MAAMUZI MAZITO RUFAA YA MBUNGE GEKUL,WAKILI MADELEKA AFUNGUKA TUNAENDA MBELE ZAIDI

  Рет қаралды 32,661

Millard Ayo

Millard Ayo

3 ай бұрын

Пікірлер: 113
@batashqiraa9936
@batashqiraa9936 3 ай бұрын
Kama huyo kijana ndiye angekuwa ndiyo mshitakiwa, tayari angekuwa anaozea jela, inasikitisha majaji wengi wanaidhalilisha mahakama kwa kutokuwa waadilifu
@leothardngonya4842
@leothardngonya4842 3 ай бұрын
Acha ujinga, ulifuatilia , Zile sms za yule mama Mwenyekiti wa Chadema na kakake Gekul? Madeleka ni Tapeli tuu.
@hoseazakayo3779
@hoseazakayo3779 3 ай бұрын
Madeleka nimekuelewa vizuri ndo maana tunataka katiba mpya 😢😢
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 ай бұрын
Kwani hapo kosa la Katiba iliyopo ni nini? Katiba yetu ipo vizuri KUTOKUHESHIMIWA au KUTOKUTEKELEZWA hilo sio suala la Katiba yenyewe hata Katiba Mpya ni kazi bure. Au hebu toa sample ya Ibara moja tu, tuone unataka iwe vipi. Haki na sheria ni vitu viwili tofauti.
@alizanzibar1586
@alizanzibar1586 3 ай бұрын
Waisilamu na Wakisisto MUOGOMPENI ALLAH LEO TUPO KWENYE MADARAKA KESHO UPO NYUMANI
@user-hj3ky9zy6y
@user-hj3ky9zy6y 3 ай бұрын
Mh madereka mungu akubaliki sana
@justinelukumay5308
@justinelukumay5308 3 ай бұрын
Mh Madeleka Mungu Atakupigania popote Maana Umesimama kumsaidia ndg yako Mtz
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 3 ай бұрын
Majaji wa Tz bwana, kwani ujaji unapatikanaje,??? Wanyonge wananyongwa tuuu!!!
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 3 ай бұрын
Raisi kaona ana hatia kamtoa kwenye uteuzi mahakama inaona Hana hatia Asante makonda ulisema ukweli ww na Rostam pokeeni maua yenu
@gallusmbaga5522
@gallusmbaga5522 3 ай бұрын
Kwani Kuna hatiabimethibitika hapo?
@samwelombeni6850
@samwelombeni6850 3 ай бұрын
Rais LAZIMA atengue uteuzi ili kuisafisha serekali dhidi ya Mambo yanayoendelea, lakini chombo kinachoshibitisha Hilo ni mahaka;
@user-uf6oe3qi6v
@user-uf6oe3qi6v 3 ай бұрын
Hakuna na maana hiyo aliacha sheria ifanye kaxi yake
@kinemorwangisho2168
@kinemorwangisho2168 3 ай бұрын
Poleni sana wanyonge tutafute pesa
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 3 ай бұрын
Daaa maisha mpito na mapito na MAPIGO yako na mungu au shetani mzuiliaji Riziki. Basi tu.
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 3 ай бұрын
Makonda na Rostam,, walisha sema ,pia haki haiombwi
@petroyohana1126
@petroyohana1126 3 ай бұрын
Hakuna mahakama tanzania
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 3 ай бұрын
Changamoto kubwa sana
@JumaBakari-ld5rr
@JumaBakari-ld5rr 3 ай бұрын
Mama mama mama nimekuita mala tatu hawa wanakuchafua haki itendeke
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 3 ай бұрын
Anajichafua mwenyewe kwa kuteua watu wa sio na şifa. Pili inabidi wapendekezwe kwamba na si kuteua tu kama anavyofanya. KWa watanzania wasiojua kwa nini tunadai katiba mpya ili sheria ziheshimiwe na watu wale we haki zao. Katiba mpya lazima watanzania wote tujifunze kupitia mambo kama haya na kwa pamoja tuungane ukipata na kudai katiba mpya ili tupate haki zetu mahakamani. Katiba mpya ni sasa.
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 ай бұрын
Endeleeni mbele na mwenyezi Mungu hatowaacha mfunikwe kwa damu ya Yesu mnamsimamia Hashim Ally mwenyezi Mungu awatangulie ktk kazi zenu za kila cku 🙏🏼🙏🏼
@petroyohana1126
@petroyohana1126 3 ай бұрын
Maskini hana haki nchii hii, shame on in judiciary
@alexvenas2699
@alexvenas2699 3 ай бұрын
Nchi yangu Tanzania watu wa maisha yachini kwanini tunaishi kama wakimbizi kwenye inchi yetu? Kwamba mwenye nacho anakinga? Ninacho amini mama yetu kipenzi ni mtu wa haki,ila kunawatu hapa chini wanatengeneza mazingira ya yeye kumchafua ionekane serikari anayoiongoza haitendi haki kumbe lahasha , ila tutambue jambo hili haki hata isipo patikana Duniani Iko siku tutakuwa mbele za kiti Cha enzi huko ndiko haki ya kweli hutolewa huko kile ulicho kipanda ndicho utakacho kivuna😢😢 but inaumiza sana.
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 3 ай бұрын
Hashimu Usiogope Tembea Kifua Mbele. Awamu ya Tano tuliahidiwa kwamba: Serikali yetu inawajali Wanyonge na Wananchi Maskini kule Vijijini. Ebo! Kumbe! Mambo yameshabadilika tena. Naipenda Tanzania❤.
@user-ij2lp1om6i
@user-ij2lp1om6i 3 ай бұрын
Mahakama ni branch of govt
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 3 ай бұрын
Nakuelewa sana wakili Madeleka. Kweli sie tusiokuwa na pesa maana yake tuhiari manyanyaso ya wale wavaa magwanda ya rangi ya mbogamboga.
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 3 ай бұрын
HAKI HAKI HAKI KATIBA MPYAA
@leothardngonya4842
@leothardngonya4842 3 ай бұрын
Hahahaaasaaaa...WaTz bhana wasaniii. Hivi katiba mpya ya mashoga. Acheni kuchezea amani yetu. Mmetembembeza watu kwenye jua na mambo kibao. Tutapambana na ninyi manyang'au. Au kwa vile Gekul alihama kwenye chama cha Magaidi.? Unajua Bado tunakumbukumbu ya Magaidi ya Mwanza, Amboni, Chamanzi, Rufiji na Mkuranga hadi walobabaki tukawamalizia MSUMBIJI walikokimbilia. Msitufanye wa TZ wajinga sasa tunawapumulia kisogoni.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 3 ай бұрын
Hizo ni chenga za mahakama kukwepa kumtia hatiani mbunge/Waziri gekul ili kuepuka aibu waziri kutolewa hukumu ya kumtia hatiani kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi. Watapinga lakini baada ya uchaguzi...
@mickzaid9522
@mickzaid9522 3 ай бұрын
Mm ndo mana naunga mkono sheria mkononi. Hawa wakubwa akikuzingua malizana nae juu kwa juu.
@philimonmtweve4522
@philimonmtweve4522 3 ай бұрын
Mama alishamwondoa kwenye nafasi ya uwaziri wakatiba na sheria
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 3 ай бұрын
Wewe kamaujui ayo nimaigizo wanchiiíii....
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 3 ай бұрын
I seee ifike mahariii nao waone aibu kijana ananyimwa halii yake kabisaaa kisa ety gekul ni KIONGOZI amn haliii katika nchiii hiii bana 😢😢😢
@user-zl4ch7kz3b
@user-zl4ch7kz3b 3 ай бұрын
Mahakama kama inamtetea huyu katili mungu atamuadhibu ki vyovyote
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 3 ай бұрын
Madeleka makonda alisema mahakama yatz si sehemu ya haki
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 3 ай бұрын
Ndo maana watu wanaamua kumroga mtu ili na yeye akipate cha mtema kuni, kama ni mm hapo ningemroga mpaka huyo hakimu.
@johnsonsabanya5860
@johnsonsabanya5860 3 ай бұрын
Kama viongozi wakubwa wataendelea kukalia kimya ujinga km huu basi kutukanwa kutaendelea Sana maana inaumiza moyo imagine angekuwa mwanao jamani tuwe na ubinadamu zote tutakufa ha tuishi milelee😢
@user-gd8cx2ig9p
@user-gd8cx2ig9p 3 ай бұрын
Mimi najiuliza kama huyu mama hana kosa😢 ni kwanini mama alimtengua fast??ni heri angeacha kesi iendelee apewe adhabu yake aitumikie!! angalizo kukaa kimya kwa mjinga sio kukubali kushindwa 😢😢
@obasjustus3592
@obasjustus3592 3 ай бұрын
R.I.P JPM
@petroyohana1126
@petroyohana1126 3 ай бұрын
Ooh my God, this country is heading where...
@profs.a5412
@profs.a5412 3 ай бұрын
Nawakumbusha tu wanasheria kwamba, Sheria ilitungwa kwa ajili ya kudeal na masikini, Yani Sheria zipo ili kuwahukum masikiniii kumbukeni Hilo. So kwa nchi yetu hakuna haki kwa masikiniii ,🚶🚶 Yani masikini hana hakiii
@olivajohn9301
@olivajohn9301 3 ай бұрын
Mungu atamlipa gekul kupitia watoto wake
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 3 ай бұрын
Aibu Tz
@Mwigaa95
@Mwigaa95 3 ай бұрын
Ifike mahali huyo waziri ajishushe tu ampange huyu madereka mtonyo wa nguvu mambo yaishe🙆🏽😄😃
@JifunzeNenoLaMungu
@JifunzeNenoLaMungu 3 ай бұрын
Tuombe Mungu atupiganie na tupate wanasheria hawapanguliwi kwa hoja moja tu.. kati ya tatu...kuna mbili
@anifamickidard4555
@anifamickidard4555 3 ай бұрын
Kibatala msaidie huyu kijana apate Haki Yake
@josephineokama2200
@josephineokama2200 3 ай бұрын
yaani ukiwa na kesi ya mauwaji ya wazi ila kibatala akakusimamia hakika kesi itakua kuua bila kukusudia
@joycekaishozi1177
@joycekaishozi1177 3 ай бұрын
dah
@prospermalala6636
@prospermalala6636 3 ай бұрын
MH wakili msomi Peter madeleka safari ya hiiiiiiii, CCM wameziba masikio hawataki kabisa kueshimu Sheria za nchi yetu, jaji kajitoa ufahamu Kwa jambo gumu, wanaisaliti Sheria za nchi yetu kulingana upumbavu wao
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 3 ай бұрын
Watu acheni kuchafua watu. Unapata nini kumchafua mtu huku ukijua ni uongo??
@user-op7vm9mr3z
@user-op7vm9mr3z 3 ай бұрын
Pelekeni malalamiko human watch tz hakuna haki ni upumbavu mtupu unaendelea majaji wenyewe hovyooooo88
@OmbeniShoo-kg8dr
@OmbeniShoo-kg8dr 3 ай бұрын
Hii Nchi iko gizani uovu unakuwa haki ukweli unapingwa hatuna Nchi nilisemaga Nyerere alipokufa aliondoka na Tanzania iliyopo ni kivuli cha Tanzania
@hancekasililika9532
@hancekasililika9532 3 ай бұрын
Madereka Mungu awe nawe
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 3 ай бұрын
Ccm ni janga la kitaifa. Katiba na tume huru lazima mama wa kambo sio wa kumwamini
@JumaBakari-ld5rr
@JumaBakari-ld5rr 3 ай бұрын
Mama mm nipo upande wako hawa watu da had machoz
@simongwandu7392
@simongwandu7392 3 ай бұрын
Mungu ni mkuu kuachiwa dada Gekul Pole Gekul.
@saididodi3988
@saididodi3988 3 ай бұрын
Kama gekul Hana makosa kwanin rais alimtengua kwenye nafas yke inaoekana mahakama haitendi haki kuna chakujifunza
@abedysteven4930
@abedysteven4930 3 ай бұрын
Hyo haina haja ya rufaa mana nyie mntaka hela tu kwan aliyowafanyia wale wadogo nyie mlifurahia Ety kwendraaaa
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 3 ай бұрын
Mahamkama za Tz hazipo ktk kutenda haki wanaangalia mwenye cheo au mwenye pesa
@obaidothmanalbulushi9196
@obaidothmanalbulushi9196 3 ай бұрын
Mahakama ya icc ina haki au ndiyo hamjuwi hayo mbona hamdai
@bakariwaziri3548
@bakariwaziri3548 3 ай бұрын
Kama kuna ushahid huyu mama awajibike
@Flaviosafari
@Flaviosafari 3 ай бұрын
Nchi hii mwenye mamlaka au pesa yuko juu ya sheria? 😢
@boniventurehussein7276
@boniventurehussein7276 3 ай бұрын
Mungu atamlipia huyu gekul ni mwanamke mwenye roho ya Nyoka muuwaji kweli maskin hana haki angekuwa anapesa gekul angefungwa
@abdunasiriathumani9011
@abdunasiriathumani9011 3 ай бұрын
Kuna mtu yuko moshi familia yake yote imehukumiwa kunyongwa kwa sababu zisizoeleweka kwa vile hawana pesa lakini leo muheshimiwa ngekul pesa anayo anavuka tu kila mahakama,m!!ukiwa hauna pesa utadhalilika sana!!!!
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 3 ай бұрын
Kwanini hii kesi inarushwa rushwa tu
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 3 ай бұрын
Gekuli anahongea kodi za watanzania, Mungu yupo atakuhukulmu gekuli.
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 3 ай бұрын
Tutaungua mpaka Jumapili, Ijumaa hadi Jumamosi 😢😢😢😢
@ladislausriwa7768
@ladislausriwa7768 3 ай бұрын
Wewe si ni ofisa wa mahakama? Sasa mbona unaituhumu ofisi yako. Kwa nini tuwe na mfumo wa mahakama sasa. Bora mahakama za jadi nyie wote mawakili mahakimu majaji wote wasanii tu
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 3 ай бұрын
Kama kweli katenda yatarudi kwa watoto wake
@user-pz5qs4ki7s
@user-pz5qs4ki7s 3 ай бұрын
Vijana wa TANZANIA wakichoka bas nchi itachafuka
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 3 ай бұрын
Chokeni basi mnasubiri nn
@derrickmbaku4768
@derrickmbaku4768 3 ай бұрын
Hakuna mwenye uhakika kuwa kweli Gekul ni mkosaji
@halimamasai2234
@halimamasai2234 3 ай бұрын
Kila mtu ni msemaji hakuna mwenye uhakika na hii kisi tunasikia upanda moja tu
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 3 ай бұрын
​@@halimamasai2234 Swali la msingi ni kwa sababu gani kila mara hawataki kesi iwepo ila wanaiondoa? Wewe jaribu kumtia mtu hiyo chupa ili kesi yako nayo ikaondolewe tuone.
@michaelkwatlema2124
@michaelkwatlema2124 3 ай бұрын
Peleka ushamba wako huko kwann kesi isisikilizwe kila mmoja alete vielelezo na ushahidi aonekane hana hatia kwann hataki kesi isikilizwe
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 3 ай бұрын
.
@user-iw5hu3mc7l
@user-iw5hu3mc7l 3 ай бұрын
Hamumfungi huyo mwenzenu anapesa pi ni chakula ya wakubwa
@Ernestlaiza
@Ernestlaiza 3 ай бұрын
Sawa kabiza chakula cha wakubwa
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 3 ай бұрын
Pambana wakili tuko nyuma yako
@OpMagu
@OpMagu 3 ай бұрын
Mrufani kama kweli anaamini ameonewa awatafute wazee wakimila, wamuachie Mungu.
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 3 ай бұрын
Mahakama za Tanzania oyeeee!
@salama1113
@salama1113 3 ай бұрын
Kweli masikini hatuna haki makonda apewe mauwa yake💔💔💔
@petroyohana1126
@petroyohana1126 3 ай бұрын
Vitu kama hivi ndio chanzo cha mange
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 3 ай бұрын
Hongo zimezidi jamani tumrudie Mungu ninyi mnaofanya hivyo kumbukeni Kuna siku Mungu atawauliza maswali jipangeni Mungu hayuko mbali je angekuwa mtoto wenu mngefanyaje?
@eliaschipanda2006
@eliaschipanda2006 3 ай бұрын
Kwani kuna nchi nyingine zaidi ya hii?
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li 3 ай бұрын
Atuna majaji kwa mtindo huu Tanzania mnatupeleka wapi mnataka tuanze kuchukuwe Sheria mkononi kwamtindo huu atunaimani na mahakama zetu kabisa niushenzi na kupotezeana muda kwa Sasa lazima tuanze kumizana Sheria Amna kwa wanyonge upumbavu huu kutotoa haki warahi Sasa tuwaone tu
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 3 ай бұрын
Pesa hupindua haki
@gilbertmathias7594
@gilbertmathias7594 3 ай бұрын
Madeleka unatafuta kick nchini au una tatizo gani?
@hashimjumahassani5268
@hashimjumahassani5268 3 ай бұрын
anatumia taaluma yake...wananch tunamuunga mkono
@EnockKanduli-cv8yr
@EnockKanduli-cv8yr 3 ай бұрын
Gilbert una akili au
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 3 ай бұрын
Hana bongo huyu
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 3 ай бұрын
Unawazaje asee, kwa kichwa ama
@daudimchileg307
@daudimchileg307 3 ай бұрын
Shetani wewe
@user-dk5kk4rf3v
@user-dk5kk4rf3v 3 ай бұрын
Wafundishe sheria hao waonea watu ..na wala kodi zetu stupid..
@halimamasai2234
@halimamasai2234 3 ай бұрын
Mtasema sana lakini hii kesi imeka kishabiki kwa sababu tu huyu dada anitoka chadema ndo maana mnamkazia misuli hii kesi metengeneza nye chadema na hamtapata kitu washenzi nye
@AugustinoPeter-rn9bn
@AugustinoPeter-rn9bn 3 ай бұрын
Kumbe wewe nawe nimkanyakaji wa haki za watu
@romanilyimo
@romanilyimo 3 ай бұрын
Kumbe una akili kabisa chadema inausika na nini hapo ingekua ni mwanao hau ndugu yako ndio ungeongea kikwenu pumbavu kabisa ww. We utakua ni mijinga ya cm tu sio bure
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 ай бұрын
Huyu hayuko kwenye huu ulimwengu
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s 3 ай бұрын
Kwenye kesi hii chadema inahusika nini mbona umekuwa chawa mpaka mnakera.
@user-dk5kk4rf3v
@user-dk5kk4rf3v 3 ай бұрын
Huyu ni chupua
@paulheavyrain9584
@paulheavyrain9584 3 ай бұрын
Haki za watanzania maskini ndio hazipo angekua tajiri haki angeipata mapema tu
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 118 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermotta
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 18 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 8 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 60 МЛН
WAKILI MADELEKA NA JEBRA KAMBOLE WAINGILIA KATI WANAOTUHUMIWA UKAHABA
4:32
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 118 МЛН