucahngiwa kwenye mkutano namkubali sana. Ally Happy mwenyeezi mungu atakujalia huenda rizki yako imeisha ila ina imani kwa uwezo wa Allah kuna kheri kubwa inakuja mbele yako
@aishasarumujuma1606 Жыл бұрын
Hapi haikutakiwa aondoke iringa mungu mjalie hapi jaman
@marianmartin74835 ай бұрын
Ali hapi kaka, unanikumbusha mbali sana. Lkn leo namuona Makonda anafanya kazi yako. Nakuombea urudi maeneo yako.
@nyamwekomatoke99512 жыл бұрын
Lkn Pole Sana kwakutolewa Ukuu Wa mkoa Mara tutakukumbuka Sana Tulikupenda ila wenye roho ya husda wamefanya umetolewa