Kama huyo kijana ndiye angekuwa ndiyo mshitakiwa, tayari angekuwa anaozea jela, inasikitisha majaji wengi wanaidhalilisha mahakama kwa kutokuwa waadilifu
@leothardngonya48423 ай бұрын
Acha ujinga, ulifuatilia , Zile sms za yule mama Mwenyekiti wa Chadema na kakake Gekul? Madeleka ni Tapeli tuu.
@hoseazakayo37793 ай бұрын
Madeleka nimekuelewa vizuri ndo maana tunataka katiba mpya 😢😢
@hajihassan54333 ай бұрын
Kwani hapo kosa la Katiba iliyopo ni nini? Katiba yetu ipo vizuri KUTOKUHESHIMIWA au KUTOKUTEKELEZWA hilo sio suala la Katiba yenyewe hata Katiba Mpya ni kazi bure. Au hebu toa sample ya Ibara moja tu, tuone unataka iwe vipi. Haki na sheria ni vitu viwili tofauti.
@alizanzibar15863 ай бұрын
Waisilamu na Wakisisto MUOGOMPENI ALLAH LEO TUPO KWENYE MADARAKA KESHO UPO NYUMANI
@user-hj3ky9zy6y3 ай бұрын
Mh madereka mungu akubaliki sana
@justinelukumay53083 ай бұрын
Mh Madeleka Mungu Atakupigania popote Maana Umesimama kumsaidia ndg yako Mtz
@MagrethMallya-we8ui3 ай бұрын
Majaji wa Tz bwana, kwani ujaji unapatikanaje,??? Wanyonge wananyongwa tuuu!!!
@gaspercharles22443 ай бұрын
Raisi kaona ana hatia kamtoa kwenye uteuzi mahakama inaona Hana hatia Asante makonda ulisema ukweli ww na Rostam pokeeni maua yenu
@gallusmbaga55223 ай бұрын
Kwani Kuna hatiabimethibitika hapo?
@samwelombeni68503 ай бұрын
Rais LAZIMA atengue uteuzi ili kuisafisha serekali dhidi ya Mambo yanayoendelea, lakini chombo kinachoshibitisha Hilo ni mahaka;
@user-uf6oe3qi6v3 ай бұрын
Hakuna na maana hiyo aliacha sheria ifanye kaxi yake
@kinemorwangisho21683 ай бұрын
Poleni sana wanyonge tutafute pesa
@rahabnkya82763 ай бұрын
Daaa maisha mpito na mapito na MAPIGO yako na mungu au shetani mzuiliaji Riziki. Basi tu.
@HijaSaid-xd7fg3 ай бұрын
Makonda na Rostam,, walisha sema ,pia haki haiombwi
@petroyohana11263 ай бұрын
Hakuna mahakama tanzania
@juliuskitaluka12063 ай бұрын
Changamoto kubwa sana
@JumaBakari-ld5rr3 ай бұрын
Mama mama mama nimekuita mala tatu hawa wanakuchafua haki itendeke
@TM-zs3rm3 ай бұрын
Anajichafua mwenyewe kwa kuteua watu wa sio na şifa. Pili inabidi wapendekezwe kwamba na si kuteua tu kama anavyofanya. KWa watanzania wasiojua kwa nini tunadai katiba mpya ili sheria ziheshimiwe na watu wale we haki zao. Katiba mpya lazima watanzania wote tujifunze kupitia mambo kama haya na kwa pamoja tuungane ukipata na kudai katiba mpya ili tupate haki zetu mahakamani. Katiba mpya ni sasa.
@margarethsaramaki39663 ай бұрын
Endeleeni mbele na mwenyezi Mungu hatowaacha mfunikwe kwa damu ya Yesu mnamsimamia Hashim Ally mwenyezi Mungu awatangulie ktk kazi zenu za kila cku 🙏🏼🙏🏼
@petroyohana11263 ай бұрын
Maskini hana haki nchii hii, shame on in judiciary
@alexvenas26993 ай бұрын
Nchi yangu Tanzania watu wa maisha yachini kwanini tunaishi kama wakimbizi kwenye inchi yetu? Kwamba mwenye nacho anakinga? Ninacho amini mama yetu kipenzi ni mtu wa haki,ila kunawatu hapa chini wanatengeneza mazingira ya yeye kumchafua ionekane serikari anayoiongoza haitendi haki kumbe lahasha , ila tutambue jambo hili haki hata isipo patikana Duniani Iko siku tutakuwa mbele za kiti Cha enzi huko ndiko haki ya kweli hutolewa huko kile ulicho kipanda ndicho utakacho kivuna😢😢 but inaumiza sana.
@saturinimushi47463 ай бұрын
Hashimu Usiogope Tembea Kifua Mbele. Awamu ya Tano tuliahidiwa kwamba: Serikali yetu inawajali Wanyonge na Wananchi Maskini kule Vijijini. Ebo! Kumbe! Mambo yameshabadilika tena. Naipenda Tanzania❤.
@user-ij2lp1om6i3 ай бұрын
Mahakama ni branch of govt
@geraldgedi46573 ай бұрын
Nakuelewa sana wakili Madeleka. Kweli sie tusiokuwa na pesa maana yake tuhiari manyanyaso ya wale wavaa magwanda ya rangi ya mbogamboga.
@gowekogoweko58033 ай бұрын
HAKI HAKI HAKI KATIBA MPYAA
@leothardngonya48423 ай бұрын
Hahahaaasaaaa...WaTz bhana wasaniii. Hivi katiba mpya ya mashoga. Acheni kuchezea amani yetu. Mmetembembeza watu kwenye jua na mambo kibao. Tutapambana na ninyi manyang'au. Au kwa vile Gekul alihama kwenye chama cha Magaidi.? Unajua Bado tunakumbukumbu ya Magaidi ya Mwanza, Amboni, Chamanzi, Rufiji na Mkuranga hadi walobabaki tukawamalizia MSUMBIJI walikokimbilia. Msitufanye wa TZ wajinga sasa tunawapumulia kisogoni.
@elibarikimollel71493 ай бұрын
Hizo ni chenga za mahakama kukwepa kumtia hatiani mbunge/Waziri gekul ili kuepuka aibu waziri kutolewa hukumu ya kumtia hatiani kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi. Watapinga lakini baada ya uchaguzi...
@mickzaid95223 ай бұрын
Mm ndo mana naunga mkono sheria mkononi. Hawa wakubwa akikuzingua malizana nae juu kwa juu.
@philimonmtweve45223 ай бұрын
Mama alishamwondoa kwenye nafasi ya uwaziri wakatiba na sheria
@deniccgabriel61533 ай бұрын
Wewe kamaujui ayo nimaigizo wanchiiíii....
@Officialjidaa-sn9cs3 ай бұрын
I seee ifike mahariii nao waone aibu kijana ananyimwa halii yake kabisaaa kisa ety gekul ni KIONGOZI amn haliii katika nchiii hiii bana 😢😢😢
@user-zl4ch7kz3b3 ай бұрын
Mahakama kama inamtetea huyu katili mungu atamuadhibu ki vyovyote
@RoseKimishabhalemi-oz9bn3 ай бұрын
Madeleka makonda alisema mahakama yatz si sehemu ya haki
@selemanimasatu24213 ай бұрын
Ndo maana watu wanaamua kumroga mtu ili na yeye akipate cha mtema kuni, kama ni mm hapo ningemroga mpaka huyo hakimu.
@johnsonsabanya58603 ай бұрын
Kama viongozi wakubwa wataendelea kukalia kimya ujinga km huu basi kutukanwa kutaendelea Sana maana inaumiza moyo imagine angekuwa mwanao jamani tuwe na ubinadamu zote tutakufa ha tuishi milelee😢
@user-gd8cx2ig9p3 ай бұрын
Mimi najiuliza kama huyu mama hana kosa😢 ni kwanini mama alimtengua fast??ni heri angeacha kesi iendelee apewe adhabu yake aitumikie!! angalizo kukaa kimya kwa mjinga sio kukubali kushindwa 😢😢
@obasjustus35923 ай бұрын
R.I.P JPM
@petroyohana11263 ай бұрын
Ooh my God, this country is heading where...
@profs.a54123 ай бұрын
Nawakumbusha tu wanasheria kwamba, Sheria ilitungwa kwa ajili ya kudeal na masikini, Yani Sheria zipo ili kuwahukum masikiniii kumbukeni Hilo. So kwa nchi yetu hakuna haki kwa masikiniii ,🚶🚶 Yani masikini hana hakiii
@olivajohn93013 ай бұрын
Mungu atamlipa gekul kupitia watoto wake
@saleheinnocent76363 ай бұрын
Aibu Tz
@Mwigaa953 ай бұрын
Ifike mahali huyo waziri ajishushe tu ampange huyu madereka mtonyo wa nguvu mambo yaishe🙆🏽😄😃
@JifunzeNenoLaMungu3 ай бұрын
Tuombe Mungu atupiganie na tupate wanasheria hawapanguliwi kwa hoja moja tu.. kati ya tatu...kuna mbili
@anifamickidard45553 ай бұрын
Kibatala msaidie huyu kijana apate Haki Yake
@josephineokama22003 ай бұрын
yaani ukiwa na kesi ya mauwaji ya wazi ila kibatala akakusimamia hakika kesi itakua kuua bila kukusudia
@joycekaishozi11773 ай бұрын
dah
@prospermalala66363 ай бұрын
MH wakili msomi Peter madeleka safari ya hiiiiiiii, CCM wameziba masikio hawataki kabisa kueshimu Sheria za nchi yetu, jaji kajitoa ufahamu Kwa jambo gumu, wanaisaliti Sheria za nchi yetu kulingana upumbavu wao
@nicodemuswidambe51323 ай бұрын
Watu acheni kuchafua watu. Unapata nini kumchafua mtu huku ukijua ni uongo??
@user-op7vm9mr3z3 ай бұрын
Pelekeni malalamiko human watch tz hakuna haki ni upumbavu mtupu unaendelea majaji wenyewe hovyooooo88
@OmbeniShoo-kg8dr3 ай бұрын
Hii Nchi iko gizani uovu unakuwa haki ukweli unapingwa hatuna Nchi nilisemaga Nyerere alipokufa aliondoka na Tanzania iliyopo ni kivuli cha Tanzania
@hancekasililika95323 ай бұрын
Madereka Mungu awe nawe
@fredrickmwakalinga63903 ай бұрын
Ccm ni janga la kitaifa. Katiba na tume huru lazima mama wa kambo sio wa kumwamini
@JumaBakari-ld5rr3 ай бұрын
Mama mm nipo upande wako hawa watu da had machoz
@simongwandu73923 ай бұрын
Mungu ni mkuu kuachiwa dada Gekul Pole Gekul.
@saididodi39883 ай бұрын
Kama gekul Hana makosa kwanin rais alimtengua kwenye nafas yke inaoekana mahakama haitendi haki kuna chakujifunza
@abedysteven49303 ай бұрын
Hyo haina haja ya rufaa mana nyie mntaka hela tu kwan aliyowafanyia wale wadogo nyie mlifurahia Ety kwendraaaa
@abdull_hafidh3 ай бұрын
Mahamkama za Tz hazipo ktk kutenda haki wanaangalia mwenye cheo au mwenye pesa
@obaidothmanalbulushi91963 ай бұрын
Mahakama ya icc ina haki au ndiyo hamjuwi hayo mbona hamdai
@bakariwaziri35483 ай бұрын
Kama kuna ushahid huyu mama awajibike
@Flaviosafari3 ай бұрын
Nchi hii mwenye mamlaka au pesa yuko juu ya sheria? 😢
@boniventurehussein72763 ай бұрын
Mungu atamlipia huyu gekul ni mwanamke mwenye roho ya Nyoka muuwaji kweli maskin hana haki angekuwa anapesa gekul angefungwa
@abdunasiriathumani90113 ай бұрын
Kuna mtu yuko moshi familia yake yote imehukumiwa kunyongwa kwa sababu zisizoeleweka kwa vile hawana pesa lakini leo muheshimiwa ngekul pesa anayo anavuka tu kila mahakama,m!!ukiwa hauna pesa utadhalilika sana!!!!
@tumlakimwaitumule3 ай бұрын
Kwanini hii kesi inarushwa rushwa tu
@MagrethMallya-we8ui3 ай бұрын
Gekuli anahongea kodi za watanzania, Mungu yupo atakuhukulmu gekuli.
@ceciliamagalabajimmy43913 ай бұрын
Tutaungua mpaka Jumapili, Ijumaa hadi Jumamosi 😢😢😢😢
@ladislausriwa77683 ай бұрын
Wewe si ni ofisa wa mahakama? Sasa mbona unaituhumu ofisi yako. Kwa nini tuwe na mfumo wa mahakama sasa. Bora mahakama za jadi nyie wote mawakili mahakimu majaji wote wasanii tu
@karolikisaka89913 ай бұрын
Kama kweli katenda yatarudi kwa watoto wake
@user-pz5qs4ki7s3 ай бұрын
Vijana wa TANZANIA wakichoka bas nchi itachafuka
@rizikiabdalla25013 ай бұрын
Chokeni basi mnasubiri nn
@derrickmbaku47683 ай бұрын
Hakuna mwenye uhakika kuwa kweli Gekul ni mkosaji
@halimamasai22343 ай бұрын
Kila mtu ni msemaji hakuna mwenye uhakika na hii kisi tunasikia upanda moja tu
@dicksonkilupa22583 ай бұрын
@@halimamasai2234 Swali la msingi ni kwa sababu gani kila mara hawataki kesi iwepo ila wanaiondoa? Wewe jaribu kumtia mtu hiyo chupa ili kesi yako nayo ikaondolewe tuone.
@michaelkwatlema21243 ай бұрын
Peleka ushamba wako huko kwann kesi isisikilizwe kila mmoja alete vielelezo na ushahidi aonekane hana hatia kwann hataki kesi isikilizwe
@abdulkarimabdallah95363 ай бұрын
.
@user-iw5hu3mc7l3 ай бұрын
Hamumfungi huyo mwenzenu anapesa pi ni chakula ya wakubwa
@Ernestlaiza3 ай бұрын
Sawa kabiza chakula cha wakubwa
@ChristianMkumbo-ix2ke3 ай бұрын
Pambana wakili tuko nyuma yako
@OpMagu3 ай бұрын
Mrufani kama kweli anaamini ameonewa awatafute wazee wakimila, wamuachie Mungu.
@nicholauskilosa53363 ай бұрын
Mahakama za Tanzania oyeeee!
@salama11133 ай бұрын
Kweli masikini hatuna haki makonda apewe mauwa yake💔💔💔
@petroyohana11263 ай бұрын
Vitu kama hivi ndio chanzo cha mange
@gaspercharles22443 ай бұрын
Hongo zimezidi jamani tumrudie Mungu ninyi mnaofanya hivyo kumbukeni Kuna siku Mungu atawauliza maswali jipangeni Mungu hayuko mbali je angekuwa mtoto wenu mngefanyaje?
@eliaschipanda20063 ай бұрын
Kwani kuna nchi nyingine zaidi ya hii?
@FadhiliMwaitete-ls2li3 ай бұрын
Atuna majaji kwa mtindo huu Tanzania mnatupeleka wapi mnataka tuanze kuchukuwe Sheria mkononi kwamtindo huu atunaimani na mahakama zetu kabisa niushenzi na kupotezeana muda kwa Sasa lazima tuanze kumizana Sheria Amna kwa wanyonge upumbavu huu kutotoa haki warahi Sasa tuwaone tu
@jacksonngusi41223 ай бұрын
Pesa hupindua haki
@gilbertmathias75943 ай бұрын
Madeleka unatafuta kick nchini au una tatizo gani?
@hashimjumahassani52683 ай бұрын
anatumia taaluma yake...wananch tunamuunga mkono
@EnockKanduli-cv8yr3 ай бұрын
Gilbert una akili au
@richardmbasha14113 ай бұрын
Hana bongo huyu
@richardmbasha14113 ай бұрын
Unawazaje asee, kwa kichwa ama
@daudimchileg3073 ай бұрын
Shetani wewe
@user-dk5kk4rf3v3 ай бұрын
Wafundishe sheria hao waonea watu ..na wala kodi zetu stupid..
@halimamasai22343 ай бұрын
Mtasema sana lakini hii kesi imeka kishabiki kwa sababu tu huyu dada anitoka chadema ndo maana mnamkazia misuli hii kesi metengeneza nye chadema na hamtapata kitu washenzi nye
@AugustinoPeter-rn9bn3 ай бұрын
Kumbe wewe nawe nimkanyakaji wa haki za watu
@romanilyimo3 ай бұрын
Kumbe una akili kabisa chadema inausika na nini hapo ingekua ni mwanao hau ndugu yako ndio ungeongea kikwenu pumbavu kabisa ww. We utakua ni mijinga ya cm tu sio bure
@margarethsaramaki39663 ай бұрын
Huyu hayuko kwenye huu ulimwengu
@user-jj7qv7kh2s3 ай бұрын
Kwenye kesi hii chadema inahusika nini mbona umekuwa chawa mpaka mnakera.
@user-dk5kk4rf3v3 ай бұрын
Huyu ni chupua
@paulheavyrain95843 ай бұрын
Haki za watanzania maskini ndio hazipo angekua tajiri haki angeipata mapema tu