No video

AMPLIFAYA: 20 PERCENT ASIMULIA FREEMASON WALIVYOMFUATA AJIUNGE NAO “UKIACHA KUTESEKA HAUTATESEKA"

  Рет қаралды 185,772

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 382
@simonheavenlightshoo1503
@simonheavenlightshoo1503 8 ай бұрын
Moja ya msanii niliyekuwa namkubali kipindi nasoma primary Ni twenty per cent 👏👏👏😅
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 8 ай бұрын
20 percent anakubalika na kila mtu anaejua mziki mzuri
@shukurukoll7269
@shukurukoll7269 8 ай бұрын
Wewe ni Mwanamuziki wa kizazi kipya uliyeandika tungo nzuri sana zenye mantiki. Hongera sana kwa msimamo wako duniani tunapita tu. Hakika pambana utabarikiwa. Allah SW Anatosha .
@mussasebatiano4787
@mussasebatiano4787 8 ай бұрын
Sana Daddy kula jasho yako mtu wangu maana tamaa mbaya ulisema nimeshuhudia yakitokea kwa Sharo ngwea Kanumba na wakina recho nawengine kabis
@Intertainment_896
@Intertainment_896 8 ай бұрын
Kimbilia kwa Yesu Kaka ndiko kwenye salama na uzima hawakupati ng'o ukiwa Huku ila ukiendelea kubaki huko asee Neema ya Mungu ikufunike shetani ameona kitu kwako
@petermalema5702
@petermalema5702 8 ай бұрын
YES KWA YESU NI KUZURI SANAAAAAA
@hamzalipuye7198
@hamzalipuye7198 8 ай бұрын
Tokea zamani nampenda sana 20, yaani huyu jamaa ni mkweli kuanzia uimbaji wake na hata kauli yake nje ya muziki na huko mkweli pia kwenye maisha yake,
@AmaniCosmetix
@AmaniCosmetix 4 ай бұрын
Tunakwnda nawakati tupakulee
@redpromediat.o.tstrongteam1679
@redpromediat.o.tstrongteam1679 8 ай бұрын
We twende tu,kwani hao unaowatesa nimewaumba mimi. Asante sana 20% . Nimekuelewa sana.
@irengebarhabana12
@irengebarhabana12 8 ай бұрын
hongera saana 20%.wewe ni mshindi ndugu yangu twenty..mema iko mbele Mungu ata kulipa tu,kwani Mungu ni mwaminifu kwa wanao muamini na kumutegemeya🇨🇩🇨🇩🇨🇩🤝🙏🙏
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 8 ай бұрын
Yesu Kristo azidi kumtunza Twenty percent
@juliethfrancis7799
@juliethfrancis7799 8 ай бұрын
Life is spiritual 20% Mkubwa Mungu mwite anaitika na yeye ni mwema sana kwetu
@madetetv6576
@madetetv6576 8 ай бұрын
Pole sana 20% msanii uliyeni motivate sana
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 8 ай бұрын
Kaka 20 percent umenifundisha kitu nimekukubali nakushsuri mtafute YESU KRISTO kuwa ni mkombozi wa maisha yako
@jescameck7027
@jescameck7027 8 ай бұрын
Mwenzio Muislam.. unataka asaliti dini ksa ww? Wamemshindwa Freemason utaweza ww... Mungu Ni mmoja.
@blandinajoseph1291
@blandinajoseph1291 8 ай бұрын
​@@jescameck7027hee nguvu ya YESU KRISTO na freemason vinalingana?? Acha utani basi
@josephstephen2047
@josephstephen2047 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 6 ай бұрын
Nimempa ushauri tu kaka 20 Wala siko kwenye utani alinielewa ameelewa kua namshauri amfuate alie shinda kifo na Yu hai kama ni mtazamo ni huo mtazamo wangu
@singidaone5628
@singidaone5628 8 ай бұрын
Dunia ina mambo mengi sana mungu tulinde baba
@hot2music
@hot2music 8 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/nKuaotuWt9-ye4k.htmlsi=0rz7ABFTq-HfEnJZ
@epmzmusifiwar6694
@epmzmusifiwar6694 8 ай бұрын
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Big up 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@floramsacky3929
@floramsacky3929 8 ай бұрын
Maua yako 20% Mwamini Mungu atakupa kwa wakati wake, kiukweli nyimbo zako zina ujumbe mzito.
@saiddimarley8445
@saiddimarley8445 7 ай бұрын
Nakukubali mia kwa % Acha tujenge ahera Duniani tunapita.Kula kidogo uridhike usije ukawa kama hao wengine.Big up to you bro
@MamaFahady-wu4wk
@MamaFahady-wu4wk 8 ай бұрын
Nmekuelewa twenty... Nimekuelew maisha ya dunia. Nimapito. Tu
@ainealazaro7321
@ainealazaro7321 8 ай бұрын
Jamaa ana upeo mpana sana so wonderfull
@lyrics_forum
@lyrics_forum 8 ай бұрын
Mtu Tatu ndani ya Track Moja, Ebhana hii Team Ninawaelewa sana.. Ishini tu hamna baya.
@PhilipoMabula-ky9vs
@PhilipoMabula-ky9vs 8 ай бұрын
Brother w mtangazaji unaakili sana unaelewa chap
@jumaally2469
@jumaally2469 8 ай бұрын
Tusimame kwenye iman na tumuombe mungu atuongoze
@KAROKIATV
@KAROKIATV 8 ай бұрын
Milladr ayoo ndo rolemodel wanguu namkubaliii sanaaaa naomba unipe sapoti kaka please
@msilangamusoma1502
@msilangamusoma1502 8 ай бұрын
Mirady uko vizuri karibu sana geita
@titus_maridhia
@titus_maridhia 8 ай бұрын
Nyie mnapeleka maana kwenye utapeli, lakini sie tunajua jamii hiyo ipo na inaweza kufanya hayo, na ndivyo inavyofanya. Richa ya kuwa wapo matapeli wanaweza kufanya namna na wao. Ila binafsi siwezi kumpuuza 20 na hoja zake
@ScolaMwansasu
@ScolaMwansasu 5 ай бұрын
Ungekuwa kwenye dunia yake ungemwelewa
@YustaMfugale
@YustaMfugale 8 ай бұрын
Nimecheka kweli,,,et "unaweza ukacheka usimaanishe"😅😅😅😂😂😂
@youarehammmi2757
@youarehammmi2757 7 ай бұрын
Kweli
@AlbertYangson
@AlbertYangson 8 ай бұрын
Maisha ndivyoyalivyo chamana nikumcha Yesu
@user-cr6px2wk6x
@user-cr6px2wk6x 8 ай бұрын
Kwan yesu anatoa hela
@NancyPatrick-il8zj
@NancyPatrick-il8zj 8 ай бұрын
​@@user-cr6px2wk6xkwani yeye kasema Yesu anatoa hela
@robertrobert563
@robertrobert563 8 ай бұрын
Hapo umechanganya soda na chumvi, Bora ukae kimya.
@frankmlalila1705
@frankmlalila1705 8 ай бұрын
Nawapenda sana nyie watu❤❤❤
@AhamadiMussa
@AhamadiMussa 8 ай бұрын
Leo mimi wakwaza nipeni maua yangu
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 8 ай бұрын
Kuma wewe halafu mwanaume mzma unasema nimeni mauwa yangu
@EsaPoju
@EsaPoju 8 ай бұрын
@@handenitakuru6696 kwaiyo mwanaume mzima atukane sio
@modekaijames
@modekaijames 8 ай бұрын
​@@handenitakuru6696😮😮mbona mzee una hasira
@Dipeson700
@Dipeson700 8 ай бұрын
Aaah kmk😂😂😂😂
@Max9_captain
@Max9_captain 8 ай бұрын
​@@handenitakuru6696😂😂😂😂😂
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 8 ай бұрын
Mungu awe nawe 20%.Ila Mungu ni Mungu tuuu.
@breymbasa3451
@breymbasa3451 8 ай бұрын
Sema twenty mswahili sana kama hujui kutafsiri hauwezi kumwelewa
@official_rayob.8351
@official_rayob.8351 5 ай бұрын
Daaah hii kali mzee du
@jamaliselemba
@jamaliselemba 8 ай бұрын
Aseee😢😢 sema jamaaa namuelewa sana 20%
@LodvolaLameck-jl5vs
@LodvolaLameck-jl5vs 8 ай бұрын
Jamali mzima ww, Nelson hapa
@jamaliselemba
@jamaliselemba 8 ай бұрын
@@LodvolaLameck-jl5vs wawapi
@LodvolaLameck-jl5vs
@LodvolaLameck-jl5vs 8 ай бұрын
@@jamaliselemba Mkabogo
@jamaliselemba
@jamaliselemba 8 ай бұрын
@@LodvolaLameck-jl5vs sikukumbuki kwakweli
@LodvolaLameck-jl5vs
@LodvolaLameck-jl5vs 8 ай бұрын
@@jamaliselemba umesahau tu kidogo, kaka wa Kulu Nelson
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 8 ай бұрын
Pole cn 20 zote ni changamoto za maisha kikubwa ni kumuamini mungu tu
@robertanold6846
@robertanold6846 8 ай бұрын
Jamaaa anajibu vizuri sana
@frankkitelugwa9261
@frankkitelugwa9261 8 ай бұрын
Kusema na ule ukweli, nimemis ile amplifier ya zamani, ya habari 10...
@trapqueen7885
@trapqueen7885 8 ай бұрын
ya clouds eeh
@peacemakune911
@peacemakune911 8 ай бұрын
Hiyo ndo ilikua yenyew
@msatibongonyuzi14
@msatibongonyuzi14 8 ай бұрын
Hayo mambo hamuwezi kuyaelewa mbaka muyakute mm nisha kutana nayo hayo na hao huwa hawa kulazimishi isipokuwa wanakushawishi ili ww mwenyewe na nafsi yako uingie😢😢
@daimavlog
@daimavlog 8 ай бұрын
Siyo kweli wamejaa huku ulaya na hawafanyi kazi kiivyo. Hao ni fake wachawi tu
@hilmykassim903
@hilmykassim903 8 ай бұрын
awa watu wapo wengi wa mtandao wa frmson , walishawai nifata adi maelekezo yote adi kuja kufata tuongee ili tufanikishe
@frankdanford8245
@frankdanford8245 8 ай бұрын
Mirlad mbona unazungumzia kiunyonge sana ikifika swala la kutaja Freemason yaani kama autaki kuongelea sana kama nafsi inakusuta hivi kuna nini kwani?
@epmzmusifiwar6694
@epmzmusifiwar6694 8 ай бұрын
Unagusa Point Uyo Jama Mumja Wao
@MexiTanix
@MexiTanix 8 ай бұрын
Mwenzao huyo, unafikiri hayo mafanikio yanakuja kiurahisi.
@ameenaameena422
@ameenaameena422 8 ай бұрын
Huyo tunamjua ni free lichama la mashetani yumo
@HappyHangingGondola-zr7ke
@HappyHangingGondola-zr7ke 8 ай бұрын
Na yeye yumo maana anahofu sana😢
@Orinnazaqar6939
@Orinnazaqar6939 8 ай бұрын
Apo ukweli
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 8 ай бұрын
20% nakukubaliiii since day one mpk mwishooo
@dashdiane
@dashdiane 8 ай бұрын
Hv kuwa na gari ndo kuwa na maisha mazuri,twenty akili kubwa
@marcojonline7847
@marcojonline7847 8 ай бұрын
Ndo akili za watu weusi
@isaacvtv547
@isaacvtv547 8 ай бұрын
Uku USA ni kanisa kabisa. Milan Ayo ukija Ohio Dayton nitakuonyesha uingie mwenyewe ila mimi nitabaki nyuma😂
@arafakiloli749
@arafakiloli749 8 ай бұрын
Hahahahahahahahahahha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@shadrackdeogratius6760
@shadrackdeogratius6760 8 ай бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣tutaingia wote
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 8 ай бұрын
Isack tv
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 8 ай бұрын
Kwahyo inakuwaje sasa wakristo
@waragaronline578
@waragaronline578 8 ай бұрын
Me nahisi kama kweli clouds wanataka kutoa msaada Bora wamdaidie 20 maana huyu jamaa ana akili kuliko chidi
@gideonstanley2155
@gideonstanley2155 8 ай бұрын
Kwanini waskupe wew😢
@einsteinchacha5797
@einsteinchacha5797 8 ай бұрын
WaTanzania wengi hawajui maana ya Freemason, kila ushetani unatafsiriwa kama freemason. Freemason ni Taasisi ya kawaida tuu ambayo inasaidia sana katika sector tofauti tofauti Tanzania
@user-xl9so6jg1e
@user-xl9so6jg1e 8 ай бұрын
Unaumwa mavi wewe eti taasis ya kawaida je Kama ni taasisi ya kawaida unajua nn kinaendelea kwenye mahekalu yao.
@IsaacIsaya-ii2co
@IsaacIsaya-ii2co 2 ай бұрын
I like your decision,keep up
@aslam_musa4190
@aslam_musa4190 8 ай бұрын
Kwanza cjawahi ona anaye tongozwa kueka jambo hadharani sasa hata kama kweli ukisema ndo nini, kikubwa aache bangi na ubishi atafanikiwa. Bila shaka alifuatwa tu na matapeli na si vinginevyo, vitu usivyo vijua na visivyo na maana kwako si vya kufikiri.
@mallemaOg
@mallemaOg 8 ай бұрын
We nae freemason
@daimavlog
@daimavlog 8 ай бұрын
Yes ni matapeli wa kibongo wanamcheza
@daimavlog
@daimavlog 8 ай бұрын
@@mallemaOgfreemanson wasikie wewe hawako hivyo.
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 8 ай бұрын
Mtu wa peponi InshaAllah 🙏🙏🙏🙏
@opportunities2767
@opportunities2767 8 ай бұрын
Wale jamaa hua wanafuata watu wenye vipaji tu.
@DeusAmos-lt9bx
@DeusAmos-lt9bx 8 ай бұрын
Umeongea kwel broo
@BAHATIKIBA-ul6wx
@BAHATIKIBA-ul6wx 8 ай бұрын
Nawapat Kutoka 🇺🇸, Nakubal Xan Ila Watanzania Msahidiyeni Twenty20 Anahali Ngumu Xan Kihukwel
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Sasa wamsaidie nn maisha ndivyo ya livyo nikupanda nakushuka kawaida tu 20 wew utamsadia nn kwaapo alipo kila kitu kakifanya uyo kamaliza kikubwa Aishi kikawaida
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n 8 ай бұрын
Wewe hutaki kumsaidia maana huyo mungu tu yupo mbinguni anatusaidia sasa wewe hapo marekani jirani kabisa mtumie hela hata kwa M pesa😂😂😂
@katibampya8442
@katibampya8442 8 ай бұрын
Uwe marekani afu hujui kuandika?
@eliudmkumbwa5681
@eliudmkumbwa5681 8 ай бұрын
Ukisema humpendi 20%ujue maisha yako yanakusumbua na una hasira na kila mtu
@damianmachira7535
@damianmachira7535 8 ай бұрын
Kumbe Katekela alisema kweli majamaa yalikuwa ya na mtafuta pole ila MUNGU nimwema mtumaainie Mungu
@AbibornAlex
@AbibornAlex 7 ай бұрын
Hii ni kweli nimeikumbuka na mimi, katekela aliwahi kusema hata tuzo wao ndio walimpa, alipogoma wakamfuta kwenye music industry
@user-nb9hh3wn3h
@user-nb9hh3wn3h 8 ай бұрын
I love so much free mason.
@bless-2002
@bless-2002 8 ай бұрын
Best presenter of me is millard ayo
@mercypeter162
@mercypeter162 8 ай бұрын
Ndio maana Vanesa mdee alijiongeza. Nimekundua wasanii ambao sio matajiri wamekataa masharti Ya kuzimu. Lakini Hamonaiz amesha imba kwamba mziki ushetani
@behindzscenes3826
@behindzscenes3826 8 ай бұрын
kwenye wimbo gani huo
@edsongamuga7375
@edsongamuga7375 8 ай бұрын
Kushoto kulia
@ismailabbas4197
@ismailabbas4197 8 ай бұрын
Muziki ni ushetani kweli we huoni Mzee yusuph pamoja na kutubu na akaenda kuhiji lakini bado alirudi kwenye musiki , sababu tayari alikuwa ni member wa freemason na baada ya kuamua kuacha muziki walimpokonya kilakitu na kumuacha mweupeee.... Kwakuwa hakuwa tayari kuyaishi ya tabu na hakuwa na (YAKINI) moyoni ndiomaana akarudi tena kwenye muziki lakini maisha yake bado ni yatabu tu kama zamani
@onesmomelkiol813
@onesmomelkiol813 8 ай бұрын
Wimbo unatwa dunia by harmonize
@Bushman000
@Bushman000 6 ай бұрын
20% yuko bright sana kwenye tungo, the way anaongea tu unaona ni mwandish mzur
@user-mh9qg1bo2y
@user-mh9qg1bo2y 8 ай бұрын
Fire burn Dem ...meditation ya Hali ya juu toka kwa 20%..real rastaman
@user-nt8qe7bx7g
@user-nt8qe7bx7g 8 ай бұрын
20percent mimi huwa ninakukubali sana wewe ni kijana uliyebalikiwa sana Mwenyezi Mungu akili na ujasiri na maneno ya hekima
@josephstephen2047
@josephstephen2047 8 ай бұрын
20% ni msanii wangu bora wa muda wote na nyimbo zake zinaishi milele
@issahamisi674
@issahamisi674 8 ай бұрын
nmewah skya kwa wale wakenya mtu na mkewe😢😢
@Upendo-gd6fn
@Upendo-gd6fn 8 ай бұрын
Page yao KZfaq inaitwa life is spiritual
@josephstephen2047
@josephstephen2047 8 ай бұрын
​@@Upendo-gd6fnNgoja niitafute hiyo page
@Suleiman99
@Suleiman99 8 ай бұрын
Unaweza ukacheka usimaanishe nimeioenda Sana hii 20%
@servantofalmightygoddranth2511
@servantofalmightygoddranth2511 8 ай бұрын
Kuna pointi kubwa Sana ameziongea huyu jamaa 20% kuhusu freemason ndio msanii wa kwanza wa nyimbo za dunia kuweka kazi mambo ya freemason, YESU KRISTO ALIE HAI AMLINDE maana akina diamond,ali kiba wamejiunga uko na wasanii asilimia 90% wa sasa wapo huko na wanatoa makafara
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 8 ай бұрын
Una ushahidi wa hayo uyasemayo!shida yenu hamuamini uwepo wa Mungu!mnacho amini kuwa maskini akifanikiwa utaskia mara Freemason mara mchawi hayo ni mawazo mgando!Mungu umpa amtakae na ndoma huwa hamfanikiwa mana mshaamini bila ya shetani haiwezekani!hacheni hayo mawazo mgando Mungu anatosha mafanikio hayana mwenyewe!!
@Max9_captain
@Max9_captain 8 ай бұрын
umeongea pumba sana
@servantofalmightygoddranth2511
@servantofalmightygoddranth2511 8 ай бұрын
@@Max9_captain wewe ni shoga mwanaume huwezi kuwa mbeya nani kakuita kwenye comment yangu unafokonyolewa mkundu wewe
@servantofalmightygoddranth2511
@servantofalmightygoddranth2511 8 ай бұрын
@@adaboychibu1659 HATA JEHOVAH MUNGU ANAJUA kuna freemason sasa wewe mshindia maharage kutwa kujamba mishuzi inayonuka unabisha nn au na wewe mmoja wao ndio maana hamna nguvu za kiume marinda mlishatolewaga nyie
@Max9_captain
@Max9_captain 8 ай бұрын
kwenye ubongo wako kuna tundu la kuma, hizi comment ni za public kama vip ungemtumia ayo inbox maelezo yako yakishoga frimason ya mamaako fanya kazi tafuta hela utafirwa kuma wewe
@user-hm3qm2nf1v
@user-hm3qm2nf1v 8 ай бұрын
Hana cha freemason bangi nyingi tu
@lusticabernad9982
@lusticabernad9982 8 ай бұрын
Leo mimi watatu, nipeni likes zangu
@Nyanda506
@Nyanda506 8 ай бұрын
20%ana madini hata kujibu maswali huwa anajibu kwa akiri ..
@Bushman000
@Bushman000 6 ай бұрын
Yuko bright sanaaa
@nasekawanga1737
@nasekawanga1737 8 ай бұрын
Sio kweli awajamfata uyo we unafikili wangemfata asinge kubali😅😅😅
@bigtengwemela3153
@bigtengwemela3153 8 ай бұрын
We unafikili kila mtu ana akiri kama za kwako we vp wewe
@user-xl9so6jg1e
@user-xl9so6jg1e 8 ай бұрын
Unadhan wote wanapenda kuishi na stress akiln
@sundawnsmedia6659
@sundawnsmedia6659 8 ай бұрын
Duh! Hii shughuli kweli kweli, 😢
@chenge3223
@chenge3223 8 ай бұрын
Napenda interview zinatokea milard ayo
@roswithernaaly1332
@roswithernaaly1332 8 ай бұрын
Napenda sauti ya vidoo
@user-bw3fu2wl3s
@user-bw3fu2wl3s 8 ай бұрын
Binafsi Nmeierewa hii nasubiri pa2
@trapqueen7885
@trapqueen7885 8 ай бұрын
Hii interview inalugha ya kisanaa sana
@trapqueen7885
@trapqueen7885 8 ай бұрын
Karibu mbeya Bro
@mgallahson3650
@mgallahson3650 5 ай бұрын
Ukiwandoa wanamuziki wa zamani akina Marijani ,kizazi hiki 20% ndo mwanamiziki Bora wa hiki kizazi
@kwangahudispensary7238
@kwangahudispensary7238 7 ай бұрын
Jamaaa kafanikiwa kiakili sana ,.
@bonabonala5559
@bonabonala5559 8 ай бұрын
huyu 20ni shuja wa aina yake duniani mungu akurinde sana 20 paa
@jastinmkoba
@jastinmkoba 8 ай бұрын
Miradi ayo ni freemason mkubwa nandio maana ataki ata Kusikia.....yeye miradi ayo freemason ndio wamemuinua....wamempeleka mpka ugerumani nizaidi ya mara mbili kwaiyo miradi ayo ni freemason mkubwa sana uyo jamaa
@user-ro3ke1vt5f
@user-ro3ke1vt5f 7 ай бұрын
ndo naelewa kwanini amepoa boss kubwa😮
@calvenycachelu9778
@calvenycachelu9778 8 ай бұрын
Mirady ayoo anawajua yuko freemason
@epmzmusifiwar6694
@epmzmusifiwar6694 8 ай бұрын
Kabsa
@rizzsafi9989
@rizzsafi9989 8 ай бұрын
Mmmmmmh jamaaaa kaongeza kweli na vitu vipo
@anoldkavishe9223
@anoldkavishe9223 8 ай бұрын
Good 🎉🎉
@gentiljabpretty
@gentiljabpretty 26 күн бұрын
Majibu ya akili ❤❤
@mrsinia3064
@mrsinia3064 8 ай бұрын
Wamemuona ana kitu ndiyo maana
@samwelrobeth7763
@samwelrobeth7763 8 ай бұрын
Ukweli Uko hivo, hata wanatoa tuzo wako kwenye mnyororo wa rucifer ,na baadhi wanazan Ni matapel wake kwenye mitandao ya Sim Ila huyu jamaa anaficha baadhi ya maneno hawez kuwataja directly Ni fran.
@leonardaugustino4072
@leonardaugustino4072 8 ай бұрын
Mtu ukiwa na akili lazima uchelewe kulala hata ukilala saa mbili😮
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kwamba unawakomesha tu. 20 bana ila safi sana komaa na iman yako kaka
@ScolaMwansasu
@ScolaMwansasu 5 ай бұрын
Mirad unajifanya huelewi nn hapo ambacho anasema huyu kaka
@ZachariaNgesse-el1ge
@ZachariaNgesse-el1ge 8 ай бұрын
Nakuhakikishia huyo boss wenu wa millad Ayo, mwenyewe hapo nae ndie walewale waabudu shetani, 😏🤗na anajua kinachozungumzwa sema anajitoa ufahamu
@fedrickmwinama9862
@fedrickmwinama9862 8 ай бұрын
We jamaa umewaza ka mimi
@fedrickmwinama9862
@fedrickmwinama9862 8 ай бұрын
We jamaa umewaza ka mimi
@ZachariaNgesse-el1ge
@ZachariaNgesse-el1ge 8 ай бұрын
@@fedrickmwinama9862 umeona kaka
@emanuelmichael5295
@emanuelmichael5295 8 ай бұрын
20% nyimbo zake ni zenye ujumbe mzito ulioakisi maisha halisi ya watanzania. Na pia zenye adabu unaweza sikilizwa na watu wa rika lote sehem yotote sio hawa wasasa matusi matupu na videos za uchi
@howardbillionaire
@howardbillionaire 8 ай бұрын
kama waijua definition ya the real rastaman gonga like sema #wagwaan
@user-ql5rr2ve8b
@user-ql5rr2ve8b 6 ай бұрын
Na wamemsuuza kweli, huyu baba alishine sana😢
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 8 ай бұрын
Huyu jamaaa ni stopper..... Yaanii ni machine VIP
@ahmedsdk6736
@ahmedsdk6736 8 ай бұрын
Oyaaa sijawahi kusikiliza interview ya akili ila hii...!! 20% n wamoto.
@user-on7xo3if9l
@user-on7xo3if9l 6 ай бұрын
Use na msimamo uwo Mungu atakutetea
@mussasebatiano4787
@mussasebatiano4787 8 ай бұрын
mungu wangu mmi jamani nilinde namaisha haya yasio kua namsongi kama 20%
@boazambokile2587
@boazambokile2587 8 ай бұрын
😅 20% huyu mwamba anamisamiati mikuu
@Gdjn974
@Gdjn974 8 ай бұрын
Watu msichukulie poa mambo haya yapo dunian nmesoma comment naona mtu anasema Bangi mara nn ujue ukiwa katka mzunguko fulan wa kaz zako ndio utaona hasa chenye ufahari saana dunian lkn kwel hawa jamaa wanamtafuta mtu kama una nyota ya kuwashawsh watu kwa jambo fulan ishu izi zipo n kumuomba MUNGU azd kuepusha tu
@svt3
@svt3 8 ай бұрын
Acha upuuzi Freemason wamutafute mtu sawa 20% ? Tuna ishi karibu na kanisa lao na hawatafute mtu mbona Africa tuna akili za chini? Labda waganga wachawi ndio mnaitaka Freemason
@faabymusic
@faabymusic 8 ай бұрын
​@@svt3asa Freemason akufuate wewe utampa faida gani!! Freemason wanafuata mtu ambae ana talent,, au ana mkusanyiko wa wawatu,, ndomana wana fuata had wasanii,, kwaajili mxanii ana futwa na watu wengi xana,, aaya kaka niambie we unafuatwa au una angaliwa na watu wangapi😂😂 We utafuatwa na babu wa tanga utajiri bila kafara
@svt3
@svt3 8 ай бұрын
@@faabymusic sio talent ya kimadkini ya afrika dunia ya tatu, hao wakunuka uchafu tz ndio unasema talent those you think they have talent ni talent ya njaa
@faabymusic
@faabymusic 8 ай бұрын
@@svt3 apo una nipanga bro!! Kwaiy tz haina watu weny talent??
@svt3
@svt3 8 ай бұрын
@@faabymusic sijakataa talent ziko na level, talent za tz ni za hapo tz sio eti Freemason wanahitazi talent za tz wazifanye nini? Talent za tz zitasaidia Freemason na nini ?
@juniorwiseprophet1240
@juniorwiseprophet1240 8 ай бұрын
Nikweli huwa woote waliojiunga huwa hawacheki kiuhalisia wengi wanadanganyika na wasanii wakubwa na maisha yao kumbe hawajui kua wakikaa pekeyao wanalia
@AmaniCosmetix
@AmaniCosmetix 4 ай бұрын
Wambieni 20 paa cent aache mziki atafute kazi nyengine aache kiki
@EmpireMoviesNseries
@EmpireMoviesNseries 8 ай бұрын
Hahaa!!!! misamiati yake naipenda mwamba!!!!
@juliusmagunila6308
@juliusmagunila6308 8 ай бұрын
Stori za utotoni😅😅😅
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 8 ай бұрын
Ww hujitambui ungekuwa ww ungejiunga unaonekana akili huna hata kanumba walimfata wao
@faabymusic
@faabymusic 8 ай бұрын
Bado hujajua bro
@danielkenedy4357
@danielkenedy4357 8 ай бұрын
Bangi sio nzuri. Ona madhara yake
@MudaRamadhani
@MudaRamadhani 8 ай бұрын
Acha ughanisi
@waragaronline578
@waragaronline578 8 ай бұрын
Usha wahi kuvuta mzee
@user-lq6cy1dy1g
@user-lq6cy1dy1g 8 ай бұрын
Bang poa
@khatibabass3106
@khatibabass3106 8 ай бұрын
Huyu jamaa twente per ana akili mno
@princekassimtz5848
@princekassimtz5848 8 ай бұрын
Msanii mkbwa na mwenye vina vikali 🎉
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 8 ай бұрын
Anachoelezea ni 100% real
@user-ey8zi1es4p
@user-ey8zi1es4p 8 ай бұрын
20%yuko sawa,maana hao jamaa wakiona nyota yako inang'ara lazima wafanye kila njia yakukutaka kuwa mwanachama.tamaa za muda mfupi zinakufanya uishi bila furaha na amani ya moyo.na ndio maana unaweza ukacheka lakini usimaanishe.
@michaelbengesi9838
@michaelbengesi9838 8 ай бұрын
20 anacheka lakini haya mambo usiombe yakukute
Studio Session KOMANDO,G nako ft Diamond Platnumz
25:35
Diamond Platnumz
Рет қаралды 446 М.
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 26 МЛН
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 11 МЛН
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 10 МЛН
PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN
26:49
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 423 М.
20 PERCENT Aibukia Tabora | Cheki shangwe lake ,Umekumbuka wapi ?
6:09
20 PERCENT x EBL DRUCULA - SAUTI YANGU (official video)
4:04
20 Power
Рет қаралды 157 М.
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН