Kama kuna mtu anaangalia huku akisoma komenti aungane na mm 😂😂😂😂
@lucaschuma95005 жыл бұрын
Tupo pamoja dada
@aishaomari18815 жыл бұрын
Muungane ili iwaje
@saidiselemani77864 жыл бұрын
Tupo wengiii
@juliaslengai33234 жыл бұрын
Kama vile unaniona
@zainabumbondei86353 жыл бұрын
Tupo sana
@mustaphatibaijuka69955 жыл бұрын
Mh.RC mungu akulinde jamani unafanya vizuri katika uongozi wako
@rahjah58825 жыл бұрын
That’s why Tanzania is in my heart
@afandebrighttz28875 жыл бұрын
Boss wangu mkuu wa mkoa ,A Happy Mungu akupe hekima zaidi
@dionisemyigezo91375 жыл бұрын
The work is being done, At least my eyes shows me that. I feel deeply like believing all that RC Hapi is doing! Heko sana kiongozi!
@hasnasaif10755 жыл бұрын
Asante mkuu wamkoa nimetokwa namachozi ya furaha
@EK-kp2np5 жыл бұрын
Kaka Hapi unatenda kama mfalme Suleiman, be blessed🙏🏼
@zaidishabani57455 жыл бұрын
Hakika
@titusrobert58905 жыл бұрын
Hapi wewe ni kiongozi kero za watu ndogondogo kama hizo unazotatua nimefuatilia sana ziara zako baada ya watu kuridhikka na kuamini uongozi lazima maendeleo yasonge mbele. Hicho ndo kilikuwa kimekosanika huko nyuma. Ongera utawala wa uncle magu tunawaombea kwa mungu afya njema. Tutafika
@SSs-tb9yo5 жыл бұрын
E K Aamin
@1stladyafrica4024 жыл бұрын
Kwakweli busara imeokoa undugu .Mungu ambariki sana
@jumanesaidi76354 жыл бұрын
Mh. Hapi hapa umetisha! Umetumia busara tupu.
@abdallahally20144 жыл бұрын
Ally may ALLAH bless you.always watching your videos here in kigali Rwanda
@albertchubwa25465 жыл бұрын
Ally Hapi unafanya kazi nzuri nakupongeza
@wardadanda63225 жыл бұрын
mungu anajionyesha kupitia kwako mkuu wa mkoa
@MohammedAli-rh5si5 жыл бұрын
Happy Mungu akulinde na maadui sijawahi ona mapungufu yako kwa macho kibinaadamu good job
@saidiselemani77864 жыл бұрын
Sanaaaaaa
@partohmsee59925 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kazi nzuri unayoifanya nmeipenda kabisa
@dicksonhassan72065 жыл бұрын
Daah mh ally hapi mjanja sasa alopogundua ttzo haraka sana akatumia method inayosema "penye fitina weka rupia"basi kamaliza ttzo very simple
@abdulmelele73224 жыл бұрын
Tatizo lilipoanzia ku repear nyumba ya marehem baba🤣🤣🤣🤣
@troubleboy25905 жыл бұрын
I’m crying like man 😖
@najma32685 жыл бұрын
Mungu awabariki na awazidishie mlikotoa , nimekua na furaha hadi nimelia machoz yamenioka kwa furaha wallah 😭👏👏👏
@elianestory51594 жыл бұрын
Bibi anaonekana ana miaka 60 halafu alibebwa kwenye Bodaboda kwa Mara ya kwanza kuona Bodaboda ilikuwa mwaka gani
@aminakazogolo99145 жыл бұрын
Hongera Mh.Ally Hapi
@japharykikoti33915 жыл бұрын
Kwa kweli Mh Ally Hapi Una Enjoy Kusikiliza Kero za Wananchi Wako..
Jamani mhexhiwa nimefurahi sana mungu akubarki sana
@julianavenance63565 жыл бұрын
Aisee mh hapi uko vizuri sana kwanza hata hautumii nguvu kutatua hiyo migogoro ila naona unatumia akili na busala, kila mkoa ingekua hivo poa sana Mh piga kazi na huo ndo ubinadam, mungu awe nawe
@yustochitema11315 жыл бұрын
Hongera Mkuu wa mkoa kwa hekima yako
@hylinemaraga96155 жыл бұрын
Mungu akupaliki Bwana Hapi wairingo kwa ukweli hunaofaya upalikiwe Sana amen .
@msuyapili19735 жыл бұрын
Mungu kakupa hekima na busara hakuzidishie Kila raheli.
@yjonytbt46834 жыл бұрын
Congratulations tz mumejaliwa kua naviongozi shupavu I wish Kenya ingekua hivyo ingekua mbali sana
@faidaimmaculee285 жыл бұрын
Mungu akuzidishiye maisha marefu
@robertwamaya29845 жыл бұрын
God increase the wisdom of RC Hapi... This has reminded me the wisdom of Solomon.
@said306nyatu94 жыл бұрын
Mungu akulipe R c
@johndieme64024 жыл бұрын
Uyumubabaminamupedaka mungu amujariye
@wahabmkazi79025 жыл бұрын
Ally Hapi, mfano wa kuigwa na viongozi wengine. Anajua fika nini anapashwa kufanya. Pamoja namambo mengi lkn anawasikiliza na kuwasaidia wanyonge. Ktk style ya kipekee sana. Mheshimiwa Hapi shikilia hapo hapo tutafika. Unaowaongoza wakiwa na amani kazi yako inakuwa rahisi. Mungu na ukutunze
@norafrowin17484 жыл бұрын
Yaani Namuona Rais wa miaka ijayo.Hivi unajua kweli kuwa Kuna watu wanakupenda mh Ally Hapi? Yaani maono yangu kwako ni makubwa saaana na Mungu naomba aniweke niyaone yakitimia.Nakupenda mh Hadi Basi nipo dar ila nakufatilia kila hatua yako barikiwaaa
@msuyapili19735 жыл бұрын
Mungu akuzidishie mh kuu wetu
@sadamasare34585 жыл бұрын
Haha duh cjawahi kucoment hii ya leo nomaa aisee
@user-bq4tk6yq2q9 ай бұрын
HAPI ANAFAA SANA KUWA RC
@tindokamuti81424 жыл бұрын
huwa siwakubali wana siasa lkn huyu RC namkubali sana fuul off Pierce
@tumsifujasson47165 жыл бұрын
Mungu nimwema brother
@mswadikubushumbilo71705 жыл бұрын
Big up mkuu wa mkoa
@jasmineshechambo34015 жыл бұрын
Huyu mama mwembamba anachekesha jaman🤣🤣🤣
@isayakahemela48815 жыл бұрын
Politics. Enzi za kuzaliwa Mama huyu kweli boda zilikuwepo?
@alyrafael44055 жыл бұрын
Yani huyu mama na mshangaa bodaboda hazikuepo kk
@madjidhamza15875 жыл бұрын
Honda ndo boda za zaman kwahyo anashindwa kutofautisha
@colethacharles5485 жыл бұрын
Hapo kwenye boda boda nimecheka huku najamba
@colethacharles5485 жыл бұрын
Mama kajua kutuongopea huyu alibebwa kwenye boda boda khaaaa
@saidiselemani77864 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa mungu akupe maisha hivi wengine hawaoniiiii
@tatuta65295 жыл бұрын
Muelewane mama zangu sawa jamani
@charleskaozya99245 жыл бұрын
Gud job broza ally bt Mic controller mkudaa kichiziii😂😂😂
@selemanimkonga81505 жыл бұрын
Wachawi wenzangu tulike hapa😂😂😂
@musayahaya25144 жыл бұрын
Mungu akupe maisha mema
@pinielpamojasanaelias76214 жыл бұрын
Daaa huyo mkuu wa mkoa yuko safi sana
@bjzee19815 жыл бұрын
Haya matoto yakulelewa hayanaga hisani. Yani unawatunza hadi wakubwa kisha anakuja kukusumbulia wanao.
@maikofrae5604 жыл бұрын
Mkuu wa mkowa iringa napenda sana kazi yako
@gracemwanjabala80735 жыл бұрын
asanteeee jamniii huyooo mama yatima katiahuruma
@levismhogoro56225 жыл бұрын
Hekima nikitukizurisana yanihuyu ni Suleiman
@dariadeus89795 жыл бұрын
nimeipenda bur
@leliyonkamolleh93725 жыл бұрын
I appreciate u RC HAPI
@pascaljohn21484 жыл бұрын
Mungu kaumba Tanzania mpya,vio ngozi wa Tanzania ya leo mbarikiwe sana.
@naomikakingo70705 жыл бұрын
Mali za urithi kwangu hapana ngoja nikazane kutafuta zangu
@corethamsemwa50525 жыл бұрын
Naomi kakingo kwakweli
@salmaalimusa5475 жыл бұрын
Kweli kabisa my vyautith vyweza kukutoa roho
@eliazarinyakiema19695 жыл бұрын
Hawa kina mama wameniacha hoi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Hassan_Mengi5 жыл бұрын
Unafaa kuwa kiongozi Mhe. RC
@jasiminhamisi83165 жыл бұрын
Hahaha subili kwanza niwanbie nyinyi
@dhoulkefyljr86375 жыл бұрын
i bet ccm wataendelea kutawala kwa mda mrefu coz wanafaham namna ya kuwashawshi wananch kuw upande wao 2020 si mbali panapo uhai watu wanasahau conflict zilzopo ktk vyama vyao badala yake watasema wameibiwa kura na hali wagomban huku wenzao wachukua point muhim vijijini sasa nin utawambia watu hawa apart from ccm #ngoja tuone 2020
@hasnasaif10755 жыл бұрын
Kabisa yaan
@chamam50315 жыл бұрын
Hadi machozi yamenitoka mama anatembea kwa magoti
@rowlandmabwa90764 жыл бұрын
This guy Hapi is reeeal Man. We need to porch him to Kenya for some wisdom.
@alexalexsebahire56955 жыл бұрын
Jamani huyu muheshimiwa nimemupenda sana anisaindie number haki mungu ako
@husseinshabani95225 жыл бұрын
Mungu Akulinde mkuu
@scollorpatrick72145 жыл бұрын
Safi sana mkuu wawilaya
@benadetamwashala625 жыл бұрын
Mungu aendlee kkpa hekima zaid mweshmiwa kma sleman
@zaidishabani57455 жыл бұрын
Nimekubar mkuu wa mkoa kwel vijana tunaweza
@missmalindikenya62045 жыл бұрын
ZAIDI SHABANI hahahaaa
@SalamaNauthar5 ай бұрын
Ally hapi uko wapi baba😭😭😭😭😭😭😭
@abdallahmuttaq73065 жыл бұрын
Hawa ni viongozi na hazina ya viongozi nchiyetu inawahitaji na mimi namuombea kwa Allah amjalie asijebadirika na insha'Allah atakujakuwa kiongozi mkubwa ktika Tanzania
@bintysayd17635 жыл бұрын
Uyu madam ataka mtia makofi mkuu wa mkoa 😆😆😆 ooowi nimecheka
@waukweelinikkon65555 жыл бұрын
Yaani Nimecheka miyee,KAMWENEEEE
@waukweelinikkon65555 жыл бұрын
Natamani ungekuwa mkuu wa mbeya😂😂😂
@rehemakulaba9235 жыл бұрын
Yaani serikari hii safiiiii
@relaxchinese41035 жыл бұрын
Subiri sasa nikuambie kamwene jamani
@gracemwanjabala80735 жыл бұрын
Aysha Oman tuko pamoja
@hassanramadhan89784 жыл бұрын
Tanzania ndio nchi bwana
@deborahjm88905 жыл бұрын
Dhuu 🙆♀️🙆♀️
@happykipeya85165 жыл бұрын
Kamwene 😃😃😃😃
@godfreyjames85823 жыл бұрын
Safi sana mh hapi
@margarethsaramaki11005 жыл бұрын
Huyu ana roho mbaya huyo dada mwenye nyeupe
@predigangaruwaichi34904 жыл бұрын
Mmmm shamoo mweshimiwa
@ngingobruno62875 жыл бұрын
Big up RC
@halimajamaniamekuwamndeme96174 жыл бұрын
Hapi baba unakaziiiiiii,
@veronicangwale71594 ай бұрын
Walikosea sanaaa kumtoa huyu iringaaaaa
@narxtz5 жыл бұрын
Watu ni balaa kisa tu sio tumbo moja
@ramanhoibrahim33835 жыл бұрын
Daah mpk machozi yamenitoka aisee..
@rayaqme69355 жыл бұрын
Jaman huyu mama kanifurahisha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@markrichardfreemasonry26025 жыл бұрын
2020 inakaribia
@ramsojimmykelly33795 жыл бұрын
Hili ni zaidi ya goli la Giroud lililoshinda Ballon'Dor
@flowjowi87215 жыл бұрын
We Kenyan say magufuli prezo tena
@mbeyauwsa58485 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa njoo Mbeya usikilize kero za wananchi maana huku Mmmmh sijaona kabisa Mikutano Kama hii. Kama nawe unaunga mkono gonga like twende sawa
@athumanomary14385 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoz vyema mkuu wetu wa iringa
@eliakamwela83985 жыл бұрын
Nataman sana wakuu wote wa mikoa wawe kama huyo wa iringa, nataman wengne waige Rc hapi, na naamin ndo lengo LA rais
@dismaskipingu44095 жыл бұрын
Huyu Bibi anachekesha sana. Yaani amekataa kumuachia ndugu yao eneo aweze kumpunguzia mkuu wa mkoa maisha?
@dismaskipingu44095 жыл бұрын
Hera!? Mbona Bibi hujasema anaeikataa Ccm nimchawi kabla ya kupewa HELA??
@mcisunga38225 жыл бұрын
😂😂😂😂na mahari alikula baba jamni mali hizi mungu tusaidie
@silyadamian57085 жыл бұрын
Hakika Tz inawatu wa kuigwa
@elizabethdismas76604 жыл бұрын
Duuh ama kweli,
@gamechanger96465 жыл бұрын
😂😂mama amenimaliza
@dottomsham98845 жыл бұрын
utendaji wako uliotukuka kama makonda vile saf sana hapi